Apo kwenye kununua magari tuko pamoja. Viongozi wetu 🇲🇿🇲🇿🇲🇿 sisi wamekuwa vichaa, eti wanaacha kununua madawati na madaftar , madawa mahospitalini, kutengeniza mabarabara, wao kila mwezi kunuriana magari. Yahni hakuna nchi yenye uwongo mpuuzi kama nchi yetu🇲🇿🇲🇿😭😭😭😭😭😭.
@michaelseti34752 күн бұрын
confidential budget ni budget kwa ajili ya usalama wa taifa {specifically NIS ya kenya, ila its powers zinakuwa extended to MPS, na members of cabinet, mfano paying for vital information , ila so far hawa MPS wana imissuse, ili wajilipe hela, ndomana watu wanataka iondolewe sincerly MIKE BEATS
Very very nice dj sma. Then In Kenya, a "confidential budget" refers to funds allocated for activities deemed sensitive or of a national security nature, which are not openly detailed in public financial statements. These budgets are often managed by security agencies such as the National Intelligence Service (NIS), the military, and sometimes other government departments. The specifics of how these funds are used are typically classified to protect national security interests. Consequently, oversight and accountability mechanisms for confidential budgets can be limited, raising concerns about transparency and potential misuse of funds.
@djsma2553 күн бұрын
Thank u very much for this nice explaination
@elibarikimollel71493 күн бұрын
Dj smaa uchambuzi wako ni kuntu,wana Kenya wamethubutu,sasa Ruto analo hata awe muongo kuliko shetani,hatoboi bila kutekeleza matakwa ya wananchi. Utapanyaji wa mali na kodi unaofanywa na watawala wa Kenya ndiyo yanayofanyika Afrika,East Afrika,hata kwetu Tanzania kwa miaka yote. Sasa kuna usemi:Mwenzako akinyolewa,..... Marais wengine wa east Afrika wajipange wasifikirie wananchi wakiamua watajali mauaji yao kwa risasi yatawarudisha nyuma wataua lakini watajiharibia zaidi bora waingie mezani na waliowachagua wakubaliane, waondoe uchafu wao,kila mtu aheshimu haki,sheria na katiba iliyowapa ridhaa kupitia watu! Mungu ibariki East Afrika,ibariki Tanzania
@wadeelegbogun30154 күн бұрын
Nyie watanganyika ni waajabu sana.tanganyika yetu imeuzwa kila kona, mmeshindwa kukemea ila vya kenya mnajitia uchambuzi #NONSENSE
@eben_ezer88534 күн бұрын
Yaaan nashangaa eti wanamshauri Ruto nyie kama nani vile huko kwenu hata albino bado wananyongwa na serikali ipo tu kila siku mama mama wacha ya Kenya hayawahusu🖐️🖐️🖐️🖐️🖐️
@nomoboy1524 күн бұрын
Umeongea ukweli lakini tunatakiwa tufanye wote brother #Letsdoittogether
@soudmoshmnyika58133 күн бұрын
Watu hawafahamu , kwa mtambuzi anafaham alivyo zungumza katoa mpaka ushauri kwa nchi yetu ya Tanzania kwa kusema hata viongozi wetu nawashauri kufanya hivi , au mnataka afanyaje yani
@liannnjery90374 күн бұрын
Sns always on top of it's game,great analysis Sam.
@djafro87293 күн бұрын
Huyu jamaa wa fuse and logic atampoteza. Mimi ni mkenya najua ruto mzuri. Huyu jamaa wa logic hawezi sema kitu mbaya kuhusu Putin ama Ruto
@sosbrayantbenjamin97014 күн бұрын
Upo sahih coca cola pia tunafanya hvo magar tume rent
@jedidahbintidaudi82414 күн бұрын
hii Ilicit Financial Flow iko kwetu Tanzania sana. 10 months ago Madam President aliiongelea ikiwa sourced Mtwara kikipanda mpaka west Mara region..na huo ni mfano tuu
@jeremiahmsemwa83233 күн бұрын
Ruto ni mzuri sana wa speech, lakini sio vitendo. Anawafariji tu.
