Pole sana mh lisu, tunaamini MUNGU alikuokoa na bado tunaamini Mungu ni kuweza wa yote atakulinda na tunakufunika kwa Damu ya YESU amen
@joachimkalungwana86543 ай бұрын
Nchi hii haitaki msema kweli kama Lissu Bado usalama wake upo mashakani
@rasnchimbi3 ай бұрын
Hiyo gari aina gani? Wapigeni picha hadi sura zao🤔
@salama11133 ай бұрын
Mungu atakulinda ubaya utawarudia wenyewe
@christinenyagiro66623 ай бұрын
Nasi wapenda amani tunawalaani kwa kulilia Mungu mwema anayewahukumu wabaya wote.
@rogersiddy3 ай бұрын
Mungu ni mwema sana tunaimani Mungu yupo pamoja nawe hakuna atakaeshindana nguvu na Muumba aliekuokoa kwenye janga zito
@feruzmato44223 ай бұрын
Akuna wakukuzuru ucogope mtume na nabii mwingira alisema mshindi uwezi kumshinda kwaiyo wewe ni mshindi mungu anskusudi na wewe kama ajataka ufe utakufa mheshimiwa chaps kazi...
@dominicksangu89343 ай бұрын
Tukopamoja mh lissu ❤❤❤
@HeriMohamedi-p6g3 ай бұрын
Lisu unatoa elimu nzuri sanA kwa watanganyika siyo wazanzibar lakini watanganyika hawaelewi ni manyumbu wote pomoja n'a viongozi wao angalia wazanzibar wanarilaksi n'a tanganyika
@RichardNkhangaa-nv9tf3 ай бұрын
Tunamlilia mwenyez Mungu,mwumba wetu ajuaye @ mwenye hila & nia nzuri na taifa hili & mpenda haki.Ukamfunike kiumbe wako Lisu mtetezi wetu,tunakuombea sana sana kaka & ndgu yetu.
@bmdele58163 ай бұрын
Mh. Tundulisu pole kwa hayo, Tunashauri uwaseme hadharani na watu wawajue. Hao siyo watu wema tena hata kidogo🤔
@rebekakulwa61593 ай бұрын
Yule aliyetangulia alitoa amri tu waliomuua walioratibu mpango Bado. Wapo
@christinenyagiro66623 ай бұрын
Pole sana ndugu yetu Lissu. Wewe kama binadamu lazima uogope unapokuwa kuwa katikati ya majitu kama haya. Wanakufuatilia ili unaongea kwa sauti sasa kwa nini wzkufuatilie. Mungu ashughulike nayo kwa jina la Yesu. Mungu aliye kunusuru bado yuko na wewe kipenzi chetu. Hayo mauwaji Mungu shughulika nao kikamilifu.
@rebekakulwa61593 ай бұрын
Mungu hajawahi kushindwa kamwe hawataweza na walaaniwe wao na vizazi vyao
@dennisungonella2053 ай бұрын
Duh...hatari mbona, isijekuwa wasiojulikana
@joachimkalungwana86543 ай бұрын
Wanasema nchi ya Amani na utulivu mtu anapigwa risasi ktk ya nyumba za serikali halafu hakuna mtu kukamatwa ni aibu kwa nchi
@migerajacob5813 ай бұрын
Kama hawato sikia maneno yako ya busara,, wanyo shee kidole, tuwachome moto uwe mfano,,
@YohanaKivuyo-u3w12 күн бұрын
ila sisi wa Tanzania mbona tunaogopa ukweli lakini mtu alisema ukweli tuna muua ama tuna mpoteza mbona tupo ivyo jamani lakini sana sana mna chukia chama chadema wacheni ujinga lissu tunakupenda sana ndugu yangu ❤❤❤❤❤️❤️❤️🥰🥰🥰🥰🥰🥰
@madenge7313 ай бұрын
Mh Lissu tafuteni Bastola wapigeni risasi muwaue ili tuheshimiane vizuri. Hii nchi imekuwa ya kisenge kweli
@simonsadala23863 ай бұрын
Huyu bwana ni muongo jmn nani akufatilie ww ambaye umeshapoteza umakufu wa ki siasa yaaani Risasi tangu kampeni za 2020 au huna Agenda kifupi una bore achana na hizo mambo Jengeni chama msituambie maneno ya kutia huruma
@fwc55523 ай бұрын
Umarufu kapoteza kwako
@rolencevedasto10093 ай бұрын
Kuna watu hata shetan anaogopa, Muogopeni Mungu hata kidogo Kuna kipind alitoa kauli kama hii mkambeza kilichotokea Kila mtu anajua
@juliuskitaluka12063 ай бұрын
Naomba uondoe hofu MUNGU alie kuweka hai atakulinda hakuna baya litakupata
@mwakapalamwakapala83173 ай бұрын
CCM WAMEMUONGEZEA UMARUFU LISSU MARA DUFU
@tumainielimwakiyambe68013 ай бұрын
Hao ndo walio lipwa kumtukana lissu kama ameishiwa sera mbona unamfatilia amewashika pabaya atawanyosha2
@PaskaliCharles-pz8ds3 ай бұрын
Utuonyeshe tuwanyoshe majambazi hao
@KashinjeShija-rk9fv3 ай бұрын
Pole sana mwamba waumbue mapema wasije wakakupiga tena hao wasiojulikana
@christinenyagiro66623 ай бұрын
Maccm yanataka kuongea unafiki tu kama wakina Makonda na maccm yote. Wewe unayesema ukweli hawapendi kabisa. Maccm haya yote ni wabaya sana na mafisadi wakubwa. Wanadhani kuwa Tanganyika ni yao tu sisi wengine ni watumwa wao.
