VIJANA WAPEWA BAJAJI MPYA NA PESA ZA MTAJI - GeorDavie TV

  Рет қаралды 63,146

GeorDavie TV

GeorDavie TV

2 жыл бұрын

SMS/WhatsApp au Piga namba: (Makao Makuu) +255 784 31 51 91 au +255 754 31 51 91 au +255 715 31 51 91 au kwa msaada zaidi. Tupo Arusha, Tanzania, East Africa. Pia Download App yetu na ufurahie huduma zetu, Nenda AppStore au PlayStore andika geordavie halafu itakuja GeorDavie Ministries, endelea kupakua. Na Endapo Umeguswa na Huduma hii na Unapenda Kutoa Sadaka yako Tuma Kwenye namba hii (M-Pesa): +255 769 00 00 34 au (kwa AirTelMoney) +255 788 00 00 35. Pia unaweza Kusikiliza redio yetu sasa hivi Online, nenda: www.nyu.radio12345.com
Keeping Up With God's Kingdom Government Standards!
TUFUATILIE
▶︎ Facebook: / geordavietv
▶︎ Instagram: / geordavietv
▶︎@GeorDavie Maarifa

Пікірлер: 368
@nyotastar102nyota2
@nyotastar102nyota2 2 жыл бұрын
Mzee nabii mungu akufunike ktk mabawa yake wendelee kutuona na sisi Asante mungu kwa zawadi yaka ya nabii mkuu
@levinahmuspeka3227
@levinahmuspeka3227 2 жыл бұрын
Ahsante Yesu Mungu wa baba yetu, baba wewe ni kielelezo kilicho bora sana katika kizazi chetu. Imani na matendo zinaenda pamoja, napenda kufuatilia mafunzo na maubiri yako.Mungu akuhifadhi baba
@franciscaaugustino4305
@franciscaaugustino4305 2 жыл бұрын
Kupitiya hawa hata Mimi nitafungua biashara yangu. Napokea. Ubarikiwe sana Baba
@danfordmwangesile9043
@danfordmwangesile9043 2 жыл бұрын
Mungu wa mbinguni azidi kukubariki baba Kwa moyo wako uliojaa huruma. Nakufatilia saana toka zamani tokea Zanzibar. Najifunza mengi baba toka huduma Yako.
@fatimasalum6478
@fatimasalum6478 Жыл бұрын
Nabii mkuu naitwa Fatima salumu nilitolewa kizazi changu Nina mtoto mmoja tu na ninaishi na virusi vya ukimwi ninakuomba baba nitamkie neno tu nipokee uponyaji ameen
@thomasmwangama9014
@thomasmwangama9014 2 жыл бұрын
Sijawahi kuona Mt wamungu kamawewe mwenye moyo wahuruma,moyo kimungu kabisa,mungu anajivunia,lakini watanzania piatunajivunia kuwa nanabii mkuu kamawewe,baba namimi nimwimbaji wamiaka mingi Ila maishayangu choka mbaya,naomba unitamkie nataka naamin utakalosema utakuwa,Niko mbeya kyela
@user-kf6ox4pe5b
@user-kf6ox4pe5b 2 ай бұрын
Wow Baba ata Kama niko mbali nakuvuatilia fundishow lako mungu yupo nawe kila Makati watching from Nairobi Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@juliuslema2554
@juliuslema2554 2 жыл бұрын
Barikiwa sana baba kwa kuwainuwa vijana mungu atazidi kukuinuwa wewe ni nabii wa kweli
@isaacsylvester4414
@isaacsylvester4414 2 жыл бұрын
Mungu ni mwema sana kila iitwapo leo nabii mkuu , mungu azidi kukuinua ubarikiwe milele
@janetkaingu7038
@janetkaingu7038 2 жыл бұрын
Hongera Babà Nabii Mkuu,kwa msaada unasaidia watu Mungu akuzidishie Baraka tele Aaamen
@danielsunzu4793
@danielsunzu4793 2 жыл бұрын
Baba prophet Mungu wambinguni azidi kukubariki sana
@apostleadamgige4662
@apostleadamgige4662 2 жыл бұрын
Baba Mungu akubariki sana,hili ni fundisho kubwa sana Kwa watumishi wote,nimepokea
@queenbby92
@queenbby92 2 жыл бұрын
Naamini siku nikikanyaga katika madhabahu yako na mimi biashara nayo ipenda nitaifungua. Nakufatilia sana baba
@margarethpolepole7438
@margarethpolepole7438 2 жыл бұрын
Mungu akubariki sana mtu wa mungu nabii kweli wewe ni mlezi wa watoto wa kimaskini kanisani kwako
@lucasnchimbi5159
@lucasnchimbi5159 2 жыл бұрын
hakika nime kuswa na utumishi wako najikuta natoa machozi na mambo makuu unayo yafanya Baba mungu akuzidishie natamani siku moja nije katika kanisa lako uwezo tu sina Baba ila naamini nita fika katika hekaru lako amina
@bensonlaize9574
@bensonlaize9574 Жыл бұрын
Akika mungu nimwema pasta na mungu azidi kukupa upeo uyo uyo wa kuwasaidiya wasio nacho kiukweli maisha yanaitaji moyo kama wako kwakuwa sina kaz sina chochote chakukupongeza ila naamini mungu yuko pamoja nawe thank you Jesus🙏🙏🙏🙏
@ngajulagesalum6127
@ngajulagesalum6127 2 жыл бұрын
Mimi ni muislam, lkn nimekuwa siachi kumuangalia huyu Baba Nabii. Kiukweli naguswa Sana na huduma zake. Nina neno Moja tu siku nikiweza kukutana nae naweza kumwambia. Liko moyoni mwangu.
