Nyumba nzuri bana acheni wivu, simpendi Mwijaku lkn amepiga hatua sana
@MultiMbongo6 ай бұрын
Kweli nyumba ya peter msechu ni nzuri sana,hii ya mwijaku kama ofisi ya chama Cha siasa
@princekarani78366 ай бұрын
Ukweli ndo uho ile nyumba ya msechu ni kali kinouma nouma,na inawezekana million 100 ikawa inafika coz decoration zake ni moto wakuotea mbali mzee
@abednegochija-uf3ey6 ай бұрын
We unayo? Mungu amsaidie kambarik sana achen chuki zenu kigoma champion boy mwijaku anapambana sana hongerah sana 💯💯💯💯💯💯👍👍👍👍🙏🙏🙏
@zaburi23866 ай бұрын
@@princekarani7836kaka milion 100 sio nyumba ya vile Ile ya msechu ni zaid ya milion 800
@babatidaawa65506 ай бұрын
Ahahaha
@diasalicastro53536 ай бұрын
Milion 100 Hela ndogo sanaaaa
@allykayanda69306 ай бұрын
Nyumba ya mwinjaku ni kali sana sana ,bonge moja la mjengo....huo ni wivu tuu
@user-il1kv9zv9j6 ай бұрын
Kweli doto magari nyumba ya chini ilio changamuka kweli kabisa.
@khalidballeth59576 ай бұрын
Mwijaku noma saana,,,,Ati alifikiria kumpa chumba DOTO kile chumba cha mlinzi wake Matias
@lovemusicnoreen91856 ай бұрын
Dotto kongea FACTS kuna watu wamejenga tena watoto wadogoooo mnoooo na midomo iko kimya tena mijumba haswaaa sema doto na nyingine zimepangishwa twala kodii tuu mwaka wa 4 sasa lak 5 5 kwa mwezi wapangaji 5 na bado real estate inaendelea mpk tufike 40s....... Wtu washasahau kujenga.doto bana eti kaja mganga😊😊😊😊😊😂😂😂😂
@user-gy7mk8ur1f6 ай бұрын
Peter msechu nyumba kali sana
@hemedjackson22616 ай бұрын
Yaan ujing maish y bongo unajenga nyumb unaalik watu kweli 😂😂😂 uko sahihi doto
@KassimAlly-xp4dz6 ай бұрын
Yule ni star maarufu ili azidi kujulikana lazima afanye ivo
Kila nikijaribu kumskiliza huyu jamaa nagundua anaongea zaidi kuliko akili zake zinavyofanya kazi😮
@CelinCelineort6 ай бұрын
😅😅😅 htr
@marcoeliezer22076 ай бұрын
Mwijaku ameamua kujenga shule kaanza na madarasa😊
@shabanikitula6456 ай бұрын
Nampenda doto hana mambo mengi kaka huyu Mungu amtie nguvu
@edwardtrigga57016 ай бұрын
Ila uwa Kuna watu uwa ni vichaa na mahaba yatawaua yaani huyu kichaa ndo unasema hana mambo mengi au akili yako haisomi
@Mumewangu6 ай бұрын
Hongera mwijaku anae kuzarau ni wivu na choyo tu
@suleimansaid26336 ай бұрын
Nakuaminia Doto unasema kweli
@constanciapeter24976 ай бұрын
Hapo dotto umepigwa za Usoo😅😅😅.. umri wako ni mkubwa kuliko adui zako... yaani bado unamawazo ya urithi?!!!😅😅😅😂😂😂
@mbanga67596 ай бұрын
Jamani muwe wakweli nyumba nzuri sema hamumpendi na mawavu tu
@bakariomari87586 ай бұрын
Yaani watz wanawivu dah
@bakariomari87586 ай бұрын
Yaani watz wanawivu dah
@bennamush46166 ай бұрын
Hawa wanajuana Wala hawanaga shida 😂
@user-ch2it3qt5z6 ай бұрын
ila bongo Rahaa Sana 😂 et nyumba ya chini iliyo changamka😂
@Nalitumpaboy-dm4tk6 ай бұрын
Mwingine ety nyumba yenye ngazi na sio ghorofa😂😂
@abubakarsuleman19836 ай бұрын
Doto ukija canada please tuonane bro.
