HUSHPUPPI atapeli zaidi ya Shilingi Milioni 995 akiwa GEREZANI, hivi ndivyo alivyofanya, ni noma

  Рет қаралды 53,755

Simulizi Na Sauti

Simulizi Na Sauti

2 жыл бұрын

Пікірлер: 295
@naslee1010
@naslee1010 2 жыл бұрын
Wanao mkubali hush puppy piga nanii apo mana huyu jamaa ni noma🔥🔥🔥🔥
@user-id1gz3ng3k
@user-id1gz3ng3k 4 ай бұрын
Mwizi atampenda mwizi mwenzie
@FadyFs
@FadyFs 2 жыл бұрын
Huyu Hush ni mnoma🙌🙌🙌
@whimsymaverick3057
@whimsymaverick3057 2 жыл бұрын
Hii ndio channel inayostahili Kuwa hewani.! CONGRATS 👍👍👋
@asiaamohd4077
@asiaamohd4077 2 жыл бұрын
Kuliko Millard Ayo hawa wapo vizuri
@elishamhina4716
@elishamhina4716 2 жыл бұрын
Huyu Sky yupo sawa sana
@RuzoOwzy
@RuzoOwzy 2 жыл бұрын
Habari hii ni fake.
@allahisone6386
@allahisone6386 4 ай бұрын
​@@elishamhina4716🎉
@Mamy49
@Mamy49 2 жыл бұрын
Duh huyu ni mwanamme na nusu ila sichanga wa Nigeria 🇳🇬 na wahindi hizo ndio ishu zao huku UK
@ericklaura7511
@ericklaura7511 2 жыл бұрын
Easy way to gain money , don't die poor while too much money is in system, learn it bro
@escaladeokonkwo1048
@escaladeokonkwo1048 2 жыл бұрын
Leo Wa Kwanza SnS mko Vizur Sana Goood Job
@samrankingfire5009
@samrankingfire5009 2 жыл бұрын
Huyu jamaa ni hafai🙌🏽🙌🏽🙌🏽🔥🔥
@cosmasaloyce4623
@cosmasaloyce4623 2 жыл бұрын
Huyo Jamaa asifungwe Ila apewe Kazi 🔥
@agnestemba7372
@agnestemba7372 2 жыл бұрын
Legend😘 akifa sanamu lake liwekwe makumbusho 🤩🤩🤩
@michelinemapendo6652
@michelinemapendo6652 2 жыл бұрын
😂😂😂😂
@sophiahmedza929
@sophiahmedza929 2 жыл бұрын
😂😂😂😂
@tashaochun4651
@tashaochun4651 2 жыл бұрын
I salute this guy! How daring...
@kekiplus1andonly
@kekiplus1andonly 2 жыл бұрын
Nimekaa naskiliza tu,
@hannanommy302
@hannanommy302 2 жыл бұрын
Alhamdulillah 😀 😀 😀 huyu hawezekaniki Bora wamuachie huru tu🤣🤣🤣 hana uoga hata kidogo huyu kaka Mungu wetu msaidie huyu kiumbe wako jamani
@sistertrashid2488
@sistertrashid2488 2 жыл бұрын
Wampeleke Ukraine aendelee kukalishwa Sasa atatakatisha pesa zote uyo usiombe azalishe yaani uyo mtoto wake atakua hataree zaidi ya baba yake
@emmanuelhaule8692
@emmanuelhaule8692 2 жыл бұрын
Role model asee uyu jamaa wampe tu kazi🤣🤣🤣🙌🙌🙌🙌
@oscartheicon2716
@oscartheicon2716 2 жыл бұрын
This guy is genius and very dangerous😂😂😂
@nathanjunior7694
@nathanjunior7694 2 жыл бұрын
The guy is mastermind, anatapeli hadi wazungu kirahisi hivo🤔🤔
@aminaali792
@aminaali792 2 жыл бұрын
SNS your the best 🙌🏾asanteni kwa hii taarifa 🥰Hashpappy ni pasua kichwa😂🤣🤣🤣
@saidabdulkadirmjahid8255
@saidabdulkadirmjahid8255 2 жыл бұрын
Wamtolee movie huyu jamaa 🙌🙌🙌
@westcijosh
@westcijosh 2 жыл бұрын
Hushpuppi keep going brother they will use you now