@dottomabula72534 күн бұрын
Exactly, Outsourcing
@IdeaIncubator_id3 күн бұрын
Dj sma, vifungu vya confidentiality kwenye mikopo hayo ni matakwa ya mkopeshaji kwasababu suala hilo lipo kibiashara zaidi na ushindani katika Soko la fedha. So ni either uchukue na masharti au uache ukapambane na hali yako. Mfano, wachina hawataki mikataba yao iwe hadharani kwasababu ya uhasimu wao na nchi za wests, hilo pia lipo katika benki kubwa za kibiashara zinazokopesha Serikali duniani...Creditors wanapatikana kwa njia ya competitive bidding or ushindani...kuweka mkataba hadharani means unatoa siri ya kamb kwa kuonyesha the way financing ilivyokua structured etc. Kusisitiza ni nchi kufuata debt transparency framework iliyochini ya WB ambayo inataka kila nchi kutuma taarifa za deni na kuziweka wazi kila mwezi public. Sehemu pekee yakuweka mkazo katika nchi za Afrika ni kwenye miradi maana hapa studies nyingi zinaonyesha absorption capacity ni ndogo sana na hapa ndipo pesa zinapopigwa.
@bongomastory7912 күн бұрын
Kuishauri Kenya tu Tanzania aaah
@SAYMOEKARIM4 күн бұрын
Africa tunatofautiana majina ya nchi ila viongozi wengi ni vubaraka 89%
@jamilaathumani54814 күн бұрын
Kwastail iyo wakenya walikuwa wanampenda Sana magufuli na utendaji wake..mana ilikuwa dhahabu yetu...mungu amlaze mahali pema pepon
@user-qb8fx9np5x3 күн бұрын
Goodwork
@waendaotvcom2044 күн бұрын
Mbona usitoe huu ushauri kwa raisi wako... au unaogopa kutekwa😂😂
@MsAggie54 күн бұрын
Hana mwanasheria 😂😂😂
@MsAggie54 күн бұрын
Hana mwanasheria 😂😂😂
@sund25534 күн бұрын
kuchambua ya watu tu ya nchin kwake kimyaa juzi katekwa kijana na kupelekwa kituo cha police lkn kimy hakuna hat chomb cha habar wamejitokeza kuhoji ,badget ya Tz ilitoka mlivyo wanafik hata kutoa elimu watu wapate uelew kimya ila ya nchi za jiran mpo busy kuelezea watu 👎🏿👎🏿👎🏿
@Fgldesigns3 күн бұрын
Si kuna muda anashauri Afrika nzima au hujasikia... Anamtaja Ruto sana kwakuwa yuko kikaangoni
@Is-hakaAbdallah4 күн бұрын
Big up bro
@mr.yahzadochuno79143 күн бұрын
Ruto must gooo
@kagoyemwambal90613 күн бұрын
Wana Raha mpka vouch..wananchi wadogo wanaumia
@ShabanKarim-tv3vn4 күн бұрын
Mbona kauza inci hakusema marekani siku sinyingi wataleta vitæ kubwa Kenya
@aidanmbilinyi81843 күн бұрын
Huu uchumbuzi ni mzurii vipi kuhusu nchini kwwtu mpo kimya
@dottomabula72534 күн бұрын
Dj sma is very smart
@robertnkyalu32413 күн бұрын
Muwe mnachambua na maovu ya nchi yetu sio za wenzetu hiyo sio sawa Kama kweli ninyi ni wapenda haki na watetezi wa mfumo gandamizi wa kimagharibi
@davidwalalason76303 күн бұрын
@dj sma should an african governments advisor
@dylankanyubi37003 күн бұрын
Sasa kutoka hapa, tuende wapi? Jumuiya ya Afrika Mashariki? Ama nini labda?
