Makala hii itakupa historia fupi na mambo machahe ya kusisimua usiyoyajua kabla ya kifo cha Thomas Sankara ambaye wengi wanamwona kama Che Guevara wa Afrika
Пікірлер: 110
@elimumwaipaja742 жыл бұрын
#Skywalker SAUTI YA MAMLAKA🔥🔥 Story hii inaweza ikawa imesimuliwa na watu wengi sana ila Kupitia sauti hii adhimu ya Sky inaonekana mpya kabisa masikioni mwangu. #bless
@magrethpoulpoul85852 жыл бұрын
Yaan watu kma hawa kuwapata ni ngumu sana😭🙏 miss you magufuli💔❤🙏
@MahdouMomba2 ай бұрын
Kutoka Sankara to Ibrahim traore ni miaka 36, kutoka Nyere to Magufuli ni miaka 16, hivyo huchukua muda mrefu sana kupata wapambanaji wa namna hiii..... ni mungu tuu huamua kunusuru waja wake kwa kutuletea viongozi kama hawa
@amanramadhan592820 күн бұрын
Mtangazaji wa story hii inanifanya niwe nafatilia makala zako❤
@stephenndonyi620411 ай бұрын
The legacy of cptn thomas sankara will continue .
@saitawilson73072 жыл бұрын
R.I.P JPM 💔 daima tutakukumbuka
@eksielo46082 жыл бұрын
Hakika sisi waafrika tutatawaliwa miaka yote, maana tunapopata viongozi kama hawa wanaopinga ubeberu na misaada, tunawaua sisi wenyewe. Rest in peace uncle magu pamoja na thomas sankara
@braystuskibassa38422 жыл бұрын
Tatizo waafrika hatupendani huwa tunauana kwasababu ya kuwaabudu watu weupe
@dangotee50512 жыл бұрын
Thomas Sankara alikua mzur MashaAllah👌🏼👌🏼Sky Allah abarik kazi ykoo 🙏🏽una sauti nzuri jamani😊
@amaniadrien737211 ай бұрын
Mungu azidi kumuweka mahara pema pepuni
@rukiaiddyyahaya95062 жыл бұрын
Hii ndio Africa kuwa mkweli ufe mapema
@jeanpierrekwizera64002 жыл бұрын
Rafiki yako ndie adui yako kabisa. Asante sana Sky
@yusuphyunusi-zz1hx11 ай бұрын
Ni kweli aliuawa na rafikie Blaise compaore
@ilynpayne74912 жыл бұрын
Hata magufuli itakuwa ali uwawa maana baada ya kifo chake saahivi mambo ya IMF na world Bank zime anza kuja Tanzania
@abuanzal73554 ай бұрын
Ni hakika Magufuli aliuwawa
@PhilipoMwita-b2x7 күн бұрын
Yani Kila nchi inawatu wa karibu hasa mataifa ya nje ambayo yananufaika Kama rais aliepo MADARAKAn anawakazia wazungu qtafanyiwa mbinu afe ili aje yule mama mikopo
@siliviasimon79702 жыл бұрын
Sky Mungu akuinue kuelekea kilele cha mafanikio yako 🙏🙏
@bizomenyimanaelias54552 жыл бұрын
Thomas Sankara Héros of africa Number 2 Khadafi
@user-yh6nz6ri2m9 ай бұрын
He was very strong soldier in africa we can't forget him may god bless him we will never forget his views and economic agenda.
@rachellebahati61262 жыл бұрын
Mungu wangu nakosa chakusema.angekua hai burkina Faso. Ingekua high kwa economic
@matendoa.online8032 жыл бұрын
Thanks SNS for the info. Keep it up guys
@zabibuamissi11412 жыл бұрын
Mansha Allah alikuwa muzuri atakumbukwa kwa ushuja wake
@busindevyote35192 жыл бұрын
Great, go ahead to inform us!!
