hizoo nijuhudiii za mama yetu acheni chukiii na wala hatutorudii kbs enziii ya mwalimmmm😂😂😂😂
@gazzomaster94623 ай бұрын
@@hemedrashid2921 Uongo peleka kwenu hata like aupat ushtuk
@hassanmsumari12003 ай бұрын
Wewe mfwate basi
@ibrahimallyweunaijuahiyoco86083 ай бұрын
mfuate huko alipo umpe pongezi
@its_khalidy_463 ай бұрын
Acha afe tu katuachiaa bungee la hovyo sana
@edisonpeter38943 ай бұрын
JPM for maisha
@devotamutayoba93733 ай бұрын
RIP Mzee Magu,maono Yako yameendelezwa na mama
@user-fl3fb5gh6b3 ай бұрын
RIP JPM,ulikuwa kiongozi moja na nusu
@birianination70973 ай бұрын
Dodoma ni samia
@mwawekomiuda97793 ай бұрын
@@birianination7097 mradi ni wa mgufuli mama ni mwendelezo tu.
@birianination70973 ай бұрын
@@mwawekomiuda9779 mradi ni wa jakaya, wote ni mwendelezo
@YugoAlly3 ай бұрын
Hongera magufur
@user-ys3gt8lp5h3 ай бұрын
Hongera Jpm
@herrysonk.edward6093 ай бұрын
Umeongea vzr sana ila bila magufuli hizo pesa mngezipeleka sana nje RIP Jpm 😥💪
@birianination70973 ай бұрын
Magu kakuta mradi, infact kati ya magu na huyu mama, mama katenda sana maana Magu miaka sita aliachia mradi bado Moro, huyu miaka mitatu kafikisha Mwanza
@josephmathayo51393 ай бұрын
Hongera Mh: Rais S.S. H Kwa kuendeleza Kwa Kasi miradi mliyoianzisha na Mwendazake J.PM. Kila la Kheri.
@mussamussa81813 ай бұрын
Unaweza ku edit ilo neno kwa kasi
@fredrickmassawe24373 ай бұрын
Mungu mpokee mtumishi wako Magufuli
@anwaritesal46953 ай бұрын
Pongezi zimfikie mjomba Magufuli
@abrahammollel35583 ай бұрын
Hii ndio tunachotaka mama uendelezaji wa mtangulizi wako mungu Akubariki kwa kutuandalia maisha ya mama Tanzania ya baadaye
@exaverysimon10643 ай бұрын
MUNGU AKUBARIK SANA MAMA SAMIA UNAUPIGA MWING PIA UMEMUHESHIMISHA MAGUFULI KAMA UNGEUPUUZIA HUU MLAD KAMWE MAGU LEO ASINGEKUMBUKWA
@nth35123 ай бұрын
Wamejitahidi sana, kwa bus ni masaa hata 7, sasa hiyo testing tu imewahi ivyo masaa 3, Kwa maana hiyo mwenye bus yuko morogoro wenyewe wako dodoma. Ni vizuri sana
@ChinaboyKipese3 күн бұрын
Mwenyez Mungu awabariki kwa kaz kubwa mnayo fanya viongoz
@kassebo3 ай бұрын
Magufuli. Dreams
@user-ts9lp4rm9j3 ай бұрын
VIVA JPM ULITHUBUTU BABA
@Ben-gj6is3 ай бұрын
yani huyu Mkurugenzi hana facts zake kabisa, eti piga hesabu apo, utajua..😂😂
@herrysonk.edward6093 ай бұрын
Maono ya mwamba kutoka kijijini chato tunayaona endelea kupumzika kwa amani JPM
@martinisadru98993 ай бұрын
Sio kweli, alianzisha kikwetwe huo mpango, japo yeye hakua na wazo iwe ya umeme. Alicho ongezea hapo mafuli ni umeme.
@martinndunguru63583 ай бұрын
@@martinisadru9899 kwani ukiukubali huo ukweli, ndio atafufuka?!!!! Magu alikua kichwa Mzee
@crershawmafia10093 ай бұрын
Ameacha alama
@user-kk6bf6bt6f3 ай бұрын
Hongeraaa maguful uliyoyaacha yanaendelezwa
@HansChuma3 ай бұрын
Tanzania mbona tunaweza sema kunamijitu haisikii yani wao kuiba tuu hawachoki na hawana hata huruma kwa maendeleo yetu sote yani wao wizi tuu kujilindikizia pesa nakufanya maendeleo ya nchi nyungine Rip mzee wangu Magufuli❤❤❤❤
@elinamilyatuu73373 ай бұрын
Kazi nzuri...mwezi wa saba sio mbali tunahitaji huduma
@ramadhanramadhan36983 ай бұрын
Naaam, Tumefika hatua nzuri, Bei iwe rafiki ili wananchi wanyonge wafurahie matunda ya jasho lao, basi ni vyema hata uendeshaji wakapewa mashirika ya ndani, endapo serikali ikishindwa kufanya hivyo, suala la usalama dhidi ya matishio yote kwa ujumla wake lipewe kipaumbele kwani huu ni uwekezaji wa kimkakati. Mungu awe mbele yetu, ALUTA CONTINUA.
