Tundu Lissu Aliamsha Dude Sakata la Mikataba ya Madini, Bunge Lachafuka

  Рет қаралды 915,433

Global TV  Online

Global TV Online

7 жыл бұрын

Mbunge wa Singida Mashariki, Tundu Lissu kwa tiketi ya Chadema ambaye pia ni mwanasheria mkuu wa chama hicho, amekinukisha bungeni baada ya kusimama na kupinga kwa nguvu zote ripoti za kamati mbili za madini zilizoundwa na mheshimiwa rais huku akienda mbali zaidi na kusema kuwa zimejaa uchafu.
Lissu amefunguka kwamba uamuzi wa bunge kumpongeza mheshimiwa rais, si wa wabunge wote bali ni wa wabunge wa CCM kumpongeza mwenyekiti wao.
Akaendelea kwamba wajibu wa bunge ni kuishauri serikali na si kuisifia na kuiimbia mapambio, na kwamba ripoti ya kamati hizo mbili hazipaswi kusifiwa kwa sababu kabla yake, rais mstaafu, Benjamin Mkapa na Jakaya Kikwete waliunda kamati ambazo zilikuwa na mapendekezo bora zaidi.
Maneno makali ya Tundu Lissu, yaliamsha hasira kwa wabunge wa CCM ambao mara kwa mara walikuwa wakimzoea, hali iliyomfanya mwenyekiti wa bunge, Mhe Zungu awe na kazi ya ziada ya kutuliza hali ya hewa bungeni ambayo ilishachafuka.
Lissu amesema kwamba mpaka sasa, sheria zote zilizolifikisha taifa hapa lilipo, kuhusu madini, hakuna hata moja iliyorekebishwa ambapo kiwango kikubwa cha madini kinasafirishwa moja kwa moja kutoka kwenye migodi, jambo alilolifananisha na kuzuia mapanki wakati minofu inasafirishwa.
Kupata video nyingine za aina hii, subscribe kwenye chanell yetu kwa kubofya…
/ uwazi1
/ uwazi1
/ uwazi1
WEBSITE: globalpublishers.co.tz/
FACEBOOK: / globalpublishers
TWITTER: / globalhabari
INSTAGRAM: / globalpublishers

Пікірлер: 431
@gidiuskato7722
@gidiuskato7722 2 ай бұрын
Ambao bado tunatazama hii 2024 piga like😅
@edmundisospeter7837
@edmundisospeter7837 4 жыл бұрын
Kama sisi sio wanafiki tugonge like
@luckmanhuxtler8306
@luckmanhuxtler8306 3 жыл бұрын
Ee baba
@gowekogoweko5803
@gowekogoweko5803 9 ай бұрын
WE MISS YOU. MR TUNDU LISSU AND CHADEMA KWA UJJMLA
@raphaelsamwel2640
@raphaelsamwel2640 4 жыл бұрын
Proffosorior rubbush!! Nimekubali!! Unaona mbali
@nassorsaid2331
@nassorsaid2331 7 жыл бұрын
huyu mzee zungu ana busara sana ye ndo anadeserve kuwa speaker honestly
@veronicazacharia2080
@veronicazacharia2080 6 жыл бұрын
Nassor Said sure
@10th_Uncle_01
@10th_Uncle_01 6 жыл бұрын
William Ruto
@rashidisadala9460
@rashidisadala9460 4 жыл бұрын
Kweli kabsaa
@rozinkinda1607
@rozinkinda1607 4 жыл бұрын
Mbona unaugovi na magufuri
@danieldaniel-lb2on
@danieldaniel-lb2on 4 жыл бұрын
Ndio,
@chamlilemhando7478
@chamlilemhando7478 7 жыл бұрын
viva lissu namkubali sana huyu mtu. safi sana
@nyawawawanyawawa935
@nyawawawanyawawa935 7 жыл бұрын
Cham Mhando Yeah waweza mpa mkeo
@kitabwana9741
@kitabwana9741 5 жыл бұрын
Jamani lisu nakuombea upone mapema uka vizuri sana
@edisonpeter3894
@edisonpeter3894 3 жыл бұрын
Unaikumbuka hii komenti yako? Bado unamkubali lisu?😅😅😅😅😅😅
@priscusaugust7251
@priscusaugust7251 2 жыл бұрын
@@nyawawawanyawawa935 shoga wew
@thomastarimo
@thomastarimo Жыл бұрын
Hawa ndiyo watu wanaotakiwa kua bungeni siyo iyo migonga meza hovyo
@juliuskizito8929
@juliuskizito8929 7 жыл бұрын
Big up Tundu Lisu, wataelewa mbeleni wazee wa wanaoafiki Ndiyoooooooooh!
