Huyu mzee ni Professor kweli tuache Elimu za kukalilishwa Elimu za kwenye makaratasi, huyu mzee anafaa kuwa naibu waziri, atafanya makubwa sana anamawazo chanya yenye kugusa maisha ya watu wa chini, hongera sana mheshimiwa
@Locker69963 жыл бұрын
Professor Kishimba... very smart😄
@novathpanga82163 жыл бұрын
Ndiyo wabunge wanao hitajika,kishimba yuko vizuri sana anaongea point🔥🔥🔥🔥🔥🔥
@mariammwenda97193 жыл бұрын
We baba una akili kubwa sana, may Almighty God protect you
@fredricksteven20633 жыл бұрын
Huyu mbunge ni great thinker!!!
@anthonykondobole39623 жыл бұрын
Daahh, mzee shikamoo, mungu akulinde na corona
@itNeza3 жыл бұрын
Imekua Corona tena 🤣😂
@gracejohn8863 жыл бұрын
😁😁😁😁
@anthonykondobole39623 жыл бұрын
@@itNeza Amna kamanda watu kama hawa huwa wanakubwa na matatzo haraka kulko wale wa ndio kila hoja
@emmanuelfwillo67213 жыл бұрын
Hawa ndio vipaji maalum kama ulikuwa hujui. wale wa makaratasi achana nayo. KISHIMBA Big Up
@ramadhanimtetu72463 жыл бұрын
HAHAHAHAHAHAAA Huyu Mzee ni Hazina ya Taifa Nampenda sana Kwa Kujenga hoja
@fredymteule20923 жыл бұрын
I remember juzi kati nilikuwa maeneo ya UDSM CANTEEN vijana wapo smart wanakula chips yai na soda baadaye wanashushia na juice .. nilisikitika sana baada ya kuwauliza course gani wanachukua eti Degree ya Human Resources .. hahaha nikawaambia ivi mnajua baada ya chuo mtakosa hata mia tano ya chai ya asbh it’s better hili bumu uligawe mara mbili ili ujiwekeze ktk busness ili ukimaliza uendeleze business yako maana hakuna ajira mtaani daaaa waliniona mimi kama kichaa kuwa wao wanaconnection nyingi hapa mjini😂😂
@patrickzlee33453 жыл бұрын
.....
@enockmwakyelu1423 жыл бұрын
Nn
@enockmwakyelu1423 жыл бұрын
@@fredymteule2092 s Try)
@godwindiana62883 жыл бұрын
Tunaomba serikali imuongezee Ulinzi
@jorammpore96283 жыл бұрын
Huyu mheshimiwa anaongea vitu vya msingi sna 💪🏾💪🏾
@issamagota89453 жыл бұрын
Safisana mzee
@benderarulenge24772 жыл бұрын
Kishimba ana busara sana,Hana vijembe Wala malingalinga,ngombea uraisi mwaka 2025,kula yangu ipo
@stellamwasenga62053 жыл бұрын
safi sana mheshimiwa wewe unasemaga ukweli tu ila serikali imeweka pamba masikioni
@msafitv86633 жыл бұрын
Duuu ukisikiliza hii hotuba na ww ni muhanga wa ajira unaweza kutokwa na chozi, Asante Mbungu nadhani utakuwa unewafungua viongozi wengi hali ya wasomi huku mitaani
@newbornhaule16353 жыл бұрын
Mh kishimba wewe kweli msomi sana nafikiri hapo bungeni mpo wachache sana...
@avyalimanaathanassambuta65773 жыл бұрын
Mzee ni darasa la Saba tuu SEMA ANA AKILI SANA.
@fadhilisecha42683 жыл бұрын
Kashimba shikamoo! Unajua unachoongea. Hii ndo michango tunayoitaka sio kuanza kupakapaka mafuta nk. Tz inahitaji michango ya namna hii. Big up mzee wetu
@henryxavery17133 жыл бұрын
Mheshimiwa Kishimba,ulikuwa wapi siku zote 🤣🤣🤣🤣..
