MFUNGWA Amshtaki ASKARI Kwa MAGUFULI - "ATATUUA ONDOKA NAE"

  Рет қаралды 481,346

Global TV  Online

Global TV Online

Күн бұрын

Пікірлер: 118
@ellensamson6787
@ellensamson6787 5 жыл бұрын
Mungu akubariki rais wetu mpendwa kwa kusikiliza kero za wafungwa, ni agizo la mungu, amen
@mussahamisi1191
@mussahamisi1191 5 жыл бұрын
Usimwache huyuuuu ukimwacha utaenda kujibu kesi ya mauwaji kwa mungu 😂😂😂😂😂😂😂
@innocentkimata7274
@innocentkimata7274 5 жыл бұрын
Huyo mfungwa atapata tabu sana baada ya mshua kuondoka
@samsonmagesa3959
@samsonmagesa3959 5 жыл бұрын
Nimekumbuka Mbali sana Butimba kituo changu cha kazi miaka hiyo
@blackpanther4825
@blackpanther4825 5 жыл бұрын
Kama kweli ana moyo wa kumsaidia amuachie huyo mfungwa. Ni atateseka. Hata kama kweli huyo askari ataondolewa. Ila bado wapo wenzake humo watamfanyia ukatili usio na mithili huyo mfungwa. Roho imeniuma sana 😭😭😭
@japharimohamed4909
@japharimohamed4909 5 жыл бұрын
Huyu askari hafai
@angleikula8656
@angleikula8656 5 жыл бұрын
Rais.wetu.mungu.akuongeze Maisha.marefu
@lilianmollel5355
@lilianmollel5355 5 жыл бұрын
Kuna mambo unafanya nikikuchukia ntakua ndugu yake shetan, Mungu akuhifadhi Rais wa Tanzania.
@erickchitumbi1308
@erickchitumbi1308 5 жыл бұрын
Hawa watu wenye mahitaji maalum huwa wana akili sana yaani..ukiwaangalia vizuri unaweza kuwaona kama hawajakamilika.
@daudcosmas1704
@daudcosmas1704 4 жыл бұрын
Huuu msamaha sijui kahuska nao
@mugapro
@mugapro 5 жыл бұрын
Duuuuuh Ujasiri wa chuo kikuu huu Daaah Mungu awe nawe
@thamiyuucute7098
@thamiyuucute7098 5 жыл бұрын
😪😪😪😪😪😪dah nyinyi roho inaniumaaa dah😪😪😪😪😪
@Mike-bq2cb
@Mike-bq2cb 5 жыл бұрын
Sio vizuri akii kunynyasa wengine ni laana mbele ya Mwenyezi Mungu
@sheysarahnjeno9326
@sheysarahnjeno9326 5 жыл бұрын
Duuu!!!!kaka utapigwa Leo nihatar.ila mungu akusaidie.umesema ukweli.
@ashuraally929
@ashuraally929 5 жыл бұрын
Sheysarah njeno
@marymabubakary1561
@marymabubakary1561 5 жыл бұрын
rais magufuli juuuu uje na Dodoma Manispaa watu wanazulumika viwanja uje muheshimiwa rais ujee
@filismpangala2146
@filismpangala2146 5 жыл бұрын
Awezi kupigwa
@fikirinyangasi7973
@fikirinyangasi7973 5 жыл бұрын
Leo utakoma leo
@nadiaamisha2958
@nadiaamisha2958 5 жыл бұрын
Umeongea ukweli ila cha moto utakiona hiyo sura yenyewe inaogopesha
@joshuatemu4679
@joshuatemu4679 5 жыл бұрын
Wewe unayemtukana raisi achaaaaaa mflume ni mflme tuuu
@johnsonsegeretv3713
@johnsonsegeretv3713 5 жыл бұрын
nadia amisha 1
@jcome11
@jcome11 5 жыл бұрын
Kwakwekli inauma sana
@obadiakurwijila4165
@obadiakurwijila4165 5 жыл бұрын
MSEMA KWELI MPENZI WA MUNGU MUNGU ATAKUSIMAMAMIA
@hassanmohammad9247
@hassanmohammad9247 5 жыл бұрын
naomba kazi ya kumuadhibu huyo afande
@saidseif7469
@saidseif7469 5 жыл бұрын
Mungu amsaidie huyu mkaka.
@marymwacha995
@marymwacha995 5 жыл бұрын
mweshimiwa Rais wetu, msamehe huyo mfungwa baba.
@evaristirazalo7459
@evaristirazalo7459 3 жыл бұрын
Askali analia
@husseinomary4466
@husseinomary4466 5 жыл бұрын
Huyu leo anabakwa aisee
@kambiyusufu3078
@kambiyusufu3078 5 жыл бұрын
Hahahaha leo hakulaliki biboko mwanzo mwisho uwiiiiii
@johnmkomamkoma6769
@johnmkomamkoma6769 5 жыл бұрын
kwaiman ata achiliwa!
@rokasasamila1117
@rokasasamila1117 5 жыл бұрын
duuuuuh mh musaidie jamA huyo asipigwe askari hypo Mbna hatendi hakiii
@phineruge3480
@phineruge3480 5 жыл бұрын
Mmmmmh!! Nyamboge kajiripua duuuuuuuh 👐👐👐
@jamesmwaura774
@jamesmwaura774 5 жыл бұрын
Kehenjo
@aliadam4773
@aliadam4773 5 жыл бұрын
Huyu ni Mkurya
@yangoshatv5327
@yangoshatv5327 5 жыл бұрын
Fanya urudi muheshimiwa kumuona raia uyo
@albertinemacimu1247
@albertinemacimu1247 5 жыл бұрын
Aisee Mungu akubariki sana jamani Mh raisi hadi nahisi kutokwa na machozi.
@elishakimweri4349
@elishakimweri4349 5 жыл бұрын
Watendaji Wa serikali mtende kwa haki, maana huwez jua ni lini rais atatembelea ulipo, na ni Nani atapewa maiki na ataongea nn, hongera kwa ujasiri ulouonyesha, wasomi wengi tumeshindwa
@dechaggagirl6173
@dechaggagirl6173 5 жыл бұрын
We kalikenye😁😀😂😂😂
@bonifacepontian1391
@bonifacepontian1391 5 жыл бұрын
Duh uyo askar sura km amchorwa vle ahahahah
@shaibuselemani2135
@shaibuselemani2135 5 жыл бұрын
Huyo mfungwa kazi anayo
@christopherhaule908
@christopherhaule908 5 жыл бұрын
Uwiiii.....huyu kaka leo kazi anayo
@christopherhaule908
@christopherhaule908 5 жыл бұрын
Jamani wasimuue mkaka wa watu....it's too sad
@dollyandthedoliganeloi3025
@dollyandthedoliganeloi3025 5 жыл бұрын
Leo ni Leo
@mawazomawazo959
@mawazomawazo959 5 жыл бұрын
Huyu mfungwa arubino amenitoa machozi,raisi akiondoka kichapo atakacho kwa askari magereza sijui itakuaje.MUNGU BABA WALINDE HAWA WAFUNGWA .