@hameedm83614 күн бұрын
Confidentian budget matumizi ya serikali ambayo hayana uwajibikaji au accountability,
@fahamnitwahir92493 күн бұрын
Ninachojua hii ni opposite yaan ameambiwa na rais wa tz
@tawfiqsaid49183 күн бұрын
Mfumo wa Logistics sio mzuri kwa usalama wa viongozi.
@davidwalalason76303 күн бұрын
@dj sma serikali yetu ina manyanyaso sana hasa kwa walimu, madaktari na Polish na ndio maana ruto hakuliongelea hilo jambo la kupunguza mishahara
@sophiemuthoni98414 күн бұрын
We want the MPs senators ..cas governors and top government top dogs salaries slashed…
@Jassmin-media-official3 күн бұрын
Jamani rais na huongozi mzima wa Tanzania 🇹🇿 sibora waige kutoka kenya harafu kwanini wanini waajiliwa serikalini niwale wale harafu mafisadi watu wameisha kua wazee wameisha iba vyakutosha Jamani navijana wana Elimu yakutosha nahawapewi kazi?chugueni vijana walio maliza shule damu bado inachemka waitumikie nchi yao,wapumzishe hao wakina makonda wameisha iba vyakutosha
@wadeelegbogun30154 күн бұрын
Bajet ya tza nayo hovyo kabisa, ila kimyaaa
@mussajuma74603 күн бұрын
Ruto aseme afanye lolote ila lazima asepe maana kenya hatakiwi
@sanitakarisa96604 күн бұрын
Dj sma baado hujamjua huyu Wiliam ruto vizuri, nikama umemjua juzi tuu. Na ukitaka kukubaluana na wakenya wote mfuatilie kwa muda mrefu . Hata Julius Malema (south Afrika) anamjua Wiliam ruto ni muongo
@WazirBoy-fe5ew4 күн бұрын
Mimi kwa kipindi kifupi tu nimemjua huyu mtu ruto
@mosesg.pendael83813 күн бұрын
Kivipi. Twende kwa facts sio mihemko. Uongo upi?
@rumdeesonsoa18113 күн бұрын
Hujaeleweka, hajamjua kivipi? Mbona kama vile wakenya hamjulikani mnataka nini? Kwahyo unataka kusema aliyoyangea Dj Smaa ni uongo? Elewekeni mnataka nini wajinga ninyi. Mim nilijua mnatuchukia utendaji wa serikali kwa ujumla kumbe mnamchukia Ruto personal.
@zaggytv70123 күн бұрын
@@rumdeesonsoa1811 Ana maana Kwa dj sma hajajua kwamba ruto ni muongo kupitiliza,, kwamba amfatilie hapo nyuma ndio atajua ruto ni mtu wa aina gani,,mwanzo Mimi yote aliyoyasema naona anakulia TU wananchi njaroo
@user-dg7wf6fg2j3 күн бұрын
Kenya wamechoka yatazunguka Africa walianza warabu zamu ya africa
@ibrahimsalim68353 күн бұрын
Magari ya police ya Kenya yote yakukopwa huyaoni yote mapya sikuhizi but very expressive almost ksh15000/= per Day inafanya kazi
@shabanimataka84183 күн бұрын
Dj smaa na nchi yetu unaiyambia nn au uku akuna shekh?
