RAIS RUTO akalia kiti cha MOTO kwa Maswali Magumu ya WAKENYA wenye HASIRA kwenye Space ya X

  Рет қаралды 31,488

Simulizi Na Sauti

Simulizi Na Sauti

6 күн бұрын

Tembelea sns.co.tz/ kwa taarifa zaidi

Пікірлер: 105
@KhamisBeja
@KhamisBeja 4 күн бұрын
Njaa ni mbaya hakuna vita vya tonge kasaliti GZ wenziwe..
@mkoma49
@mkoma49 4 күн бұрын
Kenya wanajitambua sana wanamfanya Rais akumbuke anawatumikia wao sio sisi uku ata kumuuliza tu Rais io nafasi hatupati
@ashaherzog4488
@ashaherzog4488 4 күн бұрын
Wasaliti walimsaliti Yesu kwahiyo sio laajabu!! Gen-Z stay focused and watch out those greedy Judaz around you
@Chrisblaze-beats
@Chrisblaze-beats 4 күн бұрын
❤❤❤❤❤endeleeeni kuwa informer 🔥🔥🔥👊Bongo wanaomba ufungiwe😅😅 ndio ujue tupo miaka gani😊
@bakariomari24omar21
@bakariomari24omar21 4 күн бұрын
Huyu Ruto ameshajiona anangoka ndio anafanya haya lakin tumemchoka Kenya ni inchi tajiri sana lakin pesa yote inaishia kwa mifukoni mwao mabilioni yapesa .waziri analipwa laki 9 lakini kwa mwezi mmoja anatoa mchango makanisani zaidi ya million 50. Wanatoa wapi hii pesa
@mr.yahzadochuno7914
@mr.yahzadochuno7914 4 күн бұрын
Ruto must go
@shantisam-wo8wj
@shantisam-wo8wj 4 күн бұрын
Kenyas to the top 🎉
@idrissahaji
@idrissahaji 4 күн бұрын
Yawezekana anafanya hivyo ili kulinda usalama wake hamjui alipotekwa ametishwa na kushurutishwa kwa masharti gani
@daizzmwangi
@daizzmwangi 2 күн бұрын
Ashasalimiwa tukiamuwa nikung'oa jino tunatowa 😂
@petercley6230
@petercley6230 2 күн бұрын
It is like Kenya is 100 years ahead of East African countries, kudos to Kenyan's and their President!
@msafirisaimoni9561
@msafirisaimoni9561 4 күн бұрын
Tanzania sisi tunaifunga X kwa sabbu inakosoa serikali unajua binadam anakosea ndio maana kuna samahan vijan wa uvisisemu njaa itakuja kuwaua😂😂😂
@yasminmustafa2282
@yasminmustafa2282 4 күн бұрын
As of the sons of judas iscariot l think it was expected..more reasons we don't have leaders or tribe....and as we forge shead we woll gain some and loose some...aluta continua
@Shehasweet-hy6xn
@Shehasweet-hy6xn 4 күн бұрын
Ila Kenya nyie ni kibokoooooo....yaani mumemtoa jasho rais??????????😂😂😂😂😂😂😂 Ruto Hana hamuuuuuu😊😊😊komesha Marais wa Afrikaans wamezoeaaa kuburuza wanainch
@Arrestgptucomedy
@Arrestgptucomedy 4 күн бұрын
Lakini mbona rahisi wetu anatubeba aki .. imagine our mps Wana drive magari ya 5.7cc na pia bona hawa watu wanapewa hela nyingi hivi like wanakua treated like kings
@mr.yahzadochuno7914
@mr.yahzadochuno7914 4 күн бұрын
Jizi Ruto must go
@isabellarkageha7707
@isabellarkageha7707 4 күн бұрын
2027 utaona .... vile tutachagua mwenye tunataka. Corruption in kenya iko juu sana
@khadijauthman4802
@khadijauthman4802 Күн бұрын
Tanzania tuwacheni uchawa kutumiwa kimaslai na wanasiasa vijana wachangamke siasa ndio maisha.