@deusntobi14502 жыл бұрын
Kaka sky nasema kutoka moyoni kabsa, Ninakupenda sana na nikutabiria ukubwa ambao hata hujaufikia but ipo siku yaja utakuwa mkurugenzi wa vyombo vikubwa sana vya habari vyenye kupendwa na kuaminika kwa jamii. Si leo au kesho lakini uhai wako hautakoma pasi na kutimilika kwa utabiri wangu huu ambao sasa unamiaka zaidi ya 10 toa niupate ambao uliniijia nikiwa kijijini kwetu huko kahama nikiwa nasikiliza kilendio changu cha Rissing nilichokiungia betri za Panasonic national na taiger ili tu nipate kusikiliza radio. Kuna mda huwa naona tajil akija kwako akitaka kuwekeza lakin kun a mda huwa nakuona ukinyakuliwa na makampuni makubwa lakin hivi karibuni niliona ukichukuliwa na serikali! Kaka sky yote haya yatokee ama yasitokee lakini naamin hutoiacha hii dunia bila kuiachia kitu kitachoishi ktk vizazi na wajukuu zetu watajibu maswali na kufaulu mitiahani yao ktk kwakulitaja jina lako ktk majibu yao.
@abuusufian65062 жыл бұрын
Shukran sanaa kaka Sky
@EsterPaul-jt5im2 ай бұрын
Tomas umepata mlisi wako iblahim ichi anaibandilisha kwa kasi sana mungu awabariki .
@lwinzmohamerd83992 жыл бұрын
Hv sisi waafirika mbona tunapenda sana kujikomba sana kwa wazungu kwann tusje tukajitegemea tatzo baadhi ya viongozi wetu hawako silias na kujenga nchi zao
@hakizimanasaidi66502 жыл бұрын
Uwe Unatupa simulizi zahivo kaka yng
@emanuelandedela27712 жыл бұрын
Pole mjane.
@raiderinfos14722 жыл бұрын
JPM spirit
@emmanuelgembuya89992 жыл бұрын
Asantee Sana Sky
@norascomacho35042 жыл бұрын
Viongozi wa Africa vizungu mkuti tu.
@hakizimanasaidi66502 жыл бұрын
Kaka Ww ndo mwenye kujua kusimuliya kwakweli Mung anajua kutoa kipaji Mung akuwekeye wepesi kwenye mambo yako Ufanikiwe
@calvinpaul21712 жыл бұрын
Tatzoo waafrica 2ko wabnafsi sana..a2pendan na a2fanikiwii
@mkatavitv10142 жыл бұрын
Alikua na watoto wangapi boss
@husamtech27482 жыл бұрын
Wawili mmoja wapo ni wewe mkatavi tv
@dangotee50512 жыл бұрын
@@husamtech2748 😀😀😀
@magrethpoulpoul85852 жыл бұрын
@@husamtech2748 🤣🤣🤣mahuzunisho
@juliusjaliwa98872 жыл бұрын
Alikua na watoto, sijajua idadi yao kamili ila wanahishi France
@hopechidera2 жыл бұрын
@@juliusjaliwa9887 aliacha watoto wawili kama #Junya alivyosema,nao ni Auguste Sankara na Philippe Sankara(wote wanaume)
@silasikeyoo632 Жыл бұрын
Kwer vzr havidu
@user-zf3mb1cp4h3 ай бұрын
sky endlea kutuelimisha kwa yote ambayo hatuyajui lakn ukwel wang mm ni shabaki san wa kazi yako hi mungu akup umri mref il tuzid kujfunza kupitia wewe
@user-zf3mb1cp4h3 ай бұрын
Waafrika tunashindwa wakwel katika nchi zetu na kua wakweli kwa mabeberu tomas sankara alikua ni kiongoz mwenye akil nyingi mno mwenye upendo na nchi yake na afrikaa kwa ujumla lakin wapumbavu watumika kwa tamaa zao mungu amuweke mala pema
@HalfanMaulid11 ай бұрын
Nimeipenda.
