No video

Vyanzo Vya Kukata Tamaa - Joel Nanauka

  Рет қаралды 40,149

Joel Nanauka

Joel Nanauka

Күн бұрын

🔥🔥🔥 Unataka KUJIFUNZA Zaidi? Nenda hapa: joelnanauka.se... 🔥🔥🔥

Пікірлер: 75
@AliMohamed-wp1op
@AliMohamed-wp1op 3 жыл бұрын
wanaotakia mazuri hakuna, na kama wako ni 1 out of million
@frankkisanga7307
@frankkisanga7307 3 жыл бұрын
My mentor.. Ww ni daktari wa maarifa
@aaronkoikai7485
@aaronkoikai7485 3 жыл бұрын
Mafundisho yanatutia ujasiri na kutupa mwanga zaidi kuendelea mbele. Ubarikiwe sana mtu wa Mungu
@shabansalum6014
@shabansalum6014 3 жыл бұрын
Shukran sana Kiongozi... Maneno mazito kabisa na yenye thamani... Mungu akubariki sana...
@fanueldeo1431
@fanueldeo1431 3 жыл бұрын
Asante Sana Kaka n kweli uliicho kisema no kitu ambavyo hata mm nilikuwa na pia ma ra nyingi na kunifanya nikate tamaa
@frankmtei3017
@frankmtei3017 3 жыл бұрын
Kukata tamaa pia kunatokana na aina ya mfumo wa maisha anayoishi MTU..
@goalhall
@goalhall 3 жыл бұрын
Yeah iyo ni kweli lakini kukata tamaa sio maamzi kuwa unaamua kukata tamaa hapa kukata tamaa hutokana na msukumu fulani ambao unatokea ndani ya mtu. Pia msukumo huwa unaweza kusababishwa na mambo mbalimbali sasa mtu akishidwa kujisimamia na kuwa na mtazamo wa aina moja na bidii anaweza kupotea kabisa. Hivyo kuwa makini na misukumo hasi katika maisha yako. Endelea kuwa joel maisha yako yatakuwa mapya
@AliMohamed-wp1op
@AliMohamed-wp1op 3 жыл бұрын
kweli kabisa kila shida ina suluhisho lake
@successpatience7641
@successpatience7641 3 жыл бұрын
Kaka, naomba uanze kutumia ile beat uliyokua unatumia kipindi Cha nyuma Ni nzuri sana
@happytemu2513
@happytemu2513 3 жыл бұрын
MUNGU azidi kukubariki asante kwa kuniona, na kunifumbua macho
@siriyamafanikiokatikamaish1332
@siriyamafanikiokatikamaish1332 11 ай бұрын
Nakubali elimu yako kaka
@loyceakuku6019
@loyceakuku6019 2 жыл бұрын
Wow nimestuka kusikia hivo unavio ongea ,ila nimejiulia mbona haya maneno yamenga tu Mimi kweli kweli, oh
@JUU-lw2je
@JUU-lw2je 4 ай бұрын
Nimekuja hapa.maana niko kwenye hatua ya mwisho ya kujiua kwa kukata tamaa ya maisha
@joeloileoile4786
@joeloileoile4786 Жыл бұрын
Kwa kweli mimi nikiwa na mke aliniacha akaenda akaolewa na mtu mwingine,bwana bodaboda,i nikatoka kwenda vijijini, Nairobi, niliporudi nyumbani nilipata yule mke wangu amerudi tena kwangu,kubomoa nyumba zangu 3 za mabati na kubeba kila kitu ,niko nayo watoto 3 pale amezaa huko mtoto 1,aliniacha,2019,akaolewa 2020 ,basi 2021,akazalia yule bwana mtoto, mmoja, kama wewe changa moto hi hauwezi kukata tamaa.jameni mr,. Naomba ushauri lako mr Joel thnks
@user-dq3op3gs2d
@user-dq3op3gs2d 3 ай бұрын
Pole sana hii dunia inamaumivu mengi ILA ipo mwisho wake
@rossieyokim4142
@rossieyokim4142 2 жыл бұрын
Kuna siku nikikua Nina shida ya pesa Yan nilikata tamaaa ila Mungu meema nilivyoenda shuleni mwalimu alinilipia ela yote iliyobaki daaah
@johnshedrack2821
@johnshedrack2821 Жыл бұрын
Brother, you are the savior of people's understanding, may God give you a long life
@amemeabdulrazak1397
@amemeabdulrazak1397 3 жыл бұрын
Asalam alykum nikweli mm nishaona watu ambao wanajifungia ndani chumba tu kwa sababu hixohizo ulizozitaja kukweli n mbaya sanaa mtu kukata tamaa
@restutadaniel9500
@restutadaniel9500 Жыл бұрын