@eliwajajacob8569
@eliwajajacob8569 Жыл бұрын
Barikiwa sana kutoa bajaji
@festuskorir3546
@festuskorir3546 Жыл бұрын
God is really good,I'm from Kenya and God bless you nabii wa mungu
@daudmwakyusa3415
@daudmwakyusa3415 2 жыл бұрын
Ubarikiwe mtumishi wa mungu napendaga sana mafunzo yako yananijenga kiimani
@ElizabethNdimbwa
@ElizabethNdimbwa 11 ай бұрын
Ubarikiwe sana mtumishi wa MUNGU kwa ajili ya hao vijana kwa hizo bajaji.
@ramadhanissa8855
@ramadhanissa8855 2 жыл бұрын
Mwenyezi mungu akuzidishie mara 1000000 unapotoa akuzidishie sana mzee kuanamoyo huo wenye moyo kama huo nikumi kwa mmoja kabisa
@honnesthonnest5013
@honnesthonnest5013 Жыл бұрын
Kenya hapa kwetu huwezi pata mtumishi anapeana wao ndio hutegemea kupewa .........mtumishi wa mungu Anikumbuke kwa maombi nikiwa hapa kenya mombasa .....mama yangu amekuwa mgojwa cuncer since 2019..nimefisirika kabisa njuu ya kumtuza mama .....Niombee sana mtumishi wa mungu.
@efraziapaul3818
@efraziapaul3818 2 жыл бұрын
Daaah! Nimehisi kutoa machozi Mungu anakutumia nabii una moyo wa kutoa sana Mungu azidishe Mara nyingi
@sanyajuutv2679
@sanyajuutv2679 2 жыл бұрын
Mungu akubariki sana Baba wa ngurumo
@milkamwaura9031
@milkamwaura9031 2 жыл бұрын
Am soo touched by this kind of giving. Daddy you're blessed by God
@ElizabethNdimbwa
@ElizabethNdimbwa 11 ай бұрын
Na mimi kuna siku yangu, itafika. Nimefurahi sana kwa ajili ya hao vijana, machozi ya furaha yamenitoka japo siwafahamu. MUNGU AKUBARIKI sana.
@queenbby92
@queenbby92 2 жыл бұрын
Najiunganisha kwa jina la yesu
@peterdismas7480
@peterdismas7480 2 жыл бұрын
Shaloom baba, ninafuatilia huduma yako kweli Mungu yupo ulipo. Nitajitahidi kuja kusali na kupokea upako. Ombi ni sala kutoka kwako za kunibadili tabia nilizonazo zisizo mpendeza Mungu. Niombee mtumishi nipone magonjwa niliyonayo mwilini. Pia niombee kipato ninachopata niwwze kupata maarifa kwa nguvu za Mungu ya kukiongeza kwa kuzungusha katika biashara na miradi. Pia nijaliwe kubwa na hekima na busara ya kumtumikia Mungu na kusaidia wenye mahitaji. Baba niombee watoto wangu wafunguliwe vifungo walivyofunhwa wafanikiwe katika maisha yao yote.