@ibrahimsalim68353 күн бұрын
Corruption hawezi ingilia Kenya inaendeshwa na judiciary ambao yeye asema ikohuru kaiachia wahusika
@kungugeni3 күн бұрын
Wakenya kitu kingine mhipinge NATO nishilika la majambazi linapola Mari za nchi. Pia litavuluga amani ya nchi kazi Yao NATO ni kuvuluga. Amani ya nchi usika Ili wapate laslimali za nchi
@bennygwasa45633 күн бұрын
Wachache wanajua hilo
@hadahada45463 күн бұрын
DJ SMS wacha ujinga ubmwa ww dj
@davidwalalason76303 күн бұрын
Nashindwa kuendelea kuwatch kuanza kusikiliza hizo hella inchi zetu zinapoteza ambazo ni zaidi ya madeni tunayodaiwa
@chande2k2504 күн бұрын
Dj sma hujawahi kuniangusha serikali zetu zingefanya hivyo hz kesi zicngekuwepo Mkuu wa wilaya au engineer kupewa V8 haya ni matumizi mabaya sana ya madaraka
@user-nk4oq4ek9y4 күн бұрын
Apo ni kweli bro wanatanuwa wabunge kisa inatosha plz
@marymayeye59404 күн бұрын
DJ, usijifanya wewe unajuwa sana mambo ya wakenya pls tuwachani ya kwenyu hamyaoni ? Wakenya HATUPANGUNGE.
@Khalidniya3804 күн бұрын
Acha kisirani wew nani amekuleta hapa Acha ujinga
@Moseskoome-l1t4 күн бұрын
wewe acha ufala dj smaa sisi Kama 🇰🇪🇰🇪tunampenda tunamkubali Nani mkenya mwenzetu na hapa ni nyumbani usije kujifanya hatujui umetoka wapi ghasia Kama wewe
@yakoubfaki20263 күн бұрын
Sasa tungepata hisabu ya matumizi ya mapunguzo yote haya yaliyo fanyika then tujiwe katika mapunguzo ya hizi idara matumizi mengi so hizi billion 346 tujuwa zimebaki ngp ili tukope au kupunguza budget, cause km kuna mapunguzo katika izo sehemu nyingi bc kuna pesa nyingi zitakuwa free hazina matumizi tena.
@appolonation3 күн бұрын
Dj Sma Ruto Ni Muongo Sana Anataka Watoke balabalani Awafunge wachache na habadilishi kitu 😂
@mosesg.pendael83813 күн бұрын
Tupe fact ya uongo wake!
@qasimk23903 күн бұрын
ukimuangalia kwa sura tu unajua kua ruto ni muongo na ni kibaraka wa nchi za magharibi na ni mshenzi
@Brunotarimo104 күн бұрын
Ruto ni mhuni
@dylankanyubi37003 күн бұрын
Mbona?
@user-pt8wo4ss2p4 күн бұрын
Kwa viongozi wa juu kuanzia wabunge makatibu wa wizala makamishina
@NdovuDentalClinic_4 күн бұрын
Zakayo ana mbinu 😂😂
@stephenndagalla81834 күн бұрын
Hayo mapendekezo uliyoyataja ni kwa nini usimueleze Rais wako wa Tanzania. Imeandikwa "Ondoa kibanzi katika jicho lako kabla ya kupangusa TONGOTONGO kwenye jicho la jirani yako". Mbona Viongozi Wakuu na Wabunge wa Tanzania wana mishahara na marupurupu karibu sawa na wa Kenya unaowashauri wapunguziwe Mishahara na marupurupu yao!!??
@fatumamwalimu57653 күн бұрын
Ruto hawzi kuongelea ufisadi na wafisadi maana yeye mwenyewe ndie fisadi wa mwanzo,
@victorwilliam11114 күн бұрын
Awafirisi Wala Rushwa
@yakoubfaki20263 күн бұрын
Cause Kama tumepunguza matumizi mingi je kwel ndio billion 346 ndio bado zinahitajika km zilivyo apo tuwekane sw
@abdalahngozi54553 күн бұрын
Iyo ni ile majambazi wanaiba bank million 20 alafu bank manager anatangaza pesa zilizoibiwa ni million 120 😂😂
@hadahada45463 күн бұрын
DJ mjinga Sana sma
@shabanimataka84183 күн бұрын
Wewe umezidi kuliko yy
@mohamedabdulkadir61863 күн бұрын
Haezi fukuza wafisadi juu wafisadi wote ni washkaji wake wa mbavuni
@dottomabula72534 күн бұрын
Dj sma nafuata nyayo zako
@pantaleolaurentlaurentkavu20113 күн бұрын
Ushauri wako ni porojo.tu.utawala.popote ni eneo gumu.linahitaji kuwa na fedha nyingi.sawa na baba mwenye nyuma.
