Usisahau ku"SUBSCRIBE" KZbin channel yetu kwa videos nyinginezo #zamaraditv #mambonimengi
Пікірлер: 285
@glorialubengo282911 ай бұрын
nampongeza sana huyu kaka, maana amejua kuonyesha uhalisia ambao wasanii wengi hawawezi. hogera sana Baga
@komboarts711011 ай бұрын
Speechless kabisa kwangu nina kitu kikubwa cha kujifunza kuhusu maisha kwa kweli. Mungu ana siri kubwa huyu jamaa hata hawa akina kitale wanaigiza style ambayo jamaa alipita nayo ndo alianzisha Enzi za jumba la zahabu miaka ya 2000 na kitu kule. Nikioona kwa Muda niliomjua kwenye sanaaa na Tv Aisee. Somo kwangu NIMEJIFUNZA MAISHA YANA SIRI YA MUNGU KUBWA Kama unanielewa usipite bila kuweka like yako. 🎉 . Huyu ndo Baba wa sanaa kwenye kipengere cha mtaani uhuni na ubabe mwingi, ni mahala pake
@khadjamhozya8 ай бұрын
Huyu jama noma Sana aisee🔥🔥🔥🔥🔥🌺🌺
@hezronjoseph40511 ай бұрын
Respect Sana baga uko real Ata ukiitaji kuchangiwa kwenye tatizo ,akuna mbambamba
@somiasomia23068 ай бұрын
tutachanga natusio changanga kwasababu ya ukweli wamaisha yake
@faridadumasalhathoseni11 ай бұрын
Amina Dar nilimkubari kwa kazi zake lakini Leo namkubari zaidi kwa kuwa muwazi wa Maisha yake harisi ILa mungu atazidi kumuongezea inshallah 🙏 alipopungukiwa
@user-os4ok4pz9j11 ай бұрын
Nimependa maisha yako baga mwenyezi mungu akuzidishie achana na ao wanaofake maisha
@user-vv1te9fu8q11 ай бұрын
Mtangazaji ukimaliza kuonyesha manyumba na mageto ya wenzio mwisho utuonyeshe na kwako pia tukuone sio kwa wenzio tu kila siku
@pendombinga358411 ай бұрын
😂Kbs
@crispinmsongole887511 ай бұрын
Hilo nalo neno 😅😅😅😅
@mymuhnabdallahshaban77638 ай бұрын
Ten alivyo mshenz alataka mpk chumbn apaone
@renildevenerand94738 ай бұрын
Kabisa
@MkasyswallehsaidSwalleh8 ай бұрын
TRUE😂😂😂😂
@neemaiddy439611 ай бұрын
Big up Baga nimependa maisha yako na umekuwa wazi Sana ❤
@mosesjnr843611 ай бұрын
Maisha halisi, maisha rahisi 👊
@sophsoph474011 ай бұрын
Salute hataukimwa nachangia baga wangu upo real❤❤
@Mpakauseme8 ай бұрын
Mnapenda anavyoishi wasenge sana ninyi ni watu wanafiki wakubwa , kesho Mungu akimpamafanikio makubwa ni ninyi ninyi tena mnaibuka kumchukia nakumpachika majina kibao yakiwaki mara freemason mara choko , wabongo wanafiki sana ninyi uwaga mara nyingi mnapenda mtu anapoanza tu katika maisha ya chini lakini anapokwenda kuinuka tu mnaanza mkuchukia ovyo kabisa nyinyi
@naifathassan26078 ай бұрын
Point
@user-pz8vz2tq2u8 ай бұрын
Nibora Maisha ya uhalisia kuliko Maisha ya maigizo
@mariamibrahim673811 ай бұрын
Maisha ya simple sina ndoo ukweli wa maisha ayo bags unaweza kweli real life
@agnesjohn938211 ай бұрын
Baga nakupendaga sana kama hujaoa mi nipo tayari ila nina mtoto nitaishi na wewe kwa shida na raha kabisa nakuhakikishia sina uzuri ule ila tabia yangu itajieleza wala sijimwambafai ukweli ndo huo nakupenda sana baga wangu ❤❤❤❤❤
@salamarashidi326211 ай бұрын
Hahahaaaaa ungemjuaa
@agnesjohn938211 ай бұрын
@@salamarashidi3262 yukoje jamani
@surajatul73211 ай бұрын
@@salamarashidi3262😂😂😂😂😂
@MbarakaHaji11 ай бұрын
wewe una mpenda banga ila na mm nakupenda ww
@agnesjohn938211 ай бұрын
@@MbarakaHaji 😂😂
@user-dp6oj7dp9e11 ай бұрын
Nimependa saana maisha ya Baga ongera kaka
@Rangoboytz202311 ай бұрын
Ndo maisha yetu baga mteme unyama sana mwamba life style fln hivi amazing
@user-hp3bx8ih4y8 ай бұрын
Baga hana tofauti na mr..blue wapo wazi xana kifupi nimembenda xana iyo show
