Mungu akubariki rais wetu mpendwa kwa kusikiliza kero za wafungwa, ni agizo la mungu, amen
@mussahamisi11915 жыл бұрын
Usimwache huyuuuu ukimwacha utaenda kujibu kesi ya mauwaji kwa mungu 😂😂😂😂😂😂😂
@innocentkimata72745 жыл бұрын
Huyo mfungwa atapata tabu sana baada ya mshua kuondoka
@samsonmagesa39595 жыл бұрын
Nimekumbuka Mbali sana Butimba kituo changu cha kazi miaka hiyo
@blackpanther48255 жыл бұрын
Kama kweli ana moyo wa kumsaidia amuachie huyo mfungwa. Ni atateseka. Hata kama kweli huyo askari ataondolewa. Ila bado wapo wenzake humo watamfanyia ukatili usio na mithili huyo mfungwa. Roho imeniuma sana 😭😭😭
@japharimohamed49095 жыл бұрын
Huyu askari hafai
@angleikula86565 жыл бұрын
Rais.wetu.mungu.akuongeze Maisha.marefu
@lilianmollel53555 жыл бұрын
Kuna mambo unafanya nikikuchukia ntakua ndugu yake shetan, Mungu akuhifadhi Rais wa Tanzania.
@erickchitumbi13085 жыл бұрын
Hawa watu wenye mahitaji maalum huwa wana akili sana yaani..ukiwaangalia vizuri unaweza kuwaona kama hawajakamilika.
@daudcosmas17044 жыл бұрын
Huuu msamaha sijui kahuska nao
@mugapro5 жыл бұрын
Duuuuuh Ujasiri wa chuo kikuu huu Daaah Mungu awe nawe
@thamiyuucute70985 жыл бұрын
😪😪😪😪😪😪dah nyinyi roho inaniumaaa dah😪😪😪😪😪
@Mike-bq2cb5 жыл бұрын
Sio vizuri akii kunynyasa wengine ni laana mbele ya Mwenyezi Mungu
@sheysarahnjeno93265 жыл бұрын
Duuu!!!!kaka utapigwa Leo nihatar.ila mungu akusaidie.umesema ukweli.
@ashuraally9295 жыл бұрын
Sheysarah njeno
@marymabubakary15615 жыл бұрын
rais magufuli juuuu uje na Dodoma Manispaa watu wanazulumika viwanja uje muheshimiwa rais ujee
@filismpangala21465 жыл бұрын
Awezi kupigwa
@fikirinyangasi79735 жыл бұрын
Leo utakoma leo
@nadiaamisha29585 жыл бұрын
Umeongea ukweli ila cha moto utakiona hiyo sura yenyewe inaogopesha
@joshuatemu46795 жыл бұрын
Wewe unayemtukana raisi achaaaaaa mflume ni mflme tuuu
@johnsonsegeretv37135 жыл бұрын
nadia amisha 1
@jcome115 жыл бұрын
Kwakwekli inauma sana
@obadiakurwijila41655 жыл бұрын
MSEMA KWELI MPENZI WA MUNGU MUNGU ATAKUSIMAMAMIA
@hassanmohammad92475 жыл бұрын
naomba kazi ya kumuadhibu huyo afande
@saidseif74695 жыл бұрын
Mungu amsaidie huyu mkaka.
@marymwacha9955 жыл бұрын
mweshimiwa Rais wetu, msamehe huyo mfungwa baba.
@evaristirazalo74593 жыл бұрын
Askali analia
@husseinomary44665 жыл бұрын
Huyu leo anabakwa aisee
@kambiyusufu30785 жыл бұрын
Hahahaha leo hakulaliki biboko mwanzo mwisho uwiiiiii
Aisee Mungu akubariki sana jamani Mh raisi hadi nahisi kutokwa na machozi.
@elishakimweri43495 жыл бұрын
Watendaji Wa serikali mtende kwa haki, maana huwez jua ni lini rais atatembelea ulipo, na ni Nani atapewa maiki na ataongea nn, hongera kwa ujasiri ulouonyesha, wasomi wengi tumeshindwa
@dechaggagirl61735 жыл бұрын
We kalikenye😁😀😂😂😂
@bonifacepontian13915 жыл бұрын
Duh uyo askar sura km amchorwa vle ahahahah
@shaibuselemani21355 жыл бұрын
Huyo mfungwa kazi anayo
@christopherhaule9085 жыл бұрын
Uwiiii.....huyu kaka leo kazi anayo
@christopherhaule9085 жыл бұрын
Jamani wasimuue mkaka wa watu....it's too sad
@dollyandthedoliganeloi30255 жыл бұрын
Leo ni Leo
@mawazomawazo9595 жыл бұрын
Huyu mfungwa arubino amenitoa machozi,raisi akiondoka kichapo atakacho kwa askari magereza sijui itakuaje.MUNGU BABA WALINDE HAWA WAFUNGWA .
mfungwa Mwenye confidence jiachie msema kweli pamoja na mungu
@mayungampanduzi81525 жыл бұрын
Celina Mgundoi unaonekana unahuruma sanaa
@alibakar43445 жыл бұрын
Celina Mgundoi
@celinamgundoi56015 жыл бұрын
@@mayungampanduzi8152 kwa nin?
@janethkilonzi42603 жыл бұрын
Watamuuuwa albino maskin
@pksailortz44045 жыл бұрын
Ebwanaee huyo jamaa atakula lungu sio za nchi hii,,,,,. Maana uyo brother Afand sura yake yenyewe tuu yaukumu sura ya kazi(mwendo wa lungu mpaka kucheee)😏
@yonajonathan54025 жыл бұрын
Huku kituo cha police kunawatu wamefungiwa Leo ni miez mitatu hakuna hatua wanazochukuliwa wanaombwa tu pesa usipokuwa nazo utakaamo mpaka zipatkane OCS ID achunguzwe
@masanjapitta25735 жыл бұрын
abery stephany Dom nyanda
@halfanmundo2825 жыл бұрын
dah yaan hapo mkuu akitoka tu huko nyuma balaa lake zaid ya depo
@TonyMureithi5 жыл бұрын
Rais Magufuli ni Rais wa kipekee...