@mathayoaloyc582
@mathayoaloyc582 Жыл бұрын
Me naitwa mathayo aloyc ni driver. Mungu.akubariki.sana.nabii.mkuu.mungu.ametupa.mungu.katika safari yangu anijarie niludi salama.nije kanisan nipate baraka zako mtumish
@patricktarimo2699
@patricktarimo2699 2 жыл бұрын
nimebarikiwa sana na msaada wa baba nabii kwa vijana wenzangu,
@adamsll7637
@adamsll7637 2 жыл бұрын
Baba Mungu akutunze sana Nakupenda sana 🙏
@janertmartin3318
@janertmartin3318 2 жыл бұрын
BABA MUNGU akubariki sana kwa moyo mkuu. Naomba mbaraka wako nimekwama kiuchumi.
@witnesskirusha3084
@witnesskirusha3084 2 жыл бұрын
Mtume nakupenda sana baba Mimi naomba unisaidie jambo moja niweze kutulia kwenye ndoa yangu niwe na uvumilivu mungu ampe mume wangu kazi naamini katika nguvu iliyoko ndani yako ataniondolea pia mgonjwa yote niliyo nayo
@oggreat5491
@oggreat5491 2 жыл бұрын
I tap the blessings from you man of God
@patrickbizuri5976
@patrickbizuri5976 2 жыл бұрын
Babangu mtumishi wa Mungu nimeguswa sana na vile unavio shugulikia watu wa Mungu ata namimi najua Siku moja nikija niguse ata mukono wako kwakukusalimu tu nitakua nimebarikiwa babangu
@dansiranikuze923
@dansiranikuze923 2 жыл бұрын
Man of god I wish I could see you but I’m from in USA
@idrisayusuph4420
@idrisayusuph4420 2 жыл бұрын
BABA UMEWAFANYIA VIJANA JAMBO KUBWA SANA LA KUWASAPOTI BAJAJI ZA KUFANYIA KAZI WAINGIZE KIPATO CHA KUENDRLEZA MAISHA YAO ASANTE , MHESHIMIWA NABII MKUU DOCTOR GEOR DAVIE
@sembasitianayinzaki1253
@sembasitianayinzaki1253 2 жыл бұрын
Nimependa sana hichi kitendo, vijana ndani ya kanisa ni hazina. Mungu was mbinguni amekutofautisha sana were ni wakipekeee saaana.
@royalchannelezzy32
@royalchannelezzy32 2 жыл бұрын
Prophet of God your real Doing Wonderful! And your real Showing us the way to Heaven Spiritual and physical... God Be with More and may God Suprise you More!!! Great Man of God
@kimzytvchannel2413
@kimzytvchannel2413 2 жыл бұрын
Love from🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@bridgetphiri5663
@bridgetphiri5663 2 жыл бұрын
May the good God bless you Man of God 🙏🙏🙏
@siahraphael9349
@siahraphael9349 Жыл бұрын
Hii ni miujiza jaman Ee Mungu niguse namimi Bwana Yesu🙏🏾
@philipomathias4334
@philipomathias4334 2 жыл бұрын
That is my Dady we love you!!!!!
@edwinalexander1170
@edwinalexander1170 2 жыл бұрын
Am so much touched the way you are giving to people, May God bless you.
