🅻🅸🆅🅴 BODI YA SUKARI TANZANIA WANAZUNGUMZA NA WAANDISHI WA HABARI MUDA HUU

  Рет қаралды 2,914

JAMBO TV

JAMBO TV

9 күн бұрын

#JAMBOTV
...........
Tufuatilie kwenye mitandao ya kijamii
►KZbin: / @jambotv908
►INSTAGRAM: / jambotv
►TWITTER: / jambotv_
►FACEBOOK: / jambotv
►WEBSITE: jambo.tz/

Пікірлер: 14
@isaacs3904
@isaacs3904 7 күн бұрын
Ukiona kitu kinatolewa maelezo mengi hivi ujue mengi hayasemwi...😂😂
@MathewNathan-yb2bz
@MathewNathan-yb2bz 7 күн бұрын
Mpina kaibu mambo muhimu .kwa mvurugano huu sasa wahusika wataenda kujirekebisha na watakoma kutuchezea akili sisi watanzania.Hongera sana Mpina kwa uzalendo wako.Watanzania tuko nyuma yako.
@BituroPaschalKazeri
@BituroPaschalKazeri 7 күн бұрын
Tanzania hatuna waandishi wa habari tun a wapasha habari tu
@user-oy2ui7rj8v
@user-oy2ui7rj8v 5 күн бұрын
Luhaga Mpina yeye taarifa za utata wa sukari kwa ujumla alizotoa wapi?? hadi akachafua hali ya hewa Bungeni!!
@EliaoniTerry
@EliaoniTerry 7 күн бұрын
Iwe iwavyo, kama bodi ya sukari, na hiyo technical committee hamkuwajibika kuwachukulia hatua, wale ambao hawakuja kuchukua vibali, huku nyie mkijua sukari haipo.unachojaribu kueleza hapo ni kumkingia kifua waziri wa kilimo kwa uzembe wake wa kutowachukulia hatua makampuni wakati akijua ana mamlaka hayo. Na tena hayo makampuni mengine serikali ina hisa. Mpina yuko sahihi jana, Leo, na kesho. Bodi ya sukari mlikula mlingula na pengine na menejiment za viwanda kuchelewesha kwa makusudi uingizaji wa sukari.
@user-oh6pc7zd4s
@user-oh6pc7zd4s 7 күн бұрын
MPINA NI MPOTOSHAJI MKUBWA HUKU AKITUDANGANYA KUWA KAONEWA MIMI NILIMJUA MAPEMA KUWA ANA HASIRA YA KUKOSA UWAZIRI.SHIDA KWA MPINA NI UWAZIRI.APUUZWE.
@rejobu9723
@rejobu9723 7 күн бұрын
Mmh! changamoto ni kwamba mmesha cherewa kutoa hayo maelezo na wananchi mnao tuzarau tumesha chagua upande wa kwendanao👋👋
@user-oy2ui7rj8v
@user-oy2ui7rj8v 5 күн бұрын
Kumbe Luhaga Mpina alikurupuka, aombe msamaha tu akubali yaishe!!
@gaspercharles2244
@gaspercharles2244 7 күн бұрын
Nyie waandishi vp mbona hamjauliza kama Malawi sukari iko chini kwann waliagiza nje na ikauzwa bei kubwa kuliko ya Malawi?
@user-oh6pc7zd4s
@user-oh6pc7zd4s 7 күн бұрын
LAKINI UPOTOSHAJI WA MPINA KWAKO SIO ISHU SIO?MPOTOSHAJI KATIKA NCHI HUKU AKIPOTOSHA KAONEWA NI MTU HATARI.YULE JAMAA ANAHASIRA YA KUKOSA UWAZIRI.SHIDA NI UWAZIRI.
@sebastiansalamba313
@sebastiansalamba313 7 күн бұрын
Tukubari agenda kubwa ktk hili Kuna watu wanahujumu uchumi,mseme wazi,tulishuhudia kipindi sukari inafungiwa katika maghara na serikali ilichukua hatua,Sasa jaribuni kuwa wakweli mabepari hutikisa uchumi wa nchi
@robertzingu9889
@robertzingu9889 7 күн бұрын
Mbona sukari mpaka sasa bei ni kubwa ikiwa kati ya 3,500 hadi 5,000 mahali pengine hususani vijijini bei ni kubwa zaidi kuliko hata kabla ya Sugar scandal hii ambapo bei ilikuwa kati ya 2,000 hadi 2,600?? Mbona mimi siielwi hii serikali? Hakuna bwana. Kuna shida mahali na kuna viongozi wa kisiasa walioko serikalini wameingiza siasa zao ili kujipatia fedha za uchaguzi mwaka huu na 2025!!
SAKATA LA SUKARI, WAZALISHAJI WAVUNJA UKIMYA KUTOTENDEWA HAKI
37:07
Mwananchi Digital
Рет қаралды 2,1 М.
Can You Draw A PERFECTLY Dotted Line?
00:55
Stokes Twins
Рет қаралды 107 МЛН
1 or 2?🐄
00:12
Kan Andrey
Рет қаралды 52 МЛН
LOVE LETTER - POPPY PLAYTIME CHAPTER 3 | GH'S ANIMATION
00:15
A Muslim Man Enters a Church - They Laughed
39:53
Sabeel Ahmed
Рет қаралды 956 М.
LIVE: Power Breakfast Na Dr. Slaa
2:26:44
CLOUDSMEDIA
Рет қаралды 5 М.
Can You Draw A PERFECTLY Dotted Line?
00:55
Stokes Twins
Рет қаралды 107 МЛН