Ukisoma Isaya 32:15, inasema kila mti ni Misitu, peleka Injili achana na kupinga pinga watu, Mzee. Utachoka Sana, kwa kufanya kazinambayo sio ya Mungu. Agizo kuu ni Injili, Amri kuu ni Upendo bro, Ukimpenda Mungu utafanya kazi yake achana na Mambo ya kina Mwamposa.
@EliaEmmanul10 күн бұрын
Mtumishi Mimi na kutia moyo endelea vivyo hivyo Mungu akutie nguvu
@emmymgotta88302 күн бұрын
MR. C. MBONA UNATUMIA NGUVU NYINGI SANA KUMPINGA MWAMPOSA? AISEE UTAINGIA MBINGUNI UMECHOKA SANA.
@ephraimmwidunda71362 күн бұрын
Mhubirini MUNGU, na Mwanae Mpendwa Yesu Kristo. Achana na kuhubiri mapungufu ya wenzio. Mbona wengi wenu m asema ' Mungu ameniambia.. ' Nani alikuona au kusikia ukiongea na MUNGU? 😅
@user-xn3vq1gq3p7 күн бұрын
Mnatupoteza tunaowasikiliza na kutufundisha neno la Mungu.Kila mtumishi afundishe alichoinuliwa na Mungu.Msibadilike kuwa Wana siasa wanaoomba kura.
@gospeltv241512 күн бұрын
Mtumishi mhubiri yesu yakina mwamposa waachie wao
@corrolesscps10 күн бұрын
YESU Kristo ni yule yule Jana na leo na kesho, na Neno la MUNGU wa Mbinguni MUNGU YEHOVA wa Ibrahim, Isaka na Yakobo. Ndie anaehubiriwa na Mwamposa , na MUNGU ni pendo, aliupenda ulimwengu akamtoa Mwanawe Pekeee kila amwaminie ataokoka
@user-kr9xx8br4o9 күн бұрын
@@corrolesscps BWANA YESU AMETUAMURU KUTUMIA JINA LAKE PEKEE (MARKO 16;17) HIVYO YAZIDIYO HAPO NI YA SHETANI.
@LydiaOnesmo9 күн бұрын
@@gospeltv2415 kabisa yaani Yuko busy na kina mwamposa badala atangaze Jina la Yesu Tanzania nzima imjue
@janethesron111110 күн бұрын
Pole acha kuteseka na karama ya mwenzako
@FestoYohana-ll4wk11 күн бұрын
ww siyo mtumishi wa mungu una majungu usihukumu atakae hukumu mungu peke yake
@shadrackjuliuskaboya523911 күн бұрын
Kaka wew kinacho kuuuma nini ya kina mwamposa waachie wenyewe wewe Muhubiri tuu kristo na maisha mengine mbinguni niushauri wangu tuuu*
@bethmahela21824 сағат бұрын
Sijawahi kumuona huyu pascal kasian,akihubiri naona aanawapinga watumishi wa mungu,mungu akusamehe tu
@MoksMokah9 күн бұрын
Ndugu Mwamposa we are together I'm Emmanuel from Mombasa Kenya.🇰🇪🇰🇪🙏
@pastorsthenksrojaskapunga684314 күн бұрын
Zaburi 30:3 [3]Umeniinua nafsi yangu, Ee BWANA, kutoka kuzimu. Umenihuisha na kunitoa Miongoni mwao washukao shimoni. O LORD, thou hast brought up my soul from the grave: thou hast kept me alive, that I should not go down to the pit.
@user-jl5un4wf3u14 күн бұрын
Hakuna binadamu.awezaye kukuombea ili Mungu afute maovuyako isipokuwa wewemwenyewe kujiombea kabula yakifo chako. ndiyo maana hataka bulayakifo chaYesualijiombea yeye mwenyewekabula yakifochake kwakuwa yeye duniani hakuwanataji la uunguali alibebeshwa madhaifu ya binadamu ili kujumuikanao.