@kevicristian2738
@kevicristian2738 4 күн бұрын
Man of the people (I remember this play😂)
@fatumamwalimu5765
@fatumamwalimu5765 4 күн бұрын
Wasaliti lazima wangekuwepo,
@gchalijabiri3845
@gchalijabiri3845 4 күн бұрын
Wakenya
@yasminmustafa2282
@yasminmustafa2282 4 күн бұрын
First things first..l commend him for coming online cause that's where our demos are..point of correction..there were a total of 1.6M loggings to the exact space that's how much we eere longing for this...but its true at the actual space at sny given time were sround 1.7k..the space kept giving us errors..so we listened via tik tok and you tube as there were people who were streaming it live
@ChumanaSusi
@ChumanaSusi 3 күн бұрын
Fisadi na muuwaji mkubwa Ruto must go
@3erffeoui86
@3erffeoui86 4 күн бұрын
otero alipewa 5 million na ruto
@ghhj-ij7xs
@ghhj-ij7xs 4 күн бұрын
Betrayal on the city..money talks..Otero the betrayer😢😢#ruto must go back to sugoi
@chande2k250
@chande2k250 4 күн бұрын
Tuclaumu jamani serikali za kiafrika ni Noma uckute jamaa alifinywa na Hiyo Ndio punishment yake Mfano njoeni Bongo wasanii Wengi waliotekwa baada ya kuachiwa Hakuna walichoongea tusubirie sativa nae akitoka hospital alichoongea mpanda na atakachokuja kuongea tena Badae tutafurahi wackilizaji
@MuniraShughuli-kc7vj
@MuniraShughuli-kc7vj 4 күн бұрын
Mwizi ni mwizi
@bishweko
@bishweko 4 күн бұрын
Utekwaji nyara na kuachiwa huru hayomaswala tumuulize Odinga. Anajua yaliyokuwa yanaendelea huko matekani.
@Shehasweet-hy6xn
@Shehasweet-hy6xn 4 күн бұрын
😂😂😂 rais halali jamaniii usiku anawaota Genziiiiiii😂😂😂....Kenya nyie kibokoooo...komesha wizi wa Afrika..
@mr.yahzadochuno7914
@mr.yahzadochuno7914 4 күн бұрын
Ruto must go
@yasminmustafa2282
@yasminmustafa2282 4 күн бұрын
Lakini huyu hutubeba mandazi sana yes the cancer clause was there inder the "specialised treatment tax"it never said cancer directly but isn't cancer under speacilised treatment....heck even dental and optical servises were about to sly rocket
@jedidahbintidaudi8241
@jedidahbintidaudi8241 4 күн бұрын
Imagine 3600 open jobs as a start for the youth...thats what am talking aboout. Kenya hawarushwirushwi hivi2..Uchumi wao utapanda kweli..sie Tanzania being lower-middle economy it is yet for her citizens to feel it..wealth is tilted to the few..kazi kweli kweli
@noel3290
@noel3290 4 күн бұрын
Did you see those jobs? Who told you the arabic jobs didn’t exist bfr his rule
@stanleymanya438
@stanleymanya438 4 күн бұрын
Huyu jamaàa!! Tutaelewana nae tu.
@badarahmed1861
@badarahmed1861 4 күн бұрын
King Ahab
@djafro8729
@djafro8729 4 күн бұрын
Sky , sma mtu ambae anaupendeleo kwa Ruto
@user-wo1mu3bf4p
@user-wo1mu3bf4p 4 күн бұрын
This man will not change his leadership he suppose to leave the office
@msangitresor2310
@msangitresor2310 4 күн бұрын
Hawajui maana ya Vita
@Jibambeshow254k
@Jibambeshow254k 4 күн бұрын
Simulaumu huyo kijana wafrica tunawajua ukitekwa nyara n ufunguliwe hua unapewa mashariti sasa huyo asanaswa hana jinsi zaidi yakusalitii wenzake 😂
@jumamustapha8254
@jumamustapha8254 4 күн бұрын
Ruto amejiikanyaga kujipendekeza marekani na ulaya, wakenya wameipenda hiyo?
@MalikshotelsMalikshotels
@MalikshotelsMalikshotels 4 күн бұрын
RUTO MUST GO
@Qqambaa
@Qqambaa 4 күн бұрын
Tano tena
@IbrahDeDonny-lv2lo
@IbrahDeDonny-lv2lo 4 күн бұрын
​@@QqambaaMamaeee, Tano za wap??
@eunicemulaa939
@eunicemulaa939 4 күн бұрын
So you think he's acting out of free will?
