Рет қаралды 47,146
VILIO! VIJANA WENGINE 3 WATOWEKA DAR KATIKA MAZINGIRA YA UTATA, FAMILIA HAIJUI WALIPO MIEZI 5 SASA!
Vijana watatu ambao ni marafiki, Abdallah Kawambwa, Jackson Mkwetu na Omary Hamdan, wakazi wa Kitunda jijini Dar es Salaam, wamepotea katika mazingira ya kutatanisha kwa muda wa miezi mitano sasa na kuacha huzuni kubwa kwa ndugu zao ambao hawajui kilichowapata.
Vijana hao waliondoka majumbani kwao Septemba 10, 2021 kwa maelezo kwamba wanasafiri kuelekea mkoani Tanga lakini kuanzia hapo, hawajawahi kurudi nyumbani, simu zao hazipatikani na jitihada za ndugu zao kuwatafuta, bado hazijazaa matunda.....GLOBAL TV INA FULL STORY....
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
⚫️ VISIT COMEDY PLAYLIST: • GLOBAL COMEDY/MOVIES
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 712 101 629), ( +255 784 888982)
⚫️ Email: globaltvbest@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltvonline