DOTTO MAGARI AMJIBU MWIJAKU "ILE NYUMBA AU KIBANDA NITOKEE, WATU WAMEJENGA BANGALO

  Рет қаралды 117,389

S500 TV

S500 TV

7 ай бұрын

Пікірлер: 222
@hajimbaruku9537
@hajimbaruku9537 6 ай бұрын
Nyumba nzuri bana acheni wivu, simpendi Mwijaku lkn amepiga hatua sana
@MultiMbongo
@MultiMbongo 6 ай бұрын
Kweli nyumba ya peter msechu ni nzuri sana,hii ya mwijaku kama ofisi ya chama Cha siasa
@princekarani7836
@princekarani7836 6 ай бұрын
Ukweli ndo uho ile nyumba ya msechu ni kali kinouma nouma,na inawezekana million 100 ikawa inafika coz decoration zake ni moto wakuotea mbali mzee
@abednegochija-uf3ey
@abednegochija-uf3ey 6 ай бұрын
We unayo? Mungu amsaidie kambarik sana achen chuki zenu kigoma champion boy mwijaku anapambana sana hongerah sana 💯💯💯💯💯💯👍👍👍👍🙏🙏🙏
@zaburi2386
@zaburi2386 6 ай бұрын
​@@princekarani7836kaka milion 100 sio nyumba ya vile Ile ya msechu ni zaid ya milion 800
@babatidaawa6550
@babatidaawa6550 6 ай бұрын
Ahahaha
@diasalicastro5353
@diasalicastro5353 6 ай бұрын
Milion 100 Hela ndogo sanaaaa
@allykayanda6930
@allykayanda6930 6 ай бұрын
Nyumba ya mwinjaku ni kali sana sana ,bonge moja la mjengo....huo ni wivu tuu
@user-il1kv9zv9j
@user-il1kv9zv9j 6 ай бұрын
Kweli doto magari nyumba ya chini ilio changamuka kweli kabisa.
@khalidballeth5957
@khalidballeth5957 6 ай бұрын
Mwijaku noma saana,,,,Ati alifikiria kumpa chumba DOTO kile chumba cha mlinzi wake Matias
@lovemusicnoreen9185
@lovemusicnoreen9185 6 ай бұрын
Dotto kongea FACTS kuna watu wamejenga tena watoto wadogoooo mnoooo na midomo iko kimya tena mijumba haswaaa sema doto na nyingine zimepangishwa twala kodii tuu mwaka wa 4 sasa lak 5 5 kwa mwezi wapangaji 5 na bado real estate inaendelea mpk tufike 40s....... Wtu washasahau kujenga.doto bana eti kaja mganga😊😊😊😊😊😂😂😂😂
@user-gy7mk8ur1f
@user-gy7mk8ur1f 6 ай бұрын
Peter msechu nyumba kali sana
@hemedjackson2261
@hemedjackson2261 6 ай бұрын
Yaan ujing maish y bongo unajenga nyumb unaalik watu kweli 😂😂😂 uko sahihi doto
@KassimAlly-xp4dz
@KassimAlly-xp4dz 6 ай бұрын
Yule ni star maarufu ili azidi kujulikana lazima afanye ivo
@user-el6mm4lh4m
@user-el6mm4lh4m 6 ай бұрын
wivu2...we unayooo...🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤..mwijaku juuu...Dotto bwege2 mchovu...
@christianbihemo8211
@christianbihemo8211 6 ай бұрын
Kila nikijaribu kumskiliza huyu jamaa nagundua anaongea zaidi kuliko akili zake zinavyofanya kazi😮
@CelinCelineort
@CelinCelineort 6 ай бұрын
😅😅😅 htr
@marcoeliezer2207
@marcoeliezer2207 6 ай бұрын
Mwijaku ameamua kujenga shule kaanza na madarasa😊
@shabanikitula645
@shabanikitula645 6 ай бұрын
Nampenda doto hana mambo mengi kaka huyu Mungu amtie nguvu
@edwardtrigga5701
@edwardtrigga5701 6 ай бұрын
Ila uwa Kuna watu uwa ni vichaa na mahaba yatawaua yaani huyu kichaa ndo unasema hana mambo mengi au akili yako haisomi
@Mumewangu
@Mumewangu 6 ай бұрын
Hongera mwijaku anae kuzarau ni wivu na choyo tu
@suleimansaid2633
@suleimansaid2633 6 ай бұрын
Nakuaminia Doto unasema kweli
@constanciapeter2497
@constanciapeter2497 6 ай бұрын
Hapo dotto umepigwa za Usoo😅😅😅.. umri wako ni mkubwa kuliko adui zako... yaani bado unamawazo ya urithi?!!!😅😅😅😂😂😂
@mbanga6759
@mbanga6759 6 ай бұрын
Jamani muwe wakweli nyumba nzuri sema hamumpendi na mawavu tu
@bakariomari8758
@bakariomari8758 6 ай бұрын
Yaani watz wanawivu dah
@bakariomari8758
@bakariomari8758 6 ай бұрын
Yaani watz wanawivu dah
@bennamush4616
@bennamush4616 6 ай бұрын
Hawa wanajuana Wala hawanaga shida 😂
@user-ch2it3qt5z
@user-ch2it3qt5z 6 ай бұрын
ila bongo Rahaa Sana 😂 et nyumba ya chini iliyo changamka😂
@Nalitumpaboy-dm4tk
@Nalitumpaboy-dm4tk 6 ай бұрын
Mwingine ety nyumba yenye ngazi na sio ghorofa😂😂
@abubakarsuleman1983
@abubakarsuleman1983 6 ай бұрын
Doto ukija canada please tuonane bro.
@Barakatabudul
@Barakatabudul 6 ай бұрын
Mama Kizimkazii na Hapa ipoo!😂😂😂😂
@hallin9561
@hallin9561 6 ай бұрын
nyumba ya msechu ndio top. naipenda mpaka kufa
@bennymochiwa4800
@bennymochiwa4800 6 ай бұрын
Jenga yako na ww uwipende
@AdenAdiliano-rh8zf
@AdenAdiliano-rh8zf 6 ай бұрын
Unaipenda ya kwako Jenga ya kwako nyau wewe
@melanialeonard4031
@melanialeonard4031 6 ай бұрын
Eti unaipenda😂😂😂😂
@bennamush4616
@bennamush4616 6 ай бұрын
Ewe Mungu tujalie na sisi tujenge tuache kisifia tuu nyumba za watu
@zerochanneltanzania3797
@zerochanneltanzania3797 6 ай бұрын
Watu awaelewi kinacho endelea. Talent industry imekuwa ikichukuliwa poa sana. Talent industry (music, movie, utangazaji , art, dance, film, photography n.k.) imekuwa ikichukuliwa kama kitu fulani “by the way”….so its time kuwaonyesha watu kuwa industry hii inalipa vizuri tu. Na inawazidi wote ambao wanajifanya wanaela kumbe mikopo inawazonga.
@hansperson1012
@hansperson1012 6 ай бұрын
Kama ulishawai kuiona nyumba ya Peter msechu Basi mdomo mdomo wote utaisha hapa
@erickchitumbi1308
@erickchitumbi1308 6 ай бұрын
😂😂😂😂doto hutaki kuumia akili yako😂😂😂😂
@user-tm8lq3rc1l
@user-tm8lq3rc1l 6 ай бұрын
Tanzania nitaipenda hadi kufa jamani yaani uchawa ndo habar ya mjini
@user-zb2mj5nd5g
@user-zb2mj5nd5g 6 ай бұрын
mzaramo yeyote hana vibe na mijengo, nyumba yamzaramo banda la uani kwahiyo hapo mnapoteza muda wenu bure kumhoji Dotto kuhusu mjego,
@AwaziRajab
@AwaziRajab 6 ай бұрын
Mimi Sioni Kama Doto Yuko Na Zalau Nachoona Apo Jamaa Anajua Aibu Ya Mke Kukwambia Baba Mwenye Nyumba Anadai Hela Yake Ni Aibu Kubwa
@Tiffany340
@Tiffany340 6 ай бұрын
😂😂 zile ofisi za chama,nyumba inajengwa vile we uliona wapiii🤣🤣
@GodfreyJames-zt6ig
@GodfreyJames-zt6ig 6 ай бұрын
Acheni wivu nyumba ni nzr sana Sema nyie wivu unawatafuna mjengo wake mzr uko sawa wivuuuuuuuuu
@mwakiosalim2914
@mwakiosalim2914 6 ай бұрын
Dottooo😂😂😂 kaja mganga😂😂 unachekesha sana😂😂😂😂
@jamesbilafumba6902
@jamesbilafumba6902 6 ай бұрын
Hiyo ni kawaida kwenye maendeleo, huwez sifiwa na wote
@CelinCelineort
@CelinCelineort 6 ай бұрын
sanaaaaaa
@jokhaynamohammed
@jokhaynamohammed 6 ай бұрын
Hahaha kaka doto hapana bwana hapo umebugi mwijaku kafnya jmbo kubwa jmn apewe mauwa yake
@gibsonjosephat6352
@gibsonjosephat6352 6 ай бұрын
Kwa alichokisema Mwijaku kwa kuwaponda wenzake ndipo alikosea wakati wapo wenye nyumba kubwa na nzuri kuliko yake. Uwanja pia ni Mdogo Sana. Aristote tu ana bonge la jumba Bunju.
@sidikassim6759
@sidikassim6759 6 ай бұрын
leo nakukataa doto bro hpo umeongea unafki na wivu kka
@awadhally1052
@awadhally1052 6 ай бұрын
😂😂😂kwel kabisa wivuu huo
@user-qh3hb1tp8r
@user-qh3hb1tp8r 6 ай бұрын
ÇloudTV ni TV ya linings sana huwa sipotezi muda muda kuangalia
@bakariomari8758
@bakariomari8758 6 ай бұрын
😂😂😂 Eti doto mrefu kuliko gorofa la mwijaku
@mwakiosalim2914
@mwakiosalim2914 6 ай бұрын
Banda la jiwa🕊🕊😂😂🕊🕊
@rerisamba
@rerisamba 6 ай бұрын
Wivu mbaya kweli
@minnahhers7437
@minnahhers7437 6 ай бұрын
kila mmoja na anavopenda ..hata vyumba 2 ni nyumba tu
@user-wq2fh5rx4s
@user-wq2fh5rx4s 6 ай бұрын
Ww mwehu kila ck mama kizmukz sukal kg 4000 unalopoka use
@saidahmad5559
@saidahmad5559 6 ай бұрын
Kwa hyo unataka upewe bure
@user-ue6pq8zl3s
@user-ue6pq8zl3s 6 ай бұрын
We mwenyewe Huna nyumba kama ile asa unapondaje we yako ipo wapi?
@user-ti6wm7hy5b
@user-ti6wm7hy5b 6 ай бұрын
Hahaha 😂😂😂😂😂 Dotto umeniacha hoy kumbe Bado upo kwenye chati kijana wangu
@medidaudi8335
@medidaudi8335 6 ай бұрын
Chawa mpya
@beautyafrica254
@beautyafrica254 6 ай бұрын
Mm namshangaa sana mwijaku na kiki zake ,hiyo nyumba ni ya kawaida mbona kiki sana au ni ushamba
@KassimAlly-xp4dz
@KassimAlly-xp4dz 6 ай бұрын
Sio ushamba yule anatafuta content ili azidi kutajika kwako inaweza ikawa ya kawaida lakini kwake ni hatua kubwa sn na ametuonesha ili 2zidi kumzungumzia kama hivi sasa
@sidikassim6759
@sidikassim6759 6 ай бұрын
aah hpo bos wngu doto leo nakukataa leo unaongea sivyo lile jengo tukutae tukubali
@MbossoMbosso-rw4ox
@MbossoMbosso-rw4ox 6 ай бұрын
Anachokisema doto n kweli kigambon Kuna mijengo w a mwijaku ukasome na uwa awayangaz I kuwa nmejenga xo😂😂😂😂😂😂
@edgerza3754
@edgerza3754 6 ай бұрын
😅😅😅gea aache kaz
@user-qw6tt4zn3e
@user-qw6tt4zn3e 6 ай бұрын
Msechu katisha sanaaa
@kisjohn3435
@kisjohn3435 6 ай бұрын
Wivu ni mbaya sana haya endelea kulala chooni
@zachaamaster5378
@zachaamaster5378 6 ай бұрын
bola mwijaku kuliko ww una olala kweny vuru
@user-ys8dv8lk7k
@user-ys8dv8lk7k 6 ай бұрын
Onyesha yakooooooo sasa
@HappyForestTrees-gc6hs
@HappyForestTrees-gc6hs 6 ай бұрын
Ss acheni kusifia watu fanya kazi ujipe heshima bila kusifia watu
@nafuwswedi2465
@nafuwswedi2465 6 ай бұрын
Tanzania yangu mweee😂😂
@alhadkatundu2142
@alhadkatundu2142 6 ай бұрын
Gea habibu maji ya jioni😂😂😂😂😂
@muyangetv
@muyangetv 6 ай бұрын
Tuoneshe Yako sasa
@user-qu1dz2ed1b
@user-qu1dz2ed1b 6 ай бұрын
Nimekukubali dotto .magari hiyo imeeenda
@user-mz2mr4ib2o
@user-mz2mr4ib2o 6 ай бұрын
Una ndangu yakuto kujenga dototumeshajuwa ukweli
@edwardtrigga5701
@edwardtrigga5701 6 ай бұрын
Wanaume wa dar bana uwa sijui akili hamna alafu kuna watu wanasema dotto ana akili kweli!?? Mtu anaishi ukweni na haoni ata aibu
@user-sd8jz7zj2l
@user-sd8jz7zj2l 6 ай бұрын
Ule mneeeneeee hhh
@mrsinia3064
@mrsinia3064 6 ай бұрын
ila waja wana maneno...ama kwer wivu mbaya sana tutafute hela vijana tuache makasiriko
@mwanaidmaulid4763
@mwanaidmaulid4763 6 ай бұрын
Kiusingiziii😅
@deogratiusndunguru7636
@deogratiusndunguru7636 6 ай бұрын
Ni bora angejenga nyumba ya chini lakini kali,ila ukweli sio standard kiasi cha kuita media
@bennymochiwa4800
@bennymochiwa4800 6 ай бұрын
Acha wivu we fala, Babako kajenga nn ??😂😂
@deogratiusndunguru7636
@deogratiusndunguru7636 6 ай бұрын
@@bennymochiwa4800 kumbuka hapa tunatoa maoni,kila mtu na maoni yake,kwa mimi niliyejenga hapo hakuna nyumba y 1.3billioni,so point ni kwamba ni nyumba ya kawaida sanaa tena sio standard kabisa
@ismailimpaukha2773
@ismailimpaukha2773 6 ай бұрын
Wapake haoo una usemi wako awashibi mpaka wapinde mgongo😂😂😂😂
@moseskulola6913
@moseskulola6913 6 ай бұрын
Dotto anaakilisana mwijaku hajanfaya kama mwanaume
@edwardtrigga5701
@edwardtrigga5701 6 ай бұрын
Kweli wajinga ni wengi Sasa ana akili Gani teja huyu anaishi ukweni
@ismailimpaukha2773
@ismailimpaukha2773 6 ай бұрын
Karibu Canada na aap ipoo ninjaa
@mnaromajengo9155
@mnaromajengo9155 6 ай бұрын
Tatzo akili zetu zpo kwny gorofa tuu nikali Peter msechu nyumba kali sanaaa ila Mwijaku alikuwa naharaka
@user-qu1dz2ed1b
@user-qu1dz2ed1b 6 ай бұрын
Niakukubali saaaana😮😮😮
@happynkya9770
@happynkya9770 6 ай бұрын
kusema ukweli mwijaku kakosa tu la kuongea kwa peter msechu,maan binafs yangu naona kwa msechu ni pakali kuliko kwa mwijaku
@ChiefKisensiOnline
@ChiefKisensiOnline 6 ай бұрын
Wote Wanachechemea tu😂😂😂
@benjaminmartin4548
@benjaminmartin4548 6 ай бұрын
Mwaijaku wewe ni mfano wa kuigwa. Wanakuona wivu.
