MAKONDA ALIVYOCHARUANA na BOSI wa MAJI ARUSHA - WANANCHI WASHUHUDIA.

  Рет қаралды 111,677

Global TV  Online

Global TV Online

Ай бұрын

MAKONDA ALIVYOCHARUANA na BOSI wa MAJI ARUSHA - WANANCHI WASHUHUDIA.
Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mhe. Paul Christian Makonda leo mei 23, 2024 amezungumza na Wananchi wa Longido mkoani Arusha kwenye Mkutano wa hadhara kwenye uwanja wa Shule ya Msingi Namanga ambapo amesikiliza na kutatua kero mbalimbali za Wananchi wa Wilaya ya Longido ikiwa ni siku yake ya Kwanza kati ya sita za kutembelea wilaya zote za Mkoa wa Arusha yenye lengo la kukagua miradi ya maendeleo pamoja na kusikiliza na kutatua kero mbalimbali za wananchi.
Jishindie Zawadi na Global TV
Jaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV
👉🔥👉forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
============================================================
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx

Пікірлер: 242
@globaltv_online
@globaltv_online Ай бұрын
Jishindie Zawadi na Global TVJaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
@GrayMgonja
@GrayMgonja Ай бұрын
At sa
@eliyandondole
@eliyandondole Ай бұрын
Watanzania wanataka kiongozi sio mtawala Arusha mmepata jembe hilo. Hatakufa njaa
@Tatu-mb9nl
@Tatu-mb9nl Ай бұрын
Mama samia kupitia Makonda tumegundua kazi zako nauwepo wako unafanya kazi mama ila uongozi na watendaji waliowengi ndiyo waliotaka tukupoteze, inshaalla Mungu yupo nawewe RAISI WETU.
@IbrahimMallya
@IbrahimMallya Ай бұрын
Minawaambiaga makonda nikiongozi anakipaji hajafundishwa siasa anakipaji huyu broo yupo vizuri
@maria_mutondioriginal5
@maria_mutondioriginal5 Ай бұрын
Makonda yupo vizuri wote wangefanya hivi urasimu usingekuwepo kabisa kweli hili zao la JPM ❤
@josephyamathlaizer-op9sw
@josephyamathlaizer-op9sw Ай бұрын
Mkuu Mungu awe pamoja nawe kiongozi wetu tunakuombea kwa mwenyezi Mungu akulinde uzidi kuwa pamoja nasi kila siku kwa kutenda kazi nzuri ulio chaguliwa na Mungu 🙏🙏🙏🙏🙏
@jerryshah4880
@jerryshah4880 Ай бұрын
This administrator understands his job.I wish we could have another Makonda in Kenya.
@hamisimwandu5675
@hamisimwandu5675 Ай бұрын
Na nyinyi kenya wapo wabazilifu kama kwetu tz sio
@ogenylaurent7961
@ogenylaurent7961 Ай бұрын
AFRICA YAKO INAMATAPELI NA WEZI WA KUNYONGWA KABISA​@@hamisimwandu5675
@kazikazini1042
@kazikazini1042 Ай бұрын
Haya hayawezi kufanyika kwenu. Mfumo wa sheria katika utawala unatofautian
@hamisimwandu5675
@hamisimwandu5675 Ай бұрын
How
@user-fr2op2ss6v
@user-fr2op2ss6v Ай бұрын
mama samia mama yetu unafanya kazi kubwa sana tatizo lipo kwa watendaji wako anayoyaona makonda Arusha yapo sehemu karibia sehemu zote, hawa wakuu wa mikoa waige kwa nakonnda huyu mwamba anapiga kazi sana.
@andreajulla1473
@andreajulla1473 22 күн бұрын
Hangera Makonda kwa utendaji kazi mzuri, na kusikiliza kero za wananchi
@liannsambu7264
@liannsambu7264 Ай бұрын
Nafikiri njia ya kuvuna maji ya mvua ifanyike , kuna watu tunaujuzi wetu hapa mtutumie kiwasaiida kwenye hilo mvune maji ya mvua na kuhifadhi chini ya ardhi ili badae mtumie kulisha jamii
@EditaManyama
@EditaManyama 13 күн бұрын
Hongera Mh Makonda
@ramadhanisalum3898
@ramadhanisalum3898 Ай бұрын
Najiuliza Sana ivi kwenye mkoa kuna wakuu wangapi ukiacha mkuu wa mkoa kuna wakuu wa wilaya madiwani ivi shida kama izi kweli huwa hawazioni au Mpaka mkuu wa mkoa afike jmn ina maana kuna watu Wana lala tu maisha yanaenda mungu apendi KBC
@shadrackmwampote4615
@shadrackmwampote4615 Ай бұрын
You are the best leader.God bless u!