@selestinefrancis8473
@selestinefrancis8473 5 жыл бұрын
Ndiyoooo
@luluamri370
@luluamri370 3 жыл бұрын
Ha ha ha hivi haya madini si ndio yale alisema Tanzania tutashtakiwa tukibadili mikataba, ,alafu tukalipwa si ndio
@sanyamwita1853
@sanyamwita1853 3 жыл бұрын
lulu amri unajua yeye alifikiri Tanzania 🇹🇿 ndyo ile aliozoea ya kuogopa
@steamnature
@steamnature 3 жыл бұрын
@@luluamri370 Ndio hayo hayo
@seniornyungu9718
@seniornyungu9718 6 жыл бұрын
Prudent sincere super intelligent lawyer and member of Tanzania bungeeee!
@jakobongwara3038
@jakobongwara3038 Жыл бұрын
SEMA risu mwanasheriamkuuuu sioweee
@amosmerama3680
@amosmerama3680 4 жыл бұрын
I'm proud of tundu lisu,maneno ya mwenye haki hudumu milele
@thomastarimo
@thomastarimo Жыл бұрын
Binafi Mimi in msomi Nina mkubali lisu
@daniellyimo636
@daniellyimo636 4 жыл бұрын
Bungeni Tundu Lisu yupo sahihi na ndio Maana yupo hai Ukweli na Uwazi Mungu Ampe Nguvu....
@selemanilila56
@selemanilila56 Жыл бұрын
.
@kelvinalex5644
@kelvinalex5644 7 жыл бұрын
hakuna kama Lisu hapa tz mtabakia na ubishi 2 ila ukweli uko palepale
@tecnof1232
@tecnof1232 5 жыл бұрын
Dadaktaa!
@tangaoldtv1067
@tangaoldtv1067 4 жыл бұрын
Kabisaa hakunaa
@husenijryahya5232
@husenijryahya5232 4 жыл бұрын
Haipingiki mkuu
@shanelisessoa6319
@shanelisessoa6319 3 жыл бұрын
Naunga mkono hoja na watoto woote walio zaliwa 7 septemba mwezi aliopigiwa risasi tuliwaita Tundu Lissu kama ishara na kmb ya mkongwe huyu adim na adhiim Tz
@athuimansaidi6525
@athuimansaidi6525 4 жыл бұрын
Huyu jamaa magufuri ampe nafasi watafanya kazi nzuri
@nabimanyafesto5014
@nabimanyafesto5014 5 ай бұрын
Yaani magufuri angempa nafasi huyu jamaa
@delebm543
@delebm543 7 жыл бұрын
mwenyekiti safi kabisa unauelewa mkubwa sana hongera sana pia lisu hongera sana
@mariagoletalex9439
@mariagoletalex9439 5 жыл бұрын
Dele BM
@habarinamichezo6427
@habarinamichezo6427 5 жыл бұрын
Eti Leo mlemavu ama kweli dunia ni mapito mungu unipiganie Mimi mja wako ...but mliomfanyia upsnga utawarudia tu.