@Barakatabudul6 ай бұрын
Mama Kizimkazii na Hapa ipoo!😂😂😂😂
@hallin95616 ай бұрын
nyumba ya msechu ndio top. naipenda mpaka kufa
@bennymochiwa48006 ай бұрын
Jenga yako na ww uwipende
@AdenAdiliano-rh8zf6 ай бұрын
Unaipenda ya kwako Jenga ya kwako nyau wewe
@melanialeonard40316 ай бұрын
Eti unaipenda😂😂😂😂
@bennamush46166 ай бұрын
Ewe Mungu tujalie na sisi tujenge tuache kisifia tuu nyumba za watu
@zerochanneltanzania37976 ай бұрын
Watu awaelewi kinacho endelea. Talent industry imekuwa ikichukuliwa poa sana. Talent industry (music, movie, utangazaji , art, dance, film, photography n.k.) imekuwa ikichukuliwa kama kitu fulani “by the way”….so its time kuwaonyesha watu kuwa industry hii inalipa vizuri tu. Na inawazidi wote ambao wanajifanya wanaela kumbe mikopo inawazonga.
@hansperson10126 ай бұрын
Kama ulishawai kuiona nyumba ya Peter msechu Basi mdomo mdomo wote utaisha hapa
@erickchitumbi13086 ай бұрын
😂😂😂😂doto hutaki kuumia akili yako😂😂😂😂
@user-tm8lq3rc1l6 ай бұрын
Tanzania nitaipenda hadi kufa jamani yaani uchawa ndo habar ya mjini
@user-zb2mj5nd5g6 ай бұрын
mzaramo yeyote hana vibe na mijengo, nyumba yamzaramo banda la uani kwahiyo hapo mnapoteza muda wenu bure kumhoji Dotto kuhusu mjego,
@AwaziRajab6 ай бұрын
Mimi Sioni Kama Doto Yuko Na Zalau Nachoona Apo Jamaa Anajua Aibu Ya Mke Kukwambia Baba Mwenye Nyumba Anadai Hela Yake Ni Aibu Kubwa
@Tiffany3406 ай бұрын
😂😂 zile ofisi za chama,nyumba inajengwa vile we uliona wapiii🤣🤣
@GodfreyJames-zt6ig6 ай бұрын
Acheni wivu nyumba ni nzr sana Sema nyie wivu unawatafuna mjengo wake mzr uko sawa wivuuuuuuuuu
@mwakiosalim29146 ай бұрын
Dottooo😂😂😂 kaja mganga😂😂 unachekesha sana😂😂😂😂
@jamesbilafumba69026 ай бұрын
Hiyo ni kawaida kwenye maendeleo, huwez sifiwa na wote
@CelinCelineort6 ай бұрын
sanaaaaaa
@jokhaynamohammed6 ай бұрын
Hahaha kaka doto hapana bwana hapo umebugi mwijaku kafnya jmbo kubwa jmn apewe mauwa yake
@gibsonjosephat63526 ай бұрын
Kwa alichokisema Mwijaku kwa kuwaponda wenzake ndipo alikosea wakati wapo wenye nyumba kubwa na nzuri kuliko yake. Uwanja pia ni Mdogo Sana. Aristote tu ana bonge la jumba Bunju.
@sidikassim67596 ай бұрын
leo nakukataa doto bro hpo umeongea unafki na wivu kka
@awadhally10526 ай бұрын
😂😂😂kwel kabisa wivuu huo
@user-qh3hb1tp8r6 ай бұрын
ÇloudTV ni TV ya linings sana huwa sipotezi muda muda kuangalia
@bakariomari87586 ай бұрын
😂😂😂 Eti doto mrefu kuliko gorofa la mwijaku
@mwakiosalim29146 ай бұрын
Banda la jiwa🕊🕊😂😂🕊🕊
@rerisamba6 ай бұрын
Wivu mbaya kweli
@minnahhers74376 ай бұрын
kila mmoja na anavopenda ..hata vyumba 2 ni nyumba tu
@user-wq2fh5rx4s6 ай бұрын
Ww mwehu kila ck mama kizmukz sukal kg 4000 unalopoka use
@saidahmad55596 ай бұрын
Kwa hyo unataka upewe bure
@user-ue6pq8zl3s6 ай бұрын
We mwenyewe Huna nyumba kama ile asa unapondaje we yako ipo wapi?