@salmaaman28135 жыл бұрын
Ameniliza HUYU baba jaman..
@isayapt56855 жыл бұрын
Hahaaha Wapi
@mustomshuza49143 жыл бұрын
mungu ndie muweza wa kila jambo humchagua kiongozi kwa mfano wake rais magufuti amechaguliwa na mungu kwa mfano wake naami ipo ck mungu atamleta korogwe kuwasikiriza wafungwa sio kila anae enda jela ni mharifu
IMENIGUSA SAANA!! Mungu akusimamie kwa ujasiri wako na ukwel wako get up stand up for your rights!! Kama kufa kwa kusema ukweli let them kill u but GOD IS GOING TO PROTECT U
@alibakar43445 жыл бұрын
Addy Bernard Official KZbin Channel
@julianacharles60143 жыл бұрын
Maskini pole nimesikia kulia jamani msaidieni jamani😭😭
@janethkilonzi42603 жыл бұрын
Ukisikia kujitoa kafar ndio huku Sasa albino w watu mwenyez mungu mlinde
Mhe: Magufuli huyo mfungwa aliesema ukweli mwachie huru vinginevyo atachomwa sindano ya sumu binadam wanambinu nyingi kwa vyovyote watampoteza duniani
@consolathamagehema46895 жыл бұрын
Daaah!!! Mpaka roho inauma
@janethkilonzi42603 жыл бұрын
Na Ivo amesema akitoka ataongea ving aa hatoishi muda mrefu
@godwinmondpltnmrweyemamu5605 жыл бұрын
msaidie jamani mkuu
@zahorrashid54595 жыл бұрын
mm namuomba rais amtoe huyu.jamaa.
@consalvakileo82055 жыл бұрын
Huyo ni usalama
@sophiapaul60195 жыл бұрын
shoromwamba
@japhetisraelsmafie9975 жыл бұрын
Hahaaaa hivi magereza kunakuaga nakale kakitu ka jamaika et?
@naomiabel5825 жыл бұрын
Tv ya taifa inakopi video n
@daliamtanganaki66875 жыл бұрын
Mmmmh hatari aisee , kweli madaktari nao wanafanya mauaji jmn, ewe rais wetu msaidie huyo kijana atoke humo ameshaogopa
@masarukaswalala80895 жыл бұрын
Mungu awalinde ote wenye haki raisi tusaidie ata baadhi ya makampuni hewa yapo tuaitaji uyatumbue baba yetu ( )
@blackpanther48255 жыл бұрын
Mungu wangu huyu asipotolewa atateseka sana. Kama kweli rais ni mtu wa haki amuachie huyo mlemavu wa ngozi.
@bintisalma12635 жыл бұрын
nchi inaongozwa kwa kiki siasa imefunika muzik
@dottopeter31875 жыл бұрын
Hata nini kifanyike,, u need to appreciate what is good.
@saphytv5465 жыл бұрын
Kuwa makini na kauli zako
@emmanuelbonifas35175 жыл бұрын
Kweli baba tembelea Magereza zote nimekumbuka msemo wako kuwa wakishindwa kukutoa bc wanakutafutia sababu nyingn ukikoloma wanasema unaumwa kifafa duu mpk madoctar wanashiriki kuuwa wafungwa mungu yupo ngj tuone huko mbele
@mimaabashir31785 жыл бұрын
Kaka utachapwa mpaka uwe mweusi
@deoshine7775 жыл бұрын
lema mboye sugu walisema kinachoendelea uko
@makariosnkya5 жыл бұрын
Dogo mbovu.
@richardngendakumana28715 жыл бұрын
Muone surayake
@imeldabamba37795 жыл бұрын
Richard km amefanana km sokwe😁😁😁
@alibakar43445 жыл бұрын
Richard Ngendakumana
@hadijamwaye10995 жыл бұрын
Hahaha ety anakaa na mihuri ya ikuru we ukae na nn hahaha dah nmecheka kwakweli lkn mwisho mchozi umenitoka 😭
@elizabethmeru32563 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂😂nimecheka kama mazuri 😂😂😂
@dottopeter31875 жыл бұрын
Wewe ndo unapaswa sema unaitaji mabadiliko
@richarddastan75065 жыл бұрын
Duuuuh, Mungu awe upande wako bro. Maana hiyo sura ya kaka askali uliekua ukimshtaki, ni chachu balaa. Cpati picha akipata mwanya wa kukukabil. heheheeee
@obadiakurwijila41655 жыл бұрын
Richard Dastan anaweza akampiga risasi kwa madai alijaribu kutoloka janja ya askari hiyo
@richarddastan75065 жыл бұрын
@@obadiakurwijila4165 acha tu
@santielpascal97775 жыл бұрын
Police sura km sokwe utajuta akipata chance bwana afande
@imeldabamba37795 жыл бұрын
Sura yake km Idd amini dada,hafu tena ukimuangalia sn Huyu askari kafanana na yale masokwe MTU😁😁🏃🏃
Wew fara Santiel Pascal sio polisi, huyo ni askari magereza mmekariri tu kila askari ni polisi. Yan kwakuwa mlishajenga dhana potofu vichwan mwenu kuhusu polisi imewafanya mmeshindwa kutofautisha askari wa majeshi yenu badilikeni msiishi kwa kukariri.