Asante Mh. Jumanne Kishimba kwa kuwasemea wananchi wa Kahama na wananchi wa majimbo jirani ya Msalala na Solwa. Yaani wewe ndiye Mbunge wa Mkoa. Wabunge wa majimbo ya Msalala na Solwa wao ndio wamekua madalali wa kuleta Wachina kupora migodi ya wachimbaji wadogo. Hatujawahi kuona wakisema ulivyosema maana wanakula ten percent huko kwa Wachina. Kazi yao ni kufanya juu chini ili wanaolalamika wasionekane.
@Mapenzi26358 ай бұрын
Kishimba, you are too intelligent to be understood
@jesuschristbrideministries86378 ай бұрын
Sawa mzee chishimba nakuunga mkono kabisa
@sfggf4688 ай бұрын
Mimi naumia sana nikiona wachina wanavyonunua hii migodi kiholela ikiwemo MWAKITOLYO, ipo tutajikuta tumeuza nchi nzima kwa mchina au sehemu zote za muhimu zitakuwa za Mchina.😢😢 Naumia sana wananchi tunauza nchi bila kujua
@bonifacemumba55285 ай бұрын
Mzee Toboa!!!
@amethysturanus63518 ай бұрын
Mheshimiwa Jumanne, nakushukuru kwa mawazo mema katika kujenga Taifa. Kweli wewe ni THINK TANK YA TAIFA
@laurentraphael54708 ай бұрын
CCM ni janga la taifa namba moja. Nchi iko uchi wachina, wahindi, wapakistan wamejaa kila kona wengine bila vibali.
@rynerlinuma84848 ай бұрын
Na Wasrilanka wamejaa Mahenge huko kwenye madini
@josephmajembe30908 ай бұрын
Hapo wataalam bado wanafundisha kuwa binadam walotokana na nyani tu
@simbawateranga70208 ай бұрын
Hutamuona huyu mzee anawatukana wapinzani
@ErickNyoka-uo2wz8 ай бұрын
Mh Kishimba big up umesema hoja nzuri sana na ni kweli tupu
@rasnchimbi8 ай бұрын
👇🏿 #katibampyanisasa #TUSIKUBALIKUSHIRIKICHAGUZIBILAKATIBAMPYA !Hiyo ni kushiriki Dhambi !✍🏿
@zakiamseka96988 ай бұрын
Kusoma j3 na wengine j4😅
@smallscaleminingsupplies96708 ай бұрын
Kweli mheshimiwa mi nimewakuta Wachina kijijiji Nyarugusu huko, nikawa najiuliza hawa raia wanafanya nini huku
@1961nungwi8 ай бұрын
Uuzaji migodi usitishwe kwanza. Tuwe na maeneo ya uwekezaji namba ya wageni hasiruhusiwe Wageni waruhusiwe tuu kama ni mgodi mkubwa kwa level za kimataifa. Tuwe makini kwasababu idadi ya wageni inazidi kuongezeka; kama hawana large scale investments wasiruhusiwe