@sarahgaula22203 ай бұрын
Matunda ni ya walipa Kodi Ila usafiri ni WA public
@MethodJulius-fu9hf3 ай бұрын
Stareh gharama unataka kufika haraka, na luxury then uende moro kwa 15 elf, mnyonge atapanda la mkokoteni na kku wake na mafuta ya mawese😂
@khamissaleh9213 ай бұрын
Hongera MAMA SAMIA KWA KUIWEZESHA RELI YA SGR NA KULETA MABEHEWA NA TRENI ZA KISASA ...
@hasaabdi71993 ай бұрын
Hongera Mama samia piga kazi
@malupex62993 ай бұрын
Hongereni sn viongozi wetu mnafanya vizuri chini ya uongozi wa Rais SSH
@MatronaThomas-wz5si3 ай бұрын
Watanzania tuache kuzima data lazima tumpe maua kiongozi pia aliyeanzisha kazi na hasa umeme wa ziada RIP Magu
@MasoudyMichael-ox7xl3 ай бұрын
Kile kichwa Cha magu kingepimwa Kwanza aisee🎉
@bakarinondi69793 ай бұрын
Jpm hata wasipo mtaja na kumpongeza Watanzania watampongeza, Rest in Peace Jpm
@user-mm4uy7cy9w3 ай бұрын
Allah ampe amlinde na ampe afyanjema raisi wetu
@shedrackmutalemwa73103 ай бұрын
Tukumbuke kumshukuru Mungu.
@MikidadiSalim-xk9dcАй бұрын
Mashallah...
@SuzanacMgonukulima3 ай бұрын
Huu muendelezo mzuri wa rais Wetu
@potiyowatz8363 ай бұрын
Good news
@esromkanubo8153 ай бұрын
Naona akija Rais kama jpm na hiyo yazamani inadilishwa itumie umeme
@mosesbuhilya43483 ай бұрын
Inabariki sana
@t1910j3 ай бұрын
Oh wow!
@selemankishema57803 ай бұрын
Bado umeme unatumika mwingi kunatakiwa kuwe na ubunifu zaidi kupunguza gharama za umeme
@herodiduma99063 ай бұрын
Nenda kaongeze ubunifu
@hawaally23083 ай бұрын
Huu sasa ndio usafiri uliotakiwa kutangulia kuinua uchumi na utakaofikia wananchi wa daraja lililo na wengi na hatimaye uchumi wetu kupanda kama tu urasimu na ubinafsi utakuwa hakuna. Hongera kwa mtoa wazo na mtekelezaji
@justice6073 ай бұрын
Duh gharama kubwa mno but big up to JPM
@lisawilliam24913 ай бұрын
Niceeee
@omarybakunda25543 ай бұрын
Haya ndio mambo tunayataka Kwenye nchi yetu Tanzania.
@user-hm9bd8nv9h3 ай бұрын
Muunganiko huu wa usimamizi wa Maendeleo ya nchi ndio ulitakiwa ufuatwe tangu uhuru , sio kila anayeingia madarakani anaanzisha ya kwake na haikamiliki . Mama Samia Suluhu Hassan Rais wetu unastahili pongezi sana , umekamilisha Bwawa la Nyerere ,SGR na Miradi mbalimbali . Hongera sana pamoja na Wasaidizi wako. BE BLESSED MADAM PRESIDENT .
@joycelinelyimo-fenske87453 ай бұрын
Kama bwawa la nyerere limekamilika! Sasa mbona umeme bado unakatikakatika!!!????😮
@user-uo8xw9kr4b3 ай бұрын
Shida miundo mbinu ya kupokea umeme na kusambaza ndio mibovu hawasemi ukweli umeme mwingi unapotea bure.tu.
@ibrahimallyweunaijuahiyoco86083 ай бұрын
@@joycelinelyimo-fenske8745 una kichwa kigumu kuelewa itakua umepata zero formfour
@user-nl3vn6dg6j3 ай бұрын
Asante sanaaaaaa mama Samia, kazi unayoifanya tunaiona, mwenye macho anaona .
