BREAKING: JPM Atembelea Shule Aliyosoma Nyerere

  Рет қаралды 247,184

Global TV  Online

Global TV Online

Күн бұрын

BREAKING: JPM Atembelea Shule Aliyosoma Nyerere
Rais Dkt John Magufuli, ameendelea na ziara yake ya kutembelea, kukagua na kuzindua miradi mbalimbali inayotekelezwa katika maeneo mbalimbali hapa nchini.
Leo Septemba 05, Rais Magufuli ametembelea shule ya msingi Mwisenge mjini Musoma aliyosoma Baba wa Taifa , Mwl Julius Nyerere.
Install GlobalPublishersApp Android: bit.ly/2AAQe1d iOS: apple.co/2Assf4M Subscribe ww.youtube.com/... FACEBOOK: / globalpublis. . TWITTER: / globalhabari Visit globalpublishe..., Suazi1
/ uwazi1 WEBSITE: globalpublishe... FACEBOOK: / globalpublis. . TWITTER: / globalhabari INSTAGRAM: / globalpubli. .

Пікірлер: 177
@jolitejolite1497
@jolitejolite1497 6 жыл бұрын
Mungu akubariki rais wetu akionekana kila siku unabadirisha dila ya maendeleo Tanzania
@yuzotv458
@yuzotv458 6 жыл бұрын
love heart,is the key to leadership.congratulation Dr J.P.M (our presedent of tz)
@michaelsukwa4371
@michaelsukwa4371 6 жыл бұрын
HONGERA RAIS wetu MAGUFULI kwa kazi nzuri
@marconzilankoma7581
@marconzilankoma7581 6 жыл бұрын
Mungu ibariki Tanzania Mungu Mbariki Rais na umrinde Mungu wabariki na watu wake
@ayubunjiwa2818
@ayubunjiwa2818 6 жыл бұрын
Miaka 10 haimtoshi kwa nzuri anayoifanya! Inabidi aongezewe miaka 5 zaidi! Be blessing mh Rais
@ChoroTesla
@ChoroTesla 2 жыл бұрын
Na utabiri wako wakipumbavu haukutimia
@myoutubecom-gg7sb
@myoutubecom-gg7sb 6 жыл бұрын
MaashaAllah
@alexjosephat9030
@alexjosephat9030 6 жыл бұрын
Utawaleeeee daimaaaa baba. Nakukubali snaaaa
@geofreymgeni2668
@geofreymgeni2668 6 жыл бұрын
the best presendet in africa for now
@pilibarakaiteba8750
@pilibarakaiteba8750 6 жыл бұрын
Apoo safi sanaa yanii nakupendaa kufaa
@habilicharles4410
@habilicharles4410 6 жыл бұрын
Huyu Rais ataacha alama kubwa sana baada yakipindi chake kuisha maana anayoyafanya niyaleee ya Baba wa Taifa hili Mwl. J.K. Nyerere. Hongera sana mkuu wetu wa nchi hii mungu akulinde zaidi.
@jedidahbintidaudi8241
@jedidahbintidaudi8241 3 ай бұрын
na ameshaenda baba huyu dah jmni
@BarakaWaya
@BarakaWaya 6 жыл бұрын
Mungu akibariki Sana mhe. Rais
@firdausabdullah6315
@firdausabdullah6315 6 жыл бұрын
Kazakh allah kher allah ukaipate akhera yako
@jonasamos555
@jonasamos555 6 жыл бұрын
Big up diwan Ila sitaki kujua chama chako
@rezegerezege691
@rezegerezege691 3 жыл бұрын
CCM😆😆😆😆😆
@zakiamaungazakia720
@zakiamaungazakia720 6 жыл бұрын
Safi sana
@pigapesa1013
@pigapesa1013 6 жыл бұрын
safi sana mh Rais
@gipsonice7gipsonice791
@gipsonice7gipsonice791 5 жыл бұрын
Asantee
@agneomasonda2462
@agneomasonda2462 6 жыл бұрын
Safi sana mheshimiwa Rais Mungu akubarikiwe
@maigabarikiwasanamtuwamung5712
@maigabarikiwasanamtuwamung5712 5 жыл бұрын
Hakika Mungu akubariki Sana Mheshimiwa Raisi wetu tunakuombea
@jamesjamesalpha8361
@jamesjamesalpha8361 6 жыл бұрын
nakukubali sana Mh Rais wangu
@maryammaram2612
@maryammaram2612 6 жыл бұрын
Najivunia kuwa mTanzania hongera baba magu
@mosesmajige913
@mosesmajige913 6 жыл бұрын
Hi
@charleskaflela5747
@charleskaflela5747 6 жыл бұрын
Mungu akubariki mh Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Wa Tanzania Dr John. P.Joseph Magufuli
@rezegerezege691
@rezegerezege691 3 жыл бұрын
Mwanangu naona Rais na Diwani Manyama Mungu Awalinde . AMINA.
