ROSEMARY MWAKITWANGE KAFICHUA MAZITO. CCM NI AKINA NANI HASA. NANI ANAYE MUENDESHA RAIS SAMIA

  Рет қаралды 7,614

Chanzo Tv Online

Chanzo Tv Online

2 ай бұрын

Пікірлер: 42
@christinenyagiro6662
@christinenyagiro6662 2 ай бұрын
CCM ni jitu kubwa sana ni mafisadi wakubwa sana, Majizi wakubwa sana. Wakina KINANA, MAKAMBA, KIKWETE, WAKINA MAKALA NA GROUP ZAO.
@namsifubwana2152
@namsifubwana2152 2 ай бұрын
Asante sana my sis Rosemary 👏👏👏👏👏🔥🔥🔥🔥🔥
@namsifubwana2152
@namsifubwana2152 2 ай бұрын
Ccm ni kina Samia, Kikwete, Kinana, Mwinyi, Kinana na Makamba. Hizi familia ndo zimetuoigisha magoti watanganyika na wa Znz
@namsifubwana2152
@namsifubwana2152 2 ай бұрын
Baba lao ndo Kikwete😭😭😭 watu wanalia, Watanganyika na Wazamzibar wanalia, yeye ana furaha zote anavyotutesa watz
@xaixaiobrigado4846
@xaixaiobrigado4846 2 күн бұрын
Dada,nakuaminia! Unajuwa K wao sasa wamejuw tatizo ni nini-Zakayo wakamface head on ajabow down!
@user-ii3xo5jw9y
@user-ii3xo5jw9y 2 ай бұрын
wewe ni Mama. Mungu akupe ulimi wa kuneno.
@christinenyagiro6662
@christinenyagiro6662 2 ай бұрын
Mahakama yetu ni CCM tupu. Kwa sababu tulimsikia Rostam ambaye ni katika group la MACCM WAKUBWA WA KUTUONEA
@rebekakulwa6159
@rebekakulwa6159 2 ай бұрын
Ni mafisiyemu kijani
@StephenChama-nh2vr
@StephenChama-nh2vr 2 ай бұрын
Watanganyika hatumtaki mzanzibari
@xaixaiobrigado4846
@xaixaiobrigado4846 2 күн бұрын
Zakayo aka bowdown
@judithmwamukinga4448
@judithmwamukinga4448 2 ай бұрын
Umeme hatupewi bure ila kila MTU analipa hii no biashara kama biashara zingine acha ujinga
@othmarluwawilo8308
@othmarluwawilo8308 2 ай бұрын
Kikwete anayemshauri M
@christinenyagiro6662
@christinenyagiro6662 2 ай бұрын
Watanganyika wote tunafanya kazi na kulipa kodi, lakini wao CCM wanadhani wao na kundi lao la CCM wanajifanya kuwa wao ndiyo wenye kujenga hilo li Tanzania wanalolisema. Lakini ni waongo kwanza MACCM hawalipi kodi ila sisi watumwa wao ndiyo tunalipa kodi na utitiri wa makodi.
@christianmwabukusi8132
@christianmwabukusi8132 2 ай бұрын
Tunafahamu
@abdalahgunda1319
@abdalahgunda1319 2 ай бұрын
Msiangaike ccm lnashimiliwa na kikwete wala msihangaike na group lake na kuwamiliki wakuu wa mkoa ambayo ni wastaafu toka jeshini wala msihangaike wao wanatumia propaganda tuu lakini kikwete ndio msikukilia vyote hivyo kala deal na wazungu na wanaosapoti ccm ni wageni wenye kushikilia rasilimali zetu Sasa mnahaika kuongea wakati kikwete ndio mwenye maono msihangaike kupiga kelele
@hajihassan5433
@hajihassan5433 2 ай бұрын
CCM ni chama cha siasa kama vingine kama hukubaliani nacho achana nacho. Lakini ni upuuzi kudhani kuwa kwa kelele tu CCM itakufa.
@valenakomba7686
@valenakomba7686 2 ай бұрын
HIVI KAMA KUNA NNCHI IMEZARAULIWA SASAHIVI, TANGU AONDOKE MAGUFULI , NI TANZANIA. MAANA IMEKUWA KAMA MJI USIO NA JUMBE.
@ernestwegga6557
@ernestwegga6557 2 ай бұрын
Nani anakudanganya.
@PasicalAmbokileMwakilas-ms2jp
@PasicalAmbokileMwakilas-ms2jp 2 ай бұрын
Kama Kuna mwenyewe uchaguzi was nini
@user-mm6nx4jp2m
@user-mm6nx4jp2m 2 ай бұрын
Huyo ni kikwete
@margarethpolepole7438
@margarethpolepole7438 2 ай бұрын
User wewe Kiboko halooooooo ya Ccm wstabakia tu na kelele za mitandaoni site tunawasikiliza tu wenye nchi yao kwa Familia zao
@chalokalunde9429
@chalokalunde9429 2 ай бұрын
Tupigeni kura wakati wa uchaguzi kuchagua tuendelee na muungano au la.
@hajihassan5433
@hajihassan5433 2 ай бұрын
Na ndio kitu cha kwanza kabla kuzungumzia Katiba Mpya. Kama tuendelee ndio tujadili iwe je.