@kelvinmgendwa14383 ай бұрын
Good
@shaqdizo76783 ай бұрын
WAKENYA BADO WANATUMIA TRENI YA MAKAA 😂😂😂 WAAMBIENI WAJE KUJIFUNZA HAPA😂😂
@Soon8153 ай бұрын
😁😁😁😁😂😂😂
@joshuajackson38273 ай бұрын
Point
@rajjoshua73283 ай бұрын
Itatumia mwingi zaidi sababu wanataka itembee chini ya speed yake, halafu hizo nisiasa tu umeme niwakwwtu wala hawahitaji kuanza kutuletea story za gharama za umeme ilihali niwakwetu wenyewe, hatupewi kutoka nchi jirani.
@mhammadmahfudh13243 ай бұрын
Duh 1.2 million 😮😮 so mchezo
@PaulDavid-yk9xo2 ай бұрын
Reli ya watanzania,umeme wa watanzania,tumpongeze alieanzisha pia anaendeleza,swali langu mbona nauli za SGR za kuu kukaribia za ndege?
@aliferuzi15373 ай бұрын
HONGERA KWA SERIKALI KUFIKISHA MRADI HUU HATUA KUBWA ILA IFANYWE KUMBUKIZI BASI YA MUANZILISJI WA HILI WAZO LA UJENZI HUU
@mariamjamali14443 ай бұрын
Hivi nyie viongozi ambao kila siku ni kusifu tuu Mh Rais Mh Rais je nafasi ya wananchi ambao ndio wanaomlipa huyo mnaemsifu iko wapi?! Naamini ipo siku watanzania wataipata nafasi yao.
@barrynzeyimana62703 ай бұрын
UchaguZI UBAKARIBIA
@mansooralaisri52003 ай бұрын
Kadogosa amezungumzia umeme zaidi, kuliko kuzungumzia Reli. Mwananchi wa uvinza atakushangaa😅😅
@user-hn7uv4yg2q3 ай бұрын
chaajabu mzee wamsoga alitaka ajenge yamafuta😂
@hemedrashid29213 ай бұрын
achaaaa fitinaa na uaduii wenu tunawajuaaa na wala hatutolalalaaa tenaa futa kichwaa ujingaa wakoo
@husseinkombomwachikobe88283 ай бұрын
Tujulishsni....nauli
@JacklineswaniMakindo3 ай бұрын
I'm in love with you 😍 masanja kadogosa
@ramadhanmahongole92933 ай бұрын
Hiyo test mnatumia tlain ya abiria badala ya tlain ya mizigo?!
@saididodi39883 ай бұрын
Tanzania sasa imeanza kuonekana kwenye ramani ya dunia kweli tunaweza
@user-xm2xi9qj9n3 ай бұрын
Bei iwe rafik
@sunsetstudioz3 ай бұрын
OKE
@KhaleedHamad-vl7lz3 ай бұрын
Million moja laki mbili subiri ianze kazi rasmi utaskia milioni 2
@BONGOINMOTION3 ай бұрын
Umeme wa mil 2 ,,kama faida IPO piga kazi kama hakuna faida piga chini
@Soon8153 ай бұрын
Faida ipo kubwa mno
@NuruNgolle8 күн бұрын
Shingapi nataka kesho niende dar niko dodoma
@andrewbigambo67213 ай бұрын
Ukichanganya mwambie aweke free kupunguza gharama ya unit.
Daima tutakukumbuka Bulldozer, jembe, JPM ulikuwa na nia njema na nchi yetu hii TZ😢
@MzaziMzazi3 ай бұрын
Ukiwa wewe ni mwalimu wa dini siku nyimgine, ukitoa maelezo, ongela kiswahili Moja kwa Moja, sisi wengine ni waswahili, hapa ni tz,, acha zalau ,mwalimu gani wewe,,,,,makini
@maternmkomange53893 ай бұрын
Yani kama nauli tu ikiwa chini yani tufanye sh 35000 kama Kila kichwa Cha TREN kikibeba watu 60 na vichwa 35000 mara 60 nipesa ndefu Haina mfano
@vintagemusicgroup92363 ай бұрын
Wangetumia mafuta ya milioni ngapi?
