USICHOKIJUA KUHUSU WANAOHAMIA MSOMERA KUTOKA NGORONGORO, JKT WANAENDESHA OPARESHENI KWA MIEZI 6

  Рет қаралды 80,337

Millard Ayo

Millard Ayo

4 ай бұрын

Пікірлер: 116
@sephaniangulo4035
@sephaniangulo4035 4 ай бұрын
Good job vijana wa JKT Mungu atawalipa kwa kazi yenu njema
@giftkalenge418
@giftkalenge418 3 ай бұрын
Hongera Raise wetu mama Samia umebadilisha maisha Hawa wafugaji kiukweli no mazuri
@afamatv4848
@afamatv4848 3 ай бұрын
Huyo Mwenyekiti wa Kijiji Ana akili na nusu 🎉🙏👍👍
@samirasalim4203
@samirasalim4203 2 ай бұрын
Msisahau na masikiti na chuo cha watoto kusoma quran. Allah atuwezeshe.
@johnmwalingo5218
@johnmwalingo5218 4 ай бұрын
Hongera sana kwa Serikali yetu kwa kazi nzuri
@omarybakunda2554
@omarybakunda2554 4 ай бұрын
Safi sana serikali yetu unafanya vizuri sana
@hallin9561
@hallin9561 4 ай бұрын
mmewaamisha wamaasai ili muuze ngorongoro. wananchi kazi kutukuza tu
@harunahassani7882
@harunahassani7882 4 ай бұрын
Lakini kwa nn wahame?? Hiyari imetoka wapi wkt mwanzo walikataa?? Hifadhini wameishi miaka mingapi toka tz iumbwe? Kwa nn watumie gharama kubwa Ivyo kuwajengea nyumba na kuwahamisha?? Ngorongoro kunani? NI masuala ya hifadhi tu au Kuna kingine?
@adoniemanuel908
@adoniemanuel908 4 ай бұрын
hukuki nikuha kwa kulazimishwa huwezi kosa huduma zamsingi ukaendelea kukaa pale yani kunahuduma zimesitishwa kutolewa ili uhame mwenyewe kwahiyo unaona kwanini nifie hapa misri unaondoka mwenyewe kwwli tanzania nishidaa tupu
@judithkirenga9977
@judithkirenga9977 4 ай бұрын
I wish them good luck, Mungu awalinde na awatie nguvu sana, Asanteni kwa kueshimu maamuzi ambayo yanania njema,❤
@octiminja5260
@octiminja5260 4 ай бұрын
Mama Samia Mungu akupe maisha marefu .......
@augustinejacobs9657
@augustinejacobs9657 4 ай бұрын
wanajeshi ni waaminifu sana, wapewe na sehemu nyinginezo
@judithkirenga9977
@judithkirenga9977 4 ай бұрын
Wanajeshi wetu wamefanya vyema sana ,nachotamani ni kuona wamasai hawaachi utamaduni wao
@emanuelsinyinza
@emanuelsinyinza 3 ай бұрын
Mshenzi tuu amehongwa..umehogwa nyinyi ni watumwa.tuu.
@dismasdastan5493
@dismasdastan5493 4 ай бұрын
Wote wanaoshiriki kuuza Ardhi hii ya tanzania nina uhakika mbali na kifo ambacho kinatusibiri sisi wote ....Ila nasema yeyote Alieshiriki kuuza Aridhi hii ya Tanzania kwa waarabu huko falme za kiarabu Nasema itawatafuna kabla ya kifo chao hakijafika kwamana hii lazima ulimwengu ushuhudie ulichofanya❤
@user-mq6lu2po3y
@user-mq6lu2po3y 4 ай бұрын
Wewe umeletewea dini mpaka na mzungu au hujajiona? Babu zako wa 1800 walikua dini Gani?