@florahjohanes478
@florahjohanes478 5 жыл бұрын
Hahahahahahaha
@kendwahamisi9280
@kendwahamisi9280 5 жыл бұрын
Ete wewe hauja uwawa daah aisee
@haridyblauda6033
@haridyblauda6033 5 жыл бұрын
Brother leo huna bahati wew
@suzanatweve5857
@suzanatweve5857 5 жыл бұрын
😂😂😂😂kimenuka huyo mfungwa ajiandae kuchezeshwa kwaito gerezani
@mainaunrulyking5190
@mainaunrulyking5190 5 жыл бұрын
Hahaha
@jumacharles975
@jumacharles975 5 жыл бұрын
Hatari
@kambiyusufu3078
@kambiyusufu3078 5 жыл бұрын
Suzana Tweve mh leo hakulaliki munguwangu
@fettyramadhan2121
@fettyramadhan2121 5 жыл бұрын
Huyu anajiamn nn
@shakilajohn1257
@shakilajohn1257 5 жыл бұрын
Ana mihuli ya ikulu wewe umebaki na nn
@turibamweali8661
@turibamweali8661 5 жыл бұрын
Huyo atawuliwa ! Kwani amesema ni kundi
@mendempoletv7579
@mendempoletv7579 5 жыл бұрын
Daah nimejikuta nacheka kama mazuri 🤣🤣🤣🤣🤣
@machimulubinza4743
@machimulubinza4743 5 жыл бұрын
Askar.hao wachukuliwe hatua kali
@msitafaph8178
@msitafaph8178 5 жыл бұрын
Mende Mpole Tv j
@msitafaph8178
@msitafaph8178 5 жыл бұрын
Mende Mpole Tv b
@celinamgundoi5601
@celinamgundoi5601 5 жыл бұрын
Mungu akulinde kaka angu
@marymabubakary1561
@marymabubakary1561 5 жыл бұрын
mfungwa Mwenye confidence jiachie msema kweli pamoja na mungu
@mayungampanduzi8152
@mayungampanduzi8152 5 жыл бұрын
Celina Mgundoi unaonekana unahuruma sanaa
@alibakar4344
@alibakar4344 5 жыл бұрын
Celina Mgundoi
@celinamgundoi5601
@celinamgundoi5601 5 жыл бұрын
@@mayungampanduzi8152 kwa nin?
@janethkilonzi4260
@janethkilonzi4260 3 жыл бұрын
Watamuuuwa albino maskin
@pksailortz4404
@pksailortz4404 5 жыл бұрын
Ebwanaee huyo jamaa atakula lungu sio za nchi hii,,,,,. Maana uyo brother Afand sura yake yenyewe tuu yaukumu sura ya kazi(mwendo wa lungu mpaka kucheee)😏
@yonajonathan5402
@yonajonathan5402 5 жыл бұрын
Huku kituo cha police kunawatu wamefungiwa Leo ni miez mitatu hakuna hatua wanazochukuliwa wanaombwa tu pesa usipokuwa nazo utakaamo mpaka zipatkane OCS ID achunguzwe
@masanjapitta2573
@masanjapitta2573 5 жыл бұрын
abery stephany Dom nyanda
@halfanmundo282
@halfanmundo282 5 жыл бұрын
dah yaan hapo mkuu akitoka tu huko nyuma balaa lake zaid ya depo
@TonyMureithi
@TonyMureithi 5 жыл бұрын
Rais Magufuli ni Rais wa kipekee...
@salmaaman2813
@salmaaman2813 5 жыл бұрын
Ameniliza HUYU baba jaman..
@isayapt5685
@isayapt5685 5 жыл бұрын
Hahaaha Wapi
@mustomshuza4914
@mustomshuza4914 3 жыл бұрын
mungu ndie muweza wa kila jambo humchagua kiongozi kwa mfano wake rais magufuti amechaguliwa na mungu kwa mfano wake naami ipo ck mungu atamleta korogwe kuwasikiriza wafungwa sio kila anae enda jela ni mharifu
@chrisbeka6243
@chrisbeka6243 5 жыл бұрын
Zakati
@julianacharles6014
@julianacharles6014 3 жыл бұрын
Maskini 😭😂😂
@marymwacha995
@marymwacha995 5 жыл бұрын
wanaweza wakamdhuru jamani mwonee huruma wasije wakamtoa roho kwa ukweli aliokupa.
