MAKONDA AAMBIWA HANA AKILI, "NANI MJINGA?" ONA KILICHOMPATA HUYO JAMAA

  Рет қаралды 1,077,619

Uhondo TV

Uhondo TV

Күн бұрын

#UhondoTV #Uhondo

Пікірлер: 1 700
@Zai-vh7jd
@Zai-vh7jd 15 күн бұрын
Makonda, hebu wakupe ubunge, uwe waziri unyooshe mambo. Big up kijana wetu!!
@isayamwanjoka3958
@isayamwanjoka3958 2 ай бұрын
Makonda katika Jicho la 3 nakuona ni Raisi wa Tanzania mwaka 2055... KUWA NA SUBIRA VITA YAKO NI KUBWA SANA KUFIKIA KIWANGO CHA UONGOZI HUO MKUBWA NCHINI, MPENDE SANA MUNGU NA KUWA KARIBU NAYE YEYE NI MWAMINIFU ATAKUWEZESHA KATIKA VITA KUBWA ILIYO MBELE YAKO HAKIKA UTASHINDA...... I like your consistency, smartness and capability in leadership.... In short the real meaning of leadership described by Dc Paul makonda.🎉🎉🎉🎉
@AloyceMlalikwa
@AloyceMlalikwa 16 күн бұрын
Hongera kwa KAZI nzuri mungu akulinde mh! Makonda
@hezronmganga4413
@hezronmganga4413 2 күн бұрын
Q😊😊😊😊😊😊q❤❤❤❤❤😊
@hezronmganga4413
@hezronmganga4413 2 күн бұрын
@godbariki3666
@godbariki3666 14 күн бұрын
Makonda wewe ni mtu wakupenda haki daima Mungu akuinue ktk ngazi ya juu zaidi
@Zai-vh7jd
@Zai-vh7jd 15 күн бұрын
Makonda we ni kamanda wa uongozi! Mungu akulinde ututumikie watanzania. We love you! Big up kijana wetu
@FaridaShangala
@FaridaShangala 3 ай бұрын
Ubarikiwe makonda nakuombea uje kua rahis wa tanzania kama magufuri mambo yako, mtetezi wawanyonge makonda uwe na afya njema nakufatiliaga sana ukiwa haupo sawa naumia sana
@Faraja-k1e
@Faraja-k1e 2 сағат бұрын
Tupowengi
@chrisshonga
@chrisshonga 7 ай бұрын
Laana ya dhuluma, unyang'anyi, rushwa, ndiyo inayoididimiza nchi na kitu ambacho ulimwengu haujui ni kwamba pesa ya dhuluma hata ungefanyaje kamwe huwezi kufanikiwa. Asante mtumishi wa BWANA katika kazi yote ya kutetea haki ya wanyonge. hakika inasikitisha sana na inahudhunisha sana! Ashukuliwe MUNGU wa mbinguni kwa kuweka kaburi ambalo ni mwisho wa kila mwanadamu mwenye jeuri
@SevenValentain
@SevenValentain 5 ай бұрын
Mkuu makonda utendaji wako unanikumbusha uncle magu hongera baba Mungu akulinde kwa huu utendaji wako
@FreddyNdayikunda
@FreddyNdayikunda 27 күн бұрын
Haki Mungu akubaliki kaka Makonda Proud of you Africa need leader like you
@fadhilijohn4811
@fadhilijohn4811 8 ай бұрын
Leadership ni utatuzi wa matatizo ya unaowaongoza na kuweka mazingira sawa kwaajili ya shunguli zingine! Hongera sana Makonda👏👏👏
@agathaleonard5974
@agathaleonard5974 7 ай бұрын
Big up makonda Arusha Kun shida mungu akusimakie na kukusaidia kutafuta kero z awananchi Kuna dhuluna n ubabaishaji
@jumarata6459
@jumarata6459 8 ай бұрын
Mheshimiwa Mkuu wa mkoa Paul Makonda, unafanya kazi nzuri sana.Endelea kutenda haki kwa wananchi na Mungu atakubariki!