@majaliwawilson93723 ай бұрын
Kichwa Cha mchongoko kikowap tulion mlisema vimefika vikowap mbona hicho chakawaida
@user-ts9lp4rm9j3 ай бұрын
Wanaunganisha pale vingunguti
@tintin00192 ай бұрын
NA TANESKO WANAVYO KATA KATA STIMA MUNGU ATUSTIRI😅
@fredyjunior69613 ай бұрын
#NASIMAMA NA SAMIA
@lulanjamd38863 ай бұрын
Rip uncle Magufuli
@nicodemusfidelis37723 ай бұрын
MAGUFULI hoyeeeee
@OmariHamza-eo8tq3 ай бұрын
hoyee tena hoyeeee hata hiyo tren ingeitwa Magufuli
@msowamhokole77143 ай бұрын
Jamani njiani jaribuni kuwa makini na ajari maana mmm
@wozanawewoz9793 ай бұрын
Biashara za mabasi sasa basii😂
@OmariHamza-eo8tq3 ай бұрын
Ndan ya trein au mabehewa yana Wifer
@vero573 ай бұрын
MAGUFULI BABA , ULIFANYA KAZI NZURI SANA, KWAHIVYO TANESCO WAKIKATA HAKUNA SAFARI?????
@whatisthetruth.87933 ай бұрын
Dosho hilo treni
@daudimichael73383 ай бұрын
JPM ulale salama!!
@shomarymussa69703 ай бұрын
Sasa naizo treni za zamani zinatumia nin kamapesa haziendinje
@user-zg4yz7je8d3 ай бұрын
Kwendeni uko kazi ya magufuri na mlimbeza leo anapewa sifa mwingine? Ivi mnafikiri mtawadanganya watanzania mpaka lini
@herrysonk.edward6093 ай бұрын
Hata hawawezi kudanganya lbd tufe kwanza sisi tulioshuhudia mwamba akipigwa vita kila kona eti leo hongera mama duuh unafiki sio mzuri
@user-vw6er5rz2y3 ай бұрын
Wakupongezwa mama samia
@daudimichael73383 ай бұрын
@@user-vw6er5rz2yBila JPM kumchagua Samia awe makamu wake hata usingemjua. JPM kwanzaaa
@JumaAbdalla-xm9pb3 ай бұрын
Hayati JPM hakika ww ulikuwa na maono tunakukumbuka sana
@asungushepatrick54143 ай бұрын
Magufuli alikuwa kiongozi.
@Manase_js3 ай бұрын
Rip magu
@omaryluambano34953 ай бұрын
Rest in peace Jmp 🕊🙏
@SaimonAmedeusTenga3 ай бұрын
Magufuli😢😢😢
@sherallyabdallah2483 ай бұрын
Hajui kuongea
@ramadhanijuma41303 ай бұрын
Engineer na kuongea ni vitu viwili tofauti
@ellenirelli49123 ай бұрын
Njoo uchukuwe ubunge nafasi ni yako, hakika tunakuamini
@JumaAbdalla-xm9pb3 ай бұрын
Ww acha kuongea pumba kama si magu tungeendelea kuona kwenye tv tu wamepita wangu mbona hata wazo hawakuleta magu tunakukumbuka
@laurenciamwalongo81653 ай бұрын
Magufuli tunakupenda daima
@izack91913 ай бұрын
QttMlisema kichwa cha nyoka mbona sikioni 😂
@denisrukangula22273 ай бұрын
Masaa maatatu na nusu hivi kutoka dar to dom Ila inatakiwa iwe masaa mawili tu
@sibtwunyangeonlinetv78253 ай бұрын
Imebeba viongozi wa nchi pamoja na dini haiwezi kutembea mwendo huo + ni majaribio2 kwahyo wataongeza mdogo mdogo
@Adamadam-du5vx3 ай бұрын
Wanafanya majalibio kaka awawez kukuambia wabongo jaman umuishi kukusow
@nth35123 ай бұрын
Wamejitahidi sana, kwa bus ni masaa hata 7, sasa hiyo testing tu imewahi ivyo. Kwa maana hiyo mwenye bus yuko morogoro wenyewe wako dodoma. Ni vizuri sana
@jameshoya21153 ай бұрын
Mbona bado wanatumia hivi vichwa walivyosema ni vya treni ya mzigo?? Na wakati vichwa vya mchongoko vilishafika!!
@OmariHamza-eo8tq3 ай бұрын
Subir tuliza moyo
@HoseaLeonard3 ай бұрын
Tanzania hatujawahi kuwa wasimamizi wazuri wa miradi, hoestly speaking utakufa kama mingine iliyowahi kuwepo😂
@leylaruhabaye90173 ай бұрын
Mungu msamehe magufuli na ss pia ukweli ni juhudi zako km ungekuwepo tungekuwa mbali sana.mungu akuweke unapostahili amiin
@robertzamani56123 ай бұрын
Angekuwepo Mwamba ingekuwa ilishaanza siku nyingi safar Hawa wapo taratibu mno