@YOSHUAMWAMPETA12 күн бұрын
Nakushauri ACHA KUWAZUNGUMZIA WATUMISHI WENGINE, FANYA KAZI ALIYOKUPA YESU Walete watu kwa Yesu kwa KUWAFUNDISHA WATU WOTE WAMJUE YESU NA KUDUMU NDANI YA YESU KRISTO WA NAZARETI.
@LydiaOnesmo12 күн бұрын
Kwakweli kabisa yaani Mimi ananikela saana Yuko busy to kuchafua watumishi,
@LydiaOnesmo12 күн бұрын
Kwakweli kabisa yaani Mimi ananikela saana Yuko busy kuwasema vibaya to unajua Mtu Mara nyingi aliyeshindwa hutaka kufanya na wengine washindwe to
@Kamkono12 күн бұрын
Ni kweli kila siku anatufundisha Mungu wa MWAMPOSA, atufundishe Mungu wake. Mimi binafsi siamini kama ndicho alichotumwa na YESU.
@LydiaOnesmo12 күн бұрын
@@Kamkono nakwambia wewe Acha to Ndo hivyo atuoneshe Mungu wake kafanya Nini Juu yake na kupitia Yeye na Kwa wengine Huku anapopasema kila siku shuhuda ni nyingi saana
@Pendopasilika12 күн бұрын
Kweli sikio la kufa halisikii dawa
@user-bz5ti6op6z12 күн бұрын
Wewe mwenyewe tutakuamini vipi
@renatus568710 күн бұрын
Wewe nae c li ombaomba tu unafikitu tu wakusema wengine kila siku si ufanye yako au unajikuta mungu wa duniani Fanya kazi uombaomba tu
@OnesmoDenisКүн бұрын
Hivyo hubiri utukufu wa mungu siyo kuwasema watumishi
@user-ut8pq2uj7v14 күн бұрын
Asante yesu Kwa kunipa Neema yakujua maandiko nifunike Kwa dam yako takatifu na family Yang yote ili tuje kwako tusiufatishe namna ya ulimwengu uendavyo❤
@Visionofeagle968914 күн бұрын
Yesu na sio yesu✊
@MoksMokah9 күн бұрын
Ev.Paschal we are together, I'm Emmanuel from Mombasa Kenya.🙏🙏🇰🇪🇰🇪
@norahfrankКүн бұрын
Sijui kwann Wakristo tunapigana vita kiasi hiki Ee Mungu
@evodiajohn79918 күн бұрын
Muhubir Yesu achaaa kuwasema watumishi wa Mungu.
@DutoEmanuel2 күн бұрын
Mwambie yesu akuongezee salio
@user-xn3vq1gq3p7 күн бұрын
Ewe mtumishi hubiri ulichoitiwa na Mungu, msichafuan
@christinenyagiro666211 күн бұрын
Shetani hana nguvu kufanya miujiza zinazotendeka katika kanisa la Mwamposa.
@JaneDaimon12 күн бұрын
Nawewe fanya Yako acha kumzunguzia mtu mwinzio
@YuenPonsiano11 күн бұрын
Usiogope mungu akulinde
@GilgariMinistryTanzania10 күн бұрын
Mbwa ww
@JajiZakayo-fw9mk12 күн бұрын
Mtumishi mwema ni mzee wetu Mwakasege mwenye busara ya Mungu hajawahi kugusa huduma ya mtu mwingine na kama una ujasiri wa kupinga mbona ujawagusa waislamu na hali unajua ndio wapinga Kiristo kumbe wewe ni muoga wa kufa unajua wakiristo ni wapole na wanyenyekevu wa moyo shambulia waislamu kama kweli una ujasiri wa kimungu
@eligiuselias446912 күн бұрын
Aliye lwambia wapinga Kristo ni waislamu tui?. Je Kristo alipingwa au kukataliwa na waislamu?