@RoseMollel-wo3ls
@RoseMollel-wo3ls 8 ай бұрын
Kweli😭😭 kajifunz vitu Ving lakn kwa maguful
@stefanomasolwa8979
@stefanomasolwa8979 7 ай бұрын
Asante Makonda kwa Kazi nzuri Mungu akubariki. Yani nikikuona Makonda namuona Magufuli hakuna Tofauti kabisaa ❤❤❤
@MiriumLemayan
@MiriumLemayan 7 ай бұрын
HAKIKA
@angelatarimo1969
@angelatarimo1969 8 ай бұрын
Hongera mkuu wa mkoa. Ila Acha niseme kitu,wewe unaependa kunyanyasa watu,kujiinua kwa kuwa una mabawa,hakika yupo Mungu anayerudisha vyote vilivyoibiwa. Kama ulimnynyasa mtu au kumdhulumu mtu kwa njia yeyote,lazima utalipa tu.Asante Mungu usiyelala. Mungu ibariki nchi yetu Tanzania Mungu ibariki Africa yetu
@ayubumsigwa542
@ayubumsigwa542 8 ай бұрын
Acha kuongea ujinga kwa makonda unachuki kwa huyu mkuu
@VeronicaEliasi
@VeronicaEliasi 7 ай бұрын
Amina
@EliaPundugu
@EliaPundugu 4 ай бұрын
ww nae ni mpumbavu
@AzoryMuhangazo
@AzoryMuhangazo 6 ай бұрын
Makonda udumu zaidi mungu akulinde siku zote za maisha Yako na ukuzidishie hekima zaid ya hapo tuna kutegemea zaid👏👏👏👏👏
@johnmtumishi373
@johnmtumishi373 8 ай бұрын
Mh Makonda unaakili sana Mungu akulinde.Mungu ibariki Tanzania Linda viongozi wetu wenye moyo wa kusaidia wananchi
@maryamobady1853
@maryamobady1853 8 ай бұрын
Arusha mtanyooshwatu😂😂😂😂
@maryamobady1853
@maryamobady1853 8 ай бұрын
Huyo ndio makonda bwaaanaa
@AitaelMunis
@AitaelMunis 3 ай бұрын
Hongera makonda Kwa kazi nzur
@danielmollel1107
@danielmollel1107 6 ай бұрын
Hongera sanaa mkuu wa mkoa Arusha Kwa kazi nzuri 😢
@NathanaelSanga-h9s
@NathanaelSanga-h9s 5 ай бұрын
Upo sahihi mkuu,kaziyako ipo vizuri
@AlbertGondwe-w7y
@AlbertGondwe-w7y 8 ай бұрын
Ibada hii ni nzuri sana ,hongera sana mtumishi wa MUNGU BABA Makonda ,ubarikiwe kwa kazi nzuri
@SophiaKawishe
@SophiaKawishe 8 ай бұрын
Mungu ni mwema Safi sana
@jumasalum991
@jumasalum991 8 ай бұрын
😊q
@cantonaiddy6042
@cantonaiddy6042 8 ай бұрын
Unazingua
@FeddyAsajile
@FeddyAsajile 4 ай бұрын
Muheshimiwa uko vizuri kuongea na wananchi kusikiliza shida zao kongole,,, jamani wengine muige huu mfano kusikiliza kero za wananchi inafaa watu kero nyingi unafaaa kuwa rais
@sittandaki2135
@sittandaki2135 Ай бұрын
​@@cantonaiddy6042😂😂😂😂😂😂😂
@AllySalehe-mv7um
@AllySalehe-mv7um 7 ай бұрын
Mtoto unae tembea kwenye kivuli cha mh.magufuli..hongera mheshmiwa
@silashemed4849
@silashemed4849 8 ай бұрын
rait hii nchi ingekuwa na system kama hii,hata ambao wanawania nafasi za ngazi za kijiji na kata wasingewania(gombea) nafasi hizi, Asante Mh. Makonda kwa kutuamsha
@vicentmugisha6972
@vicentmugisha6972 7 ай бұрын
Makonda unafanya kazi nzuri, tuna viongozi walio jisahau kuwajibika kwa wananchi
@malugukushaha6764
@malugukushaha6764 8 ай бұрын
Hongera sana Makonda👏👏, Hongera sana Makonda👏👏, Hongera sana Makonda👏👏, Mwenyezi mungu akulinde 🤲
@gategayaelias8925
@gategayaelias8925 7 ай бұрын
this mzee magufuri legacy
@PaschalinaJohn
@PaschalinaJohn 7 ай бұрын
Mungu akulinde na akuhifadhi siku zote umtetezi wa wanyonge
@lupakisyoassa1579
@lupakisyoassa1579 8 ай бұрын
Kazi nzuri japo kuwa nchi nzima migogoro ni mingi mmno haina mtatuzi, big up.