@binurarassi8156
@binurarassi8156 6 жыл бұрын
Wanafunzi hao ni Malaika, nao pia Wamefurahi mno kukuona Laivu Rais Magufuli, Na sadaka Hiyo uliyoitoa Hapo ni DUA tosha, Mungu akubariki.
@frankakuno.9511
@frankakuno.9511 6 жыл бұрын
Safi sana j.p.m
@user-wk7hz2ct1m
@user-wk7hz2ct1m 2 ай бұрын
This one was exceptional... Human touch per excellence!
@paschaljeremiah4903
@paschaljeremiah4903 6 жыл бұрын
Big up Rais wetu kwa kukumbuka wakombozi wetu, I actually appreciate you so much!
@athumanomary1438
@athumanomary1438 5 жыл бұрын
Asante san baba yetu asante sana viongozi wetu asante sana raisi wetu raisi wetu mwenyez MUNGU yupo pamoja nawe
@yuzotv458
@yuzotv458 6 жыл бұрын
safi sanA WEWE TU NDO UNANIISPIRE KUJA KUA HEAD LEADER WA NCHI.GOOD BETTER BEST,WATOTO LEO NI SIKUKUU YAO JAMENI.👏👏👏👏
@fredkyara.babamunguwambing482
@fredkyara.babamunguwambing482 6 жыл бұрын
Hongera Rais wangu
@yuzotv458
@yuzotv458 6 жыл бұрын
good
@mwasitihatibu9691
@mwasitihatibu9691 6 жыл бұрын
mashaallah
@deustutu1162
@deustutu1162 6 жыл бұрын
hongera sana rais kuwajal hao watoto walemavu
@francisgituti2494
@francisgituti2494 2 ай бұрын
Fantastic
@paiwanjara3502
@paiwanjara3502 5 жыл бұрын
hongera mheshimiwa namimi nmesoma hapo tangu dalasa la kwanza mpaka 7 naipenda sana
@robertpeter4283
@robertpeter4283 6 жыл бұрын
Hongera jpm rais wetu
@yusufuheri6524
@yusufuheri6524 5 ай бұрын
Mashaalah
@kartelgizemc1590
@kartelgizemc1590 5 жыл бұрын
Good President..
@petermahimbo9450
@petermahimbo9450 5 жыл бұрын
Aamen Aamen Mr president. Mungu akupe uhai mreefu kama ule mount meru
@abdallakassim9954
@abdallakassim9954 5 жыл бұрын
Big up our president
@lisanzai8246
@lisanzai8246 6 жыл бұрын
Mungu akubariki Sana mueshimiwa
@sadikingstudio8166
@sadikingstudio8166 6 жыл бұрын
Bravo Rais Dr JP MAGUFULI
@nelsonmumghamba3767
@nelsonmumghamba3767 6 жыл бұрын
Mh:umekua mfano wa kuigwa ndani ya nchi, ndani ya Bara la África na kimataifa kiujumla, GOD bless you
@yusufuheri6524
@yusufuheri6524 5 ай бұрын
Eh mungu
@felistermatindi119
@felistermatindi119 4 жыл бұрын
Baba rais wangu nakupenda mpaka nasisimka, hongera baba kwa kazi nzuri
@godlovemrosso8715
@godlovemrosso8715 6 жыл бұрын
Huyu rais ni wa mfano kabisa tumempata kutoka kwa mungu nakuombea rais wangu uwe na afya njema na moyo huo huo
@hajiubwa5659
@hajiubwa5659 5 жыл бұрын
Y
@sakinayusuf5072
@sakinayusuf5072 5 жыл бұрын
Aamin
@atleyutonga6131
@atleyutonga6131 6 жыл бұрын
Hakika Watanzania tuendelee kumuombea huyu Rais, hakika Mungu ametupatia mtu sahihi kwa wakati sahihi
@magibomwita8134
@magibomwita8134 5 жыл бұрын
Mungu hakupe maisha marefu JPM
@sembosayenda7182
@sembosayenda7182 6 жыл бұрын
Jamani ukiwa na rais ambae anaijua Tanzania vizuri raha sana
@JustusMwania
@JustusMwania 5 ай бұрын
Good and important history
@rezegerezege691
@rezegerezege691 3 жыл бұрын
Tunakubariki Mh. RAIS WETU JOHN POMBE MAGUFULI . TUSAIDIE SANA MKOA WA MARA .