@loner_wolf
@loner_wolf 3 жыл бұрын
Aliokuwa anawachongea hapo akarudi kuwatetea, kimsingi ni myumbishaji tu MPIGAJI. Akisha chochea anajua serikali zile za kuogopa kufuatilia WAKOLONI WETU WA ZAMANI yeye anapata gap la kujifanya nawatetea wekeni MZIGO, analipwa anakaa kimya na inaisha hivyo anawaambia AMEWATETEA. sasa trip hii kachokonoa serikali ya Tanzania halisi isiyo na woga na yenye kujiamini, MIKATABA imepitiwa na serikali imeamuwa kujua kila kitu kuhusu MADINI kabla hayajakwenda popote, JAMAA walishalipa wakasikia kelele za kutetewa tu alafu MCHANGA pia umenasa port, mmh hivi UNANICHONGANISHA, naanza kushughulikiwa unaniomba pesa ukidai nikikupa utanitetea, NAKUPA pesa, alafu kila siku naona NAZIDI KUSHUGHULIKIWA ZAIDI na ww bado unasema ongeza pesa kidogo UTAKUWA SALAMA TU, nakupa pesa lkn nazidi KUSHULIKIWA ZAID NA ZAID NA NINAPATA MAJERAHA KILA KONA..... nakufuata unasema NGUVU ZA SODA HIZO tulia utakuwa salama tu....... Ukishachonganisha, nikashughulikiwa na ukala pesa yangu na usinitetee chochote alafu unachukulia easy tu MIMI NAKUFANYAJE ?
@manish-fp1fb
@manish-fp1fb Жыл бұрын
Sio mlemavu wa akili kama wwe
@raphaelsamwel2640
@raphaelsamwel2640 4 жыл бұрын
Kuzuiwa mapank minofu inakwenda uuuuwi!! Hizi akiliii????
@renatusvedasto1201
@renatusvedasto1201 5 жыл бұрын
tunaitaji akna lissu zaidi watu kama away ni muhimu
@isaacsengunda3099
@isaacsengunda3099 4 жыл бұрын
Hapo ni wapi amepingaa? Hivi wa tz wana ccm kwwli mnazo akili za kujua mema na mabaya kweli,,duh,,kosa kila kitu lakini usikose akili.
@philimonambilikile6645
@philimonambilikile6645 2 жыл бұрын
Tutakupenda daima mungu akupe nguvu
@vanessagoodluck7176
@vanessagoodluck7176 5 жыл бұрын
Daaaah, baada ya hapa walimpiga risasi aseee, ila Hakuna mwana ccm atakae onja ufalme wa mbingu kwa wanayo yafanya.
@hilaliissa5056
@hilaliissa5056 5 жыл бұрын
Ki r0 .
@hilaliissa5056
@hilaliissa5056 5 жыл бұрын
-
@ibrahimgwasma235
@ibrahimgwasma235 4 жыл бұрын
Ukiambiwa thibitisha kuwa ccm wamempiga Risasi unaanza oh naonewa oh freedom of speech yaani
@isaacsengunda3099
@isaacsengunda3099 4 жыл бұрын
@@masebtommy1863 ni mpuuzi,inamaana hujasikia alichokisema huyo Lisu,au akili yako ndio hio imejaa ukungu.
@isaacsengunda3099
@isaacsengunda3099 4 жыл бұрын
@@masebtommy1863 akili ya kishenzi ndio umeibeba kichwani
@gowekogoweko5803
@gowekogoweko5803 9 ай бұрын
MSOMI AKIWA KAZINI 👏🏻👏🏻👏🏻
@tareqhilal6750
@tareqhilal6750 3 жыл бұрын
Safi Sana Lissu, spika safi sana, kushoto kwa Lissu ashahamishiwa xxm..Viva Lissu
@imranijuma6955
@imranijuma6955 2 жыл бұрын
Dah MAGUFULI alimkosea huyu
@aloycemwakatala2634
@aloycemwakatala2634 4 жыл бұрын
Zungu nakukubali sana linda muda wa Lissu na vinginevyo.