@user-sq3uo6zp6y
@user-sq3uo6zp6y 10 ай бұрын
Wewe ni mungu umeshushwa na mungu uje usaidie mwenye uitaji na wewe ni zaidi ya nabii
@andrebikuba337
@andrebikuba337 2 жыл бұрын
hakika wewe ni mutushi wa mwenyezi mungu anaye kumbuka lisha kondoo zako si kama wale wengine husema muchungaji ananyonya maziwa ya kondoo zake atapata maziwa wapi kama haukulisha kondoo zako ? hongera sana baba nabii mwenyezi mungu aendeleye kukutiya guvu akazidishiye na kile haukuomba piya mimi na patikana drc
@user-sf7ew4qf2t
@user-sf7ew4qf2t 9 ай бұрын
Mungu ni mwema god bless you godev
@FatumaMdagano-hd7em
@FatumaMdagano-hd7em Жыл бұрын
Ubalikiwe baba unayetambua wahitaji unaetambua nawe weww umetoka nakuombea uishi maisha malefu mungu akujalie akuongoze pale unapotoa
@naomijonas6300
@naomijonas6300 2 жыл бұрын
Hakika mungu ni mwema Sana, mungu akubariki Sana nabii mkuu
@janethkinabo3486
@janethkinabo3486 2 жыл бұрын
Mungu akubariki baba, natumaini Mungu alikuleta duniani kwa makusudi, natamani sana siku moja nifike hapo japo uniguse mkono tu naamini yote ninayoyapitia yatatoweka.Mungu akutunze baba
@josephkileo8235
@josephkileo8235 2 жыл бұрын
Nabarikiwa sana na maubiri yako mtumishi
@fredyjulius9553
@fredyjulius9553 2 жыл бұрын
Baba hakika wewe yupo mungu kwanza hakuna mtu yeyote anaweza kuwapa saport vijana hakika umenigusa sana
@pendocharopendo9559
@pendocharopendo9559 2 жыл бұрын
ubarikiwe sana baba kwa ulicho kitua kwa moyo wako wa upendo na kushikaa mkona vijana wako mngu akuzidishiye kabisa kama ulivyo tamka kwa kinywachako kusema umezidishiwa mbinguni🙏🙏
@user-vo4ux3bl6f
@user-vo4ux3bl6f Жыл бұрын
Mungu akubariki baba,siku zotee za maisha yako
@atanastv729
@atanastv729 2 жыл бұрын
Thanks God
@user-su8se8cp1o
@user-su8se8cp1o 10 ай бұрын
Naomba nifike arusha nikuone nakupenda sana baba nabiii mkuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu
@philomenamueni30
@philomenamueni30 9 ай бұрын
Baba mungu akubari sana.naomba vile naeza nikufikie nko kenya nasina hera naeza nikufikie nimetezeka sana baba nizahidie nikufikie
@mireilleirakoze602
@mireilleirakoze602 2 жыл бұрын
Balikiwa sana mucunganji 🙏♥️🇧🇮
@sarahadamnakintu6893
@sarahadamnakintu6893 2 жыл бұрын
Your are great man of God Asante Sana baba all from ug
@marympemba6378
@marympemba6378 2 жыл бұрын
You touched my life in various way, God keep you Nabii mkuu.Asante sana kwahiyo 🙏🙏💕💕
@pascalwanjala7478
@pascalwanjala7478 2 жыл бұрын
You're real the servant of God and anointed one . May almighty father lord Jesus bless the work of your hand
@pendoalmaspendoalmas2949
@pendoalmaspendoalmas2949 2 жыл бұрын
Amen niguse Nami baba usiache baba nigese nami
@PASTEURGENEROSEKABAKA
@PASTEURGENEROSEKABAKA 10 ай бұрын
Mangue alubariki❤❤
@dismasmselle9991
@dismasmselle9991 2 жыл бұрын
Hakika we ni nabii wa kweli uko ju sana Mzee wa ngurumo
@livinusymkude3097
@livinusymkude3097 2 жыл бұрын
Ubarikiwe sana mchungaji ningetamani na mimi siku moja nifike kanisani kwako 🙏🙏
@arenyutenga1052
@arenyutenga1052 2 жыл бұрын
Ninamambo mengi ambayo nikikuelezea natumah mchungaji utanisaidia kwa msaada wa Mungu unaweza
@charlesmarende1584
@charlesmarende1584 2 жыл бұрын
Mm Charles marende kutka kenya baba niombe baraka baba 🙏🙏ili nikamileshe my dream
@davidmwanthi654
@davidmwanthi654 2 жыл бұрын
May God bless you,,nigepata fedha million 3 niaze maisha ya familia yetu ilio sabaratika, from kenya
@joynessmhalila811
@joynessmhalila811 2 жыл бұрын
Mungu akubarki paster kwa kugusa maisha ya watanzania, Aman ya kristo iwe nawe.
@mariumbrown8854
@mariumbrown8854 2 жыл бұрын
Nabarikiwa sana na huduma yako Mungu akutunze mtumishi wa Mungu
@mtenjimjengwa5859
@mtenjimjengwa5859 2 жыл бұрын
Nakupenda sana baba nakufuatilia sana mungu akuzidishie hpo ulipo
@jeanpaulndabirorere5966
@jeanpaulndabirorere5966 Жыл бұрын
Baba nglumo ya upako mungu azidi kukuinuwa kwakila jambo kbs ningerikuwa nauwezo ningeweza kufika halusha namimi ili unibariki nauniondoreye mambo mengi yanayo nikaribiya maishani mwangu asante sana ungurumo ya upako nimimi jean Paul kutoka Burundi mwaka mupya nawatakiya nyinyi wote waumini wa ungurumo ya upako
@mathayoaloyc582
@mathayoaloyc582 Жыл бұрын
Bwana yesu asifiwe nabii mkuu japo nipo congo tunajidai mungu ametupa nabii mungu akubariki sana sana nabii
@ethelmugodo2037
@ethelmugodo2037 Жыл бұрын
I love what I watch daily from Nabii Mkuu
@felikyalo8561
@felikyalo8561 2 жыл бұрын
Baba kama huyu si rahisi kupatikana, hongera nabii wa mungu. Niko kenya
@elinajoram4738
@elinajoram4738 2 жыл бұрын
Mpaka nimelia baba Mungu atume maraika wake akulinde
@jacquelinechundu1197
@jacquelinechundu1197 Жыл бұрын
Nione na Mimi Mungu wa nabii mkuu Geor Dav
@mustafapierrekalume7140
@mustafapierrekalume7140 Жыл бұрын
Papa sikamoh Niko Congo nakosa kasi papa mungu akuingiye tu unisaidiye
@sherahinspires1279
@sherahinspires1279 2 жыл бұрын
Great minister, wonderful choir, God bless u and reward you with more. From Kenya
@eunicemusalia3268
@eunicemusalia3268 2 жыл бұрын
Asante MUTUMISHI Wamungu ,MUNGU Akuongeze mwahaka zahidi .
@kakulemeshackSamuele.
@kakulemeshackSamuele. Жыл бұрын
Kazi njema nabii mukuu kusaidia wanao onewa,mimi nakufata kutoka RDcongo,mpaka apa n'a uganda luviriha,asante kwakazi,ila namimi nahitaji kazi,majina ni kakule meshack Samuel.
@andembwisyekyomo8508
@andembwisyekyomo8508 Жыл бұрын
Be blessed mtumishi wa mungu kwa kazi kubwa unayofanya kuwasaidia watu kiroho na kimwili,hajapatatokea wewe kweli ni nabii. Mkuu
@robartlucas3630
@robartlucas3630 2 жыл бұрын
Ubarikiwe sana mtumishi wa Bwana yesu
@queenbby92
@queenbby92 2 жыл бұрын
Ipo siku yangu tuu... na nina amini itafika
@DALALIMTOTOMPANDAKATAVI9169
@DALALIMTOTOMPANDAKATAVI9169 Жыл бұрын
Ubarikiwe sana nabii mkuu wa manabii wote
@msumially7399
@msumially7399 Жыл бұрын
Hongera nabii mkuu jodevi mimi nimuislamu lkn nakupenda sana kwamoyo ulionao mm nidereva lkn cnakaziyamaana yakuniingizia kipato niweze lea familia yangu lkn naamini maono yako ktk mazabau yako naamini unaweza nibariki kwamaambiyako nanikafanikiwa baba atafunguliwa yule aniaminie baba mm nakuamni sana bwanayesu awenawe
@saimonmichael6927
@saimonmichael6927 2 жыл бұрын
Bab mungu asidi kukuiduwa zaidi na zaidiiii uduma yako inatufikiya tulipo baba
@emmammary3263
@emmammary3263 2 жыл бұрын
Barikiwa sana baba kwa karma uliyopew na mungu nakuomba uwafungue wanangu godson na dickson kiiucumii
@Suzi_Ndatulu
@Suzi_Ndatulu 2 жыл бұрын
Mungu akuongezee neema na cku zakuish mtumishi
@dcpkienyejipoultryfarmerst7211
@dcpkienyejipoultryfarmerst7211 2 жыл бұрын
Hongera Sana Mbarikiwa na Mtume wa Mungu, Kazi yako NI NJEMA TENA NJEMA MACHONI PA WATU NA PA MUNGU
@queenlyimo8626
@queenlyimo8626 2 жыл бұрын
Yan nataman huyu baba na mm angeniona dah ana moyo wa huruma sana yangu baba mungu aendlee kukulinda utuokoe sis tusiojiweza baba
@irenerweyemam9164
@irenerweyemam9164 2 жыл бұрын
Mungu azid kukupa afya njema na maisha maref ukamtumikie vema nataman kupata maombi yak baba🙏
@thechosenmslifestyle7519
@thechosenmslifestyle7519 2 жыл бұрын
U are really man of God nabii mkuu
@sabiachollo8469
@sabiachollo8469 2 жыл бұрын
Amina baba
@michaelmotika4477
@michaelmotika4477 Жыл бұрын
Nabii mkuu unafanya mambo memea sijaona mfano unajali maisha ya watu sana huna wa kufananishwa hakika yo you have a big heart stay blessed!!!🙏🙏🙏🙏
@glaury9938
@glaury9938 Жыл бұрын
Baba we ulivyo mzuri tena huringi mungu amekupendelea sana
@gidsondenis6238
@gidsondenis6238 2 жыл бұрын
Kweli baba unatenda ubarikiwe sana
@kelvinmassawe1962
@kelvinmassawe1962 2 жыл бұрын
Good job DADDY
@kennedymwaipopo5812
@kennedymwaipopo5812 2 жыл бұрын
Amen may good God bless you Dad u are a blessing to this nation of Tanzania and to the world as large...