@muddyso1953
@muddyso1953 Жыл бұрын
Mwenyezi Mungu humjalie na woote waliefanya makubwa na kuacha alama kubwa kwa uwezo wa Mwenyezi Mungu
@abdallahomari8680
@abdallahomari8680 5 жыл бұрын
Nampenda Sana Rais magufuli anaroho inayoongozwa na mungu lkn namshauri pia awe mvumilivu akubali maoni yawengine na aruhusu uhuru wa kujieleza, na kukosolewa anapo teleza.
@raymondkaswaga8334
@raymondkaswaga8334 5 жыл бұрын
Abdallah Omari alikataa lini kukosolewa??
@raymondkaswaga8334
@raymondkaswaga8334 5 жыл бұрын
Abdallah Omari alikataa lini kukosolewa??
@allykivike7228
@allykivike7228 5 жыл бұрын
Nimefurahi sana raisi kama wewe Africa hakuna mungu akusamehe pale unapo kosea kwani wewe ni binadam ila mimi nakupenda sana nashindwa kujizuia hisia zangu
@samwellwiza5339
@samwellwiza5339 4 жыл бұрын
Sasa nahisi Nina Raisi....
@tatusaid1223
@tatusaid1223 5 жыл бұрын
kama umeskia anko magu akisema, huyu mwalim nae, gonga like hapo
@NicodemusMwakifwange
@NicodemusMwakifwange 4 ай бұрын
Hongera kwa kumhenzi Baba wa Taifa Mwl.Julius K.Nyerere
@veronicatweve8908
@veronicatweve8908 2 жыл бұрын
😭😭😭🙏🙏
@binurarassi8156
@binurarassi8156 6 жыл бұрын
Rais wetu Magufuli, Ni mfano wa kuigwa, Yaani hapo Mzimu wa Nyerere unakuona, Kila anaekuona Hapo Ana furaha isiyo kifani, Nakuombea DUA, Mungu akulinde.
@abdullahkazungu4025
@abdullahkazungu4025 5 ай бұрын
Mungu akuweke pahala Pema peponi
@saulikinahi6703
@saulikinahi6703 6 жыл бұрын
Dhamira yako na maono yako juu ya nchi inatia moyo sana
@ceciliaonyango301
@ceciliaonyango301 6 жыл бұрын
jamani hadi machozi ya furaha yamenitoka
@habilicharles4410
@habilicharles4410 6 жыл бұрын
Kwel kabisa huyu niwapekee
@enriquebalome8460
@enriquebalome8460 5 жыл бұрын
amini hata mm moyo unatamani aendelee kuwa rais ili Tanzania tuifaidi
@lukasochola576
@lukasochola576 5 жыл бұрын
kiaje na wee ni mkenya tu
@nzengamwamulima7724
@nzengamwamulima7724 6 жыл бұрын
I la we we unatakiwa kuwa Rais wa Africa nzima
@ipandeipande538
@ipandeipande538 6 жыл бұрын
vizur
@mfubwakilua5380
@mfubwakilua5380 6 жыл бұрын
Mm mwenyewe zaid machozi yananitoka kweli hakuna km Magufuli
@patrickKitambo
@patrickKitambo 5 жыл бұрын
Mimi naona magufulia tumpe ufalme aongoze mpka mwsho wake atatuo kwenye huu umaskini
@GodfreyMushi-kn3nb
@GodfreyMushi-kn3nb 5 ай бұрын
Bonge la raisi ajawahi kuepo apa tanzania eeeh YESU kumbuka taifa la watu wako utuletee mwingine kama uyuu tunaomba katika haki yako eeeh BWANA tusiaibike
@saidbarawa9096
@saidbarawa9096 5 жыл бұрын
Wale ambao hawajashuhudia utawala wa Nyerere,Sasa wanaishuhudia kupitia rais magufuli
@angelinaelishachisongela7859
@angelinaelishachisongela7859 5 жыл бұрын
Yaan hatuna la kusema zaidi ya kumshukuru MUNGU WETU
@saidbarawa9096
@saidbarawa9096 5 жыл бұрын
Tanzania mnarais wa kujivunia, ningependa kuwa mtanzania kwa utawala bora
@user-kt1ev1ph1p
@user-kt1ev1ph1p 5 ай бұрын
Mzalendo wa kweli ulielipenda Taifa lako Kwa dhati endelea kupumzika 😭😭😭