@manish-fp1fb
@manish-fp1fb 7 жыл бұрын
hamuwezi kuwa na akili ccm bila kupata mikiki mikiki kama hii... the guy is challenging u... cha kufanya ni kututhibitishia anasema uongo kwa kuonyesha hiyo asilimia 95 sio kweli inaondoka.
@alinanusyemwatukambo7908
@alinanusyemwatukambo7908 5 жыл бұрын
We we acha uwongo
@jocefstephen2475
@jocefstephen2475 3 жыл бұрын
mbona kama nimeskia "mfanyeni kiwete huyo!"
@raphaelsamwel2640
@raphaelsamwel2640 4 жыл бұрын
Nchi ya hajabu!! Yaani mnakula posho kupitisha azimio la kumpongeza Magu kwa kuunda kamati makinikia??? Unafiki!! Wewe ni mkweli aiseeee!!!
@allanothuman2941
@allanothuman2941 3 жыл бұрын
Yaaan tanzani yetuu ingekuwa na kina lissu na zitoo wengi tungefik mbalii sanaaa pamoj na kipumbaa tungekuwa mbali balaaa
@abdallahibrahim2264
@abdallahibrahim2264 6 жыл бұрын
Yuko sawa lisu
@willeydavid2108
@willeydavid2108 3 жыл бұрын
We miss you TUNDU LISSU 😭😭
@edmundisospeter7837
@edmundisospeter7837 4 жыл бұрын
Tundu lissu your always bright feel strong every don't bother at their intenty
@israeleliah7163
@israeleliah7163 3 жыл бұрын
Silinde ualianza usaliti mapema hata makofi haupigi fala kweli ww
@badymedia9648
@badymedia9648 3 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣
@johannesmaloda8209
@johannesmaloda8209 4 жыл бұрын
Rudi mwanaharakati...mchango wako ni mkubwa na mhimu ktk nchi...hii n nchi yetu ote
@EcoEssence_wellness
@EcoEssence_wellness 7 жыл бұрын
Sure
@bakariali4026
@bakariali4026 7 жыл бұрын
mtakuja kumkumbuka uyo lisu kwani mushamzomea mara ngapi ,pamoja na zito mwisho munajishuku wenyewe?
@consolatamaarufu6762
@consolatamaarufu6762 6 жыл бұрын
jaman mm naomba tuelewane kwamba lisu hajawahi kuingia mkataba na na mwekezaji yeyote sasa kwanini analaumiwa?
@witneskilinda5034
@witneskilinda5034 3 жыл бұрын
Tundu ni baba lao jamaa anajua kujenga hoja
@nasibumatutera786
@nasibumatutera786 2 жыл бұрын
Mh. Tundu Lisu Mwanasheria mkubwa sana msema ukweli hakika hatatokea kama wewe labda kizazi cha Millennium ijayo congratulation be blessed.
@thabitngangila8562
@thabitngangila8562 4 жыл бұрын
We miss him
@vicentmayanda3935
@vicentmayanda3935 4 жыл бұрын
lissu anajua sana my role modal
@user-xf6lk8of5j
@user-xf6lk8of5j 4 жыл бұрын
Kweli kabixa lissu umeongea ukweli kabisa
@frankkaiza3658
@frankkaiza3658 3 жыл бұрын
Uongozi unatakiwa ivo mwenyekiti tulia msikilize lisu apo msema kwer wa mungu mbeba maono!
@jessykaelus1579
@jessykaelus1579 7 жыл бұрын
Jembe langu hilo: nakukubali sana sana.
@nikodemmwahangila3334
@nikodemmwahangila3334 3 жыл бұрын
Mbona tena leo anawatetea wezi
@moingety.kaleku8849
@moingety.kaleku8849 3 жыл бұрын
Amewatetea kwa lipi kaka
@witneskilinda5034
@witneskilinda5034 3 жыл бұрын
Tundu watanzania wengi akili tunakuelewa mtu 1 tu anayubishwa ccm nzima
@athuimansaidi6525
@athuimansaidi6525 4 жыл бұрын
Acha aseme ukweli yamezidi unafiki ndoo maana magufuri anayatumbua Mengine humo
@DanielDaniel-ey8th
@DanielDaniel-ey8th 7 жыл бұрын
Message sent.
