TOA MAONI YAKO KWA KUTUMA SMS AMA KUPIGA KWA KUTUMIA SIMU NAMBA 0773 95 35 31 AU 0777 94 54 74 AU 0777 37 37 87 FACEBOOK PAGE TIFU TV ZANZIBAR ,TIFU TV KIJAMII ZAID. #Tifutv #zanzibar #kijamiizaidi
Пікірлер: 118
@w40582 ай бұрын
Alaysa llahu biahkamulihakimin hakimin na Allah anazijuwa mbinu zenu ovu na atawaweka mnapostahiki madhalim waku Hasbunallah Waniimal Wakiil anawaumbuwa bila wenyewe kujijuwa
@jaffaralimakame1533Ай бұрын
WEWE MWENYEWE NI MNAFIKI
@saidsheha-wn4qw2 ай бұрын
Ewe Allah, tunakuomba waja wako, wewe ndo wakuombwa hakuna mwengine ispokua wewe, mshushie laana kila aliye katika katika chama cha mapindizi. Iangsmize ccm na watu wake kama ulivyomuangamiza Firaun na wagh wake. Amin
@jaffaralimakame1533Ай бұрын
LAANA IMEANZA KWAKO WEWE USHAANZA KULAANIKA
@SaidHassan-ot3un2 ай бұрын
Basi kama wagonjwa wote wapige kura ya mapema ndio sote maana hakuna mzima maisha yameshatutia ugonjwa
@mohammedbakar41422 ай бұрын
Subhanallah yarabi yani ccm mnazalisha chuki zanzibar yani ccm kiswahili unamwita mwenzako mvuta bangi @Mansour Yussuf Himid
@MwigaAdam2 ай бұрын
Mungu anawaona nalolote litakalotokea mutakuwa mas... Uul mbele ya Allah.
@alinassor3912 ай бұрын
Sasa km kweli mnajiamini hio kura ya mapema inamaana gn mpaka Wagonjwa wa akili pia nao wapige kura ya mapema lkn wizi upo palepale ndio lengo lenu ila inshaallah m.mungu atawahukumu apa apa duniani
@alimau79392 ай бұрын
CCM Chama cha Mabaradhuli
@lailafakhihaji2 ай бұрын
Dunia nzima basi wagonjwa wapo Zanzibar tu mbona muna hila huko bara kunako watu wengi hakuna kura ya mapema au bara hawagnjwi achena hila zenu uwizi tu kutaka kupiga kura mara sabasaba
@jombadulla2 ай бұрын
asha bakar ashatangulia mbele ya haki,John pombe magufuli ashaenda,na wew ursenda,mwyi mkuu ashaenda,kwa kila nafs itaonja unauti,ata wew ipo ciku utaenda,fanya amali njema
@nassorseif79072 ай бұрын
Kwani kura ya mapema ni sheria ya Allah kua haifutiki Hio kura ya mapema ndio chanzo cha mauwaji na nyinyi ndo munaonadi amani na utulivu kila sehemu kwahio munashilikilia jambo ambalo tayar mmeshaliona athari yake ili mupate kuua wenzenu madhalimu wakubwa nyinyi Allah atawangamiza km alivo muungamiza Firauni na watu wake
@AbdallahSalim-is3db2 ай бұрын
Tafuta kazi ufanye ujipatie rizki ya halali kua c c m sio lazima. kinyume na hivo utahesabu majaji hd kiama.
Usitutukanie mansoor wetu anathamani kubwa zanzibar
@KassimAlly-xp4dz2 ай бұрын
Ccm haitadum Zanzibar kwa miaka 10 ijayo In Shaa Allah naomba muhifadhi hii comment Mwinyi hatomaliza miaka yake 10 abadan
@SanguloRaahoo2 ай бұрын
Endelea kujipa moyo ccm ni milele na milele
@SaidHassan-ot3un2 ай бұрын
@@SanguloRaahoo ikiwa ww hauna uhakika wa kesho basi ndio hivyo hivyo kwa jambo lolote hukaa kwa muda uliokadiriwa na alla
@AbdulhaamidSoud29 күн бұрын
Hakuna Cha milele walikuwepo waengerza na waliondoka @@SanguloRaahoo
@seifmohamed87252 ай бұрын
Mansoor umemwita mvuta bangi ! Jee wewe ukiambiwa khanithi au msenge utasemaje hiyo
@user-jh5ne9mw4w2 ай бұрын
Na ww pia ishalla utakufa mapema
@saidalhinai11312 ай бұрын
Mamaako mvuta bangi mbwa koko
@LUBAINAMOHDRAJAB2 ай бұрын
Kuwa mkweli maana ya kura ya mapema ni nini. Kama sio wizi.