@kalegapeter2715
@kalegapeter2715 7 ай бұрын
Live from Uganda Paul makonda pole kazi nzuri
@VeronicaEliasi
@VeronicaEliasi 7 ай бұрын
kweli kabisa
@FrancisJosephathi
@FrancisJosephathi 8 ай бұрын
Jasho la mnyonge linalipwaa na Mungu baba hakika kazi yako ni nzuri sana God bless 🙌
@LILIANDOUGLAS-w5t
@LILIANDOUGLAS-w5t 7 ай бұрын
MUNGU akutunze daima Kwa kazi nzuri unayoifanya mheshimia makonda
@SuleimaniIkomaba
@SuleimaniIkomaba 8 ай бұрын
Unajuwa kazi anayo ifanya huyu bwana kazi njema sana na inatufanya sisi kuwa jasiri katika kutambua haki zetu na Mungu akutunze sana pia tunakuitaji kigoma
@GerardLaizzer
@GerardLaizzer 7 ай бұрын
Kweli kabisa
@SaimonGerez
@SaimonGerez 5 ай бұрын
Ongera sana makonda kwa kazi nzuli bila wew Mzee dio Alisha zurumiwa mungu akubalik makonda
@KalenjeMasoud-vg3om
@KalenjeMasoud-vg3om 2 ай бұрын
Kuna sehemu makonda anakosea, mtu hawezi kuhifadhi kichwan taarifa zote zinazoendelea katika kijiji, ndo mana zinahifadhiwa so anavosema baadhi ya taarifa zpo ofisini anatakiwa amuelewe.
@lucasmkui3160
@lucasmkui3160 8 ай бұрын
Mh Raisi Daktari Samia nakusifusana kwamaono mazurisana kumteua Mkuu wa mkoa wa Arusha Mh Paulo Makonda Tangu aanzekufanyakazi yupo vema Tanzania safiii kazi iendelee
@benedictmillinga4297
@benedictmillinga4297 7 ай бұрын
Upo sahihi kabisa. Hii hazina ni kama ilifichwa
@MwanamkuuMumbe
@MwanamkuuMumbe 8 ай бұрын
Natamani ungekuja kuwa Raisi baada ya Mama Samia uwe mfano was marehemu Magufuli ❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@FILIPOMLAWA
@FILIPOMLAWA 8 ай бұрын
Makonda ¡!!kazi iendelee mzee maguu anakuona na kukufurahiaaa
@MulshiduYusuph-yw2os
@MulshiduYusuph-yw2os 7 ай бұрын
Makonda mkuu wa mkoa yuko vizuri sana sana tunampenda
@BimamuosmanOsman
@BimamuosmanOsman 8 ай бұрын
Rais mama Samia kusema kweli kkayangu makonda afanya kazi Mzuri Sana Allah ambariki na akubariki wewe inshaallah.
@reubenhebron2506
@reubenhebron2506 6 ай бұрын
Viongozi mnapaswa kufanya kazi mlizo aminiwa, Mungu akulinde mh. Makonda
@peterlazaro2853
@peterlazaro2853 8 ай бұрын
Daah kazi mzuri mweshimiwa mkuu wa mkoa makonda Mungu akubariki sana sana sana
@georgekigora2509
@georgekigora2509 7 ай бұрын
😅0
@Babajames1234
@Babajames1234 8 ай бұрын
Ipo siku utakuwa kiongoz katika nchi hii bro makonda .....uko vizuri
@MalandoJames
@MalandoJames 8 ай бұрын
Makonda, makonda, makonda, endelea kuwasaidia wananchi. Mungu atakulipa aise. Kwenye nchi hii madudu ni mengi sana.