@stanleyamlima2085
@stanleyamlima2085 Ай бұрын
Watumishi wanapata tabu sanaa !! Lakini tuende mbele turudi nyuma watumishi wa Tanzania wanafanya kazi kwa bidii sanaaa
@user-ds5pz2oz3u
@user-ds5pz2oz3u Ай бұрын
Huyu ndio anafaa kuwa rais wetu wa tanzania
@ZitoJose-cl3pt
@ZitoJose-cl3pt Ай бұрын
Sasa nyinyi mnaosema asiwaombe kura viongozi, kwani hapo kajiweka mwenyewe? Hapo kawekwa na sabia na akiamua samia hatantoa hata leo, sasa munataka hamsifu babu yenu au? Hivyo vyeo hunapandiswa na mtu na sio vinginevyo hata huo huraisi kuna watu huwa wanakupa na hukitaka hudondoswe jalibu kuwazalau huwone
@ZakayoCashmoney8819
@ZakayoCashmoney8819 Ай бұрын
Mbona povu linakutoka tena 😅😅😅😅
@sarahpendo515
@sarahpendo515 Ай бұрын
Tungepata Makonda wengine wa kila mkoa naamin lile neno la Hayati Magufuli ya kwamba Afrika tunaweza kujilisha bila kuomba omba msaada ya nje litatimia .Mungu akulinde makonda wangu🙏🙏
@makejamaduhu7618
@makejamaduhu7618 Ай бұрын
Dada hongera sana. Ulianza kwa hofu lakini umemaliza kwa ujasiri. Hongera sana
@imanwilliam4073
@imanwilliam4073 Ай бұрын
Dada yuko vizuri sana
@allyhamic1255
@allyhamic1255 Ай бұрын
Je anayozungumza ni sahihi???
@Johnsonnsteven-zs1pg5cx9k
@Johnsonnsteven-zs1pg5cx9k Ай бұрын
Tatiz na yeye ni mwiziii
@kalistomaapunda7018
@kalistomaapunda7018 Ай бұрын
Kama una akili. Dada anaongea kwa utafiti sio kukurupuka. Ukiona mkuu hana pa kumshikia ndo mana anauliza maswali mengi kutafuta week points.
@MurulaAhmadi
@MurulaAhmadi 5 күн бұрын
HONGERA SANA MAKONDA KWA KAZI UNAYOFANYA MUNGU AKUTANGURIE
@RASHIDMPUMU
@RASHIDMPUMU 27 күн бұрын
RC P Makonda chapa kazi mioyo ya wananchi inamatumaini sana na wewe. Mungu akuongoze
@user-nh7ie5kz7l
@user-nh7ie5kz7l Ай бұрын
kweli Mheshimiwa Mkuu wa mkoa Makonda usiwaombee kura watu wengine kila mtu atakula kwa kamba ya urefu wa kamba yake, wewe chapa kazi Mungu anakuona.
@josephyamathlaizer-op9sw
@josephyamathlaizer-op9sw Ай бұрын
Huyo ni kiongozi wa kuigwa na watumishi wa serikali Mungu ibariki kazi ya makonda 🙏🙏🙏
@CristovaoMarioJaimeJaime
@CristovaoMarioJaimeJaime Ай бұрын
Makonda mtumie Mungu acha kupindisha maneno Mungu kakupa Utawala Samia katumiawa na Mungu acha kuwaombea kura wanasiasa
@hajihassan5433
@hajihassan5433 Ай бұрын
Serikali inapatikana kwa kura kipitia vyama vya siasa. Kila mtumishi wa Serikali ana wajibu wa kutekeleza ilani ya chama husika chenye Serikali na kufanya hivyo ni kuomba kura automatic na kutokufanya hivyo ni kinyume chake. Mwache Makonda afanye kazi!
@user-ov3cy1nr8f
@user-ov3cy1nr8f Ай бұрын
Tupiganie
@monicamwita7865
@monicamwita7865 Ай бұрын
Yaani hata asipowaombe, bado kuna holi la MKONO watapita tu.