@Pendopasilika12 күн бұрын
Mpinga kristo anaweza akawa mkristo au mwislam husomi biblia? We unafikili waislam wote hawaendi mbinguni wapi watakao kwenda nikama vile wakristo wapo ambao hawatakwenda na wengine wataenda waislam na ni taifa ambalo MUNGU alimbalikia Ishumail mtoto wa Ibrahim Alie zaliwa na msichana wa kazi kwa hiyo mpinga kristo niyule anaepinga mafundisho ya YESU na kufuata mafundisho ya shetani
@user-kr9xx8br4o11 күн бұрын
@@PendopasilikaMBINGUNI HATUONDI KWA DINI BALI KWA NENO LA KRISTO. MARKO 16::16 AAMINIE NA KUBATIZWA ATAOKAKA, ASIYE AMINI ATAHUKUMIWA. YOHANA:3:5 YESU AKAJIBU, AMIN,AMIN, NAKUAMBIA MTU ASIPOZALIWA KWA MAJI NA KWA ROHO HAWEZI KUUINGIA UFALME WA MUNGU. WALA SIYO SINI HIYO, BALI NI WOKOVU. UNAPASWA KUOKOKA.
@Pendopasilika10 күн бұрын
@@user-kr9xx8br4o Ni kweli tunakwenda kwa njia ya wokovu ambalo ni neno la kristo lakini je? Na kwenye hizo keki mie naona hiyo ni miujiza ya kipepo MUNGU akubariki
@user-kr9xx8br4o10 күн бұрын
@@Pendopasilika IBADA YA KUMUABUDU YESU KRISTO HUFANYIKA SAWASAWA NA NENO LA KRISTO. AMBALO LINATUAMBIA KUTUMIA JINA LAKE PEKEE. YOHANA 14:13-14 YOHANA 16: 23 YOHANA ; 16:26 (Soma) YAZIDIYO HAPO, YANATOKA KWA SHETANI. 2WAKORINTHO 11;14 (Soma) Neno linasema; Mwisho wao utakuwa sawasawa na kazi yao.
@orsolinaleonsminja643618 сағат бұрын
Mimi ni Mkatoliki na Nina amini Sana mafundisho yanayofindisha kabisa Katoliki la Roma, hakuna WA kutoa huko. Imani yako ndiyo inayokuponya.
@user-hv7hi6tk9e2 күн бұрын
kama kweli Mungu tunayemwabudu yupo hai na aishi tumwachie yeye atoe hukumu ya haki huwezi kuhukumu maana hata ww mwenyewe unatumika.kuwachafua viongozi wenzako huewezi kuhubiria watu habari za kanisa lingine Mwache.Mungu mwenyewe apitishe Mundu kuvuna ngano na magugu ww una jicho lipi la kufichua uovu wa wenzako?
@gracenelsonmutalemwa9 күн бұрын
Anae hukumu siku zote ni Mungu pekee usimuhukumu mwanadamu mwenzioo.
@AlexJohn-j9j11 күн бұрын
Tufundishe basi mungu wako,acha kufuatiria Imani za watu,
@MadollartzMadollar8 күн бұрын
Mungu awe nawe
@JastineValentine9 күн бұрын
Ubarikiwe na bwana
@samsonphilipo715313 күн бұрын
Hata ukiwazungumzia unapoteaa muda kwasababu MAANDIKO yalikwisha tabiri manabiii wa uongo au watumishi wa uongo watakuwepo so huwezi kulizuia ,wewe unachotakiwa wafundishe watu kweli ya NENO la Mungu ,wamjue Mungu only that,Yesu NDIE atakayehukumu siku ya mwisho
@salimucvales749513 күн бұрын
Wewe lijinga pumbu ndo walewale
@remigiusrwechungula704712 күн бұрын
Fact, afundishe kweli yake, asitumie muda wake wote kuwa ATTACK hawa watu.