@FilbertRobert
@FilbertRobert 7 ай бұрын
Daaah! Mungu akulinde na akusimamie Mh Po Makonda,,,mi mweyewe nilinyangh'anywa eneo ambao ni shamba la wazazi wangu
@EsterMwendawila-wj2ks
@EsterMwendawila-wj2ks 8 ай бұрын
Ubarikiwe sana baba mungu akulinde makonda juu
@livingstonechurchtz8400
@livingstonechurchtz8400 6 ай бұрын
Safi sana Mkuu wa mkoa Makonda.Nipo nakuomba kwa vita ulivyo navyo kwa haki uliyo nayo kwa wengine.Mungu zaidi kukupa hekima na busara katika kuamua yaliyoshindikana kwa usahihi.Wewe ni sawa Mfalme Sulemani kwa hekima
@enezermwafrica7443
@enezermwafrica7443 8 ай бұрын
Makonda na Magufuli tofauti ni sura tu... lakini Akili wanafanana, Hekooooo Kaka Makonda
@zakayokahuna9294
@zakayokahuna9294 8 ай бұрын
🤣🤣👍👍👍👍👍👍👍👍👍🏃
@Athumanmreta
@Athumanmreta 6 ай бұрын
Hpn magu kiakili alikua juu ila makonda anajitahidi kufata nyayo zake
@DamasjoachimPetro
@DamasjoachimPetro 7 ай бұрын
Makonda you are too much, safi sana Mkuu wa Mkoa Mungu atakulipa
@MokeAmos-bq6to
@MokeAmos-bq6to 8 ай бұрын
Best kind of leadershirp i prefer, bravo Regional commisinor Makonda🙌🙌💥
@MerlinaKubadesha
@MerlinaKubadesha 6 ай бұрын
Kabisa
@Kiyonga2014
@Kiyonga2014 8 ай бұрын
Mr. Makonda is a best leader in the world! I love Makonda.
@emeresianamichael5163
@emeresianamichael5163 8 ай бұрын
Duh! Jamani Mimi siwezi kusema ila huyu makonda jeshi la malaika wamzunguke pande zote ulinzi kamili
@mfwimisapi9444
@mfwimisapi9444 8 ай бұрын
K
@juliusmwazembe4230
@juliusmwazembe4230 7 ай бұрын
Hongera makonda mungu akulinde nipo mbeya mjin.
@barakakibasa5709
@barakakibasa5709 5 ай бұрын
Hongera makonda kwa kazi nzuri ya kuwatetea wanyonge mungu akulinde
@MerymerisaStephano
@MerymerisaStephano 2 ай бұрын
Amina❤❤❤
@Mohammedmajoji-b6x
@Mohammedmajoji-b6x 5 күн бұрын
Hongera mkonda chapa kazi ccm iheshimike mungu akubar kwa wamuzi mzuri huo
@NuluLupepo
@NuluLupepo 8 ай бұрын
Iyo supana ninoma mkuu watasema tu kaz nzuri mungu akusimamie
@PaulinaBhaisule
@PaulinaBhaisule 6 ай бұрын
From Zambia makonda keep it up
@MRPRESIDENT-w4l
@MRPRESIDENT-w4l 8 ай бұрын
BEST ADVICE from Paul MAKONDA. I have never seen
@fortunatanyumayo
@fortunatanyumayo 7 ай бұрын
Hongera sana makonda kwa kutetea haki za wanyonge Mungu akulinde daima.
@VenjiStone-fc1sx
@VenjiStone-fc1sx 7 ай бұрын
Upo vzr mungu akubariki sana kwa kaz nzur unayoifanya......
