Watu walio waaminifu watavikwa taji la hali ya kutokufa na uzima wa milele... ubarikiwe sana mtumishi tujikaze siku hiyo tushangilie zote. Keep hitting
@user-ii1qk9xn9z7 күн бұрын
Tutashangalia sana wenye mavuno, itakuwa ni furaha kuu tukivikwa taji. Asante sana I like the BASE, so amazing kazi nzuri mtumishi. Tunzo ipo zidi kwendelea
@patiencehumbled35197 күн бұрын
Wimbo wenye ujumbe unatetemesha dunia
@jovettedenise25917 күн бұрын
Umbalikiwe sana mutumishi wa Mungu❤❤
@rabanphotostudionyakanazi_41157 күн бұрын
Amina sana.japo shida Ni nyingi,lakini mbegu zimeshaota,tujiandae kuvuna
@bahatimaselo85287 күн бұрын
Hakika Bwana ameweka👉 kitu ndani yako ( mwenye sikio na asikiye ambayo roho wa Mungu ayaambia makanisa). 🙏🙏🙏
@martinahlighare64957 күн бұрын
Wenye mavuno watashangilia kama walipanda kwa imani na mahali sahihi. Huwezi panda kwa mawe, miiba, changarawe, nchi kavu utarajie kuvuna. Panda kwenye rotuba ndipo ufurahie na kushangilia. Sadaga wapelekea waganga ili kuwaendea wenzako kichinichini badala ya kumpa kuhani anayekufundisha topa ya kweli alafu utarajie uzima wa milele, sio sahihi. Panda mbegu zako kwa madhabao sahihi ili ufurahie uzima wa milele.