@allymaha-tv5lf2 ай бұрын
Kila mbinu za uovu tumieni lakin inshaallah madam mna nia ya kufanyia wenzenu hamtoshinda Maisha litakalo baki kwenu hivyo hivyo Kuwauwa watu mjibebeshe jukumu Kwa Allah. wizi kura kama hivyo mnavyo panga au kuwatumia Vijana ambao hawajitambui Kwa kupiga kura mia mia . na kubiruwa matokeo na kufuta uchaguzi pale ambapo mnapoona mmeshindwa hayo ndio mnayoyajua lakin Kwa zanzibar hii ccm haishindi kwa njia ya kura ya. halali haishindi
@salyali78072 ай бұрын
Laanatullah ... Hasbiyallah waneemal wakeel
@NoufelSalim2 ай бұрын
Wote woga huo ila kura ya mapema haipo.
@ibrahimabdullah18872 ай бұрын
Wee mbwaa utamutaje mvuta bangi wezio
@nassorsharifu98372 ай бұрын
Hapo ni baada ya kuona miaka saba ya nyongeza haiwezekani
@ashahamad-mq3izАй бұрын
Wewe mbona unakashifu watu mbona yenu mumeyasau mukumbuke na umauti mafisadi wa Kitanzania wizi udhuluma ndio sera yenu kweli ACT haina nia njema je nyinyi munaouwa watu muna nia njema COM wacheni woga maana hamujiamini mumezoa kuiba kura hata aibu hamuna
@feisalmwinyi24292 ай бұрын
Wallah wingi walotouliwa binafsi Mh khamis mobeto tu ndo nnae mkubali jama sijawai msikia akiongea kumkashif mtu.. lkn pia ata akiongea unamuona fika hayupo kugombanisha wapinzani na Mh Rais mwinyi lkn hawa wengine wallah wapo kimaslai na kumgombanisha Rais wetuu mpendwa Hussein mwinyi na wapinzani na wananchi
@ZaidSeifSuleiman2 ай бұрын
Ccm Zanzibar wamechanganyikiwa
@ahmedalbalooshi85182 ай бұрын
Huko ACT kuna mvuta bangi, hii kauli haikubaliki kwa vile ni kumkash
@user-ki4sg8yz9j2 ай бұрын
Nakuambie hapo hakuna la ukweli hata moja alosema. Anawazuga mibunju wenzie tu. Khanithi mtef tef bora Mauzinde kuliko huyu.
@YussufPandu-es7ou2 ай бұрын
Zanzibar inawezakufanya uchaguzi kwa nusu SAA tu kama ilivyo nchj ya isrrael,,,lakini ulimwengu mzima unajuwa zanzanbar hakuna uchaguzi ni ubabaishaji tu,,wapiga kura laki tano uchaguzi siku mbili???? Hii ni balaa
@Maajidabdillah2 ай бұрын
Ata kama act wana mabaya yao ila hawajaifikia ccm kwa uovu ila kizuri nikua dunia ni mapito subir mfukiwe ndipo mtaiona wizi wa mapema
@user-lp1gh7im3f2 ай бұрын
Kura ya mapema ni nini kama si wizi, kwani hao wazee wa pensheni, walemavu, waja wazito na wagonjwa si wapige kura wao kwanza kisha kura ziendelee kupigwa kwa wenginine siku hiyohiyo moja
@ahmedalbalooshi85182 ай бұрын
Semeni tu kuwa ni mbinu ya kuiba kura wala hakuna shaka.
@AhmedSeif-il1xx2 ай бұрын
Magufuli yuko wapi
@ISSAJR-fo5nt2 ай бұрын
Kwani walemavu wapo Zanzibar tu au ninyi ndo mnaowatia ulemavu?
@nassorsharifu98372 ай бұрын
Kura ya mapema ndio njia ya wizi
@BinshakbuHemed-gb2zi2 ай бұрын
Nahis. Uyujamaa. Alkua. Anamushia. Bangi. Mansour. Halafu. Analiwa. Uyuuuu
@mangofish90792 ай бұрын
Ila cha ajabu kwa ccm kila wakiiba ndio wanazidi kujidhihirisha kama hawana watu wa kutosha zanzibar kura ya mapema kwa wapiga kura 5 ndio nini sasa?