@sponsor78823 ай бұрын
Makonda
@atutweve41603 ай бұрын
Kumbe Magu alisingiziwaga??????????
@christinenyagiro66623 ай бұрын
Wanautulivu kwa kunyanyasa watanganyika wengine. Wameuwa watu wengi sana. Damu ya mtu inalilia Muumbaji Mungu. Kama ya Abili ililia ya mtu ye yote itamlilia Muumba tu na watakiona walichokiona wakina Farao na mafasisiti wengi wa kare. Mungu yupo hata hspa anawaona.
@erickonsongomollel83913 ай бұрын
Mungu akulinde rais wetu
@silasponeka17733 ай бұрын
Waonyeshe tu live .
@KombeSinyangwe3 ай бұрын
Mungu yupo na wewe kiongozi
@KashinjeShija-rk9fv3 ай бұрын
Tema uozo wote usiogope
@dominicksangu89343 ай бұрын
Hao watashindwa tu mpango wa Mungu mpaka utimie
@loserian-mj1gj2 ай бұрын
Uowoga wako 2
@christinenyagiro66623 ай бұрын
Alipokuwa akisema wakati ule mlisema hivyo ni muongo, je alikuwa anasema uongo? Au ninyi ndiyo mlikuwa mmetumwa kummaliza? Wewe Lissu angekuwa ndugu ungeongea hivyo? Ubinafisi unawamaliza watanganyika na ndiyo sababu hatujitambui. Wazanzibar wanajitambuwa na mnaweza kutawaliwa na Zanzibar kwa sababu wajitambuwa na wanapendana.
@SamwelSospeter-lz9fm3 ай бұрын
Acha utoto wewe jamaa nchi zingine watu wanaingia msituni kusaka madaraka wewe unaona gari nursing zikipishna na wewe barabarani wanakufuatilia sasa kwa uoga huo tutakupaje hiyo nafasi daaah hufai kabisaaa aisee
@lgf72973 ай бұрын
Na wewe hujatoa ripoti hata siku moja, unasema barabarani tu. Hii ya kufuatwafuatwa ni wasiwasi wako tu?
@josephmkinga95093 ай бұрын
nchi hii haina amani aman wakipiga wasisemwe ccm hawa kuna mda mungu atawanyosha mda wao ushafka bila hivo madarakani hawaingii kuna amani wapi hapo mauongo yao wanaokufatilia wapate ajali wao mungu akupiganie
@SomoKidawa3 ай бұрын
Huyo mwamba hapo ameondoka kidogo kidooogoo veeeeep
@KamwandaNzowa-eo4ur3 ай бұрын
Lakini nao wajijue kuwa wanaweza kufa kama mtu mwingine yoyote kwa hiyo waache
@johngibson30893 ай бұрын
Lissu ni zaidi ya wagombea wote wa urais TZ
@KhamisKhamis-w1q3 ай бұрын
Ww bingwa wa kutukana mama Samia serekali inamkondo mrefu punguza kumtukana raisi
@ulimbagakipole39713 ай бұрын
Sema kwa jeuri hivyo, Mungu anakuona utakufa kabla yaLisu unaongea ujinga na bhangi kwenye mambo magumu kama haya. Watu wakisema ukwei wanatukana, kumtwe Kuna shida.
@tumainielimwakiyambe68013 ай бұрын
Aseme matusi ya lissu
@mataypanga52623 ай бұрын
😂
@geofreatumbo45433 ай бұрын
Wewe hutatangulia kama magu
@kassidpandu8663 ай бұрын
Bado unaishi kwa Hofu eee si urudi bc hukoo
@jacksonmsola1543 ай бұрын
Acha siasa unasemaje watu wasiojulikana wakati unasema umewaona,unahisi Kila mtu ni akili ndogo why usiwakamate tu au waoneshee tu wananchi mh!
@edgarmbegu19743 ай бұрын
Mbona una wasi wasi? Au ni wewe?
@EagerBirthdayCake-zh8xb3 ай бұрын
Tunduu achaa ogaa uoo... Watu wapo kazini kama Wewe unayefanya Kazi ya Mabeberu. Tuliaaa Nyaambaff...!
@mgungulem31873 ай бұрын
Tumeshakujua ni wewe
@Ernestlaiza3 ай бұрын
Huna roho ya huruma
@BarakaSagamba3 ай бұрын
Kabisa mteule watu tupo kazini kama yeye anataka tumuambie nn . Na yeye atuambie anachoambiwa na mabepari
@nassibu-hy5ny3 ай бұрын
Mungu akulinde lissu
@jacksportman51813 ай бұрын
Kampeni ni Gari wakati waliedai alimshambulia ameshatangulia mbele ya haki yy amebaki Sasa badala ya kuweka mipango ya kuleta maendeleo anatumia shambulio kutafta huruma ya wananchi,kibinadam tunakurumia ila kiuongozi umeishiwa ajenda mheshiwa ⛷️
@tumainielimwakiyambe68013 ай бұрын
Ndugu yangu acha roho mbaya kwa binadamu mwenzio je angekuwa ndugu yako unajisikiaje?
@tumainielimwakiyambe68013 ай бұрын
Tundu lissu ni mwamba ndo maana humuachi kumfatilia kila kukicha amewashika vibaya kama mtu hameishiwa sera wa nn kumfatilia kwa mfano mm siwezi maliza bado langu kwa kuwasikiliza ccm cwezi
@JamesKanyenda-y9y3 ай бұрын
Asiongee ukweli au na ww upo kwenye kundi
@jacksportman51813 ай бұрын
@@tumainielimwakiyambe6801 hana maajabu amefilisika kisiasa sera za kumtembeza gari🤔