@trickytriggtz9440
@trickytriggtz9440 6 жыл бұрын
Asante JPM
@jamesangole6330
@jamesangole6330 6 жыл бұрын
Love to u Mr President good leadership style
@bikosi9537
@bikosi9537 5 жыл бұрын
Magu hoyeeeee
@rajabungereza8755
@rajabungereza8755 5 жыл бұрын
Jembe letu hilo jaman mungu atume nn
@clementhiddi1486
@clementhiddi1486 3 ай бұрын
JPM♥♥
@user-yg5xv5gq9i
@user-yg5xv5gq9i 5 ай бұрын
Mungu amuweke mahala pema ,amin
@athumanomary1438
@athumanomary1438 5 жыл бұрын
Watanzania wenzangu nazidi kuwaomba tuzidi kumuombea raisi wetu kwa mwenyez MUNGU kwa imani zetu
@saidbarawa9096
@saidbarawa9096 5 жыл бұрын
Rais wa wanyonge,wakenya wenzangu mupo,wakenya tutapata rais Kama jpm lini.
@suleimanramadhan6
@suleimanramadhan6 6 жыл бұрын
Kwa hiyo hili dawati alikuwa anakaa peke yake Haya bhana penda Sana kiongozi wangu
@Mwasungastanley
@Mwasungastanley 4 ай бұрын
Rest In Peace My lovely President J.P.M❤️❤️❤️
@mako331
@mako331 6 жыл бұрын
Yani ndio nikisikia wajinga wengine wakimpinga huyu Raisi ninasikia uchungu sana, hao ndio watu hawaitakii hii nchi mema wanakula na mafisadi, Mungu akulinde Raisi wetu
@thomasmartinez786
@thomasmartinez786 2 жыл бұрын
Pumzika kwa amani jembe daima utakumbukwa 😭😭
@user-ec1pe9yy2h
@user-ec1pe9yy2h 4 ай бұрын
Ulela kwa Amani Tutakukumbuka Milele
@SophiaMagoti-li8bc
@SophiaMagoti-li8bc 2 ай бұрын
Sijui ndiyo ulikuwa unaianga tz 😢😢
@neemaadamu3698
@neemaadamu3698 4 ай бұрын
Utakumbukwa milele
@fredkyara.babamunguwambing482
@fredkyara.babamunguwambing482 6 жыл бұрын
Penda sana wewe JPM. Rais wa mfano wa kuigwa Dunian
@AliBaba-zb3tg
@AliBaba-zb3tg 6 жыл бұрын
Ushauri tu nakupa huu upendo ukimpa mama yako utafanikiwa sana kama huyu unae mpenda alipata baraka kwa mama yake akaja kukuongoza wew sasa nawe jaribu aya mapenzi utafika huku
@angelmmbaga6043
@angelmmbaga6043 6 жыл бұрын
inapendeza sanaa
@saimonedward8770
@saimonedward8770 6 жыл бұрын
bonge rais mungu akupe maisha maref una moyo ubinadam
@williampilly4832
@williampilly4832 6 жыл бұрын
Ubarikiwe rais wetu
@mrhusseinmtitu4008
@mrhusseinmtitu4008 6 жыл бұрын
THANKS MR PRESIDENT
@abdallahmdanga1140
@abdallahmdanga1140 5 жыл бұрын
Muheshimiwa Mungu anakuona hiyo inatosha kabisa kusema
@Tollykiyangakiyanga
@Tollykiyangakiyanga 3 ай бұрын
...😮😮
@tatusaid1223
@tatusaid1223 5 жыл бұрын
huyu mzee, basi tu,sina la kunena juu yake, mungu ampe maisha maleeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeefuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu
@onyangodominick3789
@onyangodominick3789 4 ай бұрын
Huyu ndio alikua raisi wa Africa Hawa wengine mmmmmmmmm
@JamalDaudlulyeho
@JamalDaudlulyeho 3 ай бұрын
Huwa nikimwona magufuli inaniuma sana kwann tumempoteza
@charznyamaresa5571
@charznyamaresa5571 6 жыл бұрын
jamani tatua matatizo wanaogopawanatetemeka
@jonamnyone8014
@jonamnyone8014 6 жыл бұрын
Imenigusa sana
@mcmackone1958
@mcmackone1958 6 жыл бұрын
Nashangaa hiyo rangi ya jiwe la kumbu kumbu mbona Ccm?