@kagombaEnok
@kagombaEnok 6 күн бұрын
Tundu Lissu ni chumaaaa
@sasha-ri7tf
@sasha-ri7tf 3 жыл бұрын
Baba Mhe Tundu Lisu ludi nyumbani sasa kazi tumemaliza. "Rabsh tupu" mnazuia makemikia mnaruhusu minofu ya dhahabu 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣👍🏽👍🏽👍🏽👍🏽👍🏽👍🏽
@danielernest8588
@danielernest8588 3 жыл бұрын
Hakuna mtu imara kama Tundu Lissu huo ndio ukweli kabisa
@mamafaiza2651
@mamafaiza2651 3 жыл бұрын
Nikipitia hizi bunge kukuangalia rais lissu mtarajiwa naingiwa na imani sana utatuvusha salama na wewe ndio itakae kuwa rais wa wanyonge
@barakamshiu7146
@barakamshiu7146 Жыл бұрын
i miss this stuff
@athuimansaid1369
@athuimansaid1369 3 жыл бұрын
Mungu ndoo anajua
@meshackkwigize9848
@meshackkwigize9848 4 жыл бұрын
We miss you brother
@RashidRashid-on4fh
@RashidRashid-on4fh 3 жыл бұрын
Jamaa kaongea ukweli alafu manyumbu wa ccm wanakata sababu wao wakiambiwa hv wote sawa ndo faida ya upinzani
@kherysalum638
@kherysalum638 5 жыл бұрын
huyo ndo lusu
@bakariali4026
@bakariali4026 7 жыл бұрын
uyu jamaa ana akili nyingi ,,ujue simpendi uyu mbunge anaeomba taarifa kwanza sauti lake baya
@selestinefrancis8473
@selestinefrancis8473 5 жыл бұрын
Big uko
@abednego3876
@abednego3876 3 жыл бұрын
Huyu ndy mwakilishi mkazi wa Waizi wa madini na rasilimali Tanzania. Bwana Mashavu PUMBAV KWELI
@KilusuMigaro
@KilusuMigaro Жыл бұрын
Mpe lissu aongee apiganie bandari yetu
@hamisyahaya9504
@hamisyahaya9504 4 жыл бұрын
Daah lisu mungu akujalie sana we nikiungo
@jaksonjulius9010
@jaksonjulius9010 4 жыл бұрын
Genius Lissu
@matumizitonny1841
@matumizitonny1841 5 жыл бұрын
Kweli kabisa
@bakariali4026
@bakariali4026 7 жыл бұрын
katiba wanapitisha wao kisha wanazomea awa vp
@ibrahimgwasma235
@ibrahimgwasma235 4 жыл бұрын
Kazi ya kusimamia wabunge wa Tz ni ngumu sana
@mbesinghabi1994
@mbesinghabi1994 Жыл бұрын
Umewahi kuangalia bunge la Kenya 😂😂
@ericklaizer1696
@ericklaizer1696 3 жыл бұрын
Moto💥 unafaaa saana wew jembe ukwel ckuzote unauma
@josephnjau9544
@josephnjau9544 7 жыл бұрын
kweli aise
@manish-fp1fb
@manish-fp1fb 4 жыл бұрын
Ukiona mpaka anashambuliwa basi ujue wameshindwa hoja... hoja za huyu jamaa zimekuwa zinawatesa....
@MchotaOnline
@MchotaOnline 3 жыл бұрын
2020 LIKE HAPA
@mtolomi
@mtolomi 4 жыл бұрын
Lissu the GOAT.
@samsondecoman983
@samsondecoman983 5 жыл бұрын
Uyu mwana ume niadhina ya taifaaa.