@khamisjuma76162 ай бұрын
kama haijaondoka basi ccm itaondoka .hata iweje ndufu yangu
@hafidhhemed15142 ай бұрын
Uchaguzi Kwa CCM ni worst nightmare.. ikikaribia uchaguzi wanatapatapa
@humoudseyd73102 ай бұрын
Daaa yani hata aibu hamna sasa mnaogopa nini kuta kupigwa kama nchi zengine zinavopiga? Mnajishrukia 😂 duu kumbe mnaogopa hahahaha
@user-wr3jp6tg4p2 ай бұрын
Chaaa ajabu hivi visiwa vina watu takriban milio 1.8 wakati urusi na afrika kusini itakua na idadi gan wao wanapiga siku moja na wanatoa matokeo vp wao Hawana wagonjwa na watu maalum Ila cc visiwa hivi tu
@ahmedalkiyum75922 ай бұрын
Dunia bana kwsho yake mtu haijuwi
@WakaWaka-eu9ky2 ай бұрын
Wee dimwa huna swaga ni kibaraka wa ccm t huez kumwita mwenzio mvuta bangi ww je mvita unga au
@rashidmohdkhaji76492 ай бұрын
Wajidanganya aliye akiwaleya kashakufa uji uji basi hapa hapatoshi tena
@batashqiraa99362 ай бұрын
Kura ya mapema imeandaliwa maalum kwa ajili ccm kupata njia ya kuiba kura, hlf unamtukana mansour ni mvuta bangi, kibusara umefeli na huna busara, unamtukana mtu kwenye jukwaa jee wewe unavuta nini??? Si unavuta madawa ya kulevya, yaani jitu likiwa halina aibu utalijua tu uso umempauka aibu imetoka ktk uso wake
@drabdi68067 күн бұрын
hapo naomba niwasanue yaani lengo leo wale watu wa bara walioletwa kupiga kura huku zanzibar wawahi kupiga kura ili siku ya kura yenyewe wasafir waende kupiga kura kule bara
@lailafakhihaji2 ай бұрын
Hizi ni dalili za kuwaogopa wapinzani mna lenu jambo twawajua uzuri kwani hao mnaowapigisha kura mara mbilimbli ndo wanotoa siri acheni dhulma nyie uhai mfupi
@khatibal-zinjibari69562 ай бұрын
KURA ZA WIZI NA MAUWAJI NI PALE PALE
@wakwetu24442 ай бұрын
Hiyo ni Kura ya wiz.
@AliAbdullah-oy6yo2 ай бұрын
Nahisi kichefuchefu hata kusikiliza
@SuleimanSalim-ql3ny2 ай бұрын
Mim huaga nasema hviii ccm yeyote akisema jambo lolote kuhsu kura uongozi ama nchi basi liamin ata km analosema ni ovu km firoun
Sasa mbona bara Kuna watu weng hakuna kura ya mapema munataka iwe znz tu Nia yenu kuwa watu kwa idadi kubwa ila mungu yupo baba utakufaa ww mapema
@mohamedsheikh66182 ай бұрын
Mhh, mheshimiwa mimi sikuelewi wewe ni nani zaidi ya kukuona kuwa ni ccm, lakini hiyo haisumbui sina ulazima wa kukujua inatosha vyovyote ulivyo ni wewe tu na mungu wako kwa aliokubariki nayo, jambo muhimu napenda kukumbusha lisije likasahaulika katika maboresho ya kura ya mapema ni vyema ikafanyika usiku ili kuwapunguzia usumbufu maalibino na wazee wanaopokeapenshen wasisumbuke ama na jua kali au mvua, ni wazi mkifanya hivyo hata matokeo ya uchaguzi atakuwa mazuri kwa wagombea kwani vimeandikwa katika bibilia matendo - - - - - - hufanyika kwenye giza 👍
@allyalsubhy68992 ай бұрын
Labda mnavuta pamoja
@VillaBoy-fv2zw2 ай бұрын
Kwan wazanzibar wajing kuw wasielew leng len haliyakuw ccm nyot mulisom bila kuelimik wajing wakubw nyiny
@ZaidSeifSuleiman2 ай бұрын
Kwa hali hii Zanzibar hamna uchaguzi niuchafuzi
@hasinabukheiti2 ай бұрын
Mashaka tu
@khalidmwinyi19812 ай бұрын
Kwa mungu hakuna act wala ccm uko kuna uislam tuu
@HalidMuhammad-gi9qy2 ай бұрын
Jamani maneno ya chuki ya nini kumwita mtu mvuta bangi ni ujinga na ushoga pamoja na chuki zako sio za chama unayumba pumzi tu hizi
@delasdiego65372 ай бұрын
Hatutaki kura ya mapema fala ww
@labunaabouna61222 ай бұрын
Hivi niulize hii zanzibar km hawawezi democracy kwanini wasiseme tu why wanajipa shida chama tawala wameona wapi duniani kura ya mapema Nchi hii naishi ina watuilioni 80 lkn hatupigi kura ya mapema na Walemavu wagonjwa hawana idadi
@abdnassor2 ай бұрын
6:12
@saidrashid59722 ай бұрын
Umeongea vzr sana mkuu ACT 🎬 ni chama cha wafanya biashara sio chama cha kuwatumikia Wazanzibar. Kwa mujibu wa sheria ya Zanzibar 1984 kifungu cha 52 Raisi haimlazimu kupokea ushauri wa yeyote yule.