@user-ti6wm7hy5b6 ай бұрын
Hahaha 😂😂😂😂😂 Dotto umeniacha hoy kumbe Bado upo kwenye chati kijana wangu
@medidaudi83356 ай бұрын
Chawa mpya
@beautyafrica2546 ай бұрын
Mm namshangaa sana mwijaku na kiki zake ,hiyo nyumba ni ya kawaida mbona kiki sana au ni ushamba
@KassimAlly-xp4dz6 ай бұрын
Sio ushamba yule anatafuta content ili azidi kutajika kwako inaweza ikawa ya kawaida lakini kwake ni hatua kubwa sn na ametuonesha ili 2zidi kumzungumzia kama hivi sasa
@sidikassim67596 ай бұрын
aah hpo bos wngu doto leo nakukataa leo unaongea sivyo lile jengo tukutae tukubali
@MbossoMbosso-rw4ox6 ай бұрын
Anachokisema doto n kweli kigambon Kuna mijengo w a mwijaku ukasome na uwa awayangaz I kuwa nmejenga xo😂😂😂😂😂😂
@edgerza37546 ай бұрын
😅😅😅gea aache kaz
@user-qw6tt4zn3e6 ай бұрын
Msechu katisha sanaaa
@kisjohn34356 ай бұрын
Wivu ni mbaya sana haya endelea kulala chooni
@zachaamaster53786 ай бұрын
bola mwijaku kuliko ww una olala kweny vuru
@user-ys8dv8lk7k6 ай бұрын
Onyesha yakooooooo sasa
@HappyForestTrees-gc6hs6 ай бұрын
Ss acheni kusifia watu fanya kazi ujipe heshima bila kusifia watu
@nafuwswedi24656 ай бұрын
Tanzania yangu mweee😂😂
@alhadkatundu21426 ай бұрын
Gea habibu maji ya jioni😂😂😂😂😂
@muyangetv6 ай бұрын
Tuoneshe Yako sasa
@user-qu1dz2ed1b6 ай бұрын
Nimekukubali dotto .magari hiyo imeeenda
@user-mz2mr4ib2o6 ай бұрын
Una ndangu yakuto kujenga dototumeshajuwa ukweli
@edwardtrigga57016 ай бұрын
Wanaume wa dar bana uwa sijui akili hamna alafu kuna watu wanasema dotto ana akili kweli!?? Mtu anaishi ukweni na haoni ata aibu
@user-sd8jz7zj2l6 ай бұрын
Ule mneeeneeee hhh
@mrsinia30646 ай бұрын
ila waja wana maneno...ama kwer wivu mbaya sana tutafute hela vijana tuache makasiriko
@mwanaidmaulid47636 ай бұрын
Kiusingiziii😅
@deogratiusndunguru76366 ай бұрын
Ni bora angejenga nyumba ya chini lakini kali,ila ukweli sio standard kiasi cha kuita media
@bennymochiwa48006 ай бұрын
Acha wivu we fala, Babako kajenga nn ??😂😂
@deogratiusndunguru76366 ай бұрын
@@bennymochiwa4800 kumbuka hapa tunatoa maoni,kila mtu na maoni yake,kwa mimi niliyejenga hapo hakuna nyumba y 1.3billioni,so point ni kwamba ni nyumba ya kawaida sanaa tena sio standard kabisa
@ismailimpaukha27736 ай бұрын
Wapake haoo una usemi wako awashibi mpaka wapinde mgongo😂😂😂😂
@moseskulola69136 ай бұрын
Dotto anaakilisana mwijaku hajanfaya kama mwanaume
@edwardtrigga57016 ай бұрын
Kweli wajinga ni wengi Sasa ana akili Gani teja huyu anaishi ukweni
@ismailimpaukha27736 ай бұрын
Karibu Canada na aap ipoo ninjaa
@mnaromajengo91556 ай бұрын
Tatzo akili zetu zpo kwny gorofa tuu nikali Peter msechu nyumba kali sanaaa ila Mwijaku alikuwa naharaka
@user-qu1dz2ed1b6 ай бұрын
Niakukubali saaaana😮😮😮
@happynkya97706 ай бұрын
kusema ukweli mwijaku kakosa tu la kuongea kwa peter msechu,maan binafs yangu naona kwa msechu ni pakali kuliko kwa mwijaku
Tuonyeshe ya kwako iliyochafua kiwanja,kweli mmekereka
@morjanoman51816 ай бұрын
Tumewajua mmepatakiki za kula mb zetu povulinakutoka na jasholameno latiririka nawewe unaakiri unajisnika mtandaoni kumponda mwanaume mwezio mishipayashingo imekusimama kama umepigwanashoti ya umeme😂😂😂😂😂