@AlfarouqIslamic
@AlfarouqIslamic Ай бұрын
Holi la mkono ndio nini?​@@monicamwita7865
@godfreybaitani602
@godfreybaitani602 Ай бұрын
Hujui ama hujaelewa kilichozungumzwa mkuu?
@johnurio9151
@johnurio9151 23 күн бұрын
Haiko sawa
@gwamakajohn7122
@gwamakajohn7122 19 күн бұрын
Makonda viva
@MezdDimoso
@MezdDimoso Ай бұрын
Kiongozi akiwa mfuatiliaji utendendaji wa watumishi sehemu frani utasikia mzalilishaji kumuuliza mtumishi ili atoe ufafanuzi wa jambo utasikia watu wanasema fulani kzalilishwa 😮
@januarysungura8119
@januarysungura8119 Ай бұрын
wanaosema uzalilishaji ni baadhi ya watendaji ambao huwa wanakaa ofisini bila kujali na kuwajulisha wale wanaowatumikia matatizo na mikwamo aidha hata fahamu wa kazi zao hawataki watu wengine wazijue
@Dtv732-vc4zw
@Dtv732-vc4zw Ай бұрын
That woman looks honest
@gilbertkalanda9354
@gilbertkalanda9354 Ай бұрын
Sure!
@MidlastaLyimo
@MidlastaLyimo Ай бұрын
KIKOKOTOO?KWELI??
@susananyasani6526
@susananyasani6526 Ай бұрын
Mkuu wa Mkoa asema ukweli Wananchi uharibu Bomba ya kutoa Maji sehemu nyingi bila kujali na kosa liko kwa Wananchi asante
@keffaonchiri7813
@keffaonchiri7813 24 күн бұрын
This is a true leader,Makonda hoyeeeee!
@user-fr2op2ss6v
@user-fr2op2ss6v Ай бұрын
makonda unachokifanya sisi wananchi unatukumbusha magufuli piga kazi baba mungu anakuona na atakulinda na mabaya yote, mapigaji ni mengi sana, inaumiza kodi zetu zinapigwa sana, nakufuatilia sana kamanda japo kuwa nipo Dar
@mremaelisenguo
@mremaelisenguo Ай бұрын
Endelea kuwakomboa watanzania. Kazi yako ni ibada kubwa kwa Mungu
@maggiehiza5884
@maggiehiza5884 Ай бұрын
Jamani.. serikali haiendeshwi hivi..no strategy????
@emilykisawa5972
@emilykisawa5972 Ай бұрын
inaendeshwaje labda? kama wameshindwa jiendesha!!
@PhilbianJohn
@PhilbianJohn 24 күн бұрын
Makonda ongeza makali ya spana kuwatetea wanyonge mungu akubariki sana.
@JosephKembe-ee6bd
@JosephKembe-ee6bd Ай бұрын
0:35 makonda ana maswali utazani mungu
@RazakiMatochi
@RazakiMatochi Ай бұрын
😂😂😂
@thuweiybab3338
@thuweiybab3338 Ай бұрын
Huyu Mwanamke ni mchuzi sana. Muonewe, kuna watu wanazihitaji hio nafasi yakr
@thuweiybab3338
@thuweiybab3338 Ай бұрын
Huyu ni mshenzi sana fukuza yeye
@user-cz4bj4jp6t
@user-cz4bj4jp6t Ай бұрын
Makonda mungu akuweke mtetezi wa wanyonge
@RajabuLanda
@RajabuLanda Ай бұрын
👍hapo kwa ccm nisawa nakusema kitambi mbere xhida nyuma
@solomonmgaya6936
@solomonmgaya6936 Ай бұрын
Majambazi.wote huwa hawapendi kiongozi msema kweli🇹🇿🙏🏿
@ShabaniMbwilo
@ShabaniMbwilo 29 күн бұрын
Jamani ingekuwa rahisi apelekwe Kila mkoa maana Kuna wapigaji wengi watu wananyang,anywa haki zao sana Mungu am bariki sana makonda na amlinde popote pale alipo maana mh! Viongozi wadilifu kama huyu adimu kuwapata........................