@asilakemilembe2033
@asilakemilembe2033 Жыл бұрын
Mungu wetu hakika mungu akuzidishie baraka,umri mrefu kwa kuwajali Wana wa mungu.hakuna siku uliyomshangaza mungu ulipowapa vijana bajaji
@jacksonkachonta4308
@jacksonkachonta4308 2 жыл бұрын
Nimelia sana maana nayajua maisha ya bodaboda ya Mtu na inakuwa mbovu lakini anataka marejesho yake, ajali familia imepata au laa.... Baba nimelia sana ni Kama Mimi ndo naipokea.
@neemapeter5134
@neemapeter5134 2 жыл бұрын
Nabarikiwa na mahubiri Yako Nabii,NAMI napokea gari Kwa jina la Yesu
@genwinshirima6033
@genwinshirima6033 2 жыл бұрын
Baba ubarikiwe sana Mungu akupe maixha marefu
@bonnysure8706
@bonnysure8706 2 жыл бұрын
Huyu Nabii aigwe maana vijana tunahitaji support sana tupambane
@peterngonyani5329
@peterngonyani5329 2 жыл бұрын
Bwana Yesu Asifiwe Sana . Mungu nii Mkuu. Nimeiona Upako huu karibuni , Namshukuru Mungu kwa hilo . Kweli Mungu anajionyesha Hadharani.
@sarahmgaya4870
@sarahmgaya4870 Жыл бұрын
Najiunganisha nahao namm siku Moja Mungu anisaidie nipate mtaji Ili niweze kuendesha maisha yangu nakujisimamia ktk changamoto nazo zipitia🙏
@chakonichangu2923
@chakonichangu2923 2 жыл бұрын
Ubarikiwe baba nakubari ibadayako Niko msombiji ameni.
@mmungafelix1991
@mmungafelix1991 2 жыл бұрын
Watumishi kama Hawa ni wachache sana. Mungu azidi kukulinda baba.
Дарю Самокат Скейтеру !
00:42
Vlad Samokatchik
Рет қаралды 2,1 МЛН
ОСКАР vs БАДАБУМЧИК БОЙ!  УВЕЗЛИ на СКОРОЙ!
13:45
Бадабумчик
Рет қаралды 4,5 МЛН
THEY made a RAINBOW M&M 🤩😳 LeoNata family #shorts
00:49
LeoNata Family
Рет қаралды 33 МЛН
YALE USIYOYAWEZA BWANA ANAWEZA, ALIPO BWANA, ZUNGUMZA NAMI BWANA AND BILA WEWE YESU SIWEZI
34:14
HEAVEN SOUND ONLINE TV KENYA[MinisterDANYBLESS]
Рет қаралды 4,6 МЛН
#TUZO YA HESHIMA KWA NABII MKUU Dr. GeorDavie - 2020
20:15
GeorDavie TV
Рет қаралды 26 М.
LE JÉHOVAH DES MIRACLES AVEC L'APÔTRE JACQUES BEN BILOMBE | BÉTHEL TAB BUNIA
19:09
EXCLUSIVE: UKWELI KUHUSU DARAJA LA MITI LA MILIONI 31 MOROGORO
17:49
HIKI NI KISA CHA MOCHWARI/ MAITI ILIKATAA/ USHIRIKINA MZITO.
26:53
Dar24 Media
Рет қаралды 113 М.
APEWA LAKI 3 YA CHAI KWA SABABU HII......   GeorDavie TV
12:02
GeorDavie TV
Рет қаралды 48 М.
Дарю Самокат Скейтеру !
00:42
Vlad Samokatchik
Рет қаралды 2,1 МЛН