@jameslizomba9883
@jameslizomba9883 2 жыл бұрын
Role model kama role model. The real MVP
@Sokomoko13
@Sokomoko13 2 жыл бұрын
Hollah at me
@isaacbarnabas9608
@isaacbarnabas9608 2 жыл бұрын
HUSHPUPPI IS GENEOUS 🌹🔥
@kalziidazamba2658
@kalziidazamba2658 2 жыл бұрын
Uyu jamaa nankubali kinoma 💪💪💪
@zeddybass6672
@zeddybass6672 2 жыл бұрын
Huyu inabidi tumuajiri Kama nnch Ili aturudishie hela wanazotulia wazungu🤣🤣🤣🤣
@thelonewolf4429
@thelonewolf4429 2 жыл бұрын
😀😀😃 The legendary swindler
@ericklaura7511
@ericklaura7511 2 жыл бұрын
Salute to this mafia 💪👏
@shainaramadhani1851
@shainaramadhani1851 2 жыл бұрын
Nikiona hivi naomia sana namie nilisha wahi tapeliwa kwa njia ya mtandao pes nyingi sana nikikumbuka hata nguvu sina nahisi huweda kitakua nihik na tim yake
@RuzoOwzy
@RuzoOwzy 2 жыл бұрын
Pole. Ilikuwa hii ya simu na kutuma hela au hizi za kina hashpapi na debit cards?
@unclepwechnov1381
@unclepwechnov1381 2 жыл бұрын
@@RuzoOwzy Swali zuri, tusubiri majibu😂😂
@damianlyimo8402
@damianlyimo8402 2 жыл бұрын
Wamekuibia tuma Kwa namba hii huyu jamaa huwa haibi pesa ya madafu.
@muzafarsharif9465
@muzafarsharif9465 2 жыл бұрын
wazungu watamdunga sindano wamuue hawapendi kuona muafrica mjanja
@ibrahimsalum4727
@ibrahimsalum4727 2 жыл бұрын
Hakuna mjanja Kwenye wizi
@frankdominic664
@frankdominic664 2 жыл бұрын
Hakuna mjanja kwenye wizi????????? nimekupa polee kubwa sana
@muzafarsharif9465
@muzafarsharif9465 2 жыл бұрын
@@frankdominic664 wewe ilikuwa ni mwizi ukafinywa makende 🤣🤣
@RuzoOwzy
@RuzoOwzy 2 жыл бұрын
Marekani imekanusha habari hii. Hapa SNS mlichemka na hii habari.
@ramadhanhaji3870
@ramadhanhaji3870 2 жыл бұрын
daaa hili.jamaaa mtemi tapeli sana
@Cyper255
@Cyper255 2 жыл бұрын
Asante kaka Sky. Kwa jinsi unavyosimulia Hata kama Mtu hajui chochote kuhusu IT au Mambo ya kuhacker lazima aelewe. Hizi stori za Tecknohama ungekuwa unazileta wewe.
@justinmbangukira7034
@justinmbangukira7034 2 жыл бұрын
Duuuuuuh! Huyu jamaa ni noma
@rachellebahati6126
@rachellebahati6126 2 жыл бұрын
sisi wote tuko apa kusikiriza.nani akipata iyo hakili.hawezi kufanya ivo.uyo ni legend.
@josephathassan4307
@josephathassan4307 2 жыл бұрын
Ni mtu mhim Sana kwenye dunia hii ya technology alilindwe Sana
@djejjjejeje2825
@djejjjejeje2825 2 жыл бұрын
Sanaaaa
@husseinkazigo6189
@husseinkazigo6189 2 жыл бұрын
Sure brother
@brysonearth227
@brysonearth227 2 жыл бұрын
We all like this guy don’t we?!
@RuzoOwzy
@RuzoOwzy 2 жыл бұрын
Until you become his victim, then you stop liking him.
@lirastanley390
@lirastanley390 2 жыл бұрын
How can i like a hacker and a pirate?