@sarafinawanja8549
@sarafinawanja8549 4 күн бұрын
But you said mr president that you congratulate the police for a good job for the anarchist
@user-mh9hj3lx7q
@user-mh9hj3lx7q 3 күн бұрын
Atero njaaaa mbaya broo
@awadhrajabu1403
@awadhrajabu1403 4 күн бұрын
Raisi Ni Raisi2 Kama Amechaguliwa Atabaki Kua Raisi2
@ChumanaSusi
@ChumanaSusi 3 күн бұрын
Orongo hawezi baki kama hatumtaki
@gilbertkalanda9354
@gilbertkalanda9354 3 күн бұрын
Mchezo uliishia pale alipotekwa
@agwalubifaridah7079
@agwalubifaridah7079 4 күн бұрын
Am proud of you mr president you're very smart up stairs live long king
@GENZ.2026
@GENZ.2026 4 күн бұрын
Shidwe pepo mbaya😏😏😏
@user-xn2ih2br7y
@user-xn2ih2br7y 4 күн бұрын
Stop being stupid 😠😠
@ChumanaSusi
@ChumanaSusi 3 күн бұрын
Urongo . Huyu si smart ni conman mkora na murongo sana
@jumashedafa
@jumashedafa 4 күн бұрын
Umeonesha ukomavu Mr. President huwa nakosoa but today cna tamko
@bakariomari24omar21
@bakariomari24omar21 4 күн бұрын
Hana njia nyengine
@MuniraShughuli-kc7vj
@MuniraShughuli-kc7vj 4 күн бұрын
Mmh
@jumashedafa
@jumashedafa 4 күн бұрын
Ni kwel kbs
@user-yp9el7xp8g
@user-yp9el7xp8g 4 күн бұрын
Alafu pia tulikwa na wasaliti apa washalipwa pesa
@simonmartin5358
@simonmartin5358 4 күн бұрын
Uweni hao hawafai from ughaibun
@WILLY_SKY1
@WILLY_SKY1 4 күн бұрын
Osama is a traitor alilipwa
@emmosilver6039
@emmosilver6039 4 күн бұрын
Wakenya hamjui mtu mliyekuwa naye,kinachowasumbua ni mabeberu waliopo hapo na changamoto za kurithi.
@emmosilver6039
@emmosilver6039 4 күн бұрын
Hanashida kabisa.
@simonmartin5358
@simonmartin5358 4 күн бұрын
Uweni wasaliti wote ! Hawafai Kaz iendelee
@yasminmustafa2282
@yasminmustafa2282 4 күн бұрын
I pray they live to see that we push ahead and achieve what we started.. Maumbwaa hao
@mitanakadorho2356
@mitanakadorho2356 4 күн бұрын
Mwizi ni mwizi tuu, yoote haya ni matokeo ya Chebukati na Martha Koome, Mungu okowa Kenya na Zakayo na kundi lake
@Qqambaa
@Qqambaa 4 күн бұрын
Akuna mtu mzuri ju pesa huongelesha mtu😂😂 ingia bunge uone ukitoka ukiwa kisaitola ndio utajua mbona ata wenye walikuwa mbona walishindwa kubadilisha so acha ruto afanye mambo yake tano yake ishie lets give the man a chance
@sarafinawanja8549
@sarafinawanja8549 4 күн бұрын
You know these Tanzanias they don't know ruto, they talk recklessly, as if they live in Kenya, life is tough in Kenya without a job
@mpjozzegalvanize4926
@mpjozzegalvanize4926 4 күн бұрын
Huyu ni kiongozi bora, ana maono ya mbali. Nadhani atakuja kueleweka baadae sana akishatoka,
@BillyJames-l6x
@BillyJames-l6x 4 күн бұрын
Nyamaza Ww mtu wa Tanzania hujui lolote bwana
@jedidahbintidaudi8241
@jedidahbintidaudi8241 4 күн бұрын
..Rais wao sio mchezo RUTO Rais safi sana mie namkubali huyu jamaa. very calm and collected, the guy is courageous and has a beautiful mind..what he says and if he implements Kenya itaenda mbali sana...Ruto peleka Kenya mawinguni baba ipelekee..sie Jirani tuko nyuma yako mzee wangu
@BillyJames-l6x
@BillyJames-l6x 4 күн бұрын
@@jedidahbintidaudi8241 Ww mkubali tu vyenye unataka tukishamtoa tutamsafirisha Tanzania mpambane na mwizi mkora muuaji nkt
@user-km1dm8et9x
@user-km1dm8et9x 4 күн бұрын
Uyu ndo rais mwenye akili afrika
@jedidahbintidaudi8241
@jedidahbintidaudi8241 4 күн бұрын
@@user-km1dm8et9x yaani nakubaliana na wewe asilimia zote...Kenya wamepata!