Mama yangu anankatisha tamaa kwa kunitukana but kwa kukusikiliza nimepata nafuu thank you so much 👍😄😄😄
@fedharmmark6398
@fedharmmark6398 3 жыл бұрын
Ahsante Brother kwa Elimu hii Ubarikiwe sana 🙏
@edwinkihiyo1473
@edwinkihiyo1473 3 жыл бұрын
mimi nina tatizo la ada kaka yan natafuta nusu ya ada muhura wa pili chuoni siku zinazidi kwenda
@richvetty3243
@richvetty3243 3 жыл бұрын
Braza ilikuaje au unategemea boom tu brother pole sana bro
@citymaxbookshoptanzania2924
@citymaxbookshoptanzania2924 3 жыл бұрын
Asante sana Mr Joelnanauka umeendelea kufanyika baraka
@farajhassan1775
@farajhassan1775 3 жыл бұрын
Ahsante sana kwa somo zuri 🙏
@anastasiamainaministries2700
@anastasiamainaministries2700 3 жыл бұрын
Wow i just love this....thanks joel am following from nakuru kenya...one day i will attend your meetings..
@abdurshakurkhamisi2528
@abdurshakurkhamisi2528 3 жыл бұрын
nakuwerewa sana kaka
@NADUAonlineTV
@NADUAonlineTV 3 жыл бұрын
Ongera sana uma upeo mkubw wa kuwaza
@mustaphahassan7203
@mustaphahassan7203 3 жыл бұрын
Ni kweli broo
@alikhamis6326
@alikhamis6326 Жыл бұрын
Dini yangu ya uislamu inanifunza nisikate tamaa kwa hiyo kamwe sitokata tamaa ahsante kaka kwa mafunzo mazuri
@mkondyaesther5074
@mkondyaesther5074 Жыл бұрын
Kaka Mungu akubariki sana napenda unavyotumia kitu Mungu ameweka ndani yako kwa ajili ya wengi
@mostyhodari2145
@mostyhodari2145 3 жыл бұрын
Nakuelewa sana kaka.
@olivermfinanga1268
@olivermfinanga1268 3 жыл бұрын
Uwii Asnt Mungu uliyenileta APA maan duh nko ovyo sana😥😥
@edsonoisso4271
@edsonoisso4271 3 жыл бұрын
Sawa mkali.
@sanggroupofcompanylimited.
@sanggroupofcompanylimited. 3 жыл бұрын
SEE YOU AT THE TOP
@josephmallya5525
@josephmallya5525 3 жыл бұрын
mimi tatizo langu kubwa napandisha vioo au kufa na tai shingoni plz nishauri kitu kaka @joel
@frankmtei3017
@frankmtei3017 3 жыл бұрын
Fwata hatua hizi zilizoelekezwa na Joel, utavuka..
@ramadhannyigana8883
@ramadhannyigana8883 3 жыл бұрын
Kweli na mimi Niko napitia kipindi hiki sasa hivi
@frankmtei3017
@frankmtei3017 3 жыл бұрын
Pole, zingatia haya uliyofundishwa sasa
@RukiyaButoyi-sk5nm
@RukiyaButoyi-sk5nm Жыл бұрын
Kweli Kaka unasema kweli kabisa
@queenhuu2852
@queenhuu2852 2 жыл бұрын
Ahsante kaka nauka bado naendelea kupata madiini yako ,Mungu akuliipe kheri
@subiraharuna3750
@subiraharuna3750 Жыл бұрын
Napenda maneno yako yanatia moy
@ussiussi3413
@ussiussi3413 3 жыл бұрын
Ahsante sana mwalimu kwa somo lako.
@angelkanoga2175
@angelkanoga2175 3 жыл бұрын
Asante sana kwa somo.
@mwajumahaji8283
@mwajumahaji8283 3 жыл бұрын
Asantee kaka mungu akubariki
@ramadhanjuma3741
@ramadhanjuma3741 Жыл бұрын
Mungu akubariki san san br
@josephatmwandandila4382
@josephatmwandandila4382 3 жыл бұрын
Sijawahi kuwa na mentor naomba msaada wa namna yoyote
@bahatihengwe1500
@bahatihengwe1500 3 жыл бұрын
ulio sema nikweli kaka, mfano mzuri nikwangu. kuna baba flani hivi nilienda kumuomba kitu tushee nayekukifanyia kazi pamoja sote alikataa nakusema mbona unauwezo wakukinunua kijana ,nami nikamjibu hapana pesa niliyonayo ninusu yabei hiyo.huwezi alinibeba nakunipeleka sehemu husika akiniogezea nusu yapesa ile kama 4,000,000 . kwamaana hii nakubali siokweli kila mtu anakuchukia
@fathiasaed9718
@fathiasaed9718 2 жыл бұрын
asante sana kaka mafundisho yako yamekuwa yaki niimalisha sana
@stephensanga8886