@ramerhunter9682
@ramerhunter9682 5 жыл бұрын
Ajali ya tenki ya mafuta mbagala langi tatu
@realrealadventurestz3348
@realrealadventurestz3348 5 жыл бұрын
IMENIGUSA SAANA!! Mungu akusimamie kwa ujasiri wako na ukwel wako get up stand up for your rights!! Kama kufa kwa kusema ukweli let them kill u but GOD IS GOING TO PROTECT U
@alibakar4344
@alibakar4344 5 жыл бұрын
Addy Bernard Official KZbin Channel
@julianacharles6014
@julianacharles6014 3 жыл бұрын
Maskini pole nimesikia kulia jamani msaidieni jamani😭😭
@janethkilonzi4260
@janethkilonzi4260 3 жыл бұрын
Ukisikia kujitoa kafar ndio huku Sasa albino w watu mwenyez mungu mlinde
@wemakalamu3538
@wemakalamu3538 5 жыл бұрын
Duuu hii hatari nimedondokwa na chozi kwa kweli.
@danielshunda4410
@danielshunda4410 5 жыл бұрын
Kama.kweliiii.kumbe.kampeniii.siasa.mchezoo.mchafu
@nehemiamalongo5247
@nehemiamalongo5247 5 жыл бұрын
Mhe: Magufuli huyo mfungwa aliesema ukweli mwachie huru vinginevyo atachomwa sindano ya sumu binadam wanambinu nyingi kwa vyovyote watampoteza duniani
@consolathamagehema4689
@consolathamagehema4689 5 жыл бұрын
Daaah!!! Mpaka roho inauma
@janethkilonzi4260
@janethkilonzi4260 3 жыл бұрын
Na Ivo amesema akitoka ataongea ving aa hatoishi muda mrefu
@godwinmondpltnmrweyemamu560
@godwinmondpltnmrweyemamu560 5 жыл бұрын
msaidie jamani mkuu
@zahorrashid5459
@zahorrashid5459 5 жыл бұрын
mm namuomba rais amtoe huyu.jamaa.
@consalvakileo8205
@consalvakileo8205 5 жыл бұрын
Huyo ni usalama
@sophiapaul6019
@sophiapaul6019 5 жыл бұрын
shoromwamba
@japhetisraelsmafie997
@japhetisraelsmafie997 5 жыл бұрын
Hahaaaa hivi magereza kunakuaga nakale kakitu ka jamaika et?
@naomiabel582
@naomiabel582 5 жыл бұрын
Tv ya taifa inakopi video n
@daliamtanganaki6687
@daliamtanganaki6687 5 жыл бұрын
Mmmmh hatari aisee , kweli madaktari nao wanafanya mauaji jmn, ewe rais wetu msaidie huyo kijana atoke humo ameshaogopa
@masarukaswalala8089
@masarukaswalala8089 5 жыл бұрын
Mungu awalinde ote wenye haki raisi tusaidie ata baadhi ya makampuni hewa yapo tuaitaji uyatumbue baba yetu ( )
@blackpanther4825
@blackpanther4825 5 жыл бұрын
Mungu wangu huyu asipotolewa atateseka sana. Kama kweli rais ni mtu wa haki amuachie huyo mlemavu wa ngozi.
@bintisalma1263
@bintisalma1263 5 жыл бұрын
nchi inaongozwa kwa kiki siasa imefunika muzik
@dottopeter3187
@dottopeter3187 5 жыл бұрын
Hata nini kifanyike,, u need to appreciate what is good.
@saphytv546
@saphytv546 5 жыл бұрын
Kuwa makini na kauli zako
@emmanuelbonifas3517
@emmanuelbonifas3517 5 жыл бұрын
Kweli baba tembelea Magereza zote nimekumbuka msemo wako kuwa wakishindwa kukutoa bc wanakutafutia sababu nyingn ukikoloma wanasema unaumwa kifafa duu mpk madoctar wanashiriki kuuwa wafungwa mungu yupo ngj tuone huko mbele
@mimaabashir3178
@mimaabashir3178 5 жыл бұрын
Kaka utachapwa mpaka uwe mweusi
@deoshine777
@deoshine777 5 жыл бұрын
lema mboye sugu walisema kinachoendelea uko
@makariosnkya
@makariosnkya 5 жыл бұрын
Dogo mbovu.