@dismasdastan5493
@dismasdastan5493 4 ай бұрын
@@user-mq6lu2po3y so maendeleo ni dini?...🤺
@bikoolaizer2737
@bikoolaizer2737 4 ай бұрын
Acha bangi kuna maana hauelewi nn au unatetea nn?​@@user-mq6lu2po3y
@Visualizer110
@Visualizer110 4 ай бұрын
Kinachoendelea hapa sio sawa ila wengi hatuwezi kuona wala kuelewa kwa sasa. Let’s just wait and see
@user-oh6wc8xr5w
@user-oh6wc8xr5w 3 ай бұрын
Kweli mungu awabariki kweli zaidi ya sans
@roggoyacny
@roggoyacny 3 ай бұрын
MIRAD AYO,,NDIO MOJA YA VYOMBO VYA HABARI AMBAVYO NAVIKUBALI,,, HONGERA SANA RAIS MAMA SAMIA KWA KUWAJALI WATU WETU,,,
@emanuelmselle637
@emanuelmselle637 4 ай бұрын
JKT❤
@sephaniangulo4035
@sephaniangulo4035 4 ай бұрын
Lakin msiwazuie kutumia miti shamba , hzo ndyo dawa zao za asili na zinawafanya kuishi mda mrefu pia
@user-zn4fw9cl1g
@user-zn4fw9cl1g 4 ай бұрын
Hongereni makamanda. Mko makini
@ReginaldAplonary
@ReginaldAplonary 4 ай бұрын
Saluti sana kwa askari wetu
@user-co3ee9nb5q
@user-co3ee9nb5q 4 ай бұрын
Mmehoji wageni au wahamiaji mbona hamjawahoji wenyeji kujua changamoto wanazozipitia kutokana na ujio wa wageni?
@simonkipondo1453
@simonkipondo1453 4 ай бұрын
Umenena vyema
@uwezawamungumkuu.amaniafrika
@uwezawamungumkuu.amaniafrika 4 ай бұрын
Aya bana yote tumwachie Mungu mkuu. Amen.
@user-os8qc7pl1g
@user-os8qc7pl1g 3 ай бұрын
Kazi nzuri sana
@user-se3wg5pe3u
@user-se3wg5pe3u 4 ай бұрын
Safi sana selikari
@gladistaemanueliy6336
@gladistaemanueliy6336 3 ай бұрын
Mbona sahivi mnawajengea slop
@simonhombo9767
@simonhombo9767 4 ай бұрын
Mmmmh naona magari ya mjombaaa .....ama kweli maji hayaendi mlimani
@jacobletema3681
@jacobletema3681 4 ай бұрын
Naomba kuuliza tu, hii fedha ya ujenzi na gharama zote za uhamaji inatokana na nini?
@Visualizer110
@Visualizer110 4 ай бұрын
swali zuri hapa kinachoendelea……..
@vannymokoca358
@vannymokoca358 4 ай бұрын
That place is really beautiful can i get a land ?
@YohanaKuroo-jz1dr
@YohanaKuroo-jz1dr 3 ай бұрын
mujue mutakufa tu muache kila kitu munanyanganya kimabafu😂😂😂😅
@user-ni5bl7zs2w
@user-ni5bl7zs2w 27 күн бұрын
nyinyi niwangiji sana
@yonasaimoni1302
@yonasaimoni1302 4 ай бұрын
Ndani ya inchi yako unakua mkimbizi halafu chamana ni kuzwa kwa inchi na washenziiiiii
@agapemunyi2095
@agapemunyi2095 4 ай бұрын
Huwez kuwajudge kama wakimbiz kwa sabb unakuta nyumba sio kutelekezwa
@emanuelsinyinza
@emanuelsinyinza 3 ай бұрын
Watanzani hawo ni watumwa wa mwarabu . Mnanyanyasa. Wenzenu kwa vipande vya pesa mungu yupo ,.
@user-xz4dh8jq6w
@user-xz4dh8jq6w 3 ай бұрын
Salut kwa jkt❤
@giztony2009
@giztony2009 4 ай бұрын
I really dont know the motive behind!