@habisnasalum-nz4zo
@habisnasalum-nz4zo 6 ай бұрын
Wew unayo acheni wivu tafteni ela
@enoszaka-tx8qw
@enoszaka-tx8qw 6 ай бұрын
wivu tu onyesha ya kwako tuone 😂😂😂😂
@JacklineNamundengozi
@JacklineNamundengozi 6 ай бұрын
Why don't you show yours?
@awadhally1052
@awadhally1052 6 ай бұрын
😂😂😂kwel kabisaa
@ismailimpaukha2773
@ismailimpaukha2773 6 ай бұрын
😂😂😂😂😂 wanaumia sanaaa ukipaka mafala wasio jielewa mafyoooo
@injilihalisitv2023
@injilihalisitv2023 5 ай бұрын
Kwel kabis 😅😅😊😊
@mickdad8309
@mickdad8309 6 ай бұрын
😂😂 kama sckakaah
@margarethpolepole7438
@margarethpolepole7438 6 ай бұрын
Vijana mna kazi
@majaliwamsigwa6206
@majaliwamsigwa6206 6 ай бұрын
Tuonyeshe ya kwako iliyochafua kiwanja,kweli mmekereka
@morjanoman5181
@morjanoman5181 6 ай бұрын
Tumewajua mmepatakiki za kula mb zetu povulinakutoka na jasholameno latiririka nawewe unaakiri unajisnika mtandaoni kumponda mwanaume mwezio mishipayashingo imekusimama kama umepigwanashoti ya umeme😂😂😂😂😂
@elianifammari3212
@elianifammari3212 6 ай бұрын
Yako iko wapi mmmmhh
@oscarjohn477
@oscarjohn477 6 ай бұрын
AMBA SADA ila dotto😂😂😂😂
@hansperson1012
@hansperson1012 6 ай бұрын
OYA NYUMBA YA PETER MSECHU NI MFANO WA KUIGWA YANI Mwijaku BADO SANA KUMFIKIA PETER
@marymanoni5536
@marymanoni5536 6 ай бұрын
Nyumba ya aristote na msechu
@emmanuelnkwabi8610
@emmanuelnkwabi8610 6 ай бұрын
Balaaa😂😂😂😂😂
@celestinomarianomatias9537
@celestinomarianomatias9537 6 ай бұрын
Kkk😂 Tanzanianos hiiii Falam muito
@awazioga1823
@awazioga1823 6 ай бұрын
Ya kawaidaaaaaaaaaaaa na ya kishamba
@edwardtrigga5701
@edwardtrigga5701 6 ай бұрын
Hivi uwa ni roho mbaya kujipa moyo au kujitoa akili?!Wewe mwenyewe huna ata nyumba Alafu unasema ya kawaida kweli
@sophsoph4740
@sophsoph4740 6 ай бұрын
​@@edwardtrigga5701😂😂😂ya. Hapo huskute Baamed wa baaa😂😂hanajipa moyo
@husseinyusuph5458
@husseinyusuph5458 6 ай бұрын
Siungemtimua uyo mwandishi mpuuzi
@twahaanyoni9120
@twahaanyoni9120 6 ай бұрын
Vitu vya mahana hamvipi sapoti wapuuzi ndo mnawapa time kuna watu wapo wanaitaji kufikiwa watanzania wawape msahada nyinyi mpo na wapumbavu tuuu
@user-zs7nf7ph5n
@user-zs7nf7ph5n 6 ай бұрын
Yeye Kapuenda ,nene jenga wewe.kila mtu anachokipenda.
@bennymochiwa4800
@bennymochiwa4800 6 ай бұрын
We fala acha wivu😂😂
@ukhutfatumah1154
@ukhutfatumah1154 6 ай бұрын
Nyumba ya mwijaku billion moja point 3 ,,,,,,Aya baba dotto Magali Ila nyie mnajuana Mie sitii neno hata kidogo
@hashimchaoga9566
@hashimchaoga9566 6 ай бұрын
Wasiojenga bado ndio watakubali huo uongo. Haifiki hata milioni 400 hapo. Ghorofa moja halafu si pana. Gharama zinatokana na wingi wa ghorofa ambapo nondo sementi na kokoto zitaenda nyingi sana.Labda milioni 300 au 400 .
