Nawatafuta sana kwanza mnibatize haraka hiwezekanavyo si mnipe angalau namba cha mawasiliano wapedwaa nawapenda sana na ukweli wanamna hii naupenda lo laiti ningewapata ningekua nimewapata ndugu changu halisi
@Revelation1412.2 ай бұрын
Uko upande Gani ikiwezekana tuje kuhubiri huko?? Contacts:0753465859.
@yahsavechassala10374 ай бұрын
NINYI MNAHUBIRI MAMBO YA DINI LAKINI SIYO MAMBO YA UFALME KWANI UFALME NI NI MÀMBO YA SERKALI YA MYNGU NA UTAWALA WAKE ULIO KINYUME NA DINI NA SERIKALI ZA WANADAMU BADO HATUJAONA HABARI NJEMA YA UFALME HUO IKITANGAZWA KWANI IKITANGAZWA HIYO VITA VITATOKE BAINA YAKE NA SERIKALI AU FALME ZILIZOPO