@boniphacemihayo15913 жыл бұрын
Huuu ni kama walaka kwa mataifa na watu wote...nzuri sana hii
@josehaule94253 жыл бұрын
Very wiser man, God bless you Mp
@yovithaobed55743 жыл бұрын
Hoja nzuri mheshimiwa mbunge wa kahama
@godlovemlinge22203 жыл бұрын
Kama ningefundishwa na mwalimu kama huyu mzee darasani, Walahi ningekuwa mbali sanaa
@danielkyando67263 жыл бұрын
Aiseeeee ur so creative mzee mawazo mazito ya kujenga
@jjborn87283 жыл бұрын
Mheshimiwa unastahili kuitwa Mheshimiwa Mara Sabin tu nakupenda sana kishimba naomba like elfu moja
@janegofrey31433 жыл бұрын
Asante
@musasabu69693 жыл бұрын
Anajuwa shida za watu hyu mzee
@asteriambwei33493 жыл бұрын
Kishimba unanifurahisha mnoooo ningekupa na namba yako ya cm ningekupigia uniambie nimpeleke wapi mwanangu kamaliza nimpeleke wapi màana naona ntapoteza hela yangu bure ?
@M7-Band3 жыл бұрын
Yaani huyu mzee nimemwelewa sana,anaelewa ground ikoje,na anaongea facts tupu
@khadijamisayo74763 жыл бұрын
anachekesha lakini anachoongea ni kweli kabisa
@marwakenene8473 жыл бұрын
Fine
@kassimmurji28723 жыл бұрын
Mheshimiwa unahofu namungu na mungu hakuachi atakulinda atakutetea na hatakuangusha kwa hoja zako zakutetea umaskini
@felicianholle30103 жыл бұрын
Hoja ya mh.Kishimba ni nzuri na inahitaji fikra big up mbunge
@soloartist_ivanvespalusind16093 жыл бұрын
Spika wetu naye ni Genius. Walio faulu watangazwe kwa pamoja, kusiwe na second selection
@magorimagori92643 жыл бұрын
Hahaaahaahaaaaa..mzee namwelewa sana anacho pambania...anatamani tutoke kwenye nadharia twende kwenye vitendo upande wa elimu
@fadhiliignusy37903 жыл бұрын
huyu mzee angekua waziri waelimu alafu apewe uhuru wakubadili mambo nazani tungefika mhali
@junioryasin53063 жыл бұрын
Kabsa
@KalimaxStudios3 жыл бұрын
Namini
@yohanamathias16663 жыл бұрын
Ukwel
@prosperkillas23983 жыл бұрын
Ameongea vizuri sana ili kuelewa anasemaje inahitaji utulivu wa hali ya juu Sana(kuku akila mayai yake huchomwa mdomo)........Haki chanzo chake ninini.
@eliasmtaki85183 жыл бұрын
Mtu wa akili za kawaida kumuelewa Mh Kishimba inabidi urudie kusikiliza mara 21.
@errydeo88653 жыл бұрын
saaaaana.Anachekesha lakini ni madini matupu.Hasa hilo la medical investment!
@paschazianestorymatunda64903 жыл бұрын
Huyu mtu ni potential sana
@rayprince82673 жыл бұрын
Hayo ndo matunda ya chama kimoja.point Le's
@princebuganzilut20473 жыл бұрын
Aise jamaa huyu ni kifimbo
@henryxavery17133 жыл бұрын
Hongera Sana Mh:Humanness Kushona💪👏👏👏 Ni kweli Kabisa.
@amanmwakyoma22633 жыл бұрын
Hakika huyasemayo keep it up
@abubakarsuleman19833 жыл бұрын
uyu mzee ni zaidi ya pro , na wapo wachache Tz, ni bonge la mtetezi , nafikiri ukimuweka pamoja marehemu ruge wangeweza kuwasha moto usiozimika.
@Bruno-ed1ps3 жыл бұрын
Ruge alikuwa genius
@hawwahawwa95903 жыл бұрын
Wewe baba mungu akupee uhaii mkubwaa Maan nimepitiwa maishaa ya kijijini😭😭😭🙆♀️🙆♀️
@opportunities27673 жыл бұрын
My best MP of all time... big up
@bahatinzingula43093 жыл бұрын
Hongera sana Mh.Kishimba.Mawazo yako ni mazuri sana zaidi ya Prof.
@ambakisyemwanjemba57873 жыл бұрын
Nampenda Sana kishimba wewe ndio mbunge wangu kwa Sasa.
@gipsonmwankobela28252 жыл бұрын
mbunge mwenye free mind ideas saf sana
@timbukwa97713 жыл бұрын
Nakupenda sana Kishimba my Icon!!