@paulowangoma4932
@paulowangoma4932 Жыл бұрын
The term Professorial Rubbish stands today. Wanajitetea kwenye kesi Leo hii wanasamea in 2013 we (Tanzania) were lenient to Investors. 😂
@issackchalahani1235
@issackchalahani1235 4 жыл бұрын
Chuma kisicho shika kutu! Ee Jehovah mnusuru mja wako huyu na hila za mwanadamu asiependa ukweli.
@jumaaaley7584
@jumaaaley7584 7 жыл бұрын
Lisu ni bingwa wa mabashite
@edisonpeter3894
@edisonpeter3894 3 жыл бұрын
Vipi bado unamkubali? JPM kashinda au lah?
@jamesharrison1553
@jamesharrison1553 4 жыл бұрын
We miss you
@EmanuelyAugustino-jz1dw
@EmanuelyAugustino-jz1dw Ай бұрын
Jmn Hadi machizi yananitoka juuu Hawa ccm..siwapendi
@mamafaiza2651
@mamafaiza2651 3 жыл бұрын
Duh
@mubarakanyamihasi881
@mubarakanyamihasi881 6 жыл бұрын
wewe tundulisu unawatendea haki watanzania tumeelimika vya kutosha
@evancemosha7862
@evancemosha7862 7 жыл бұрын
safi sana km list uno vizur
@selestinefrancis8473
@selestinefrancis8473 5 жыл бұрын
Kweli mkuu
@kelvinkiria7852
@kelvinkiria7852 4 жыл бұрын
Waeleze bb ukweli
@leonardmwita442
@leonardmwita442 4 жыл бұрын
Yap waambie kazi kuchukua posho tu
@Omushonga
@Omushonga Жыл бұрын
Naiangalia hii July 2023, iyo rubbish ikae kwene Hansadi😂
@deogratiusdaudi5482
@deogratiusdaudi5482 Жыл бұрын
mshakaji aliwaonya,tutakuja kushatakiwa na tutalipa....wakamzoea,wakamcheka,wakamkeji...Hatimae Leo tunatKiwa kulipa....alisema hio riport ni professario rubish.....
@kulwajames4178
@kulwajames4178 7 жыл бұрын
yani kuna mda huwa naona wabunge wa ccm hawajielew
@selestinefrancis8473
@selestinefrancis8473 5 жыл бұрын
Kabisa
@GodianGamanywa
@GodianGamanywa 19 күн бұрын
nakukubali sana baba 3:03
@user-yl3rp7gg5w
@user-yl3rp7gg5w 2 ай бұрын
Nakuubari mh lisuu
@hamidaalhabsi8568
@hamidaalhabsi8568 2 жыл бұрын
Subhanaallah huyu Tundu lisu ana penda kutukana sana
@richardwamungu2268
@richardwamungu2268 4 жыл бұрын
Ana mihemuko huyuu hafai kabisa kuwa kiongozi
@MatikoMichael
@MatikoMichael 3 ай бұрын
Wwe utabaki kuwa mjinga siku zote
@MatindeMatinde-mn8dc
@MatindeMatinde-mn8dc 2 ай бұрын
Kweli
@johnwenceslausmmbaga3917
@johnwenceslausmmbaga3917 4 жыл бұрын
Very good
@jamesmedard5538
@jamesmedard5538 7 жыл бұрын
Asante Mh.Lissu ujawai kukosea ata malamoja.