@klystry1234
@klystry1234 Ай бұрын
Viongozi hawajishughulishi kuweka Haya mahesabu vizuri huu ni ukweli Yaani Haya maswali yote wanatakiwa wawe nayo kwenye makaratasi na wasiwe wanakisia Tena kwa wakandarasi ndo hovyo Yaani bashungwa anapitia changamoto sana na wahandisi Yaani masihara ni mengi sana nchini mnakula hela mnasahau kutoa huduma
@DM_15
@DM_15 Ай бұрын
Wananchi wa hovyo kabisa hawaelewi nini kinacho zungumzwa ushsbiki unawasumbua, nivzur makondakutumia hizi nafasi pia kuwaelewesha wananch, nikweli tunataka maendeleo nihao hao wananchi huwa wanskata mabomba, wananchi ushabiki oyaoya niujingahuo. Hongera dada Mungu awe nawewe ukovzri
@edjenmakwai2310
@edjenmakwai2310 26 күн бұрын
Kwa kweli maji ni janga kwa mkoa wa Arusha wote. Sio Namanga peke yake.
@JohnGomano
@JohnGomano Ай бұрын
Tanzania inahitaji viongozi kama hawa ili kuweza kuendelea just imagine viongozi wote wakifanya kama huyu makonda leo hii tungefikia sehemu nzuri katika maendeleo ya kijamii,siasa na hata kiuchumi
@nailamimi20
@nailamimi20 Ай бұрын
Watu wa namanga mbona wote hawana Nuru usoni jmn 🥺 kama vile walevi sana
@user-wc8rm2yo9m
@user-wc8rm2yo9m Ай бұрын
Eti walevi konyagi njo inatembea😂😂😂😂😂
@israelkisaila8401
@israelkisaila8401 Ай бұрын
Kwani si ni mkondo huohuo wa wadudu ndugu yangu
@mustaphahassan589
@mustaphahassan589 Ай бұрын
Mirungi pia inawamaliza watu hapo
@josephatmwambega2874
@josephatmwambega2874 Ай бұрын
Big up Makonda😂😂😂😂
@suleimanabdillah7490
@suleimanabdillah7490 22 күн бұрын
Hata kama tuna shida ya maji ni lazima wananchi wawe na ustaarabu wa kuwasikiza wahandisi badala ya kuwazomea. Mwisho wa siku Mhe anawategemea hao hao
@januarysungura8119
@januarysungura8119 Ай бұрын
watendaji lazima wayajue majukumu yao na kuwa na uwezo wakujieleza wakati wowote
@SheilaNanetia-nb7pd
@SheilaNanetia-nb7pd 29 күн бұрын
It's true vandalization is true
@KamaradaSaidi
@KamaradaSaidi Ай бұрын
Makonda kwa kazi nzuli hii unayo fanya unafaa kwa hakika kua rais wa nchi hii mung akubaliki baba piga kazi
@selector728
@selector728 Ай бұрын
Nzuri sio nzuli,,akubariki sio akubaliki
@epimackjohn461
@epimackjohn461 Ай бұрын
Labda nchi hii igawanywe upande kwanza (1)wa watu mbumbumbu mwingine wa (2) wa wenye akili timamu yeye awe rais wa na (1)
@patrickmukundichalamila3038
@patrickmukundichalamila3038 Ай бұрын
Hii ana kwa ana viongozi na matatizo ya wananchi nliona Rwanda,yani hua ni fire 🔥 mpaka kiongozi anataman akimbie. Makonda kwa uwezo wa Mungu usimamiwe mpaka mwisho Mungu atakapo chukua uhai wako Insha Allah 🎉
@JumaAzam-hx6wl
@JumaAzam-hx6wl 23 күн бұрын
😮
@HenryKasaje-on4xq
@HenryKasaje-on4xq Ай бұрын
Ila saizi mko kuisafisha ccm kwakua uchaguz umesogea ila bado tumeshituka
@user-qg3nu1kv2n
@user-qg3nu1kv2n Ай бұрын
Mzee Diwani yuko ngangari kweli kweli alafu nikimcheki Diwani wa kwenye kata yetu nabaki kucheka tu mana ni wale tunaojiita nguvu ya Taifa ila ndo hamna kitu mamae
@eliudgathuthi8601
@eliudgathuthi8601 Ай бұрын
Water boozers disconnect water so as to sell water. That was my experience in Kenya. You will find that water boozers are owned by people in water ministry. So the ones who are supposed to solve the problem also end up creating problem for financial gains
@FaridiRashidi
@FaridiRashidi Ай бұрын
Adumu sanaa
@Josephmutua-sy7mm
@Josephmutua-sy7mm Ай бұрын
This is a bit confusing! Is this a law court or just a public "make crowd feel good" gallery??. Just what's the end game here? Not a place to delve into the intricacies of hydrogeology... honestly!??