@trickyjosia43263 жыл бұрын
Kweli nimeamini walio ishia darasa la saba wana akili sana kwahiyo jaribuni kusikiliza michango yao na kulifanyia kazi
@mbarikiahamadjuma68243 жыл бұрын
Nakupa hongera kishimba, umetoa hoja/mchango mzuri na wakujenga
@monicakalinga82583 жыл бұрын
Shikamoo baba unajuua sana Professor
@uledimtumwa24063 жыл бұрын
Mh!!! Ati wa ugausigeli kesha enda 😂😂😂😂 Ndugai mkuda sana.
@sebamgalula26323 жыл бұрын
🌿 analokula huyu mzee hailimwi nchiii😆😀😀😀
@emmanuelmuhando10523 жыл бұрын
Mnzee kwanzia umengia bungeni Leo nimekuelewa kwaniniii wanakuita professor 💪🏿💪🏽💪🏽💪🏽💪🏿💪🏿💪💪💪🏿💪🏿🔥🔥🔥
@magongwematinde57733 жыл бұрын
Hii speech nimewasha feni lakini bado najipepea na shati. Dah
@emmanuelmanga34783 жыл бұрын
Good Kashimba
@masundelwa3 жыл бұрын
mh raisi naomba huyu mzee umpe cheo Cha UWAZIRI
@stephanomwashilindi5743 жыл бұрын
Mzee upovizuri Sana
@michaelmedard57093 жыл бұрын
Off course
@KalimaxStudios3 жыл бұрын
Apewe na ulinzi Kabisa
@gasperswai69633 жыл бұрын
Mhe kishimba yupo sahihi saaana kwanini nchi yetu wasiianzeshe competitively base ili tuweze kujua knowledges za watoto wetu at early stage, ni muhimu saana. Mzee yupo vzr
@saxannjo61733 жыл бұрын
Huwa naEnjoy sana kumsikiliza huyu PROFESOR
@MrMandevu213 жыл бұрын
Respect mzee wangu
@musasabu69693 жыл бұрын
Ukimskliza huyu mh.had inatia huzuni sana anaongea point sana
@bakarikissiga62883 жыл бұрын
Jamaa anaumiza akili sana kufikiria mbali plus comedy lakin ndo message sent
@vannyemmanuel58663 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣 we mzee una jua kumaliza MB zetu yani toka nimeanza kuku sikiliza hauchoshi
@julihanjosephyjs63613 жыл бұрын
Nampenda huyu ,ndugai kazi unayo
@neemasalema15463 жыл бұрын
Nimemuelewa sana huyu Baba ukweli anafaa kuitwa Mheshimiwa
@godfreygeofrey78043 жыл бұрын
Huyu mzee atakuwa ni darasa la saba kwenye vyeti lakini kichwani ana PHD sasa mtasubili sana nyie mnaotaka vyeti. Shikamoo Mr Kishimba.
@theophilmalaba40483 жыл бұрын
Excellent
@msafitv86633 жыл бұрын
Huyu Mbunge anaongea madini tupu
@chumanondochuma80123 жыл бұрын
Inabidi ugombee uraisi mzee na ukabidhiwe nchi
@plasidodavid14873 жыл бұрын
Genius 👏👏
@paschazianestorymatunda64903 жыл бұрын
Nimekupenda sana mbunge wa kahama
@lucaschisamalo28523 жыл бұрын
Huyu mzee ndo mbunge hayo ndomambo yakuzungumza bungeni siyo kusifusifu Safi Sana mzee
@honestmsigwa920 Жыл бұрын
Huyu Mzee ni kama kaletwa kwa neema ya mungu ana mchango mkubwa kwa taifa.
@awesomevibes58473 жыл бұрын
Namna iyo.... Ni upuuz unaenda shule unarudishwa kisa viatu ni vya blue au vyeupe..
@salumukimanzchana9873 жыл бұрын
Hongera sana kwa hoja zinazoendana na uasilia was mtanzania, hizi ndo huja za msingi na zenye kueleweka
@munampinda18883 жыл бұрын
The Best Kishimba
@boazisanga7463 жыл бұрын
Wewe mzee Mimi kuanzia leo na kutunuku cheti Cha uprofessor excellence
@sebamgalula26323 жыл бұрын
Genious, 😊😊😊
@denisbuchard37183 жыл бұрын
Huyu mzee ni kichwa sana pamoja kuwa na std v kichwani..huyu mzee ndo tajiri wa kwanza Tz kufungua Supermarkets ziliitwa imaleseko Dar & Mwz
@anthonynetto45033 жыл бұрын
Waooo!!!