@mwakapalamwakapala8317
@mwakapalamwakapala8317 9 ай бұрын
Hongera kwa ujasiri
@mohamedpaul2359
@mohamedpaul2359 3 жыл бұрын
Leo ana sema tutashitakiwa na wazungu awezi kuwa raisi uyu
@saudatoller642
@saudatoller642 5 ай бұрын
Daah yaani wabunge wanamkejeli mtu ambae anapambania taifa
@braystuskibassa3842
@braystuskibassa3842 3 жыл бұрын
Daah huyu alitakiwa aendelee kuwepo bungeni kwani tumeyajua mengi kupitia kwake
@nikundiweamosi5087
@nikundiweamosi5087 2 ай бұрын
Hpa ndo bunge lilikuwa hai saiv ni hovyo tu
@piuslugata4931
@piuslugata4931 4 ай бұрын
Subilieni mwakani wapizani watakuwa wengi sana
@bsmonline8482
@bsmonline8482 Жыл бұрын
Hicho kichwa cha Moto, ni basi tuu Tz tunakaujeuri
@MohamedIbrahim-bn1gz
@MohamedIbrahim-bn1gz Ай бұрын
huyu jamaa kumbe tangu zamani ni mjinga na mtu wa kumtukanatukana
@hamisikaisi461
@hamisikaisi461 4 жыл бұрын
wanafiki wanaona aibuu sasa ...
@ntegrity277
@ntegrity277 2 ай бұрын
Muda mfupi baada ya huu uchangiaji Lissu alishambuliwa Kwa risasi
@lameckjohnlaizer4755
@lameckjohnlaizer4755 Жыл бұрын
siku hiyo ndio mashetani walienda kumpigia risasi. na mungu wetu alivyo mkuu leo yupo hi na wasalimu hatunao tena
@this_is_joeh
@this_is_joeh 3 жыл бұрын
Sawa baba wape ukweli
@akidajulius8397
@akidajulius8397 2 жыл бұрын
Da BURIAN ,hili BUNGE hatutaliona tena ,Wala kulisikia Tena,Mpaka wapinzani wakweli watapo kubaliwa kuludi bungeni,
@haidaryjoe5546
@haidaryjoe5546 3 жыл бұрын
N uwongo uwongo uwongo 😂😂
@justinekashiriririka8690
@justinekashiriririka8690 3 жыл бұрын
Wewe unajuwa Nini Apo apo
@haidaryjoe5546
@haidaryjoe5546 3 жыл бұрын
Vingi tu hadi Mama ako namjua
@tabalontalimbopaul4167
@tabalontalimbopaul4167 3 жыл бұрын
@@haidaryjoe5546 🤣😂🤣
@joshuamollel598
@joshuamollel598 2 жыл бұрын
@@haidaryjoe5546 duuuu!!!
Ni Tundu Lissu na Joseph Mbilinyi tena Bungeni leo May 5 2017
11:11
Millard Ayo
Рет қаралды 1,4 МЛН
Lissu afunguka kuhusu madini 'Mungu anasikia.. mtaniambia'
17:29
Millard Ayo
Рет қаралды 373 М.
Самый Молодой Актёр Без Оскара 😂
00:13
Глеб Рандалайнен
Рет қаралды 11 МЛН
Heartwarming Unity at School Event #shorts
00:19
Fabiosa Stories
Рет қаралды 21 МЛН
Amazing weight loss transformation !! 😱😱
00:24
Tibo InShape
Рет қаралды 56 МЛН
ZITTO KABWE Alivyowasha MOTO Bungeni, SAKATA la KOROSHO
17:08
Global TV Online
Рет қаралды 553 М.
Mwanzo Mwisho Jinsi Hotuba ya Lissu Ilivyolitikisa Jiji la Arusha
49:01
Godbless Lema Aliamsha Dude Bungeni, Hali ya Hewa Yatibuka
15:51
Global TV Online
Рет қаралды 573 М.
Mahojiano kamili na Balozi Masilingi na Mbunge Tundu Lissu
8:42
VOA Swahili
Рет қаралды 390 М.
BAJETI KUU 2017/18:Tundu Lissu amgusa JK
7:49
Mwananchi Digital
Рет қаралды 117 М.
Hotuba ya Mwalimu Nyerere kwenye Mkutano Mkuu wa CCM Dodoma 1995
14:17
Joseph Mabima
Рет қаралды 3,6 МЛН
Самый Молодой Актёр Без Оскара 😂
00:13
Глеб Рандалайнен
Рет қаралды 11 МЛН