@lightouma477
@lightouma477 Ай бұрын
Yaani Namanga inaukame mkali mnoo,ni zaidi ya miaka 30 sasa....Mungu awasaidie tu kwenye kuondoa ilo tatizo maana mmmhhhh
@adammjomba5814
@adammjomba5814 Ай бұрын
Mh Makonda Acha kuwaonbea wanasiasa kura unavyofanya hivyo NI kuwafanya wanasiasa wabweteke na hawatafanya kazi kwakua wanajua hatawasipo wahudumia wana nchi wanajua utawaombea kura . Acha waombe wenyewe wapate ugumu ema wapate au wapotee ktk siasa
@hajihassan5433
@hajihassan5433 Ай бұрын
Sitegemei kama chanzo cha maji kinaweza kuhudumia watu waliopo 900 KM, kwa sababu hapa Zanzibar hakuna anaeishi 10 KM na hakujaenea maji lakini tatizo la maji hatufanani Tanganyika ni kubwa sana.
@ogenylaurent7961
@ogenylaurent7961 Ай бұрын
Hapo wanajadiri kuhusu mkoa wa Arusha pekee sio Nchi nzima
@ogenylaurent7961
@ogenylaurent7961 Ай бұрын
Tena ni wilaya ya namanga tu
@romanamassawe814
@romanamassawe814 Ай бұрын
Yanacheka ujinga tu
@drisayaambulatoryvetclinic1514
@drisayaambulatoryvetclinic1514 Ай бұрын
Makonda ni lijitu likubwa lenye uthubutu wa kazi , pambana sana mkuu kusaidia wananchi wengi tunakuunga mkono unachokifanya ... mwenyezi mungu akulinde na manyangau yanayotaka kufifisha juhudi zako
@innocentaloyce919
@innocentaloyce919 Ай бұрын
Apo idara ya maji arusha kuna ma dudu mengi sana
@GOODNEWSTV-nf5qx
@GOODNEWSTV-nf5qx Ай бұрын
Jamani tumpate wapi kiongozi kama Makonda wilaya ya Ubungo aje askilize kero zetu za maji hiku kata ya Saranga maana DAWASA wanatukatia maji ili tununue maji kwenye magari yao, alafu mwisho wa mwezi wanatuletea bill za upepo.
@fatumasaidimmependezamjeng8994
@fatumasaidimmependezamjeng8994 Ай бұрын
😢
@user-ct3um3fr6j
@user-ct3um3fr6j Ай бұрын
Safi sana hakuna kitu hapo
@user-ml5tq8hj2x
@user-ml5tq8hj2x Ай бұрын
Makonda fanya kazi yako maana watu hawajielewi wanashikilia manafas cha maana hawana watu tunateseka wananchi
@mbikamtanganaki
@mbikamtanganaki Ай бұрын
Mmechelewa watanzania ndyo tunapenda hivi makonda anavofanya
@salimabdul4424
@salimabdul4424 Ай бұрын
Aiseee tuna watendaji vilaza...hujui hata takwimu za mradi mkubwa kama huuu...
@martinakyoo148
@martinakyoo148 Ай бұрын
Makonda ni teacher wa wakuu wa mikoa yote nchini Na Mama akimaliza muda wake please CCM msione ugumu kumpa nafasi ya Urais mtaenjoy na CCC itaenjoy na Wananchi Wataenjoy amini usiamini huo ndio ukweli. Tunataka kiongozi kichwa chake kinafanya kazi kama huyu
@ramygichero1016
@ramygichero1016 Ай бұрын
Mkuu Makonda nakukubali
@PhilbianJohn
@PhilbianJohn 24 күн бұрын
Makonda ongeza makali ya spana
@PaulNdekiro-vb3gg
@PaulNdekiro-vb3gg Ай бұрын
YAni niaibu kiongozi anapoulizwa sawali anajibu kiswahili na kiingereza sasa hapo nikuonyesha usomi zaidi au ushamba zaidi?nyie watendaji wa serekali niwaongo na niwaizi Yani wako kimaslahi binafsi ndiyo kipaumbele ya watumishi waleo wanashindana kujenga mijengo na kuwana magari mazuri daah mungu atusaidie na hawa waongo
@DennisMungai-pf6rb
@DennisMungai-pf6rb Ай бұрын
Masikini nchi yangu ,,watu wanakuja kufurahia wenzao wakidhalilisha
@ThomasfrancisMvella
@ThomasfrancisMvella Ай бұрын
Co kudhslilisha,,,watendaji wengi waserikalini ni wazembe,,,,,,na hii n kutokana na kulindana kupita kiasi....na hapo usingalie sura....tunataka utendaji na uhadilifu....mwache poul makonda awanyooshe.......kama ukubali utendaji wake hilo n tatizo lako bnafsi lkn kwa wananchi Ana manufaa makubwa mno...