@sarahbwile1159
@sarahbwile1159 7 ай бұрын
Mungu akulinde Mh Makonda
@BIGBOSS-hl3bu
@BIGBOSS-hl3bu 8 ай бұрын
Yaani huyu Mzee alitoa milioni 30 halafu mnamnyima hekari moja na nusu Wanaomponda makonda wote ni wale waliofanya madudu kwenye maofisi yao
@GERADIMwingwa
@GERADIMwingwa 2 ай бұрын
Mungu tu akubariki kaka makonda kwa unayo yafanya mungu akuongezee siku za kuishi kwakweli
@rwelamira
@rwelamira 8 ай бұрын
Huu ndiyo uhalisia wa mambo vijijini, Hongera Makondo kwa kazi hii nzuri
@DianaHyera
@DianaHyera 7 ай бұрын
Sio Makondo ni Makonda
@ChristinaAgostino
@ChristinaAgostino 7 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂​@@DianaHyera
@ZuhuraMohamed-q2f
@ZuhuraMohamed-q2f 6 ай бұрын
Kbs
@asharamadhan7392
@asharamadhan7392 7 ай бұрын
mzee makonda hongera sana baba unatenda kazi nzuri Allah akufanyie wepesi❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@eliasmwankenja4223
@eliasmwankenja4223 8 ай бұрын
makonda mimi ni mkaazi wa mbeya tutamuomba mama akulete mbeya kazi yako nzuri
@felistermkongwa4379
@felistermkongwa4379 8 ай бұрын
Yaaani aje aje aje kuna Mwenyekiti nimsemeleeeee🤣🤣🤣🤣🤣
@uyetomato9514
@uyetomato9514 8 ай бұрын
kweli kaka mkuu wetu kapoaa
@josephhaule9123
@josephhaule9123 8 ай бұрын
Ila kweli mbeya kumeozaaa
@StephenMichael-g3w
@StephenMichael-g3w 4 ай бұрын
Seriously no 1 like our makonda in tanzania , God bless you Samia suruhu Hassan for voting makond
@CAROLINEEDWARDMERSHAY
@CAROLINEEDWARDMERSHAY 8 ай бұрын
Mwenyezi mungu akulinde makonda
@Imaniamockgmail
@Imaniamockgmail 8 ай бұрын
Ameen 🙏🙏
@KivumaJones
@KivumaJones 24 күн бұрын
Hawa ndio viongozi tunawakosa Kenya 🇰🇪,Makonda mtetezi wa wanyonge 💪
@godfreyelibarikilaizer6178
@godfreyelibarikilaizer6178 8 ай бұрын
Chapa kazi jembe makonda una jambo jema kwa mkoa wetu wa Arusha siku zote wasiojali watasema wewe ni mwonevu lakini wewe ni mtetezi 💪💪💪🇹🇿💪🇹🇿🇹🇿🎉
@SadaKigwangala
@SadaKigwangala 7 ай бұрын
Nampenda r c makonda❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@JoyceManyuka-ot7sg
@JoyceManyuka-ot7sg 8 ай бұрын
Makonda natamani ungekuwa mkuu wa mkoo wa morogoro ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@TostaoKasiani
@TostaoKasiani Ай бұрын
Dah! Yaani kwenye ukuu Kuna mipaka ya mikoa. Angebaki kule kule kwenye uenezi. Kule alikuwa anatumbua Kila mtu kasolo wazili mkuu tuu na raisi. Sijui kwanini katolewa kule
@FadhiliSimba-u4l
@FadhiliSimba-u4l 3 күн бұрын
Kiongozi bora wa kwanza leo naombeni like zangu
@kambamazig02024
@kambamazig02024 8 ай бұрын
Watanzania sio wajinga, muda wa kuwadharau na kuwaona ati ni mbumbumbu umeshapita! Makonda kudos! I see maturity in leadership here. congrats Makonda.
@ludovicakimaro6464
@ludovicakimaro6464 6 ай бұрын
Hongera sana Makonda! Mungu akutunze.
@hubimogela9167
@hubimogela9167 8 ай бұрын
Toka kipindi Makonda akiwa ana yumba akiwa kama mkuu wa Mkoa Dar-es-salaam nilikuwa nikisima mbele za watu na nikisema nina imani kubwa sana na Makonda na leo naona kile nilichokuwa nakiamini kwake safi sana 💪💪💪💪
@anchilankobelelwa9735
@anchilankobelelwa9735 7 ай бұрын
Makonda chapa kazi tunakuombea Haki zitendeke Tanzania Tusonge mbele 👍👍👍👍👍
@rabomunde3550
@rabomunde3550 7 ай бұрын
Nampenda makonda​@@anchilankobelelwa9735
@MINISTERBAHATIMPUME-px4pf
@MINISTERBAHATIMPUME-px4pf 4 күн бұрын
Makonda wewe ulikua sababu kubwa ya sisi watu tulionyanyaswa kwa mateso ya maji kuanza kupata maji mpaka leo. wakati ukiwa mkuu wa mkoa wa Dar...MUNGU HATAKUACHA MABAYA HAYATAKUPATA.. utatengwa nayo utakua salama Kaka
@MzunguPeter
@MzunguPeter 2 ай бұрын
Big up sana Mheshimiwa kwa kazi nzuri kwa kutenda haki.
