TRENI YA UMEME YAFIKA DODOMA KADOGOSA AFUNGUKA "HII NGOMA NI NZITO,TUMETUMIA UMEME WA MIL.1.2"

  Рет қаралды 79,613

Millard Ayo

Millard Ayo

3 ай бұрын

Пікірлер: 198
@danogeto78
@danogeto78 2 ай бұрын
mimi kama mkenya 🇰🇪 Nasema hongera kwa kazi nzuli ariofanya Magufuri,mbio za East ➡️ Africa ziendelee 🇰🇪🇺🇬🇹🇿
@user-xs6sh5wh4p
@user-xs6sh5wh4p 3 ай бұрын
Rip baba magu.tumeona kazi yako😢😢😢
@elibarikikivuyo5946
@elibarikikivuyo5946 3 ай бұрын
😂😂😂achana misimu ww
@user-xs6sh5wh4p
@user-xs6sh5wh4p 3 ай бұрын
Nikweli vpofu viziwa vichaa nawasiojua nakuthamini chanzo chamto hawafkiriagi kua kunamaali ayo maji yalianzia.naww ni miongoni mwao
@zakariamachinga151
@zakariamachinga151 3 ай бұрын
Tutamkumbuka Magufuli milele ametufungua macho Tanzania inaweza
@birianination7097
@birianination7097 3 ай бұрын
Huu ni mpango wa Mkapa, Ila hitimisho ni hao wengine, ila mama katenda sana
@herodiduma9906
@herodiduma9906 3 ай бұрын
@@birianination7097 mpango wa Nyerere huu
@amanimeela1106
@amanimeela1106 3 ай бұрын
well said @birianination7097
@clementhiddi1486
@clementhiddi1486 3 ай бұрын
@@birianination7097 Mpango kila mtu anaweza, ni sawa na kuchora tu ila mtelezaji ndiyo Mwamba. JPM your legacy is here to stay forever
@bavonnyaulingo4188
@bavonnyaulingo4188 3 ай бұрын
Bibi mkubwa apewe maua yake,kwa kufanikisha zoez zima la SGR congole sana
@mopalmo5818
@mopalmo5818 3 ай бұрын
Magufuli 💯
@mgongolwajoseph6901
@mgongolwajoseph6901 3 ай бұрын
Magufuri nijuudi zako daima tutakukumbuka mzeewetu
@hemedrashid2921
@hemedrashid2921 3 ай бұрын
hizoo nijuhudiii za mama yetu acheni chukiii na wala hatutorudii kbs enziii ya mwalimmmm😂😂😂😂
@gazzomaster9462
@gazzomaster9462 3 ай бұрын
​​@@hemedrashid2921 Uongo peleka kwenu hata like aupat ushtuk
@hassanmsumari1200
@hassanmsumari1200 3 ай бұрын
Wewe mfwate basi
@ibrahimallyweunaijuahiyoco8608
@ibrahimallyweunaijuahiyoco8608 3 ай бұрын
mfuate huko alipo umpe pongezi
@its_khalidy_46
@its_khalidy_46 3 ай бұрын
Acha afe tu katuachiaa bungee la hovyo sana
@edisonpeter3894
@edisonpeter3894 3 ай бұрын
JPM for maisha
@devotamutayoba9373
@devotamutayoba9373 3 ай бұрын
RIP Mzee Magu,maono Yako yameendelezwa na mama
@user-fl3fb5gh6b
@user-fl3fb5gh6b 3 ай бұрын
RIP JPM,ulikuwa kiongozi moja na nusu
@birianination7097
@birianination7097 3 ай бұрын
Dodoma ni samia
@mwawekomiuda9779
@mwawekomiuda9779 3 ай бұрын
​@@birianination7097 mradi ni wa mgufuli mama ni mwendelezo tu.
@birianination7097
@birianination7097 3 ай бұрын
@@mwawekomiuda9779 mradi ni wa jakaya, wote ni mwendelezo
@YugoAlly
@YugoAlly 3 ай бұрын
Hongera magufur
@user-ys3gt8lp5h
@user-ys3gt8lp5h 3 ай бұрын
Hongera Jpm
@herrysonk.edward609
@herrysonk.edward609 3 ай бұрын
Umeongea vzr sana ila bila magufuli hizo pesa mngezipeleka sana nje RIP Jpm 😥💪
@birianination7097
@birianination7097 3 ай бұрын
Magu kakuta mradi, infact kati ya magu na huyu mama, mama katenda sana maana Magu miaka sita aliachia mradi bado Moro, huyu miaka mitatu kafikisha Mwanza
@josephmathayo5139
@josephmathayo5139 3 ай бұрын
Hongera Mh: Rais S.S. H Kwa kuendeleza Kwa Kasi miradi mliyoianzisha na Mwendazake J.PM. Kila la Kheri.