@allymbaya6411
@allymbaya6411 Ай бұрын
Ila mimi huyu mdada nimempenda kwa ujasiri wake pamoja na kudhalilishwa kote lakini haja hajatetereka hata kidogo
@lingwamalagila3003
@lingwamalagila3003 Ай бұрын
Amedharirishwa na nani mbona hueleweki au kwa kuwa wewe uko na viwango vya juu
@kazikazini1042
@kazikazini1042 Ай бұрын
Huyu dada ana utulivu mkubwa
@komuhsengo9796
@komuhsengo9796 Ай бұрын
Hii ndio nini jamani mbona kama sio utaratibu au ni kuonyesha kitu
@KituRu
@KituRu Ай бұрын
Ni udhalilishaji
@joycemwango943
@joycemwango943 Ай бұрын
Tungelikua na MH,, MAKONDA KENYA tungeshukur,,, Anasikiza kero za wanaichi
@isacksimonmahungilo
@isacksimonmahungilo 21 күн бұрын
Viongoz wa hv huwez kuwakuta kenya
@KituRu
@KituRu Ай бұрын
Makonda kazidi sifa bana,awe na adabu bana
@mupinimulila1762
@mupinimulila1762 Ай бұрын
Unaonaunaona ndo nakubali kama nyinyi wa Tanzania muna ukatili chinichini, lakini munajificha kama watu ambao muna roho nzuri, lakini kwa comment hii, natambua roho yako .mtu anataka musaidike lakini muna , unaleta viluga vyako eti adabu , makonda adabu ipo, apa anafanya kazi tu . Hiyo ma heshima zenu za uisha watu.
@kareem1182
@kareem1182 Ай бұрын
Basi wananchi ndo awana adabu maana waoo ndo wanao kataaa
@simonwenceslaus3745
@simonwenceslaus3745 Ай бұрын
We utakua na ndugu ako apo ila ungejua aza tunazopitia wananchi ata usinge lopoka
@MohamedUchungu
@MohamedUchungu Ай бұрын
Na kweli hana adamu
@user-sc5xz8jh5y
@user-sc5xz8jh5y Ай бұрын
Hogela raisi kwa uteuzi wahuyu kiongozi namkubali sana
@MidlastaLyimo
@MidlastaLyimo Ай бұрын
INATUSIKITISHA SANA.SISI WASTAAFU KUKOSA MAFAO YETU LAKIKINI MABILIONI YA HELA YANAPELEKWA MIRADI.??NIKIFA WANANGU HAWSNA CHOCHOTE NI HAKKI KURA ZA WASTAAFU NI NO
@SalimKiwale
@SalimKiwale Ай бұрын
Hv nyie watu mnataka kiongozi wanamnagani ukiona kunamtu anamkosoa makonda hana akili tu
@laurentraphael5470
@laurentraphael5470 Ай бұрын
Hana akili kabisa.
@issacklyandala7023
@issacklyandala7023 Ай бұрын
Hamna kitu hapo kiki tu, anapenda tv
@zeralucyntazimila6600
@zeralucyntazimila6600 Ай бұрын
​@@issacklyandala7023kafanye wewe
@deven.oauditx7547
@deven.oauditx7547 Ай бұрын
Makonda ni msanii tu anayetafuta umaarufu kwa kuwakejeli na kuwashambulia maofisa wa ngazi za chini ambao hawana majibu kwa matatizo yanayowakabili wananchi. He is a bully.
@WilsonKihanga-jb5fb
@WilsonKihanga-jb5fb Ай бұрын
Deven we ni tahira tu
@user-fz1ph3cn4s
@user-fz1ph3cn4s Ай бұрын
Kichwa cha habari si kweli. Alitoa tu maelezo.