@emanuelsinyinza
@emanuelsinyinza 2 ай бұрын
Mimi hapa ccm. hatuitaki. Ccm tena ukiona mtu anashabikia ccm ni mlamakombo kupitia kazi .au kwa ndugu hivihivi hamtaona wafuasi hamna watu,hata hatamukiwafuata na. Magari hatuji ccm vyombo vya dora basi sasa katibu kata wa ccm na mwenyekiti wake hawana mishahara niwajinga kiasi gani wakusanye watu kufaidika mfaidike nyiye .wajinga hawo hawapo tena.
@FrankMwakatundu-cu6bd
@FrankMwakatundu-cu6bd 2 ай бұрын
Dada umeongea Jambo la maana sana tena sana, NI LAZIMA TUMJUE CCM ni Nani!!!? Na kama ni Fulani huyu Fulani KATIBA YETU INAMTAMBUAJE? (ANA MAMLAKA GANI KIKATIBA HUYU FULANI)? NINAVYOFAHAMU MIMI, CCM NI CHAMA CHA SISA HAKINA MAMLAKA KIKATIBA KUTUPANGIA NAMNA NCHI YETU TUNATAKA IONGOZWE KWA MAANA YA KATIBA. SASA NI ZAIDI YA MIAKA 35 SASA ETI CCM HAITAKI KATIBA MPYA HAWTAKI KAMA NANI? MADIKTETA, WAKOLONI AU NANI!!? KAMA LIKO JAMBO LINALO BISHANIWA HUAMLIWANA NA WANA NCHI KWA KURA YA WAZI( KURA YA MAONI) WATANGANYIKA BADO TUKO GIZANI!!! HAKUNA WAKUTUTOA GIZANI NI SISI WENYEWE KAMA ALIVYO ONGEA VEMA KABISA HUYO DADA!!! KILA MWENYE AKILI TIMAMU AMECHOSHWA NA CCM, MPAKA HAPA TULIPO INATAWALA KWA MABAVU. AIBU!!!
@margarethpolepole7438
@margarethpolepole7438 2 ай бұрын
Mama unahangaika bure vyama vyenyewe vya Upinzani vyote ni Wasaka Tonge kuishinda Ccm hawawezi
@Ba63828
@Ba63828 2 ай бұрын
Fake questions
@GodfreyOsward
@GodfreyOsward 2 ай бұрын
Ni nani ni sisi wenyewe. Tunajiogopa. Sisi wenyewe.
@Ba63828
@Ba63828 2 ай бұрын
@@GodfreyOsward Dada yangu Mwakitwange anakua kama mhuni sasa kwani CCM si chama kama vyama vingine vinavoundwa na wanachama ambao wana viongozi wao na katiba yao.
@margarethpolepole7438
@margarethpolepole7438 2 ай бұрын
Mama utapiga kelele sanaaaa wenzio wala hiyo Ccm ni ya ukoo siye yetu macho tunachoomba amani tu vita hatuwezi tunaona kwa majirani zetu
@margarethpolepole7438
@margarethpolepole7438 2 ай бұрын
Waende wasiende Mama Ccm itashinda tu nani anataka kupotezwa
@SaidAlly-uh4qw
@SaidAlly-uh4qw 2 ай бұрын
Huyu malaya anaongea nini? Anaacha kuuza uchi wake anaongea pumba
@ZaidAKissinza
@ZaidAKissinza 2 ай бұрын
Acha matusi wewe Said Ally
@aliyageorge6794
@aliyageorge6794 2 ай бұрын
Malaya ni wewe Usimuite dada Rose Mwakitwange malaya. Wewe ndio unajiuza...😂
@ceciliamagalabajimmy4391
@ceciliamagalabajimmy4391 2 ай бұрын
Matusi ya nini?
@user-sl1ko9me7u
@user-sl1ko9me7u 2 ай бұрын
KIJANA HAKULELEWA!
@DevothaLighton-dl6zi
@DevothaLighton-dl6zi 2 ай бұрын
Malaya wewe,chawa mkubwa,na mwaka ujao mtaisoma ninyi
@emanuelsinyinza
@emanuelsinyinza 2 ай бұрын
Wewe said Ally acha matusi wewe ni mjinga kama unalamba makombo ya wajinga wenzako lamba kwa siri watu wamesha badirika
Who has won ?? 😀 #shortvideo #lizzyisaeva
00:24
Lizzy Isaeva
Рет қаралды 66 МЛН
ПРОВЕРИЛ АРБУЗЫ #shorts
00:34
Паша Осадчий
Рет қаралды 6 МЛН
Spot The Fake Animal For $10,000
00:40
MrBeast
Рет қаралды 168 МЛН
MWL, MWAKASEGE: THAMANI YA SADAKA YAKO HAIKO NDANI YA SADAKA, BALI IMANI ULIYONAYO JUU YA SADAKA.
5:54
CHRISTOPHER AND DIANA MWAKASEGE CHANNEL
Рет қаралды 35 М.
UNABII ULIOTOLEWA JUU YA MKOA WA DODOMA ULIVYOTIMIA || MWL CHRISTOPHER MWAKASEGE:
17:53
CHRISTOPHER AND DIANA MWAKASEGE CHANNEL
Рет қаралды 40 М.
#LIVE : 🔴  MKUTANO WA HADHARA MKOANI PEMBA  Julai 29/2024
Makamu Wa Kwanza Wa Rais Zanzibar
Рет қаралды 7
Who has won ?? 😀 #shortvideo #lizzyisaeva
00:24
Lizzy Isaeva
Рет қаралды 66 МЛН