@hkmeme54372 жыл бұрын
Marais bora kuwahi kutokea Africa #Gaddafi #mangufuli na #Sankara na ruto kenya
@nickalreadyknows11 ай бұрын
+ Mandela
@kalawajames-fw8gw3 күн бұрын
which Ruto😂😂😂
@hkmeme54372 күн бұрын
@@kalawajames-fw8gw William ruto
@kalawajames-fw8gw2 күн бұрын
@@hkmeme5437 you can't be serious😅😅
@chibunews56422 жыл бұрын
The sky voice
@selestinfrancis590411 ай бұрын
Pumzika kwa Amani Sankara, hakika Mungu akupe pumziko la Milele,Ungana naye JPM huko mlipo,mpunzike kwa Amani.
@frankmganda95852 жыл бұрын
Nimekwisha gundua wazuri hawadumu
@melichmahingule289611 ай бұрын
Siasa ni uovu, utawala wa Yesu kristo tu ukiongozwa kwa maelekezo ya Yehova Mungu ndiyo itakuwa suluhu ya haki na upendo duniani
@cosmasmilanzi7117Ай бұрын
JIHADHARINI NA WANADAMU MAANA NAWATUMA KAMA KONDOO KATI YA MBWA MWITU.....(MATHAYO.10:16-39)
@ShadrackJoel-iu3dr14 күн бұрын
yaani Africa 🌍 tutakuwa watumwa miaka yote maana ufisadi na kujipedekeza Kwa mabeberu ndy maana tunaletewa ushoga kudadeki
@magrethpoulpoul85852 жыл бұрын
😭😭😭😭😭so sad.
@umojaafrika24472 жыл бұрын
Thomas Sankara daima
@EzzyEddy-il3ce10 ай бұрын
Huyo compaole sijui alompindua Sakara ameirudisha nyuma sana Burkina Faso.Sakara alikua anampango maalumu wa kuiendeleza Burkina Faso
@ellymakongo6562 жыл бұрын
Tupe na ya uncle wetu JPM mkuu.. maana hawa ni mapacha
@emanuelmlelwa65952 жыл бұрын
Umefanya jambo jema tuna ombi uendelee na simliz Za aina hyo pia
@ummidullah997411 ай бұрын
Kizuri hakidumu
@Saidmakame-hn8ze2 ай бұрын
Kweli boc
@armandbyangoyi8203 Жыл бұрын
❤❤❤
@WilliamChibambu18 күн бұрын
wauwaji wa uwawe ili ifike mahali afrika tujitambuwe
@mussajuma74602 жыл бұрын
Africa ni vichekesho utampaje uraia mtu aliyefanya uhalifu nchi kwake tena akiwa rais Ivory coast ni vibaraka wa ufaransa ambao walimpa kazi compore kumuua sankara
@Udindigwa11 ай бұрын
Daaa
@yussufrabba22822 жыл бұрын
💯💯😣😣😣
@fatmasalima38472 жыл бұрын
R.i.p
@uaeuae1871 Жыл бұрын
😢😢😢
@RamadhaniJuma-o9b24 күн бұрын
RIP sankala
@Ndaizee11 ай бұрын
R.I.P Magufuli daima ulitufumbua macho
@saitawilson73072 жыл бұрын
😭😭😭😭😭😭
@jenyyusuph49732 жыл бұрын
Hhh dunia tumeichoka mungu rudi
@lwinzmohamerd83992 жыл бұрын
Tutamkumbuka kiongizi ama rais wa bukinafaso THOMAS SANKALA inauma sana walio fanya mauaji hayo lazma wa fungwe, hii itatukumbusha kwa rais wetu mpendwa JOHN JOSEPH MAGUFULI inanitia huzuni sana.
@emmanuelmlowe-ew7gx11 ай бұрын
Tulikuwa na jpm in tz
@ibrahimshabani354411 ай бұрын
Wakamatwe wafunguliwe mashitska wauwaji
@nahimanajo89932 жыл бұрын
😭😭😭
@King_Of_Everything2 жыл бұрын
🇹🇿🇹🇿🇹🇿👍✌.