@niffonlinetz72144 күн бұрын
WAKENYA WANADAI RUTO NI MUOMGO MUONGO SANA NDO MANA HAWATAKI HOJA ZAKE
@user-pt8wo4ss2p4 күн бұрын
Mishahala wapunguze kwa %40
@saivellybrutally29944 күн бұрын
Tanganyika sisi tuko wap ndio migano iyo.
@babemris29634 күн бұрын
Unamjua ruto nauongo wake ndugu??
@aminakenea96144 күн бұрын
Ruto ni maji yanafuata mkondo wa marais walitoka, woooote niwakosefu wa imani wamebeba tu uuwizi ( ILA WAJUE MUNGU HALALI DAMU ZA WANANCHI ZITAWAELELEKA )
@ibrahimsalim68353 күн бұрын
Mishahara hapa Kenya imeshinda USA huyo Ruto alipwa kushinda Biden ukweli kaka sio kuchochea Fanya utafiti
@djsma2553 күн бұрын
Nimejaribu jutafuta nimekosa mishahara ya wabunge wa africa na wa duniani sijapata
@animalchannel2964 күн бұрын
#we stand with Ruto Ruto must stay
@niffonlinetz72144 күн бұрын
UNAKATWA NA MAJINI
@ibrahimsalim68353 күн бұрын
Mishahara yetu yanapitishwa na wabunge wenyewe kwanini yasiwe mikubwa
@djsma2553 күн бұрын
Kwasababu walizoea raia wanaonges bula vitendo ila raia wa kenya wamewafundisha funzi so anmini this time they wnt be arrogant!
@mohammedshishishi63753 күн бұрын
Jana likutafuta umwambie ruto ayo maneno
@djsma2553 күн бұрын
I wshi i could talk to him directly
@3erffeoui863 күн бұрын
mwamba HII ni PR SPEECH WE KNOW THIS GUY DEEP DOWN FROM HIS BEHAVIOUR
@dottomabula72534 күн бұрын
Jiadae nitakuwa mfuasi wako
@novusengineering_tz45233 күн бұрын
Djsma, mbona nimemsikia mara kadhaa Ruto akihubiri kuwesesha vijana kwenda nje kufanya kazi. Do you think ni sawa, why tupeleke nguvu kazi nje kujenga uchumi wa wenzetu kwa kigezo cha wao kufanya kazi na kupata hela. Am sorry, mm ni mfuasi wa falsafa ya PAN AFRICA, nafikiri anapaswa kujenga uchumi, vijana wake wafurahie kukaa nyumban na kujenga uchumi nchi instead kuona ufarahi vijana kufanya kazi ya nchi. Tutakuja kulia kama wajapani sasa kwa baadhi ya maeneo hasa ya vijijini kutokuwa na watu kwa kigezo cha kufanya kazi ugaibuni
@SM-fu1yv4 күн бұрын
Sasa mbona na kawapandishia mishahara wabunge wake
@mosesg.pendael83813 күн бұрын
Fake news
@yasminmustafa22823 күн бұрын
Lakini in all honesty una tuadvise as who?do you know you will mever find any kenyan platform imekalia siasa ya tz hivi..DO BASIC EDUCATION TO YOUR CITIZENSeven if you get 2views it's atleast a step to the right direction..
@braysonminja4 күн бұрын
Mbona kwa tz uongelei
@mytelecom20194 күн бұрын
utamuazima mwanasheria wako?