@theoriginals3240
@theoriginals3240 4 күн бұрын
Ruto yuko vizuri sana, wamenya sio wavumilivu tu
@Beautiful-Place
@Beautiful-Place 4 күн бұрын
Wewe ni miongoni mwa wakina Ruto waongo sana
@oldchild3517
@oldchild3517 4 күн бұрын
Mtu muongo,hajali wananchi,mtu anatoa watu ili wauwe wananchi ..alafu unasema n mtu mzuri!!?? Sikulaumu nalaumu waliokufunza huo ujinga
@theoriginals3240
@theoriginals3240 4 күн бұрын
Nawaambia mtamkumbuka huyu jamaa
@oldchild3517
@oldchild3517 4 күн бұрын
@@theoriginals3240 utamkumbuja ww na nyanya Yako..umbwa ww
@user-re4ve4nf3p
@user-re4ve4nf3p 4 күн бұрын
​@@theoriginals3240ww ndio utamkumbuka
@fatumamwalimu5765
@fatumamwalimu5765 4 күн бұрын
Acha ruto aonge mmoja mmoja uko mafichoni maana hivyo ndivyo alivyozoea lakini huku tunamsubiri alete hizo pesa za wananchi, lakini ajue sio suluhisho
@AnneOtieno-hi8uj
@AnneOtieno-hi8uj 4 күн бұрын
𝐴𝑐𝑡𝑜𝑟
@user-km1dm8et9x
@user-km1dm8et9x 4 күн бұрын
Kiukweli uyu jamaa ni kichwa yani akuna kama yeye afrika jamaa akili zake mingi
@bakariomari24omar21
@bakariomari24omar21 4 күн бұрын
Huyu ni ndugu yake ibiliso humjui ww anaweza hata akatoa machozi hapo na mikamuonea huruma.
@venancemartin6734
@venancemartin6734 4 күн бұрын
Hujui kingereza wewe, ndomaana unasema hakuna kama yeye Africa, ungekuwa unajua kile anachokijibu usingejaribu kusema stupid fact kama iyo.
@bakariomari24omar21
@bakariomari24omar21 4 күн бұрын
​@@venancemartin6734nikweli haelewi chochote wanachoongea wakenya
@Qqambaa
@Qqambaa 4 күн бұрын
Ukitimiza ata robo,Tano Tena ndio utimize kabisa kura nakupa asubuhi na mapema
@aftapat5365
@aftapat5365 4 күн бұрын
hao wengi wao ni malaya wanaoshinda huko xHamstar wakenya wamejazana ndio wanaoandamana biashara imekuwa ngumu
@mstaraabusantiago747
@mstaraabusantiago747 4 күн бұрын
U luck brains that's why
@omarzinga7046
@omarzinga7046 4 күн бұрын
Malaya wako Instagram x ni ya wasomi
@carolinekasiemeka9848
@carolinekasiemeka9848 4 күн бұрын
@aftapat5365 shame on you... Wewe ndiye malaya, mkuu kahaba wa kimataifa. Wewe ndiwe mwalimu wao. Pepo Nyeusi. Ushindwe ! Shetani wewe.
@aftapat5365
@aftapat5365 4 күн бұрын
@@carolinekasiemeka9848 Dada sio uongo nenda huko google andika hivi xHamstar kenya live utawakuta tena mpaka ambao unawajua wako live tena mpaka dau wanatangaza hawalali maasa 24 kwani uongo
Hotuba ya Rais Ruto! Uchambuzi na Ushauri kwa Ruto kutoka kwa DJ Sma
30:28
I wish I could change THIS fast! 🤣
00:33
America's Got Talent
Рет қаралды 120 МЛН
Survival skills: A great idea with duct tape #survival #lifehacks #camping
00:27
Heartwarming: Stranger Saves Puppy from Hot Car #shorts
00:22
Fabiosa Best Lifehacks
Рет қаралды 20 МЛН
Mtu yeyote anaweza own bunduki USA ata mtoto wa 16 years.
31:35
Huku Yues
Рет қаралды 522 М.
DRUMS OF WAR: Why THIS must be handled with extreme Caution…
24:11
A Muslim Man Enters a Church - They Laughed
39:53
Sabeel Ahmed
Рет қаралды 893 М.
Wait for 2024 😮‍💨🚴 #bike #bikelover #cycling #exhaust #fy
0:23
The best iron agricultural products #Tractor #Agriculture #fyp #foryou
0:16
Опять в кузовной
0:40
SMASHCAR
Рет қаралды 1,3 МЛН
Wait for 2024 😮‍💨🚴 #bike #bikelover #cycling #exhaust #fy
0:23
СЕКРЕТ AMG ВЫХЛОПА РАСКРЫТ #shorts
0:58
Мистер Глушитель
Рет қаралды 1,3 МЛН