Рет қаралды 386
Tanzania na Zambia zimeingia makubaliano ya mauziano ya tani 650,000 za mahindi meupe yenye thamani ya shilingi bilioni 650, kufuatia hali ya ukame iliyoikumbuka Zambia kupelekea wananchi takribani milioni 7 kuhitaji msaada wa chakula.
Mkataba wa makubaliano hayo umesainiwa na Mkurugenzi Mkuu wa Wakala wa Taifa wa Hifadhi ya Chakula (NFRA), Dkt. Andrew Komba kwa upande wa Tanzania pamoja na Mratibu wa Maafa kitaifa nchini Zambia Dk Gabriel Pollen, katika hafla iliyofanyika katika Ukumbi wa Mikutano wa Kimataifa wa Julius Nyerere jijini Dar es Salaam.
Unaweza kutufuatilia kupitia;
TWITTER: / thechanzo
INSTAGRAM: / thechanzo
FACEBOOK: / thechanzo
TIKTOK: www.tiktok.com/@thechanzo?is_...
Au tembelea tovuti yetu: www.thechanzo.com
Je, una habari? wasiliana nasi kupitia Telegram/WhatsApp +255 753 815 105
The Chanzo Initiative, 2024 © All Rights Reserved.