@mrjohn4446
@mrjohn4446 2 жыл бұрын
Ukweli ni kwamba mtahisi fbi wanamfunga gerezani tu, haitoishia gerezani Bali, wameona ni asset watamtumia kutengeneza hela nyingi kipindi chake chote akiwa gerezani huyu jamaa watamtumia
@itNeza
@itNeza 2 жыл бұрын
Mwanajeshi Haachi Silaha kamwe ( Na Nibora Punda afe ila Mzigo Ufike ) Hawa ndo wanaume sasa, Sio Mwanaume Kapigwa kidogo Tuu huo Kaanza kulalamika. 🤣🥂❤️
@magembetv5866
@magembetv5866 2 жыл бұрын
😀😀😀
@ernestgervas7021
@ernestgervas7021 2 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣😂😂Duuh sikio la kufa halisikii dawa.
@jaymandy8136
@jaymandy8136 2 жыл бұрын
Huyu jama ni hatari kuliko hata virusi vya ukimwi
@khadijakheir9323
@khadijakheir9323 2 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣
@marykalisa830
@marykalisa830 2 жыл бұрын
Kuliko cancer
@blackmamba7553
@blackmamba7553 2 жыл бұрын
My role model🤩
@happynelson1136
@happynelson1136 2 жыл бұрын
Magereza ya mamtoni wafungwa wa mauaji huwa wanaruhusiwa siku moja moja kutoka nje kutembea na kula bata na kurudi tena jela
@tomfoss9613
@tomfoss9613 16 күн бұрын
Wamarekani wampe kazi tu
@mrchacha7585
@mrchacha7585 2 жыл бұрын
Mmmh,huyu jamaa mwanaume aisee noma sana
@getrudamartin2409
@getrudamartin2409 2 жыл бұрын
Wanaigeria wenzi sana hasa wanaume
@betsyakoko6810
@betsyakoko6810 2 жыл бұрын
I fear them natural
@jade75798
@jade75798 3 ай бұрын
Mimi ni mwanamke lakini nataka niwe kama yeye yaani nataka niwaibie wazungu mpaka wajue hata wakinikamata sijali chochote .big up 419 9ja omo Yoruba #Tz .#Lagosian
@morineakinyiowino4161
@morineakinyiowino4161 2 жыл бұрын
Waah
@sanyajuutv2679
@sanyajuutv2679 2 жыл бұрын
Jamaa noma sana
@shebe2573
@shebe2573 2 жыл бұрын
Wamuache tuu🤣🤣😂🙌🙌🙌🙌
@samrankingfire5009
@samrankingfire5009 2 жыл бұрын
Kwakweli 😁😂 jamaa hazuiliki
@vanessarobyn4584
@vanessarobyn4584 2 жыл бұрын
Sasa watz tukifungwa huko mbona tungetulia hadi siku ya kiama na tungenenepa haswa sasa yeye angetulia tu ajilie maisha unapitia app za umbea unakula bata🤣🤣🤣🤣🙌🙌
@adelinatate9704
@adelinatate9704 2 жыл бұрын
Ni kama movie! Yes anaiba na sio poa ila huyu mtu ni kichwa aisee
@rodgerushindi85
@rodgerushindi85 4 ай бұрын
Very genius # shout to hash pup
@judithmaziku363
@judithmaziku363 2 жыл бұрын
Huyu ndio mwizi xx achana na hawa wanaoiba kuku
@aminaali792
@aminaali792 2 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣
@b3ya776
@b3ya776 2 жыл бұрын
He’s going to be there for a long time🤦🏾‍♀️🤦🏾‍♀️🤦🏾‍♀️
@yama_virginhairthequeen1065
@yama_virginhairthequeen1065 2 жыл бұрын
VERY - - -
@b3ya776
@b3ya776 2 жыл бұрын
@Njoo Studio teach me what ?
@juliaayieta2578
@juliaayieta2578 2 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣 hiyo intro imeniwacha hoi Wasema iko kwa damu 🤣🤣🤣
@japhetlust5050
@japhetlust5050 2 жыл бұрын
Uyu Ameshushwa na sheteni kabsa😄
@makondefinest
@makondefinest 2 жыл бұрын
Role model 🙌🏻❤️
@HannahDevidRichad
@HannahDevidRichad 2 жыл бұрын
😀😀😀 fata nyendo zake
@sophiahmedza929
@sophiahmedza929 2 жыл бұрын
😂😂😂😂🏃‍♂️🏃‍♂️🏃‍♂️
@MrTop-wj7no
@MrTop-wj7no 2 жыл бұрын
Kkkk
@mariamkaaya939
@mariamkaaya939 2 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣
@thebbc0001
@thebbc0001 2 жыл бұрын
@@HannahDevidRichad jela siku tatu tu analia😃😃😃
@siscofelician2105
@siscofelician2105 2 жыл бұрын
i love this guy
@ismailmasoud6001
@ismailmasoud6001 2 жыл бұрын
Hili jamaa ni noma.....hata likiwa chini ya bahari likipata internet access ujue mmekwisha...!