@graysonpastory1918
@graysonpastory1918 4 ай бұрын
😢😢
@loningoletayo8453
@loningoletayo8453 4 ай бұрын
Tunavyojua kabila letu ni kuwa na mke zaidi ya moja je hilo mmezingatia?maana naona family inakabidhiwa nyumba moja
@theafricaiknow6615
@theafricaiknow6615 4 ай бұрын
NA ENEO LA EKARI 2.5 ILI MWENYE FAMILIA KUBWA AWEZE KUWA NA SEHEMU YA KUONHEZA NYUMBA
@user-rc1dp6ux3k
@user-rc1dp6ux3k 4 ай бұрын
Wamasai mtajuta
@davidsaibu2930
@davidsaibu2930 3 ай бұрын
kwann
@emanuelsinyinza
@emanuelsinyinza 3 ай бұрын
Mungu atawalaani na tayari mnalaana kinacho fuata mtakiona,
@user-nd2fw7nm4x
@user-nd2fw7nm4x 3 ай бұрын
Kama wanapata mahitaji stahiki bora ya kibinadamu hakuna ubaya,na siyo ngorongoro tu kuna maeneo kama Ngarenaro, ungalimited sio sehemu salama kwa binadamu, hakuna njia faire,TANESCO idara maji wapite kutoa huduma
@msafirimiracle6613
@msafirimiracle6613 4 ай бұрын
Bado safari ni ndefu sana.
@user-dg9js4cb7e
@user-dg9js4cb7e 4 ай бұрын
Good job
@edsonnelson4464
@edsonnelson4464 4 ай бұрын
Safi sana kwa point yako
@reginas1832
@reginas1832 4 ай бұрын
Kwa nini msiwape waarabu huko??? Mungu anawaona
@thomasmcheri
@thomasmcheri 4 ай бұрын
Maybe
@user-co3ee9nb5q
@user-co3ee9nb5q 4 ай бұрын
Ng'ombe mmoja anahitaji eka moja je mtawatosheleza au mnakaribisha ugomvi kati ya wageni na wenyeji. Je ardhi mnayoichukua kutoka kwa wenyeji je mnawafidia? Maana sheria zipo wazi kua hata kama ni kwa manufaa kwa nchi, serikali inatakiwa itoe fidia. Sasa ukweli ni kua hakuna fidia inayotolewa.
@raphaelkatanga5335
@raphaelkatanga5335 4 ай бұрын
Mimi siungi mkomo unatowa watu unapereka watu ???🇹🇿🇹🇿🇹🇿😳😳😳
@user-nn6zq1ok7i
@user-nn6zq1ok7i 4 ай бұрын
MIMi HUWA NASHANGAA.KWANN WAWEKEZAJI WANATAKA SEHEMU TULIZO WEKEZA SISI SI NAO WAKAANZE WAONE UCHUNGU WA KUANZISHA JAMBO
@osiahstimah
@osiahstimah 4 ай бұрын
Wamasai mpk wamejengewa ndio wamehamaaaaa😅😅😅
@jameskiroka2549
@jameskiroka2549 4 ай бұрын
🇹🇿mbuga Imeuzwa kwa kwa waarabu. Mwaarabu ana nguvu ya pesa
@Abuu-lr5bz
@Abuu-lr5bz 4 ай бұрын
Tatizo ufinyu wa akili ndio janga Lataifa Sasa unauhakika kua wameuzuwa waarabu au unachuki za kupandikizwa
@giftchristianmeela1409
@giftchristianmeela1409 3 ай бұрын
Tatizo lenu nyie mnashindwa kutofautisha kati ya Ngorongoro na Loliondo.
@aminatanzanya7475
@aminatanzanya7475 4 ай бұрын
Pongezi kwa JKT UZURI HAWO NI WAMASAI HAWATAJAL HAYO MAENEO
@user-nn6zq1ok7i
@user-nn6zq1ok7i 4 ай бұрын
Arthi ya asili ina thanani Sana kuliko hizo nyumba. Asili nibora kuliko artficial
@husseinally6699
@husseinally6699 3 ай бұрын
Maana yake kero ya zanzibar kushiriki jumuiya ya africa mashariki , maana yake Tanganganyika ishiriki kama tanganyika na sio Tanzania , sasa hapo tunasema serikali 3 muhimu ambayo itakua , Tanganyika. Zanzibar na Tanzania Maswala ya Tanzania na zanzibar au Tanzania bara hakuna nchi duniani inaitwa Tanzania bara au visiwani maana hata Tanganyika ina visiwa
@RenaldaZeramula
@RenaldaZeramula 4 ай бұрын
Hata miirqdibyq serikali ktk halmashauri wape jeshi. Maana rqsilimqli vijana tunao wengi. Wakurugenzi na wahasibu wanaiba pesa
@elioimer8423
@elioimer8423 4 ай бұрын
Nyie wamasai mnaoshangilia maafa mtakuja shangaa na kujuta na Maisha baadhi yenu mnavyoambiwa mseme mtandaoni. Mmeonyeshwa mahali pa malisho ya ngombe zenu au kuanzia sasa ufugaji bye bye?