@ConfusedChicken-ze9fz11 күн бұрын
Kama Mwamposa atumiwi na Mungu na miujiza inayotendeka kwenye ya arise and shine ni feki basi nyie mliowatumishi wa kweli fanyeni basi hiyo miujiza ya kweli tuone na kama hamwezi
@ConfusedChicken-ze9fz11 күн бұрын
Nilichogundua watumishi wengi wanaoshambulia wenzao wana Roho ya kifarisayo misishangai kuona watu kama hawa mm nashangaa sana badala ya kuhubiri injili wanahubiri mambo ya watu oh yule hivi oh yule vile is that a gospel? Biblia inasema kwenye matendo ya Filipino alishuka Samaria napale Samaria palikuwa na mtu mmoja mashuuri jina lake aliitwa Elima mchawi aliwashangaza watu wengi kwa uchawi wake lakini siku moja mtumishi wa Mungu alipokuja Mungu akamtumia Filipino kwa miujiza mikubwa sana watu walifunguliwa sana hata yule .mchawi akaonekana si kitu kwahiyo na hawa watumishi wanaoshambulia wanatakiwa kuudhiirissa za Mungu kama na kama hawawezi basi wakae kimya wasitabishe watu wakati wao hawawezi kuwasaidia
@lulumatawalo780511 күн бұрын
Watu wamechoka na story wanataka kumuona Mungu anayetenda,anayeponya, mtenda miujiza.Yaani wewe umejifanya Hakimu? Mungu akusaidie.Hivi ,kama ni nguvu za giza si umepewa mamlaka ya kuziharibu ? Vita vyetu si juu ya damu na nyama,bali ni juu ya falme na mamlaka juu ya.........Sasa ukiona unakemea bado vimesimama na vinastawi!!!Kaa ujitafakari
@wakywenaky367411 күн бұрын
Tangu umeanza kuwasema wenzio vibaya sijaona hata mmoja amekujibu ,wala hakuna aliyeanguka ,kaka fanya yako mwenye mamlaka ya kuhukumu ni MUNGU,huo muda unaopoteza kujisifa na kuwaponda wenzio ungewekeza sana kuombea watu wamjue huyo MUNGU wako
@MoksMokah9 күн бұрын
You are right
@JasminMneney7 күн бұрын
Kweli kabisa ndugu yangu@@MoksMokah
@MahraKhan-gd7pb13 күн бұрын
Watu wametekwa ufahamu watu wanahitaji ikomboz wa fikra YESU atusaidie kujua neno lake na kupata maarifa ya neno lake
@JosephineWiliam21 сағат бұрын
Fuata ulichotumwa Na huyo Mungu wako Acha kelele zako
@MeshackMlyanginu4 күн бұрын
Cassian unaongeaga kwel kabisa lakini usiwahukumu hao wengine ucje ukahukumiwa Ila ukweli Xana kuhusu mafundisho yako
@SophiaMeizon-kq3bp7 күн бұрын
Mungu awape hekma watumish wake waihubr kwel ya Mungu na sio kufata Oman potofu, swez mzungumzia mwamposa sabu sjamfahamu kiundan zaid, ila wateule kuwen macho hz ni Siku za mwisho shika sana ulcho nacho asje mtu kukunyang'anya
@njelenjetv13 күн бұрын
Yaani mpaka umtaje mwamposa ndio Kiki yako pole sana
@johnmalembo646413 күн бұрын
Anafunua uovu unaotendwa na mtu.... Mwaposa ni mtu....
@user-kr9xx8br4o11 күн бұрын
UCHAWI NI KITU KIBAYA
@JumaAbdallah-c3t5 күн бұрын
we nawewe unaitaji musada was mwamposa sema hujui😂😂😂
@deusntobi668212 күн бұрын
Unaishi kwa sababu ya mwamposa,Mshukuru yeye kwa sababu ya anakufanya ule.