@mussamussa8181
@mussamussa8181 3 ай бұрын
Unaweza ku edit ilo neno kwa kasi
@fredrickmassawe2437
@fredrickmassawe2437 3 ай бұрын
Mungu mpokee mtumishi wako Magufuli
@anwaritesal4695
@anwaritesal4695 3 ай бұрын
Pongezi zimfikie mjomba Magufuli
@abrahammollel3558
@abrahammollel3558 3 ай бұрын
Hii ndio tunachotaka mama uendelezaji wa mtangulizi wako mungu Akubariki kwa kutuandalia maisha ya mama Tanzania ya baadaye
@exaverysimon1064
@exaverysimon1064 3 ай бұрын
MUNGU AKUBARIK SANA MAMA SAMIA UNAUPIGA MWING PIA UMEMUHESHIMISHA MAGUFULI KAMA UNGEUPUUZIA HUU MLAD KAMWE MAGU LEO ASINGEKUMBUKWA
@nth3512
@nth3512 3 ай бұрын
Wamejitahidi sana, kwa bus ni masaa hata 7, sasa hiyo testing tu imewahi ivyo masaa 3, Kwa maana hiyo mwenye bus yuko morogoro wenyewe wako dodoma. Ni vizuri sana
@ChinaboyKipese
@ChinaboyKipese 3 күн бұрын
Mwenyez Mungu awabariki kwa kaz kubwa mnayo fanya viongoz
@kassebo
@kassebo 3 ай бұрын
Magufuli. Dreams
@user-ts9lp4rm9j
@user-ts9lp4rm9j 3 ай бұрын
VIVA JPM ULITHUBUTU BABA
@Ben-gj6is
@Ben-gj6is 3 ай бұрын
yani huyu Mkurugenzi hana facts zake kabisa, eti piga hesabu apo, utajua..😂😂
@herrysonk.edward609
@herrysonk.edward609 3 ай бұрын
Maono ya mwamba kutoka kijijini chato tunayaona endelea kupumzika kwa amani JPM
@martinisadru9899
@martinisadru9899 3 ай бұрын
Sio kweli, alianzisha kikwetwe huo mpango, japo yeye hakua na wazo iwe ya umeme. Alicho ongezea hapo mafuli ni umeme.
@martinndunguru6358
@martinndunguru6358 3 ай бұрын
​@@martinisadru9899 kwani ukiukubali huo ukweli, ndio atafufuka?!!!! Magu alikua kichwa Mzee
@crershawmafia1009
@crershawmafia1009 3 ай бұрын
Ameacha alama
@user-kk6bf6bt6f
@user-kk6bf6bt6f 3 ай бұрын
Hongeraaa maguful uliyoyaacha yanaendelezwa
@HansChuma
@HansChuma 3 ай бұрын
Tanzania mbona tunaweza sema kunamijitu haisikii yani wao kuiba tuu hawachoki na hawana hata huruma kwa maendeleo yetu sote yani wao wizi tuu kujilindikizia pesa nakufanya maendeleo ya nchi nyungine Rip mzee wangu Magufuli❤❤❤❤
@elinamilyatuu7337
@elinamilyatuu7337 3 ай бұрын
Kazi nzuri...mwezi wa saba sio mbali tunahitaji huduma
@ramadhanramadhan3698
@ramadhanramadhan3698 3 ай бұрын
Naaam, Tumefika hatua nzuri, Bei iwe rafiki ili wananchi wanyonge wafurahie matunda ya jasho lao, basi ni vyema hata uendeshaji wakapewa mashirika ya ndani, endapo serikali ikishindwa kufanya hivyo, suala la usalama dhidi ya matishio yote kwa ujumla wake lipewe kipaumbele kwani huu ni uwekezaji wa kimkakati. Mungu awe mbele yetu, ALUTA CONTINUA.