@jumamohamed31682 ай бұрын
Chama cha siasa ni ccm peke yake ndio watu wa ajabu ,unadhulumiwa katika Muungano wala husimi kitu anaekuambia kuwa hapa tunadhulumiwa kwa hili na jambo hili nawe unaona kuwa nikweli hata mtoto wa darasa la tano anaona kuwa hapa ni kweli dhulma inafanyika wewe ccm Zanzibar hulioni hilo na huku ukijua ,nyinyi tuwaiteje mimi binafsi CCM Zanzibar siwaelewi na sitawaelewa kwa ujinga ujinga huo.
@alihassan36482 ай бұрын
Tuoni mkae milele
@user-ly5nv3yv8o2 ай бұрын
Kamakurayamapema hitaondo ka utaondokaww ishaallah
@Time-ev3dw2 ай бұрын
Umoja wa walaji😊😊
@Rukaiya-lt3hmАй бұрын
Nyie maccm mutadhulumu mpaka siku ya kiama
@user-rv1vn9zj5wАй бұрын
Wewe mshenzi usiejitambua wacha kutufitinisha Wazanzibar wenzangu na hasa vijana tujiepushe na watu kama Hawa ccm tonge
@AbdulhaamidSoud29 күн бұрын
Ulijuwaje mansoor ni nvuta bangi kama si nyote wavuta bangi??
Kwani hiyo tume ni mali ya ccm na hiyo kura ya mapema ni mali ya ccm au ni. Mali ya wananch au ni jeuri ya madaraka na hapo wenye nia nje nani ?
@seifmohamed87252 ай бұрын
Pia umesikia bwana wako amos makala kamujibu nyoko wee
@saidsheha-wn4qw2 ай бұрын
Alikuwepo Firaun, leo yuko wapi?
@muslihpandu6Ай бұрын
Sas kam yeye mvuta bangi ww nan sas maana naon hujielew mtu mzima
@YahyaOthman-et2ki2 ай бұрын
DAH NCHI HII
@kitosio2 ай бұрын
Hakuna kibaya ktk mazungunzo yaliyotolewa bila kuzingatia uhasama WA vyama
@KhamisSalum-wz8cy3 күн бұрын
Unagongwa
@seifseifmohamed71182 ай бұрын
Iyendelee milele hata miaka elf.
@nassorsharifu98372 ай бұрын
Hakuna uchaguzi hapo
@jaanjaan1112 ай бұрын
Nahisi unajifurahisha wakati utasema
@husseinbakar23582 ай бұрын
Nyie ndio mliokaa na kujali matumbo yenu
@ZaidSeifSuleiman2 ай бұрын
Wacheni mipango ya wizi hamuwezi kushinda mpaka kura ya mapema
@user-ki4sg8yz9j2 ай бұрын
Hata hiyo kura ya mapema pia hawakushinda. Maalim alikua juuu
@alyspare48502 ай бұрын
punzi isikuhadae ww mzee na kutegemea siasa siku ikifika utakwenda kujibu kwa allah
@awatifalghanim11062 ай бұрын
Atajibu kabla hajafika kwa Mungu wake Unguja ni ndogo wenzake walikuwa kama yeye na mwisho wao ukawa mbaya sana. Basi Dua na Loooh za Wananchi ndio zitamrudi yeye na wenzake.
@KhadijaHussein-qn2geАй бұрын
Firauni kaondoka iwe ccm bwana watondokatu haiwi dunia inamwisho je wajinga hawa wanaojifanya miungu watu mtatuuwa sana lakini hatukati Tampa