@bakarininga4100
@bakarininga4100 2 жыл бұрын
Huyu ndo MTU sasa ,marekan watamchukua
@sistertrashid2488
@sistertrashid2488 2 жыл бұрын
Yaani uyu wamtoe Mbegu za uzazi maana wakimuacha azalishe mtoto wake atakua hataree zaidi sababu vya kurithi vinazidi
@peninacharles9757
@peninacharles9757 2 жыл бұрын
Wanataka kumtokomeza tu BROO Sky
@noru9028
@noru9028 2 жыл бұрын
Uyu kiboko 🙌🙌
@ladynellah3872
@ladynellah3872 2 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂 they should give him work and an office
@aminaali792
@aminaali792 2 жыл бұрын
😂🤣🤣🤣
@rockyvlogs2214
@rockyvlogs2214 2 жыл бұрын
What I was saying here 😂
@MsAggie5
@MsAggie5 2 жыл бұрын
Very tru they should use him, he is very clever
@michilita2959
@michilita2959 2 жыл бұрын
Correct wallahi
@Cyper255
@Cyper255 2 жыл бұрын
Vitu vingne vinachekesha sana. Uhuru una madhara yake.
@JOHNJOHN-pu7wb
@JOHNJOHN-pu7wb 2 жыл бұрын
Kaziii iendeleeee 💪🏾💪🏾💪🏾
@hajikishuwa1078
@hajikishuwa1078 2 жыл бұрын
Habari ya uwongo.
@sharounaidan4473
@sharounaidan4473 2 жыл бұрын
Huyu jamaa hatakiwi kufungwa, badala yake wamtumie uwezo wake kutenda kinyume na Yale ayafanyayo
@khalfantvmansour8765
@khalfantvmansour8765 2 жыл бұрын
Mm naona uyo jamaa huenda hajaiba tena uko gerizani ila ni njema tu ya mtu mweusi kumpoteza uyo jamaa daa ila inshallah Mungu atamlinda
@worldhappiness1181
@worldhappiness1181 2 жыл бұрын
He is geniois
@neltone
@neltone 2 жыл бұрын
Huyu jamaa sio bure n Geneous, gifted atumiwe na nch za Africa kurudish Mali walizo tuibia wazungu,
@rashidikanyama7227
@rashidikanyama7227 2 жыл бұрын
Huyu mwamba ni muujiza Dunia hii
@marcemarco3747
@marcemarco3747 2 жыл бұрын
Duuuuu nahitaj niungane na watanzania kmaa hawa hata watatu tupige pesa
@maryamm7765
@maryamm7765 2 жыл бұрын
Noma sana
@lirastanley390
@lirastanley390 2 жыл бұрын
Khaaaa🧐 kweli sikio la Liga daima halisikii dawa
@mourinebey_kenya7027
@mourinebey_kenya7027 2 жыл бұрын
Anatumia kipaji chake vizuri 😂😂😂🙌🙌🙌
@makinienterprise1333
@makinienterprise1333 2 жыл бұрын
Hushpuppi🙌🙌🙌
@ashurahamisi8577
@ashurahamisi8577 2 жыл бұрын
Ila huku Dubai wezi wa mitandao wapo sana kibao sana hususa hao wanaija wanapenda mambo hayo kweli yani
@bruceclassic7127
@bruceclassic7127 2 жыл бұрын
Hii ni Prison Break kbsa
@omarabdallah7577
@omarabdallah7577 2 жыл бұрын
Duuh, hii nizaidi ya utapeli
@linuskamihanda953
@linuskamihanda953 2 жыл бұрын
Love u D
@yussufrabba2282
@yussufrabba2282 2 жыл бұрын
😍😍😍😍
@user-id1gz3ng3k
@user-id1gz3ng3k 4 ай бұрын
Wamuuwetu basi 😮😮😮😮😮😮😮😮 sinimwizi tu kama watu wengine
@mariamhassan1723
@mariamhassan1723 2 жыл бұрын
Ila Huddah alikuwa anaenjoy
@mwakwelisaid3152
@mwakwelisaid3152 2 жыл бұрын
Yan uyo n mwamba ak emagen gerezani pia mnoko.
