Mama ongea kwa ukali acha hurumaa huruma sio malezi
@jedidahbintidaudi824122 күн бұрын
Ila TRA pia wananyanyasa sana w/biashara..mpaka wengine kukimbia nchi na wengijne kujiua..TRA wanakuja na vitisho vingi mnoo..wekeni system ambayo software yake inasoma TRA- Yusufu you need to come up with a strategy and employ Software graduates watengeneze hii system so you dnt have to run up and down with files to do your collections..Tanzania has to wake up!!
@dillonfoya21 күн бұрын
Unafanyaje Kazi TRA alafu unaonekana huna uzito kweli umesema fedha zinakusanywa lakini mifuko ni mingi serikali inaambulia kiduchu
@showshowtv185422 күн бұрын
Nenda kafanye kazi yussuf
@richkaja331722 күн бұрын
Samia ugejua mapema wabongo tugekua bali sanaa
@geoufo285822 күн бұрын
Kauli kama hiz ndo tunaitaj Kwa raisi
@lovsply22 күн бұрын
WaTANZANIA HATUNA SHIDA NA KULIPA KODI… TUNACHOTAKA KODI ZETU ZINAFANYA KAZI
@FredrickCharles-bc4fo22 күн бұрын
Nilikua simwelewi ila hapa magufuri kamuacha mtu wa maana mungu akupe miaka mingi mama
@EmmanuelChrispin-bo5xh22 күн бұрын
Kichwa chahabari tu kinatufanya tusiendelee kungalia habariyenyewe kwn si ameokolewa asidate