@JotoKali
@JotoKali 8 ай бұрын
Mungu akutunze mheshimiwa Makonda
@HaruKhan-x7f
@HaruKhan-x7f 5 күн бұрын
Asante kaka makonda kuwatetea wanyonge si bora ungekuwa raisi tu ubinafi so wangu. Weww. Ni raisi ujae makonda juu raising
@petermoshy7650
@petermoshy7650 8 ай бұрын
😢Makonda unafanya kazi nzuri Mungu akubariki sana
@MeshackMuya
@MeshackMuya 7 ай бұрын
safi sana
@ntirenganyajeandedieu2074
@ntirenganyajeandedieu2074 6 ай бұрын
I see magufuli face in this man
@ZainaMrisho-s8r
@ZainaMrisho-s8r 6 ай бұрын
Mungu akuweke sana Mh Makonda hakika wewe ni baba wa wanyonge tunamuona Kabisa marehemu Rais Magufuli kwa Makonda kabisaaaaa Mungu akuwekeeee baba pamoja na familia yako 🙏
@KabwikaIbrahim-ld8vf
@KabwikaIbrahim-ld8vf 8 ай бұрын
Pole na hongera sana mzee Makonda,unakutana/pambana na mambo mazito.Mungu akutilie wepesi!.Aamin.
@ShamirathOmary
@ShamirathOmary 3 ай бұрын
Mheshimiwa makonda mwenyezi mungu akupe umri mrefu maana ww ni mtetez wa wanyonge da!! Tunakupenda sana
@jacksonshosi5246
@jacksonshosi5246 8 ай бұрын
Watu wa Arusha mnapo muomba MUNGU kwa ajiri ya Afya zenu msimsahau na makonda ni wazo tu
@REGNARDkiswagachimbo
@REGNARDkiswagachimbo 7 ай бұрын
sawa❤
@janethPiuce-jo6mc
@janethPiuce-jo6mc 7 ай бұрын
Safiii
@EsterMwalongo-ox2sk
@EsterMwalongo-ox2sk 7 ай бұрын
Amina
@abubakardodo3976
@abubakardodo3976 7 ай бұрын
😂😢 4:05 ​@@REGNARDkiswagachimbo
@muddy__bike
@muddy__bike 6 ай бұрын
@LuftansahMahmoud
@LuftansahMahmoud 6 ай бұрын
🤲🏻Tunakuombea poul makonda na makonda ni ☝🏾tuu 🤲🏻🤲🏻🤲🏻🤲🏻🤲🏻
@ayubustefano
@ayubustefano 8 ай бұрын
Baba amerudi nyumbani lazima ujue asiye mtaka mkuu wa mkoa Makonda Mungu kamrudisha duuu Mungu afananishwi
@kiboshotours
@kiboshotours 5 ай бұрын
Makonda kiboko, ana maswali mazuri hatari 🙌🏾
@Evance-op4jw
@Evance-op4jw 8 ай бұрын
natamani kuishi arusha kwenye mkoa anaoongoza Mh .P .Makonda Mungu akupe nguvu na Maisha marefu asante Mungu kutupatia mtu huyu asante mama Samia kumpatia nafasi ya kutumikia wananchi nakukubali nikiwa Rulanda kagera
@josephshwagara
@josephshwagara 6 ай бұрын
Sasa Wewe Siyo Mkuu wamkowa wewe Ni Paster Wakweri ❤️🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻
@CongeraLeilla
@CongeraLeilla 6 ай бұрын
From Burundi Makonda you ar like the last president john pombe magufuri😊😊😢
@eliminataantigon1826
@eliminataantigon1826 5 ай бұрын
5r BB-
@temelahassan
@temelahassan Ай бұрын
yaani wewe makonda wewe unanishawishi kabisa kukuona kwamba tukikupa hii nchi utaimudu na unaweza kuipeleka nchi sehemu sahihi kabisa kabisa,mungu akubaliki na akulinde na husuda zote mbaya juu yako aamiin
@leokamil6284
@leokamil6284 8 ай бұрын
Shule inadarasa moja na chumba kimoja cha walimu ,Raisi anabeba wasanii kwenda Korea nchi hii Mungu atunusuru tu 🙌
@StellaMwasha
@StellaMwasha 8 ай бұрын
Hahahaha
@juliusstanley905
@juliusstanley905 8 ай бұрын
Huo sasa wivu bhn
@BigZhumbe
@BigZhumbe 8 ай бұрын
Jiulize Wasanii wanatoa bilioni ngapi kodi za mauzo
@ArnoldMbulawa
@ArnoldMbulawa 8 ай бұрын
Ako ka mama kameanza kuruka ngoma uzeeni, anafikilia kuwa msanii wa taalabu ndio maana yupo kaliibu sana na wasanii.