@saimonmakoye50093 жыл бұрын
Ndaaaa mzeee wangu kila unachongea point tuuuu hongera sana
@ibrahimkitela82333 жыл бұрын
Na limu nazo, kila mwanafunzi aende na limu na zikifika zingine zinauzwa
@mediacare67442 жыл бұрын
Tanzania hamtaki viatu vyeusi? 😂 😂
@emmanuelmogela58713 жыл бұрын
Uyu Mzee jembe jamani anatakiwa apewe nafasi ya juuu
@KalimaxStudios3 жыл бұрын
na ulinzi
@davidmagundu22853 жыл бұрын
Mheshimiwa shkamoo! Umeongea madini sn!
@rockyvlogs22143 жыл бұрын
Mzee wangu Kishimba duh 🙌🙌
@mrmhenipm3 жыл бұрын
Huyu mzee ana hoja nzuri sana ,,lakini cha ajabu watabaki kusikiliza na kugonga meza tu ,,,mengi ameongea mazuri.
@lucaseben49143 жыл бұрын
Mh aisee?
@rashidkipingu73583 жыл бұрын
Huyu mzee MUNGU ampe maisha marefu anajua kujenga hoja
@titus_maridhia3 жыл бұрын
Huyu angesoma angekuwa mjinga sana.
@thekingcr73653 жыл бұрын
Huyu mzee namkubali sana. Anazungumza kwa lugha inayoeleweka na kila mmoja.
@Bikhafija Жыл бұрын
Uyu baba ajawahi kukukea anaonge maisha ya mwananchi wa chini Walhalla sisi Wanamake tusio na wanaume tunapata shida sana
@lujenjejr36283 жыл бұрын
😂😂😂😂 Mwamba ni Muafrika kamili
@ahmedyusuphkasili21152 жыл бұрын
Uko vizuri kishimba
@dr_godfrey3 жыл бұрын
tunao watu wenye mawazo mazuri sana hongera kishimba nakuelewa sana piga gaz
@fridahmark59303 жыл бұрын
We really need ppl lyk you ❤️
@ajuayesanga5223 жыл бұрын
Magufuli
@marcohamisi24188 ай бұрын
Uko vzr
@salehsaid40952 жыл бұрын
Awa watu ni jamii ya Hayati dr.magu ni adimu sana .inafaa awe ata waziri wa sector mama serekalini
@evaristbamfu71493 жыл бұрын
Huyu ni hazina sana kwa Taifa letu. Alindwe sana
@starlonejadamskp82243 жыл бұрын
Mheshmiwa hongera sana 🇹🇿🤝
@tanzaniatouristsattraction16223 жыл бұрын
Uyu mzee na suzan lyimo james mbatia wanajua sana mambo ya elimu
@yonakatoto40673 жыл бұрын
Daah namkubari sana
@charlesolomi95143 жыл бұрын
Ngoja Nile kwanza 😅😅😅
@rajabhussein77943 жыл бұрын
Hahahahahaha
@radhiasalum71562 жыл бұрын
Where hapo Sasa track soti,😄😄
@bahatijohn32223 жыл бұрын
Hakika we mzee ni hazina ya taifa hv tupate wapi watu kama hawa Mwenyezi Mungu hebu tusaindie xna
@kenedykihaga54163 жыл бұрын
Ulongite hilooo myaaaa
@kingcharlz29653 жыл бұрын
Alongite unofu myaa
@rajaburamadhani29862 жыл бұрын
sawakabisa👏👏👏💪💪
@daudpaulo28672 жыл бұрын
Atusaidie juu ya machinga
@hemedshalua20023 жыл бұрын
Genius
@imchristian3233 жыл бұрын
Daah mzee anajua struggle za mtaa
@mutasingwajosephat523 жыл бұрын
Hakuna chuo kikuu Cha kumtunuku Cheti cha uelewa wa juu kabisa ktk Mambo mbalimbali nauliza hkipo kweli!!!!!!!!
@yohanamathias16663 жыл бұрын
Daaah hyu mzee htrriiii
@mujwahuzikyabwishukuru29172 жыл бұрын
PROFESSOR KAMILI.
@honestmsigwa920 Жыл бұрын
Kuna wabunge wengine humo bungeni ni madudu hawana msaada wowote.