@hendricksjohn6201
@hendricksjohn6201 Ай бұрын
Baba unaupiga mwingi sana
@jumanesaidi7635
@jumanesaidi7635 Ай бұрын
Mama alitoa, mama alitoa ! ! Serikali. Itatoaaa lini ?
@hajihassan5433
@hajihassan5433 Ай бұрын
Akitoa mama ndio imetoa Serikali.
@wilsonkinga
@wilsonkinga Ай бұрын
Watendaji wa nchi hii hawawezi kuongoza nchi hii maana wezi na wanyanyi
@michaelmlyuka6032
@michaelmlyuka6032 Ай бұрын
Matatizo ni Wizara na siyo Mtaalamu huyo. Pia bajeti finyu ya Wizara
@mr.exaudmshana5275
@mr.exaudmshana5275 Ай бұрын
Hongera mate Eng. Upendo🎉
@januarysungura8119
@januarysungura8119 Ай бұрын
ukitaka kujua wababaishaji utaona watendaji wabovu ni hapa ,mbona diwani ameongea amenyooka hata mimi niliye mbali nimemwelewa.
@YonaLaizer-nt4pc
@YonaLaizer-nt4pc Ай бұрын
Usimpigie mtu debe kwaajili ya maisha yake wewe tumia hekima uliyopewa na MUNGU hivyo achana na mengine wewe tenda wema malipo kwa MUNGU atakurehemu
@mahomamahoma775
@mahomamahoma775 Ай бұрын
Apewe uwaziri mkuu
@margaretking9640
@margaretking9640 Ай бұрын
I wish ungekua kenya pia mayatima km ss tukapata haki
@GOODNEWSTV-nf5qx
@GOODNEWSTV-nf5qx Ай бұрын
Jamani hii inaonyesha kuwa viongozi wengi walioajiriwa sio wazalendo, sio watenda haki na sio wachapa kazi . Hawatambui dhamana waliopewa zaidi wanaangalia maslahi yao binafsi hawaridhiki na mishahara yao.
@daudkondo4069
@daudkondo4069 Ай бұрын
Sasa yeye ndo mtoa pesa? Kama hajapewa pesa aangushiwe jumba bovu?
@bethkonga7944
@bethkonga7944 Ай бұрын
Sasa pesa ndio zinanunua takwim za mahitaji ya maji ya mkoa
@WilbertChambilo-yl1kc
@WilbertChambilo-yl1kc Ай бұрын
Huyu jamaa anapiga Kazi ila kinachoharibu ni sifa. Kuna mtu anaitwa Dr Dotto Biteko ni mtu haswa haswa lkn huwez sikia anafanya maamuzi Kwa sifa.
@Tatu-mb9nl
@Tatu-mb9nl Ай бұрын
Yule alisema malonda sio msomi akfie mbali na maiti yake isionekane hata pua
@magrethherin7110
@magrethherin7110 Ай бұрын
Makondo wanyooshe
@eluidmorery6411
@eluidmorery6411 Ай бұрын
Kiji cha patanumbe kina pori la Ngombe. Limeuswa na mavizandi tusaindiye kulirudisha
@AmerdaKavishe-pu3cf
@AmerdaKavishe-pu3cf Ай бұрын
Ila makonda unawatia akili ili wajitambue shida ni kwamba watumishi waserekalini washazoea ku bebana awana nazam yauoga katika utendaji
@user-ds5pz2oz3u
@user-ds5pz2oz3u Ай бұрын
Huyu jamaa inatakiwa hapewe nchi maaana anakipaji Cha Hali ya juu
БОЛЬШОЙ ПЕТУШОК #shorts
00:21
Паша Осадчий
Рет қаралды 9 МЛН
Nutella bro sis family Challenge 😋
00:31
Mr. Clabik
Рет қаралды 12 МЛН
MAKONDA AWAFUKUZA KAZI WATUMISHI ARUSHA
1:06:20
JAMBO TV
Рет қаралды 75 М.
MAKONDA AWATUMBUA WATUMISHI WA JIJI LA ARUSHA WAJIKOROGA
33:34
Dakika 47 za moto hoja ya Mdee bungeni,  mnyukano mkali watokea
47:32
Mwananchi Digital
Рет қаралды 74 М.
БОЛЬШОЙ ПЕТУШОК #shorts
00:21
Паша Осадчий
Рет қаралды 9 МЛН