@richardngendakumana2871
@richardngendakumana2871 5 жыл бұрын
Muone surayake
@imeldabamba3779
@imeldabamba3779 5 жыл бұрын
Richard km amefanana km sokwe😁😁😁
@alibakar4344
@alibakar4344 5 жыл бұрын
Richard Ngendakumana
@hadijamwaye1099
@hadijamwaye1099 5 жыл бұрын
Hahaha ety anakaa na mihuri ya ikuru we ukae na nn hahaha dah nmecheka kwakweli lkn mwisho mchozi umenitoka 😭
@elizabethmeru3256
@elizabethmeru3256 3 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂😂nimecheka kama mazuri 😂😂😂
@dottopeter3187
@dottopeter3187 5 жыл бұрын
Wewe ndo unapaswa sema unaitaji mabadiliko
@richarddastan7506
@richarddastan7506 5 жыл бұрын
Duuuuh, Mungu awe upande wako bro. Maana hiyo sura ya kaka askali uliekua ukimshtaki, ni chachu balaa. Cpati picha akipata mwanya wa kukukabil. heheheeee
@obadiakurwijila4165
@obadiakurwijila4165 5 жыл бұрын
Richard Dastan anaweza akampiga risasi kwa madai alijaribu kutoloka janja ya askari hiyo
@richarddastan7506
@richarddastan7506 5 жыл бұрын
@@obadiakurwijila4165 acha tu
@santielpascal9777
@santielpascal9777 5 жыл бұрын
Police sura km sokwe utajuta akipata chance bwana afande
@imeldabamba3779
@imeldabamba3779 5 жыл бұрын
Sura yake km Idd amini dada,hafu tena ukimuangalia sn Huyu askari kafanana na yale masokwe MTU😁😁🏃🏃
@kambiyusufu3078
@kambiyusufu3078 5 жыл бұрын
Santiel Pascal Dah leo mzee utaisoma namba akiludi uyo askali heee
@makarangaj6844
@makarangaj6844 5 жыл бұрын
Wew fara Santiel Pascal sio polisi, huyo ni askari magereza mmekariri tu kila askari ni polisi. Yan kwakuwa mlishajenga dhana potofu vichwan mwenu kuhusu polisi imewafanya mmeshindwa kutofautisha askari wa majeshi yenu badilikeni msiishi kwa kukariri.
@alibakar4344
@alibakar4344 5 жыл бұрын
Santiel Pascal
Duh! ASKARI KIBURI Abishana na MAGUFULI Mbele ya RPC - "AMENIINUA"
2:53
Global TV Online
Рет қаралды 694 М.
小丑家的感情危机!#小丑#天使#家庭
00:15
家庭搞笑日记
Рет қаралды 31 МЛН
Officer Rabbit is so bad. He made Luffy deaf. #funny #supersiblings #comedy
00:18
Funny superhero siblings
Рет қаралды 19 МЛН
Un coup venu de l’espace 😂😂😂
00:19
Nicocapone
Рет қаралды 11 МЛН
DUH! MAGUFULI ASHTUKIA MCHEZO MCHAFU - AMBANA MEYA - "PESA ZIKO WAPI?"....
11:32
MAGUFULI Akutana na MFUNGWA Aliyemuua MKEWE, Amwaga MACHOZI "Niachieni"
3:26
RAIS MAGUFULI AFANYA ZIARA YA KUSTUKIZA GEREZA LA UKONGA  mp4
34:13
MAMBO YALIYOMCHEFUA MAGUFULI KUPITA KIASI LEO NI HAYA..
25:04
Global TV Online
Рет қаралды 1,3 МЛН
Maamuzi magumu aliyowahi kuyafanya Rais Magufuli katika uongozi wake
12:53
Mwananchi Digital
Рет қаралды 668 М.
小丑家的感情危机!#小丑#天使#家庭
00:15
家庭搞笑日记
Рет қаралды 31 МЛН