@sarahgaula2220
@sarahgaula2220 3 ай бұрын
Matunda ni ya walipa Kodi Ila usafiri ni WA public
@MethodJulius-fu9hf
@MethodJulius-fu9hf 3 ай бұрын
Stareh gharama unataka kufika haraka, na luxury then uende moro kwa 15 elf, mnyonge atapanda la mkokoteni na kku wake na mafuta ya mawese😂
@khamissaleh921
@khamissaleh921 3 ай бұрын
Hongera MAMA SAMIA KWA KUIWEZESHA RELI YA SGR NA KULETA MABEHEWA NA TRENI ZA KISASA ...
@hasaabdi7199
@hasaabdi7199 3 ай бұрын
Hongera Mama samia piga kazi
@malupex6299
@malupex6299 3 ай бұрын
Hongereni sn viongozi wetu mnafanya vizuri chini ya uongozi wa Rais SSH
@MatronaThomas-wz5si
@MatronaThomas-wz5si 3 ай бұрын
Watanzania tuache kuzima data lazima tumpe maua kiongozi pia aliyeanzisha kazi na hasa umeme wa ziada RIP Magu
@MasoudyMichael-ox7xl
@MasoudyMichael-ox7xl 3 ай бұрын
Kile kichwa Cha magu kingepimwa Kwanza aisee🎉
@bakarinondi6979
@bakarinondi6979 3 ай бұрын
Jpm hata wasipo mtaja na kumpongeza Watanzania watampongeza, Rest in Peace Jpm
@user-mm4uy7cy9w
@user-mm4uy7cy9w 3 ай бұрын
Allah ampe amlinde na ampe afyanjema raisi wetu
@shedrackmutalemwa7310
@shedrackmutalemwa7310 3 ай бұрын
Tukumbuke kumshukuru Mungu.
@MikidadiSalim-xk9dc
@MikidadiSalim-xk9dc Ай бұрын
Mashallah...
@SuzanacMgonukulima
@SuzanacMgonukulima 3 ай бұрын
Huu muendelezo mzuri wa rais Wetu
@potiyowatz836
@potiyowatz836 3 ай бұрын
Good news
@esromkanubo815
@esromkanubo815 3 ай бұрын
Naona akija Rais kama jpm na hiyo yazamani inadilishwa itumie umeme
@mosesbuhilya4348
@mosesbuhilya4348 3 ай бұрын
Inabariki sana
@t1910j
@t1910j 3 ай бұрын
Oh wow!
@selemankishema5780
@selemankishema5780 3 ай бұрын
Bado umeme unatumika mwingi kunatakiwa kuwe na ubunifu zaidi kupunguza gharama za umeme
@herodiduma9906
@herodiduma9906 3 ай бұрын
Nenda kaongeze ubunifu
@hawaally2308
@hawaally2308 3 ай бұрын
Huu sasa ndio usafiri uliotakiwa kutangulia kuinua uchumi na utakaofikia wananchi wa daraja lililo na wengi na hatimaye uchumi wetu kupanda kama tu urasimu na ubinafsi utakuwa hakuna. Hongera kwa mtoa wazo na mtekelezaji
@justice607
@justice607 3 ай бұрын
Duh gharama kubwa mno but big up to JPM
@lisawilliam2491
@lisawilliam2491 3 ай бұрын
Niceeee
@omarybakunda2554
@omarybakunda2554 3 ай бұрын
Haya ndio mambo tunayataka Kwenye nchi yetu Tanzania.
@user-hm9bd8nv9h
@user-hm9bd8nv9h 3 ай бұрын
Muunganiko huu wa usimamizi wa Maendeleo ya nchi ndio ulitakiwa ufuatwe tangu uhuru , sio kila anayeingia madarakani anaanzisha ya kwake na haikamiliki . Mama Samia Suluhu Hassan Rais wetu unastahili pongezi sana , umekamilisha Bwawa la Nyerere ,SGR na Miradi mbalimbali . Hongera sana pamoja na Wasaidizi wako. BE BLESSED MADAM PRESIDENT .
@joycelinelyimo-fenske8745
@joycelinelyimo-fenske8745 3 ай бұрын
Kama bwawa la nyerere limekamilika! Sasa mbona umeme bado unakatikakatika!!!????😮
@user-uo8xw9kr4b
@user-uo8xw9kr4b 3 ай бұрын
Shida miundo mbinu ya kupokea umeme na kusambaza ndio mibovu hawasemi ukweli umeme mwingi unapotea bure.tu.