@paulebby1552
@paulebby1552 2 жыл бұрын
Dah mwamba wasimfunge kabla sijaonana nae anipe hata akili moja 😂😂😂😂
@mwalongojulius1755
@mwalongojulius1755 2 жыл бұрын
Huyo jamaa afungwi marekani ni wajanja sana watamtumia kwenye sistim zao
@mwanahawarajabu1837
@mwanahawarajabu1837 2 жыл бұрын
Akija bongo tumuisha ataiba Hadi aondke mwenyewe
@mwanahawarajabu1837
@mwanahawarajabu1837 2 жыл бұрын
Kwahiyo gerezani wanawauzia vocha
@sophiahmedza929
@sophiahmedza929 2 жыл бұрын
HASH PUPPY AKA WASH WASH... UYU AMESHINDIKANA🙆‍♀️🙆‍♀️🙆‍♀️
@chogs666
@chogs666 2 жыл бұрын
Genius
@mtaasisi
@mtaasisi 2 жыл бұрын
Hizi taarifa zilikanushwa
@nanaleetz
@nanaleetz 2 жыл бұрын
I love you hashpap😂😂😂
@wtnyambizi9876
@wtnyambizi9876 2 жыл бұрын
wanaijeria wezi sio poa
@tanzaboy4824
@tanzaboy4824 2 жыл бұрын
Mwana nimemuelewa sana
@FredChaki-jb8zj
@FredChaki-jb8zj 3 ай бұрын
This Yahoo boy is genius much
@michaelboaz8108
@michaelboaz8108 2 жыл бұрын
Daah katisha
@leylahleylah4599
@leylahleylah4599 2 жыл бұрын
Daah jamaa ni noma naona hata police wenyewe wamempa salut😀😀😀
@kingwilliam1807
@kingwilliam1807 2 жыл бұрын
Sky naomba chill na sky ziwepo nyingi Spotify
@michelinesifa3502
@michelinesifa3502 2 жыл бұрын
Oh my god
@hakizimanasaidi6650
@hakizimanasaidi6650 2 жыл бұрын
Uyo ni mwanaume kabiss
@underratedspirit
@underratedspirit 2 жыл бұрын
Hushpappi El Mario Gandia🙌🏾 He suit to be FBI
@hannanommy302
@hannanommy302 2 жыл бұрын
Wampe tu uraia huyu kaka,halafu wampe kazi ya halali hataweza kufanya umafya
@rukiauwonde7062
@rukiauwonde7062 2 жыл бұрын
Duh jamaa katisha aise🤣🤣
Why Abercrombie & Fitch’s Stock Exploded Faster Than Nvidia’s | WSJ Case Study
9:48
I Can't Believe We Did This...
00:38
Stokes Twins
Рет қаралды 87 МЛН
Survival skills: A great idea with duct tape #survival #lifehacks #camping
00:27
THEY WANTED TO TAKE ALL HIS GOODIES 🍫🥤🍟😂
00:17
OKUNJATA
Рет қаралды 20 МЛН
Я нашел кто меня пранкует!
00:51
Аришнев
Рет қаралды 4,1 МЛН
How to win a argument
9:28
ajaxkmr
Рет қаралды 328 М.
tagesschau 20:00 Uhr, 07.07.2024
19:50
tagesschau
Рет қаралды 163 М.
Why Car Ownership Is Getting So Expensive | CNBC Marathon
44:14
Hushppupi: Fahamu alivyotajirika na kuwa milionea na baadaye kukamatwa
7:33
Lulu Diva amburuza Lava Lava Mahakamani, adai fidia ya shilingi Milioni 200
6:47
I Can't Believe We Did This...
00:38
Stokes Twins
Рет қаралды 87 МЛН