@user-kr9xx8br4o11 күн бұрын
UCHAWI NI KITU KIBAYA, KINAKERA SANA
@beinafuu62198 күн бұрын
Mnaumia sana mbona jaman
@user-zu7zs3fe7k6 күн бұрын
Wew utateseka sana,achana na kalama za watu utafika uendapo umechoka
@theresiamateru64267 күн бұрын
Watu hawana Imani na Mungu sasa hivi Wana imani kwa hawa manabii wa uongo wanaojitokeza kila siku
@frankmwinuka3413Күн бұрын
Sasa hivi makanisa mengi yamepoa. Kanisa likipoa linasifiwa sana kuwa hilo ni kanisa la Mungu. Mapepo yanawavamia waumini yanawatesa na wengine kuwaua, kanisa halichukui hatua. Hii inapelekea waumini kumiminika kwenda kwa watumishi wenye upako. Njia rahisi kabisa ya kuzuia waumini kutangatanga ni kutumia nguvu kubwa kuombea mahitaji yao kama kuwaombea wagonjwa, kutoa pepo, kuvunja laana n.k. Leo unamsema Mwamposa lakini nina uhakika miongoni mwa waumini wako, huwa wanaenda kisirisiri kuombewa Mwaposa anapokuja. Watu wanajaa kwa Mwamposa kwa vile wakiombewa maombi yanajibiwa. Kwenye makanisa yao kama shida zao zingekuwa zinajibiwa wasingehangaika kwenda kwa Mwamposa.
@mashakalupindo4 күн бұрын
Unamatatizo ya kiroho ndugu yangu
@CountryWizzy-zn4iu6 күн бұрын
Acha majungu usimchafue mtumishi wa mungu. Fanya miujiza ya mungu wako tuone.huna lolote
@elijohofficial104913 сағат бұрын
yaani umekosa content mpaka umeamua kuweka huu uchafu acha njaa piga kazi
@SadokizeTz9 күн бұрын
WE JAMAA SIJUI UKOJE, KAZI YAKO KUWAANDAMA MANABII TU, MBONA WAO HAWAKUSEMEI WEWE
@dianamutachuba136913 күн бұрын
Chonde chonde naomba tusiwaseme vibaya Watumishi wa MUNGU Bado tutajikuta tunaingia dhambini
@Emmanuel-cp1no13 күн бұрын
Watumishi wa Mungu wamepewa mamlaka ya kukemea pale mambo yanayoendana sivyo
@evodiajohn79918 күн бұрын
Mungu akuongoze MTU wa Mungu
@SifaelaYoram8 күн бұрын
Bwana yesu asifiwe,,,,kila anayetazama hizi clips na kumsikiliza asome,injili ya mathayo 7:1 na kuendelea usihukumu usije kuhukumiwa
@EdwinAmbakisye-li4zq6 күн бұрын
Wewe hubiri neno .Acha .mwamposa achape neno watu waokoke
@JasonIzidory7 күн бұрын
Kweli ya MUNGU inahitakika katika jamii.
@SaruNyanda-ho8bk12 күн бұрын
Unatumia Kiki ya mwamposa
@LydiaJoseph-q4w6 күн бұрын
Maandiko matakatifu yanasema usihukum usije hukumiwa mtoa hukum ni Mungu peke ake
@KwintachachaMelkior6 күн бұрын
Siku za mwisho watatokea manabii wa uongo kila mtu asimame mwenyewe
@FestoJemsi-lr8pw13 күн бұрын
Pole ata neno Huna
@bartinkahenga119613 күн бұрын
Wewe ndio upewe pole, Hata akili za kuazima hauna
@user-wg2gd2nl6c14 күн бұрын
Keki za upako halafu anataka sadaka. Zawatumishi. Sasa kwanini ajiombee mwenyewe apate pesa
@SamsonErenest-hv3xy10 күн бұрын
Umesema baba Shida tu watu Hawataki kuambiwa ukweli
@SophiaMeizon-kq3bp7 күн бұрын
Nakuelewa sanaa
@MaryKalunde7 күн бұрын
Na wakwako yupo wapi? Mbona haumuonyeshi wako ?
@feddymwanga54628 күн бұрын
Tumwachie Mungu vyote ni imani
@gladnesstibuhinda58415 сағат бұрын
Huna lolote ndo Mungu kàkuita uhubiri hayo?