@ArnoldMbulawa
@ArnoldMbulawa 8 ай бұрын
Acha ujinga wewe, kwani wewe hauoni?? Nchi ina migogoro bado yeye anaruka nyoka.
@FadhiliMwaliko
@FadhiliMwaliko 5 ай бұрын
Makonda anafanya kazi mzuri sana
@oliviamasao8394
@oliviamasao8394 8 ай бұрын
Makonda Mungu akusimamie
@KabiraPaluki
@KabiraPaluki 3 ай бұрын
Tupate wapi tena mtu kama Makonda? Ambae Mungu amekaa ndani yake! Mungu wambinguni akuchunge kwaajili yangu papa Makonda, ipo siku ndoto yangu itatimia tu.
@mtukufusafari5535
@mtukufusafari5535 8 ай бұрын
Makonda unafanya mpaka watumishi wa sehemu nyingine wafanye kazi kwa kukuangaria ww
@reginamghanga95
@reginamghanga95 7 ай бұрын
Hapo wa Tanzania mlipata Magufuli wa pili Mungu amlinde makonda,mimi hutoka kenya
@OscarMwakapalila
@OscarMwakapalila 7 ай бұрын
😊❤
@onesmomalifedha4709
@onesmomalifedha4709 8 ай бұрын
Naendelea kukufuatilia mh Makonda.Kama Watanzania wazalendo tuko tayari kukupa nchi baada ya mama.Una kitu kikubwa sana ndani yako yaani like father like son
@jeradvyabandi-wh7nr
@jeradvyabandi-wh7nr 7 ай бұрын
Mungu akutunze bab
@RuthiMbunju
@RuthiMbunju 5 ай бұрын
Nakupenda bure kaka
@ErickJoseph-d8j
@ErickJoseph-d8j 3 ай бұрын
Natamani uwe Raisi wetu tz napenda sana kazi zako❤
@SamGeorge-qy2zf
@SamGeorge-qy2zf 8 ай бұрын
Mh makonda mungu akulinde san na akupe maalifa zaid
@StephanoCharles-d3v
@StephanoCharles-d3v 5 ай бұрын
Mheshimiwa mkuu wa mkoa paul makonda unafanya kazi vzr sana natamani uwe rais wetu wa inchi hii tanzania
@sharifajosia879
@sharifajosia879 7 ай бұрын
P. Makonda Allah Akutangulie
@shomydeking22
@shomydeking22 6 ай бұрын
"Sikusikia swali vizuri" 😂😂😂 uyo mtendaji wa kata ameyatimba n kuyakanyaga🤣🤣🤣
@anoldamkumba3208
@anoldamkumba3208 8 ай бұрын
Watendaji wa serikali hutumia kigezo hicho kuchukua maeneo ya watu.Ukifuatilia utagundua wamejimilikisha njoo Kilombero Morogoro .
@NdayishimyeJackson
@NdayishimyeJackson 7 ай бұрын
mzee makonda mungu azidi kukulinda na kukuongoza kwa kutatuwa kelo za wanainchi
@EmmanuelJankey
@EmmanuelJankey 8 ай бұрын
Kazi nzuriii makonda. Wanaonea sana wananchi
@adelinelyaruu3036
@adelinelyaruu3036 8 ай бұрын
Nani hao???
@evansmoshi1923
@evansmoshi1923 8 ай бұрын
Mtendaji kwanza umesha kula sana chapa zako mwendo.
@RobertAndrea-wl4pk
@RobertAndrea-wl4pk 6 ай бұрын
Uko vizuri mweshimiwa
I Sent a Subscriber to Disneyland
0:27
MrBeast
Рет қаралды 104 МЛН
Ozoda - Alamlar (Official Video 2023)
6:22
Ozoda Official
Рет қаралды 10 МЛН
«Жат бауыр» телехикаясы І 26-бөлім
52:18
Qazaqstan TV / Қазақстан Ұлттық Арнасы
Рет қаралды 434 М.
Mahojiano kamili na Balozi Masilingi na Mbunge Tundu Lissu
8:42
VOA Swahili
Рет қаралды 471 М.
I Sent a Subscriber to Disneyland
0:27
MrBeast
Рет қаралды 104 МЛН