@user-sj3wf5vz7l
@user-sj3wf5vz7l 4 ай бұрын
Naipongeza serikali kwa hizi juhudi. Kwanza kuwawezesha makazi mapya. Pili tanga ina ardhi yenye rutuba watapata chakula na mifugo itapata chakula. Ngorongoro ni hifadhi ya wanyama pori ile hifadhi inatakiwa irudishe uhalisia wake. Kuongezeka kwa watu ngorongoro kunaharibu mazingira halisi ya eneo hilo. Na ikumbukwe kuwa eneo hili la hifadhi ni zawadi Mungu alitupa hakuna eneo lingine duniani ambalo lipo kama ngorongoro. NAIPONGEZA SERIKALI KWA HATUA HII. Na mimi nafikiri huu ni mpango wa mungu, maana Mungu hatorudia kuitengeneza eden. Sisi wenyewe tutairudisha eden
@MmTt-gb5xh
@MmTt-gb5xh 3 ай бұрын
Kamaniraha
@logicsportsandentertainmen105
@logicsportsandentertainmen105 4 ай бұрын
Afisa Tarafa ni one of the best English teacher hajawai tokea Tanzania kafaulisha watu wengi sana
@YINDIMAKUCHICHANEL-DOM
@YINDIMAKUCHICHANEL-DOM 4 ай бұрын
Maaai wa tanga 😂😂😂
@raphaelkessy7360
@raphaelkessy7360 4 ай бұрын
❤❤❤Thanks Commander's Kazi Kazi
@louisisd1090
@louisisd1090 4 ай бұрын
Safi sanaaaaaaaaaaaa nimependaa
@dicksonkilupa2258
@dicksonkilupa2258 4 ай бұрын
SEMENI MABANDA SIYO NYUMBA. NINA FAMILIA YA WATU 14 VYUMBA 3? ILA MMEFANYA VEMA.
@MajukaSindole
@MajukaSindole 3 ай бұрын
Wana ngorogoro msiache arizi yenu
@elvisoscar9912
@elvisoscar9912 4 ай бұрын
Mabus mwiguru nchemba
@LOSIHVASONGOYO-qh9vy
@LOSIHVASONGOYO-qh9vy 3 ай бұрын
Losihvp songoyo
@damasmassawe3601
@damasmassawe3601 4 ай бұрын
nyumba haipigwi hata plaster
@user-mn3yd7jg3q
@user-mn3yd7jg3q 4 ай бұрын
Asa eka mbili itatosha kwel Kwa masai kuchunga ngombe au mnatengeneza bomu uko
@adoniemanuel908
@adoniemanuel908 4 ай бұрын
jamani kweli ni nyumba ambayo anastaili kushi mtuu karnee hii utasema ni nyumba yamabox watoto anajifunza kujengaa huu nimsiba ndugu zangu msipo badilika kubadili hii serekali kunasiku mtachimbiwa mashimo chini ya arizi muambiwe muishiii
@ibrahimallyweunaijuahiyoco8608
@ibrahimallyweunaijuahiyoco8608 4 ай бұрын
onyesha nyumba unayoishi wewe
@rasheedabby2871
@rasheedabby2871 4 ай бұрын
ESther Luxury ya Mwigu boy
@JoyceStive
@JoyceStive 4 ай бұрын
Mwiguri ni Frester, Dar to Bukoba na sio hizo
@king_maik6375
@king_maik6375 4 ай бұрын
Bado naskiliza
@user-dk5kk4rf3v
@user-dk5kk4rf3v 4 ай бұрын
Uhame kwenu .. ukafurahie ugenini ..labda uwe kichaa .. msituone wajinga ... tunalala gest nzuri kuliko nyimbani na hatutaki
@othmanramadhani6962
@othmanramadhani6962 4 ай бұрын
Tanga wameletewa vita😂
@petermanala6138
@petermanala6138 4 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂
@smartonlinetv5144
@smartonlinetv5144 4 ай бұрын
Mimi naona wamesaidiwa sana, Kwa sababu nadhani wengine hawakuwa na makazi mazuri ya kuishi lakini hapo wamepata nyumba.
