Mgomo Kariakoo. Kwa nini Serikali Inahitaji Uthubutu Kufanya Mageuzi ya Kikodi | Mtazamo Wa Pili

  Рет қаралды 3,593

The Chanzo

The Chanzo

25 күн бұрын

Leo Juni 24,2024, wafanyabiashara kariakoo walifunga maduka yao kwa sababu mbalimbali walizozitaja ikiwemo usumbufu wa kikodi na masuala mengine. Sakata hili limeishia na serikali na wafanyabiashara hao kufikia muafaka katika mambo sita.
Fuatilia uchambuzi huu unaongalia kwa nini serikali inaweza kwenda mbali zaidi.
TWITTER: / thechanzo
INSTAGRAM: / thechanzo
FACEBOOK: / thechanzo
TIKTOK: www.tiktok.com/@thechanzo?is_...
Au tembelea tovuti yetu: www.thechanzo.com
Je, una habari? wasiliana nasi kupitia Telegram/WhatsApp +255 753 815 105
The Chanzo Initiative, 2024 © All Rights Reserved.

Пікірлер: 19
@BarakerZeonlist
@BarakerZeonlist 22 күн бұрын
SHIDA SIO KULIPA KODI IMMAGINE NAPAMBANA USIKU NA MCHANA KUHAHIKISHA NAPIGA ATUA PAMOJA NA NCHI KUPIGA HATUA MARA UNASIKIA BILION IMEPIGWA NA HAKUNA SHERIA INAYOWASHIKILIA HAWA VIONGOZI KESI INAISHIA JUU KWA JUU, HAWA WATU WAPIGWE RISASI KAMA TUNATAKA NCHI IKAE SAWA ISHAKUWA TATIZO
@drallan6879
@drallan6879 20 күн бұрын
uchumi WA nchi utaparalyse plz government sct urgently on this
@NixonJohnson-zn8nk
@NixonJohnson-zn8nk 23 күн бұрын
Huyu chalamila alitudanganya ameongea na Magufuli wakati skies tiari amekufa tunamshangaa kwenye uongozi leo.. Mama India huu ujinga
@bakariulimwengu8533
@bakariulimwengu8533 22 күн бұрын
Sehemu za wazawa ni za serikalini... kwenye biashara mtu kama documents zake zimekamilika kwanini asifanye biashara
@hamisimuhunzi7916
@hamisimuhunzi7916 23 күн бұрын
..Dialogue with govt is just a waste of time. there is no political will at this time to resolve the challenges on hand.
@UncleBigi
@UncleBigi 22 күн бұрын
So we just give up then, i’m really moved with what kenya is doing
@hamisimuhunzi7916
@hamisimuhunzi7916 22 күн бұрын
@@UncleBigi it is way overdue that is the path we need to take to bring real change in Tz.
@eliaezekiel6766
@eliaezekiel6766 18 күн бұрын
Safisana Tony
@amanijampion3045
@amanijampion3045 23 күн бұрын
Tusing'ate maneno; mfumo wa kodi wa serikali ni kandamizi, kuna multiple taxation
@UncleBigi
@UncleBigi 22 күн бұрын
Tuingie barabarani 😂
@walidmgonja3644
@walidmgonja3644 20 күн бұрын
​@@UncleBigitangulia wewe uonyeshe mfano kuliko kupiga umbea mtandaoni
@jayjay4313
@jayjay4313 21 күн бұрын
Wachina wanauziwa mji huo. Watanzania wamewashtukia.
@hassankidilikia5566
@hassankidilikia5566 21 күн бұрын
Hamakwambia TENGENEZA TATIZO KISHA TATUA TATIZO watu watakupenda sana😅tutaasahau10ten?
@eliaezekiel6766
@eliaezekiel6766 18 күн бұрын
Miongoni mwa makala ninazozielewa zaidi
@drallan6879
@drallan6879 20 күн бұрын
mgomo unaenea nch I mzima mbona mku WA nchi uko kimya?
@BarakerZeonlist
@BarakerZeonlist 22 күн бұрын
HAPA KAMSEMA MO DIRECT
@bakariulimwengu8533
@bakariulimwengu8533 22 күн бұрын
Mnataka mlete ya south africa ukiulizwa wageni wanachukua kazi zenu wakati flame zingine ziko wazi
@UncleBigi
@UncleBigi 22 күн бұрын
Xenophobia 😂 kibongo kibongo i don’t think so
@user-fe8tx5bo2f
@user-fe8tx5bo2f 23 күн бұрын
Ww unatumika
Can You Draw A PERFECTLY Dotted Circle?
00:55
Stokes Twins
Рет қаралды 45 МЛН
3M❤️ #thankyou #shorts
00:16
ウエスP -Mr Uekusa- Wes-P
Рет қаралды 15 МЛН
Does size matter? BEACH EDITION
00:32
Mini Katana
Рет қаралды 18 МЛН
Best father #shorts by Secret Vlog
00:18
Secret Vlog
Рет қаралды 22 МЛН
Jamhuri ya Uchawa. Muongozo wa Kujenga Taifa Lisilojiamini
22:24
UNABII WA BALAA KENYA NA TANZANIA WAANZA KUTIMIA
38:02
huduma ya kristo
Рет қаралды 24 М.
Can You Draw A PERFECTLY Dotted Circle?
00:55
Stokes Twins
Рет қаралды 45 МЛН