@ibrahimallyweunaijuahiyoco8608
@ibrahimallyweunaijuahiyoco8608 3 ай бұрын
@@joycelinelyimo-fenske8745 una kichwa kigumu kuelewa itakua umepata zero formfour
@user-nl3vn6dg6j
@user-nl3vn6dg6j 3 ай бұрын
Asante sanaaaaaa mama Samia, kazi unayoifanya tunaiona, mwenye macho anaona .
@kelvinmgendwa1438
@kelvinmgendwa1438 3 ай бұрын
Good
@shaqdizo7678
@shaqdizo7678 3 ай бұрын
WAKENYA BADO WANATUMIA TRENI YA MAKAA 😂😂😂 WAAMBIENI WAJE KUJIFUNZA HAPA😂😂
@Soon815
@Soon815 3 ай бұрын
😁😁😁😁😂😂😂
@joshuajackson3827
@joshuajackson3827 3 ай бұрын
Point
@rajjoshua7328
@rajjoshua7328 3 ай бұрын
Itatumia mwingi zaidi sababu wanataka itembee chini ya speed yake, halafu hizo nisiasa tu umeme niwakwwtu wala hawahitaji kuanza kutuletea story za gharama za umeme ilihali niwakwetu wenyewe, hatupewi kutoka nchi jirani.
@mhammadmahfudh1324
@mhammadmahfudh1324 3 ай бұрын
Duh 1.2 million 😮😮 so mchezo
@PaulDavid-yk9xo
@PaulDavid-yk9xo 2 ай бұрын
Reli ya watanzania,umeme wa watanzania,tumpongeze alieanzisha pia anaendeleza,swali langu mbona nauli za SGR za kuu kukaribia za ndege?
@aliferuzi1537
@aliferuzi1537 3 ай бұрын
HONGERA KWA SERIKALI KUFIKISHA MRADI HUU HATUA KUBWA ILA IFANYWE KUMBUKIZI BASI YA MUANZILISJI WA HILI WAZO LA UJENZI HUU
@mariamjamali1444
@mariamjamali1444 3 ай бұрын
Hivi nyie viongozi ambao kila siku ni kusifu tuu Mh Rais Mh Rais je nafasi ya wananchi ambao ndio wanaomlipa huyo mnaemsifu iko wapi?! Naamini ipo siku watanzania wataipata nafasi yao.
@barrynzeyimana6270
@barrynzeyimana6270 3 ай бұрын
UchaguZI UBAKARIBIA
@mansooralaisri5200
@mansooralaisri5200 3 ай бұрын
Kadogosa amezungumzia umeme zaidi, kuliko kuzungumzia Reli. Mwananchi wa uvinza atakushangaa😅😅
@user-hn7uv4yg2q
@user-hn7uv4yg2q 3 ай бұрын
chaajabu mzee wamsoga alitaka ajenge yamafuta😂
@hemedrashid2921
@hemedrashid2921 3 ай бұрын
achaaaa fitinaa na uaduii wenu tunawajuaaa na wala hatutolalalaaa tenaa futa kichwaa ujingaa wakoo
@husseinkombomwachikobe8828
@husseinkombomwachikobe8828 3 ай бұрын
Tujulishsni....nauli
@JacklineswaniMakindo
@JacklineswaniMakindo 3 ай бұрын
I'm in love with you 😍 masanja kadogosa
@ramadhanmahongole9293
@ramadhanmahongole9293 3 ай бұрын
Hiyo test mnatumia tlain ya abiria badala ya tlain ya mizigo?!
@saididodi3988
@saididodi3988 3 ай бұрын
Tanzania sasa imeanza kuonekana kwenye ramani ya dunia kweli tunaweza
@user-xm2xi9qj9n
@user-xm2xi9qj9n 3 ай бұрын
Bei iwe rafik
@sunsetstudioz
@sunsetstudioz 3 ай бұрын
OKE
@KhaleedHamad-vl7lz
@KhaleedHamad-vl7lz 3 ай бұрын
Million moja laki mbili subiri ianze kazi rasmi utaskia milioni 2
@BONGOINMOTION
@BONGOINMOTION 3 ай бұрын
Umeme wa mil 2 ,,kama faida IPO piga kazi kama hakuna faida piga chini
@Soon815
@Soon815 3 ай бұрын
Faida ipo kubwa mno
@NuruNgolle
@NuruNgolle 8 күн бұрын
Shingapi nataka kesho niende dar niko dodoma
@andrewbigambo6721
@andrewbigambo6721 3 ай бұрын
Ukichanganya mwambie aweke free kupunguza gharama ya unit.