@piushappyness226
@piushappyness226 5 жыл бұрын
jpm Mungu akutunze baba duh
@shukurudavid4369
@shukurudavid4369 6 жыл бұрын
naona my colleague angu unahojiwa ahahahhha, hataree brooooo
@cheggykirui332
@cheggykirui332 5 жыл бұрын
Love the President... So much
@cheggykirui332
@cheggykirui332 5 жыл бұрын
Kenya tulirogwa na nani???
@raurau1015
@raurau1015 6 жыл бұрын
Asate raising
@suzanpatrick8381
@suzanpatrick8381 6 жыл бұрын
hahaha mwl. mkuu nayeee katumwaaaa
@mudhihirugara8845
@mudhihirugara8845 3 ай бұрын
Chema hakidumu magu ugekuwwpo saizi tungekuwambari
@konde24ful
@konde24ful 5 жыл бұрын
Kwanini pare Baba wataifa Aripokua anapenda kuka badara yakujenga kitu tofauti jenga kinyagu sawa sawa najinsi hari harisi irivyokuwa muko na wasani kutosha wa art najuwa kamarikuwa anakariya kiti basi weka vire vire please I will be pleased to visit and take a pictures
@awadhirajabu7754
@awadhirajabu7754 5 жыл бұрын
Tunaotumia Airtel Kwakweli Kazi Tunayo Hata Raisi Wetu Atumuoni Vizuri Mtandao Unazunguuka Tu Nilimuomba Wa Halotel Imefunguka Araka Tatizo MB Zimekwisha Nimerudi Kwenye Airtel Malazi Tupu Hata Raisi Wetu Kipenzi Video Zake Za Ziara Atuzioni Kwa Wakati Mpaka Utumie Halotel
@saidpara7494
@saidpara7494 5 жыл бұрын
Hapa ndipo unapogundua mtu mwenye kipawa .toka moyon
JPM Alivyompigia Lukuvi Hadharani, Amkopesha MIL 1!
10:21
Global TV Online
Рет қаралды 481 М.
DUH! MAGUFULI ASHTUKIA MCHEZO MCHAFU - AMBANA MEYA - "PESA ZIKO WAPI?"....
11:32
The CUTEST flower girl on YouTube (2019-2024)
00:10
Hungry FAM
Рет қаралды 40 МЛН
Nurse's Mission: Bringing Joy to Young Lives #shorts
00:17
Fabiosa Stories
Рет қаралды 15 МЛН
JPM Awabana Mawaziri, Askofu 'Njooni Hapa Mchangie Msikiti'
14:14
Global TV Online
Рет қаралды 356 М.
"NAKUAGIZA MSIMAMISHE KAZI LEO, AMEUA, ETI ALILEWA, KHAA" - MAGUFULI
8:19
makabidhiano ya ofisi kati ya Rais Magufuli na JK Novemba 12,2015
6:39
The CUTEST flower girl on YouTube (2019-2024)
00:10
Hungry FAM
Рет қаралды 40 МЛН