@serndaynjumbo6912
@serndaynjumbo6912 4 ай бұрын
we jamaa acha kuzima data sisi tunauzwa nyie mnashabikia
@ibrahimlukumay8430
@ibrahimlukumay8430 4 ай бұрын
Unatolewa pazuri unapelekwa pakame
@magorymara5515
@magorymara5515 4 ай бұрын
Hifadh ni mateso kwanza si salama kwa watoto kuna wajinga wanafundisha ushoga huko huruhusiwi kulima wala kumilik ardh ya nini kuishi huko
@user-em7bm2tw9b
@user-em7bm2tw9b 2 ай бұрын
Wahamiaji haram
@hamzakimaro3764
@hamzakimaro3764 4 ай бұрын
Hongera raaisi wetu mpendwa kwa kuwajali raia hawa wa kimasai!!hakika unaupiga mwingi,wanaojiita wapinzani watasubiri sana!! alllah akulinde na MAHASIDI!!
@hallin9561
@hallin9561 4 ай бұрын
umeanza uchama
@DpN-rk8xz
@DpN-rk8xz 4 ай бұрын
Safi sanahongera
@sebastianmwantuge5597
@sebastianmwantuge5597 4 ай бұрын
Wajinga watafurahia hicho kitu
@agathakimatile4999
@agathakimatile4999 4 ай бұрын
Naona wamasai wakirudi Tena ngolongolo😢😢😢
@FrankGasper-eq2ui
@FrankGasper-eq2ui 4 ай бұрын
Sema sababu Ni wamasai wanaishi popote
@serndaynjumbo6912
@serndaynjumbo6912 4 ай бұрын
watanzania fungukeni akili sio mnapongeza tu serikali huku wanauza urithi wetu mbona mnakua manyumbu sana hawa wameondolewa kwasababu miaka ijayomtanzania ataingia Ngorongoro kwa paspot
@abi-onlinetv4181
@abi-onlinetv4181 4 ай бұрын
Acha akili yako finyu wewe. Leta ushahidi kwa hilo
@glorymarima5611
@glorymarima5611 3 ай бұрын
Siyo miaka ijayo, tayari tunaingia na passport ya mpiga kura ambayo umepigia ngorongoro, kama hujapiga huingii labda ulipie permit kama wazangu vyenye wanafanya
@yohananyamaruri9105
@yohananyamaruri9105 4 ай бұрын
Mm najiuliza, Unajenga nyumba ya vyumba 3 maana yake vyumba 2 na sebure Moja! Mimi nanvyojua wamasai Huwa mwanaume Mmoja anakuwa na wanawake 3 had 4 na watoto zaid ya 12 . Je, kama unampatia familia Moja nyumba Moja ataishijee lkn?? Mnanyanyasa watu Kwa mamlaka mliyonayo! Hizo mbazoliport nyie maliporta mnalipo hizo ndogo tu za walio maskini ambao wanafurahia, je wake walio na Mali nyingi wanapigwa wanakufa . Mbunge hasikilizwi
@Myplusbee
@Myplusbee 4 ай бұрын
Kwahiyo ulitaka wajengewe nyumba za vyumba 12 au killa mwanaume mwenye familia ajengewe nyumba 3 hadi 4 kwavile tu unaamini kila Mmasasi ana wake 3 hadi 4? Na kwanini useme eti "...maana yake ni vyumba 2 na sebule 1" wakati umeshaambiwa vyumba 3? Yaani wamekufafanulia kabisa kwamba chumba 1 cha wazazi, 1 cha watoto wa kike, na kingine cha watoto wa kiume lakini bado unatoa tafsiri zako za eti "chumba 2"?