@MatronaThomas-wz5si
@MatronaThomas-wz5si 3 ай бұрын
Acheni kumsahau aliyedhubutu wamepita wangapi RIP Magufuli
@justice607
@justice607 3 ай бұрын
Daima tutakukumbuka Bulldozer, jembe, JPM ulikuwa na nia njema na nchi yetu hii TZ😢
@MzaziMzazi
@MzaziMzazi 3 ай бұрын
Ukiwa wewe ni mwalimu wa dini siku nyimgine, ukitoa maelezo, ongela kiswahili Moja kwa Moja, sisi wengine ni waswahili, hapa ni tz,, acha zalau ,mwalimu gani wewe,,,,,makini
@maternmkomange5389
@maternmkomange5389 3 ай бұрын
Yani kama nauli tu ikiwa chini yani tufanye sh 35000 kama Kila kichwa Cha TREN kikibeba watu 60 na vichwa 35000 mara 60 nipesa ndefu Haina mfano
@vintagemusicgroup9236
@vintagemusicgroup9236 3 ай бұрын
Wangetumia mafuta ya milioni ngapi?
@majaliwawilson9372
@majaliwawilson9372 3 ай бұрын
Kichwa Cha mchongoko kikowap tulion mlisema vimefika vikowap mbona hicho chakawaida
@user-ts9lp4rm9j
@user-ts9lp4rm9j 3 ай бұрын
Wanaunganisha pale vingunguti
@tintin0019
@tintin0019 2 ай бұрын
NA TANESKO WANAVYO KATA KATA STIMA MUNGU ATUSTIRI😅
@fredyjunior6961
@fredyjunior6961 3 ай бұрын
#NASIMAMA NA SAMIA
@lulanjamd3886
@lulanjamd3886 3 ай бұрын
Rip uncle Magufuli
@nicodemusfidelis3772
@nicodemusfidelis3772 3 ай бұрын
MAGUFULI hoyeeeee
@OmariHamza-eo8tq
@OmariHamza-eo8tq 3 ай бұрын
hoyee tena hoyeeee hata hiyo tren ingeitwa Magufuli
@msowamhokole7714
@msowamhokole7714 3 ай бұрын
Jamani njiani jaribuni kuwa makini na ajari maana mmm
@wozanawewoz979
@wozanawewoz979 3 ай бұрын
Biashara za mabasi sasa basii😂
@OmariHamza-eo8tq
@OmariHamza-eo8tq 3 ай бұрын
Ndan ya trein au mabehewa yana Wifer
@vero57
@vero57 3 ай бұрын
MAGUFULI BABA , ULIFANYA KAZI NZURI SANA, KWAHIVYO TANESCO WAKIKATA HAKUNA SAFARI?????
@whatisthetruth.8793
@whatisthetruth.8793 3 ай бұрын
Dosho hilo treni
@daudimichael7338
@daudimichael7338 3 ай бұрын
JPM ulale salama!!
@shomarymussa6970
@shomarymussa6970 3 ай бұрын
Sasa naizo treni za zamani zinatumia nin kamapesa haziendinje
@user-zg4yz7je8d
@user-zg4yz7je8d 3 ай бұрын
Kwendeni uko kazi ya magufuri na mlimbeza leo anapewa sifa mwingine? Ivi mnafikiri mtawadanganya watanzania mpaka lini
@herrysonk.edward609
@herrysonk.edward609 3 ай бұрын
Hata hawawezi kudanganya lbd tufe kwanza sisi tulioshuhudia mwamba akipigwa vita kila kona eti leo hongera mama duuh unafiki sio mzuri
@user-vw6er5rz2y
@user-vw6er5rz2y 3 ай бұрын
Wakupongezwa mama samia
@daudimichael7338
@daudimichael7338 3 ай бұрын
​@@user-vw6er5rz2yBila JPM kumchagua Samia awe makamu wake hata usingemjua. JPM kwanzaaa
@JumaAbdalla-xm9pb
@JumaAbdalla-xm9pb 3 ай бұрын
Hayati JPM hakika ww ulikuwa na maono tunakukumbuka sana
@asungushepatrick5414
@asungushepatrick5414 3 ай бұрын
Magufuli alikuwa kiongozi.