@princekarani7836
@princekarani7836 6 ай бұрын
@@hashimchaoga9566 sio mia tatu wala 200,labda millioni 100 na kitu
@gabrielzakaria2810
@gabrielzakaria2810 6 ай бұрын
Huna nyumba
@user-ph2tk3cy9s
@user-ph2tk3cy9s 6 ай бұрын
Sasa naye kabinga rangi gani hiyo
@user-fo8yc8xo8s
@user-fo8yc8xo8s 6 ай бұрын
WIVU WIVU WIVU WIVU WIVU WIVU UTAWAUWA
@user-rm3lp9hi1n
@user-rm3lp9hi1n 6 ай бұрын
Ni ya kwaida sana nyumba ya mwijaku
@agnesjohn9382
@agnesjohn9382 6 ай бұрын
We unayo au wivu tu
@user-rm3lp9hi1n
@user-rm3lp9hi1n 6 ай бұрын
Sina ata banda but sina wivu just nimeongea ukweli
@barakakevela245
@barakakevela245 6 ай бұрын
ACHA WIVU WE MPUUZI. MPE HONGERA MWENZIO AU TUKUITIE JUMA LOKOLE ALIYEKUFUMA KWEN YE NYUMBA YA MAMA MKWE WAKO
@awadhally1052
@awadhally1052 6 ай бұрын
😂😂😂😂😂
@diasalicastro5353
@diasalicastro5353 6 ай бұрын
Nyumba ya kawaida sanaaaa
@AwaziRajab
@AwaziRajab 6 ай бұрын
Uyu Sasa Ukimuona Unajua Amejaa Wivu Inje Moyoni Mwake Anajua Kama Mwijaku Kapga Atua Jamani Watanzania Mtu Yetote Mwenye Akili Timamu Aliepanga Anaeishi Nyumba Za Kupanga Mwenye Familia Yake Akuna Aibu Naludia Akuna Aibu Kama Mwanamke Kukwambia Mwanaume Kua Baba Mwenye Nyumba Anadai Hela Yake Apo2 Mwenye Akili Anakubali Kama Kijana Akijenga Mpe Sifa
@dominicngeno4227
@dominicngeno4227 6 ай бұрын
Wacha wivu tia bidii,be focused and invest
@elianifammari3212
@elianifammari3212 6 ай бұрын
Toa kwanza hayo mapete
@ashaali7154
@ashaali7154 6 ай бұрын
Hivi Dotto anajua maana ya bungalow au anaongea tu? Muonyesheni bungalow inavyofanana anyamaze.
@paskaziasholla7471
@paskaziasholla7471 6 ай бұрын
Minaomba tumpongeze Mwijaku kwa alichokifanya sema apunguze sifa
@OchoaHomeDecor_
@OchoaHomeDecor_ 6 ай бұрын
5:08 PICHA MSECHU 😂😂
@abednego3876
@abednego3876 6 ай бұрын
huyu jamaa mama kizimkazi ataempa ubalozi ni mpuuzi😅.
KIMEUMANA: DOTTO MAGARI NA MZAZI MWENZA NUSU WAZICHAPE STUDIO
27:31
Wasafi Media
Рет қаралды 208 М.
НРАВИТСЯ ЭТОТ ФОРМАТ??
00:37
МЯТНАЯ ФАНТА
Рет қаралды 8 МЛН
НЫСАНА КОНЦЕРТ 2024
2:26:34
Нысана театры
Рет қаралды 1,3 МЛН
MWIJAKU ALIVYO PEWA PESA NA CHIEF GODLOVE, ONA VURUGU ZAKE
9:31
CHEKI MAPISHI YA AISHA BUHETI WAKATI WA SHEREHE
1:58
Panga Sherehe
Рет қаралды 8 М.
Вся страна в очередях, а ты без очереди...
0:52
МиRRные Чувства
Рет қаралды 7 МЛН
IQ Level: 10000
0:10
Younes Zarou
Рет қаралды 10 МЛН