@yasminmustafa22824 күн бұрын
Anajua hatapata likes...Tanzanians don't like civic education kazi yanga na mondi
@truemanfrank13324 күн бұрын
Ruto seees far ruto must stay
@kwisa48993 күн бұрын
Elimu mbovu inatusadia sana kuleta Amani Tanzania Asante sana serikali yangu tungewafungua hawa watu yangetukuta ya kenya
@nassercurtis95793 күн бұрын
Hujui unachoongea vipi botswana wana elimu mbovu, vipi kuhusu south Africa wana elimu mbovu vipi kuhusu Naigeria wana elimu mbovu, je umeshaona botswana wanaandamana kiholela? Kinachotokea Kenya ni ahadi zote zilizoahidiwa na serikali hakuna kilichofanywa hata kimoja zaidi viongozi kujilipa pesa nyingi na kuongeza mpaka bei ya mkate na vitaulo vya wanawake, hivyo amehushishwa kulipa kodi ya juu mno mpaka mtu wa chini kabisa ikiwa watu wa serikalini hawalipi kodi na mishahara yao ya juu, sasa embu sema Tanzania tunaandamia nini kwa mfano, tulitaka ndege za kimataifa sasa tunazo tulitaka tren za haraka na usafiri wa uhakika tunazo tulitaka umeme usiwe wa mgao sasa bwawa linakaribia kuisha sasa lipo 98% tulitaka madaraja ya juu kupunguza foleni mjini sasa yapo tulitaka uborweshwaji wa hospitali sasa zimeboreshwa kila mkoa na kujengwa nyengine, na hata upandaji wa kodi kiasilimia haulimgani na majirani ingawa hatuwezi kukwepa ukweli maisha yamepanda sana hata nchi za ulaya na duniani kote sasa ndio maana wanalipa kodi kwa njia ya credit card ambayo ni ngumu sana kama ingekuwa hivyo kwetu unalipa madeni mpaka unakufa, mfano nchi niyopo nimefika soda ya kopo ilikuwa elf moja ya nyumbani na sasa ni elfu mbili ila huwezi ona watu wakiandamana na hospital bure ila gharama za madawa pharmarcy ni kubwa mno na hsp za pruvate ni juu mno kulingana na kwetu, me nadhani miradi ikisimamiwa vizuri na kodi zikitumika vizuri basi maisha yatakuwa nafuu na si swala la elimu, alijaribu magufuli akaitwa diktekta, leo Kenya imepunguza safari za kimataifa.
@nassercurtis95793 күн бұрын
Elimu mbovu elimu bzuri haiwezi tufikisha popote kama hatuna nia thabiti na kuacha ubinafsi wa kujilimbikizia mali kuiba mpaka vya akiba ya uzeeni na wajukuu ingepitishwa tu sheria mtu atakae patikana na utapeli ufisadi matumizi mabaya ya ofisi za serikali matumizi mabaya ya pesa za uma, hawa watu wakishikwa na hatia basi hukumu yao iwe kunyongwa au kifungo cha maisha jela hakuna kukata rufaa kama ushahidi umekamilika, na hata kama ushahidi haukukamilika watu wote wa serikalini na binafsi wafwatiliwe mali walizo nazo na ulipaji wa kodi kama haulingani jela miaka 15 kukwepa kodi ni kuhujumu uchumi.
@yasminmustafa22824 күн бұрын
Why dont you do this analysis about your own tz govt🙄what are you afraid of..why dont you docivic education in your own budget ilipitishwa juzi tu..lakini myofo nyofo kenya..utawafunza lini watanzania kuhusu sisa za kwenu..THE MORE I LISTEN TO YOU THE MORE AM CONVINCED YOU ARE JUST COWARDS.. why dont you use your platform for civic education...ohhhhh nimejus unajua hutapaya views😂😂😂😂