@Manase_js
@Manase_js 3 ай бұрын
Rip magu
@omaryluambano3495
@omaryluambano3495 3 ай бұрын
Rest in peace Jmp 🕊🙏
@SaimonAmedeusTenga
@SaimonAmedeusTenga 3 ай бұрын
Magufuli😢😢😢
@sherallyabdallah248
@sherallyabdallah248 3 ай бұрын
Hajui kuongea
@ramadhanijuma4130
@ramadhanijuma4130 3 ай бұрын
Engineer na kuongea ni vitu viwili tofauti
@ellenirelli4912
@ellenirelli4912 3 ай бұрын
Njoo uchukuwe ubunge nafasi ni yako, hakika tunakuamini
@JumaAbdalla-xm9pb
@JumaAbdalla-xm9pb 3 ай бұрын
Ww acha kuongea pumba kama si magu tungeendelea kuona kwenye tv tu wamepita wangu mbona hata wazo hawakuleta magu tunakukumbuka
@laurenciamwalongo8165
@laurenciamwalongo8165 3 ай бұрын
Magufuli tunakupenda daima
@izack9191
@izack9191 3 ай бұрын
QttMlisema kichwa cha nyoka mbona sikioni 😂
@denisrukangula2227
@denisrukangula2227 3 ай бұрын
Masaa maatatu na nusu hivi kutoka dar to dom Ila inatakiwa iwe masaa mawili tu
@sibtwunyangeonlinetv7825
@sibtwunyangeonlinetv7825 3 ай бұрын
Imebeba viongozi wa nchi pamoja na dini haiwezi kutembea mwendo huo + ni majaribio2 kwahyo wataongeza mdogo mdogo
@Adamadam-du5vx
@Adamadam-du5vx 3 ай бұрын
Wanafanya majalibio kaka awawez kukuambia wabongo jaman umuishi kukusow
@nth3512
@nth3512 3 ай бұрын
Wamejitahidi sana, kwa bus ni masaa hata 7, sasa hiyo testing tu imewahi ivyo. Kwa maana hiyo mwenye bus yuko morogoro wenyewe wako dodoma. Ni vizuri sana
@jameshoya2115
@jameshoya2115 3 ай бұрын
Mbona bado wanatumia hivi vichwa walivyosema ni vya treni ya mzigo?? Na wakati vichwa vya mchongoko vilishafika!!
@OmariHamza-eo8tq
@OmariHamza-eo8tq 3 ай бұрын
Subir tuliza moyo
@HoseaLeonard
@HoseaLeonard 3 ай бұрын
Tanzania hatujawahi kuwa wasimamizi wazuri wa miradi, hoestly speaking utakufa kama mingine iliyowahi kuwepo😂
@leylaruhabaye9017
@leylaruhabaye9017 3 ай бұрын
Mungu msamehe magufuli na ss pia ukweli ni juhudi zako km ungekuwepo tungekuwa mbali sana.mungu akuweke unapostahili amiin
@robertzamani5612
@robertzamani5612 3 ай бұрын
Angekuwepo Mwamba ingekuwa ilishaanza siku nyingi safar Hawa wapo taratibu mno
НЫСАНА КОНЦЕРТ 2024
2:26:34
Нысана театры
Рет қаралды 861 М.
Despicable Me Fart Blaster
00:51
_vector_
Рет қаралды 27 МЛН
Inside Out 2: Who is the strongest? Joy vs Envy vs Anger #shorts #animation
00:22
Iron Chin ✅ Isaih made this look too easy
00:13
Power Slap
Рет қаралды 35 МЛН
HUU HAPA MCHONGOKO UKIKATA UPEPO KWENYE MAJARIBIO
1:03
TRC RELI TV
Рет қаралды 32 М.
HIVI NDIVYO TRENI YA SGR ILIVYOWASILI DODOMA
4:34
Daily News Digital
Рет қаралды 9 М.
НЫСАНА КОНЦЕРТ 2024
2:26:34
Нысана театры
Рет қаралды 861 М.