@mndambokilavo250211 ай бұрын
wazungu wanasema waafrika hawana akili lakini kila kiongozi anayetokea mwenye akili wanaua kama unabisha fanya hayo mambo aliyofanya thomas halafu uone kama utatoboa ndio maana siku afrika ikiwa tajiri ulaya itakuwa maskini na hilo halitarusiwa imebaki kutuwekea viongozi wabovu halafu baadae wanatuita hatuna akili
@rehemamkalawa38012 жыл бұрын
Kweli kikulacho ki-nguoni mwako! 🙄 Yaani walionekana km mapacha,kumbe!
@yezagproducts856711 ай бұрын
Africa siyo mbaya wabaya ni wana Africa wenyewe. Tunakulana wenyewe na wale wanaojiona wasomi.
@alesantamakiko80111 ай бұрын
Mungu hapendi watu wake wema wapate shida hapa duniani . R.I.P Thomas Sankara
@emmanuelmlowe-ew7gx11 ай бұрын
Wazungu ndio wanaoua viongozi Waafrika
@KihangoIsmail-qn2uh11 ай бұрын
Tunawahitaji watu wazuri kama marehemu Thomas isdole Sankara lakinihuyu compaule alaaniwe milele
@rajabdibwa641511 ай бұрын
Your best friend your worst enemy
@matunzojr4862 Жыл бұрын
daah basi tu yan
@thabitngangila85622 жыл бұрын
Huzuni
@juliussilvestar898811 ай бұрын
Tatzo yeye alipata vipi serekali kama alipindua kwa upanga.Upanga saizi yake
@kiningashukran5177 Жыл бұрын
Afrika nzima ni shida
@siliviasimon79702 жыл бұрын
Sky tuletee bc na simulizi ya operation entebbe
@thefactbook...16072 жыл бұрын
They call him African Che Guevara.
@mikaelshagilu1732 Жыл бұрын
Da aliemua Shujaa Sankara mbona kakaa muda mrefu xna bila kuwajibishwa.hadi amekimbia.huyosinch wamrudishe bukinafaso na apigwe risasi hazarani mashamba xana huyo.
@salimukimolo75922 жыл бұрын
Niwazi kabisa inaoneka rais huyo kahusika
@yusuphyunusi-zz1hx11 ай бұрын
Compaore his best friend is a person who killed Sankara
@florakweyunga44902 жыл бұрын
MUNGU BABA YETU.....HUTOLETA GARIKA TENA,BALI MTAJIMALIZA WENYEWE.BABA TUNAPIGA MAGOTI MBELE YAKO,TUPUNGUZIE ADHABU HIYO.MAANA WAKUFA WATU WATU WENYE UPEO MKUBWA.
@EsterPaul-jt5imАй бұрын
Tomas Sankar napenda ujasili wako maana ulikuwa hataki mambo ya kijinga mungu anipe ujasili kama wako kaka angu traore amefata nyanyo zako safi sana pumzika kwa amani Tomas Sankar mi nipo tazania.
@hajimnubi458111 ай бұрын
Cotonou ...tamka kotonuu sio kontunu
@abelbest49842 жыл бұрын
Sangara tarehe 15 ,nyerere tarehe 14 wote October
@nancynyali23622 жыл бұрын
Unakumbukumbu nzuri I say
@hopechidera2 жыл бұрын
Na #LuckDube pia ni October 18...
@deograciakashaigili59732 жыл бұрын
Sankara
@jonasijunga156811 ай бұрын
🥲🥲🙏🙏🙏
@emmanuelmlowe-ew7gx11 ай бұрын
Magufuli ni Rais wa2 duniani kupunguza mshahara wake.wakati viongozi wengi huongeza mishahàra.
@user-hu8um8vj4r11 ай бұрын
Yupo Paul mjika ndo alikua na mshahara mdogo duniani