@Mamodel-Park
@Mamodel-Park 4 ай бұрын
Mtu kashasema chumba kimoja cha wazazi viwili vya watoto wakike na kiume sasa unataka upindishe kauli za wenye nyumba uweke fikra zako Heka 2 na nusu makazi Heka 5 za kulima serikali ulitaka iwape nini tena Nyonyo??? Wengine ad wanafurahia na wamesema ila ww tena kwavile unepewa mdomo wa kuongea basi huna budi kuongea lako
@theafricaiknow6615
@theafricaiknow6615 4 ай бұрын
HUJASIKILIZA MPAKA MWISHO. HAPO WAMEPEWA NA EKARI 2.5 KWA KILA MTU ILI KAMA FAMILIA YAKO ITAONGEZEKA UWE NA NAFASI YA KUJENGA
@deniccgabriel6153
@deniccgabriel6153 4 ай бұрын
Mmebaki nyie mnaoopongeza serikali siku wakiamka wakawaambia nyie sio watanzania sijui mtasemaje yaani mtaambiwa nyie muame nchi hii mpelekwe Malawi ukoo😅😅😅😅😅😅😅
@user-zg7yo2nl7t
@user-zg7yo2nl7t 4 ай бұрын
CT suck
@user-to5pz6ko8f
@user-to5pz6ko8f 4 ай бұрын
Hii.imenikumbusha.op.ngodano.kigoma.naop.vijiji.74.75.hongeleni.sans
@user-to5pz6ko8f
@user-to5pz6ko8f 4 ай бұрын
Maasai.makao.mapyamema
@officialngassama2539
@officialngassama2539 4 ай бұрын
Alaf anatokea mhaya mmoja amevimbiwa ndiz anasema jkt kisiwe kigezo cha ajira za majeshi ili hali vijana hao wanafanya kaz kubwa sanaa cijui hawaoni
@exprodigitaltechtv5571
@exprodigitaltechtv5571 4 ай бұрын
ulielewa alichomaanisha yule mbunge? ni kwamba kuwe kuna usawa katika kupata Ajira kati ya vijana wanaopitia jkt na wasipita jkt kwa sabab wapo vijana wanaofanya vizur lakin hawakupita jkt na wapo vijana wasiofanya vizur na wamepita jkt
@hamadsheni8997
@hamadsheni8997 4 ай бұрын
Jkt kisiwe kigezo cha kupatia kazi serikalini.
@exprodigitaltechtv5571
@exprodigitaltechtv5571 4 ай бұрын
@@hamadsheni8997 yeah mbunge alikua na hoja kweli na jkt iwe hiari sio lazima
@MiriamAbdallah
@MiriamAbdallah 4 ай бұрын
Acha kuchanganya mada kama sio ajira za majeshi ni waajiriwa wa sekta nyingine mwanajshi anaajiriwa akifamaliza mafunzo yao yaani unaongea ukiwa umejiamini na kiwatusi wahaya
@user-co3ee9nb5q
@user-co3ee9nb5q 4 ай бұрын
Ng'ombe mmoja anahitaji eka moja je mtawatosheleza au mnakaribisha ugomvi kati ya wageni na wenyeji. Je ardhi mnayoichukua kutoka kwa wenyeji je mnawafidia? Maana sheria zipo wazi kua hata kama ni kwa manufaa kwa nchi, serikali inatakiwa itoe fidia. Sasa ukweli ni kua hakuna fidia inayotolewa.
@giftchristianmeela1409
@giftchristianmeela1409 3 ай бұрын
Hakuna mtu aliyekuwa anamiliki ardhi ngorongoro, huwezi fidiwa kitu ambacho humiliki.
MKURUGENZI ALIVYOZIMIA BAADA YA KUSEMWA NA WAZIRI JAFO...
6:56
Global TV Online
Рет қаралды 648 М.
EMAIYANATA  OLAIGWANANI LOMAREI LOORMOSONJWA
33:09
Kopkop TV
Рет қаралды 24 М.
THEY made a RAINBOW M&M 🤩😳 LeoNata family #shorts
00:49
LeoNata Family
Рет қаралды 33 МЛН
Пробую самое сладкое вещество во Вселенной
00:41
Каха и суп
00:39
К-Media
Рет қаралды 3,7 МЛН
#live  VURUGU ZA CHADEMA MUDA HUU WAMEFUNGA BARABARA KAMA KENYA
9:40
MBUNGE WA NGORONGORO ANG'AKA, ISHU YA LOLIONDO, KIKWETE AINGILIA!
11:19
0% Sportsmanship but it gets increasingly more disrespectful
12:27
Tengeneza Tabia Zitakazokupa Mafanikio - Eric Shigongo
14:14
Hamasika Tv
Рет қаралды 19 М.
THEY made a RAINBOW M&M 🤩😳 LeoNata family #shorts
00:49
LeoNata Family
Рет қаралды 33 МЛН