@SaruNyanda-ho8bk12 күн бұрын
Huyu jamaa kwa killed tu anaweza
@prosperthomas886411 күн бұрын
ww huna marifa kaziani unahubiri mandiko na sio kweli ya mungu huenda ww ndiyo nabii wa uongo mbona naww unataka pesa ushindwe kwa jina la yesu
@FredMhango-zj7gz11 күн бұрын
Ndy maana mke alikukimbia maana akili kama za mbuzi hv huwezi kuhubiri bila kuwataja watumishi wengine? Kutekwa kunakuja
@EliyaAdam3 күн бұрын
acha kuhukumu ndugu lima mraba wako ujaitwa kuhukumu watu
@OnesmoDenisКүн бұрын
Wewe nimtumishi kumbuka kuwa hakuna dhambi kubwa kama kumkufuru roho mtakakifu
@Visionofeagle968914 күн бұрын
Keki za upako jamani😂😂
@ElizabethJustine-sm1kt9 күн бұрын
Imani yako italuponya
@ADVENTURE-vs1zb8 күн бұрын
Tapeli anamfichua tapeli mwenzie
@FelicitaTakimazi-pl2ne7 күн бұрын
Huna maarifa pastor kachaji kichwa
@MouriceJefa-cg1lb7 күн бұрын
Lydia uko sawa mwambie kweli huyu jamaa hujielewi
@feddymwanga54628 күн бұрын
Hebu tukwepe mambo ya chama tawala na vyama vya upinzani katika mambo ya Imani
@user-pt6sr6fb9z9 күн бұрын
Usipende kusema watu
@SifaelaYoram8 күн бұрын
Mim nilitegemea utahubiri injili ya kuwarejeza wenye dhambi kwà Yesu kristo lakin nasikitika kuona mahubir mengi ni ya kuwasema wengin,,,,kibiblia hiyo pia si sawa
@MteiTheresia10 күн бұрын
Wewe hicho kinyago unachokiita mungu waMwamposa ulikutana nacho wp. 5:48
@athanase8412 күн бұрын
Utoto tu mbona paulo katumia tambaa kwani kafundishwa nani uliwa kumsikia Yesu kasema tumia kitambaa ? Pili hata hujielewi unashindwa kutofautisha kati ya INJILI na utendaji kazi katika mwili wa Kristo, MSINGI NI INJILI ila namna ya utendaji kazi si injili ila ni maagizo tu ya kiutendani
Watu wanapelekwa kuzimu wazima wazima na mwamposa lakini hawaon shida yote ni sababu ya miujiza feki awape keki wafanikiwe kimaisha Ee MUNGU tusaidie watu wamechoka kusubili baraka zako Baba wafungue macho wapate kuona yanayoendelea
@JasonIzidory7 күн бұрын
Je maji au mafuta yaweza kukupeleka mbinguni????
@FelicitaTakimazi-pl2ne7 күн бұрын
Maria hakua nadhambi
@GradnessMuba-y7y7 күн бұрын
Wewe Kama Nani Mungu ndiye hakimu tumuonemungu wako anaetenda miujiza muache nwamposa
@lameckwilliam831111 күн бұрын
Yaani wewe bila mwamposa na GeoDav huwezi sikilizwa wapelekee sasa na sadaka ya kuwashukuru
@samsonphilipo715313 күн бұрын
Madhabahu ni kwaajili ya kumzungumzia Yesu kristo pekee yake na sio kumzungumzia mtumish yeyote,watumishi wa Mungu wapo na WA shetani wapo USIPOTEZE MUDA kuwajadili watu kwenye madhabahu Bali tumia madhabahu kujadili mambo yahusuyo ufalme wa Mungu
@FestoJemsi-lr8pw13 күн бұрын
Muurize humuelewi usiogope mfwate what'sapp yupo hapo kwaajili Yako
@YOSHUAMWAMPETA12 күн бұрын
ANAGOMBANA NA MUNGU
@ElizabethMubanga-mn1np12 күн бұрын
You too you are not fair
@samsonphilipo715312 күн бұрын
@@ElizabethMubanga-mn1np ni USHAURI tu nimetoa sijamzungumzia mtumish wa Mungu yeyote vibaya
@helbalchota941711 күн бұрын
Hata ninyi hamjuw asipotaja watu watajuwaje kuwa wamepotea Iv huwa mnasoma biblia gan?maana huwezi kusoma au kutumia biblia bila kutaja watu?