@elianifammari32126 ай бұрын
Yako iko wapi mmmmhh
@oscarjohn4776 ай бұрын
AMBA SADA ila dotto😂😂😂😂
@hansperson10126 ай бұрын
OYA NYUMBA YA PETER MSECHU NI MFANO WA KUIGWA YANI Mwijaku BADO SANA KUMFIKIA PETER
@marymanoni55366 ай бұрын
Nyumba ya aristote na msechu
@emmanuelnkwabi86106 ай бұрын
Balaaa😂😂😂😂😂
@celestinomarianomatias95376 ай бұрын
Kkk😂 Tanzanianos hiiii Falam muito
@awazioga18236 ай бұрын
Ya kawaidaaaaaaaaaaaa na ya kishamba
@edwardtrigga57016 ай бұрын
Hivi uwa ni roho mbaya kujipa moyo au kujitoa akili?!Wewe mwenyewe huna ata nyumba Alafu unasema ya kawaida kweli
@sophsoph47406 ай бұрын
@@edwardtrigga5701😂😂😂ya. Hapo huskute Baamed wa baaa😂😂hanajipa moyo
@husseinyusuph54586 ай бұрын
Siungemtimua uyo mwandishi mpuuzi
@twahaanyoni91206 ай бұрын
Vitu vya mahana hamvipi sapoti wapuuzi ndo mnawapa time kuna watu wapo wanaitaji kufikiwa watanzania wawape msahada nyinyi mpo na wapumbavu tuuu
@user-zs7nf7ph5n6 ай бұрын
Yeye Kapuenda ,nene jenga wewe.kila mtu anachokipenda.
@bennymochiwa48006 ай бұрын
We fala acha wivu😂😂
@ukhutfatumah11546 ай бұрын
Nyumba ya mwijaku billion moja point 3 ,,,,,,Aya baba dotto Magali Ila nyie mnajuana Mie sitii neno hata kidogo
@hashimchaoga95666 ай бұрын
Wasiojenga bado ndio watakubali huo uongo. Haifiki hata milioni 400 hapo. Ghorofa moja halafu si pana. Gharama zinatokana na wingi wa ghorofa ambapo nondo sementi na kokoto zitaenda nyingi sana.Labda milioni 300 au 400 .
@princekarani78366 ай бұрын
@@hashimchaoga9566 sio mia tatu wala 200,labda millioni 100 na kitu
@gabrielzakaria28106 ай бұрын
Huna nyumba
@user-ph2tk3cy9s6 ай бұрын
Sasa naye kabinga rangi gani hiyo
@user-fo8yc8xo8s6 ай бұрын
WIVU WIVU WIVU WIVU WIVU WIVU UTAWAUWA
@user-rm3lp9hi1n6 ай бұрын
Ni ya kwaida sana nyumba ya mwijaku
@agnesjohn93826 ай бұрын
We unayo au wivu tu
@user-rm3lp9hi1n6 ай бұрын
Sina ata banda but sina wivu just nimeongea ukweli
@barakakevela2456 ай бұрын
ACHA WIVU WE MPUUZI. MPE HONGERA MWENZIO AU TUKUITIE JUMA LOKOLE ALIYEKUFUMA KWEN YE NYUMBA YA MAMA MKWE WAKO
@awadhally10526 ай бұрын
😂😂😂😂😂
@diasalicastro53536 ай бұрын
Nyumba ya kawaida sanaaaa
@AwaziRajab6 ай бұрын
Uyu Sasa Ukimuona Unajua Amejaa Wivu Inje Moyoni Mwake Anajua Kama Mwijaku Kapga Atua Jamani Watanzania Mtu Yetote Mwenye Akili Timamu Aliepanga Anaeishi Nyumba Za Kupanga Mwenye Familia Yake Akuna Aibu Naludia Akuna Aibu Kama Mwanamke Kukwambia Mwanaume Kua Baba Mwenye Nyumba Anadai Hela Yake Apo2 Mwenye Akili Anakubali Kama Kijana Akijenga Mpe Sifa
@dominicngeno42276 ай бұрын
Wacha wivu tia bidii,be focused and invest
@elianifammari32126 ай бұрын
Toa kwanza hayo mapete
@ashaali71546 ай бұрын
Hivi Dotto anajua maana ya bungalow au anaongea tu? Muonyesheni bungalow inavyofanana anyamaze.
@paskaziasholla74716 ай бұрын
Minaomba tumpongeze Mwijaku kwa alichokifanya sema apunguze sifa
@OchoaHomeDecor_6 ай бұрын
5:08 PICHA MSECHU 😂😂
@abednego38766 ай бұрын
huyu jamaa mama kizimkazi ataempa ubalozi ni mpuuzi😅.