@stephensanga8886 2 жыл бұрын
Aminaaa mungu akupe maisha mlefu jmn
@zainabozainaty6188
@zainabozainaty6188 3 жыл бұрын
Mimi nikiwa kwenye matatizo cakwanza nalia nikimaliza nachukua sim napigia ndugu zangu pamoja namarafiki wangu waukweli wananipa suluhisho kwa mda mdogo na kama nimokosana na boss wangu basi tunaika chini tunaangalia wapi tatizo lilitokea hama mwenye alianza kukosea ni nani badae tunaombana msamaha na maisha anaendelea na mushukru mungu uwa sijuwi kukaa na matatizo yangu
@judicalucas597
@judicalucas597 2 жыл бұрын
Asante sana kipekee nimejifunza kitu kikubwa sana
@shukurunchimbi1773
@shukurunchimbi1773 Жыл бұрын
Asnt san mung akubaliki
@shangilienimbusa7079
@shangilienimbusa7079 Жыл бұрын
Bonsoir ubarikiwe nakufata 5/5 niko Congo Drc
@umojadaycare8441
@umojadaycare8441 Жыл бұрын
Barikiwa sana
@perepetuarwabona4178
@perepetuarwabona4178 3 жыл бұрын
Mbona kama Ni mmi unanisema
@kontawaofzero9969
@kontawaofzero9969 2 жыл бұрын
Kwel kaka
@josephatnicodemus
@josephatnicodemus Жыл бұрын
Asante bro
@obadiayusuph7096
@obadiayusuph7096 3 жыл бұрын
Mimi hii ya kukimbia tatizo imenipata 2017
@backtoschool8142
@backtoschool8142 3 жыл бұрын
Bro saf
@sirlameck5536
@sirlameck5536 3 жыл бұрын
MUNGU azid kukubaliki sana Kaka
@jmedia9631
@jmedia9631 3 жыл бұрын
Kabili tatizo iyo meipata
@kevinpeter2941
@kevinpeter2941 2 жыл бұрын
Unaakili KUBWA Kaka inatakiwa upewe hata wizara selekalini
@user-mk4lw8gd9c
@user-mk4lw8gd9c 3 ай бұрын
nakubal
@saidmaragilo9057
@saidmaragilo9057 2 жыл бұрын
Nitakipata vp kitabu cha namna ya kupanga mwaka
@lucykamau8689
@lucykamau8689 2 жыл бұрын
Thanks again for your support and help
@aminakibangu9174
@aminakibangu9174 3 жыл бұрын
Asante kaka
@ismailkatanga6611
@ismailkatanga6611 3 жыл бұрын
Asante daktari
@uncleb9294
@uncleb9294 3 жыл бұрын
🔥🔥
@hammyyombe5229
@hammyyombe5229 3 жыл бұрын
🙏
@jovinmbalikila15
@jovinmbalikila15 3 жыл бұрын
Hii ndo hali napitia Sasa hivi. Nimepata nguvu Sana kusikiliza hii video. Kila unacho ongea ninapitia
@kamiletv1755
@kamiletv1755 3 жыл бұрын
Bro umenifanya nijione wa muhimu Sana leo
@Mkaambali
@Mkaambali 3 жыл бұрын
Asante
@faudhiasalum7279
@faudhiasalum7279 3 жыл бұрын
Brother
@happytemu2513
@happytemu2513 3 жыл бұрын
MUNGU akunariki sana kwa kuniona nakunipata njia 🙏🏻
@bensontemu9356
@bensontemu9356 2 жыл бұрын
🙏
LIFE WISDOM : AINA 6 ZA UTAJIRI - JOEL NANAUKA
18:01
Joel Nanauka
Рет қаралды 14 М.
EPUKA MAKOSA HAYA KWENYE SAFARI YA MAISHA YAKO  - JOEL NANAUKA
10:22
Doing This Instead Of Studying.. 😳
00:12
Jojo Sim
Рет қаралды 35 МЛН
ПОМОГЛА НАЗЫВАЕТСЯ😂
00:20
Chapitosiki
Рет қаралды 28 МЛН
ОБЯЗАТЕЛЬНО СОВЕРШАЙТЕ ДОБРО!❤❤❤
00:45
ISHINDE HALI YA KUKATA TAMAA - JOEL ARTHUR NANAUKA
20:39
Joel Nanauka
Рет қаралды 32 М.
Wanaume Wanaokimbiwa na Wanawake - Joel Nanauka
10:07
Joel Nanauka
Рет қаралды 70 М.
Usiruhusu mtu mwingine akuumize
4:43
Elias Mwinuka
Рет қаралды 9 М.
SHINDA ROHO YA KUKATA TAMAA - Japhet Magoti
47:29
MAGOTI TV
Рет қаралды 6 М.
Epuka Marafiki Hawa Kwenye Maisha Yako
7:30
Joel Nanauka
Рет қаралды 184 М.
USIKUBALI KUKATISHWA TAMAA
35:17
MAHUBIRI TV
Рет қаралды 62 М.
UHURU WA KWELI WA KIFEDHA - JOEL NANAUKA
1:14:26
Joel Nanauka
Рет қаралды 48 М.
Vitu Vinavyopoteza Focus Yako Kwenye Maisha - Joel Nanauka
14:16
Hamasika Tv
Рет қаралды 58 М.