@esterkessy4304Күн бұрын
HUBIRI NENO LA MUNGU ACHA KUWASEMA WATUMISHI WENGINE. ANAYETOA HUKUMU NI MWENYEZI MUNGU TU
@user-vn2fo3sx2w13 күн бұрын
Wewe kelele Yako hauna upako bwana usiseme watu onyesha nguvu za mungu wako jibu nguvu Kwa nguvu usijibu nguvu Kwa maneno yesu Ali SEMA yaacheni magugu na ngano vimee pamoja yeye anae jua Gugu nilipi na ngano niipi atango yeye wewe hujui nyamaza
@jescarwegoshola175412 күн бұрын
Umeona,wadhihirishe huyo Mungu wao wakweli ,matendo yao yenyewe unafiki mtupu,acha akina Mwamposa watoe keki ya upako maana Yesu alisema tukiamini tutatenda zaidi ya alivyo tenda ndo km hivyo watu wanakanyaga mafuta magonjwa kwisheni 😄😄😄😄👍🏻🤝
@user-vv8nn8qx3w9 күн бұрын
mbona unaomba omba mnafiki mkubwa
@thefinalstand202212 күн бұрын
Mguse Domnic Kiboko ya wachawi uonje joto lake.... yeye siye mpole kama akina mwamposa... Tekenya tu kwa Domnic kidogo kama wewe kidume wa Yesu!
@jackmabirangacharles939811 күн бұрын
Umeona
@pastorprospermlembasayunip50011 күн бұрын
😅
@nervashonza58711 сағат бұрын
Kwahiyo wewe umepewa karama ya kuhukumu hapa duniani? Nikushauri muhubiri Mungu na cyo kuleta masimango kwa watumiaji wenzio madhabahuni
@olivermfinanga93873 күн бұрын
Anapga kelele kuwaponda wenzke kumbe na yy anataka kuw na kanisa lake 😂😂😂😂utapel tu so roho inamuuma mwamposa anavopga pesa 😂
@SaruNyanda-ho8bk12 күн бұрын
Huna kitu chochote
@KenzoTheboy10 күн бұрын
tafuta hela acha kusema sema hovyo🤪🤪🤪
@bloodofjesus754213 күн бұрын
Mwana wa MUNGU uwe unapost na shortclip hii inaweza kuwasaidia vijana wale wanaoshndag mtandaoni ipo siku Mungu atasem nao kupitia hizo short ktk kuperuz
Usimuhukumi mtu, Kwamaana anayetakiwa kuhukumu ni Yesu pekee, kama mtu umeona mahali hapakifai inuka taratibu uende. Muombe Yesu na wewe akupe karama iwe uweze huokoa watu, kiroho na kimwili.
@judithtitomalyeta400022 сағат бұрын
Fanya lako mtumishi acheni roho za wivu roho mbaya tuacheni tunayemwamini nyie mnojifanya ni watu wasahihi hutusikii hata misaada Kwa yatima
@FestoYohana-ll4wk11 күн бұрын
kiukweli unachukiza unauhakika gn kuwa mwamposa hamtumikii mungu acha zak tumechoka mahubili yako yakukachifu wenzio huduma yak yenyewe haieleweki
@joshuarwechungurabe763312 күн бұрын
Kwani we uduma yao inakuhusu nini ikiwa Mungu mwenyewe anawaona na hana ugomvi nao,we fanya sehemu ya uduma uliyopewa acha kupambana na uduma za watu tukiona cha kwako tutaachana nao afu tutakufuata wewe
@user-kr9xx8br4o11 күн бұрын
UCHAWI NI KITU KINACHOTIA HASIRA
@user-vv8nn8qx3w9 күн бұрын
Mnafiki mkubwa kua.na shukulani.kumbe.kama.ww.hukujitibu.ww.ulikua.unalia.kwend