@Rangoboytz20238 ай бұрын
@@user-hp3bx8ih4y safi sana blood wapi hiyo ww
@user-pz7fy8xl4o11 ай бұрын
Yani uyu kaka ata kama anaitaji kuchangiwa nachangia kaonyesha maisha halisi safi sana kaka
Tumpongeze tuu kwakua mkweli ila atafute pesa that not life kwa level yake😊😊 msimfariji msela angu
@zaunamoody73118 ай бұрын
Mbona yupo safi tu chumba kimekamilika kabisa kujenga majaariwa
@user-fi9ty6yi2n3 ай бұрын
Utajuaje yawezekana akawa anajenga ila hataki show off usione mtu anaishi maisha ya kawaida ila anamalengo yake hataki fake life
@oniakussa338311 ай бұрын
Sijakosea kumpendaga huyu kaka kumbe yupo real sana jmn🥰
@Omosak11 ай бұрын
Me too
@kareemabdullah43957 ай бұрын
@@Omosak😂
@btylove1870Ай бұрын
Nimependa maisha yake yapo kihalisia hadi raha,hajaonesha maigizo na makorokoro ya ufeki ❤
@khaledoman82668 ай бұрын
Nimependa sana kbx kaka yangu 🇧🇮🇴🇲❤❤❤
@SalamaNauthar11 ай бұрын
Nampendaga sana bagga❤️
@consoponsiano9711 ай бұрын
Mwanangu mtangaji unachunguza sana duh adi kwenye hotpot
@NasraNasa-mp7mf11 ай бұрын
Nimependa sana yuko real big up baga
@iwambimpya19249 ай бұрын
haya maisha ukiwa na roho nzuri utakuwa maskini ,baga anaroho nzur sana anaonekana ndio maana yuko hvyo,
@user-or2xn4bp7o11 ай бұрын
Yea safi Sana..nmependa ajui kufake lyf🥰🥰
@dayana5513story11 ай бұрын
Nimependa hii he is true guy no fake
@officialronaina759211 ай бұрын
Eagleee❤❤❤❤nampenda he is real man
@user-tg2rn2jl2l11 ай бұрын
Hongera sana kaka kwa kutoa video ya maisha yako
@MariamSalim-wd3nz11 ай бұрын
Hongera Sana Kiukweli anaitaji tuzo
@user-qs4fb5fo5f11 ай бұрын
Huyu jamaa anajielewa namkubali sana
@sultansuleiman-94011 ай бұрын
goood presenter.namuona mbali sana...!
@SalamaNauthar11 ай бұрын
Ila Bagga umenenepa 'Mashaallah
@GiftAbduly8 ай бұрын
Ni mwanaume smart ❤👊🏾
@user-ho8lh9ke2d11 ай бұрын
Nmeilewa maisha ya huyu guy yako poa sana
@emiguymnyama199611 ай бұрын
Saleh classic nakuona mbali sana emiguy mnyama hapa
@pharleserasto311411 ай бұрын
Baga mwanangu San hajivung na maish kam wasanii wengn kufek so anaish na uhalisia wakwanz likes zanguuu
@matridasambali643211 ай бұрын
Nimependa sana unavoishi uhalisia ila sema mshikaji kama anakuchora vile sjapenda interview yake hadi mahotpot anafunua kwani kwaambiwa we mama ntilie aache ivo
@user-ll7np8td7x8 күн бұрын
Napenda sana kipindi chenu
@joycechaz284010 ай бұрын
Woow baga maisha simple uhalisia kbs
@ZainabuNahimana-qv8el10 ай бұрын
Big up sn Bruuh👊nimepend uhalisia wako wa maisha yn👌
@AwamoPro-rt3sl5 ай бұрын
Nimeipenda hii kbx Good life no kufeki life yan
@teddyleonard92378 ай бұрын
Mungu atakusaidia utafika mbali utafanikiwa tu
@mariamumsanzu82668 ай бұрын
Nimepnda sana maisha ya baga ❤❤❤
@Maryam-kl6gj11 ай бұрын
Twakupenda burger. ❤❤Unaupigamwingi
@kennethedgar92311 ай бұрын
😂😂😂dah eti burger 🍔😂😂😂😅
@irenesisamo218410 ай бұрын
Hongera sana Baga Mungu akuongeze ufike mbali
@nasrybilal445111 ай бұрын
Huyu muhuni namkubaligi Sana anaishi live yani
@PrinceBonnyTz88 ай бұрын
We jamaa unaenda kwa watu Sana na kwako pia utuonyeshe
@Mimy_keys11 ай бұрын
Mwamba Nimempenda Yaani 😂😂😂😂😂😂 Sisi Wanawake Tunapenda Mwanaume Mkweli Sio Muongo Muongo 😜🙈😎❣️🙏
@mohdloushmoney999411 ай бұрын
Mmmhh ahhhh wapi
@HassanHassan-sr3fq11 ай бұрын
njoo kwangu
@ywydhhd79419 ай бұрын
sio kweli wanawake wanapend a mwanaume muongo
@user-ps5yv4nr9l3 ай бұрын
Nyie hamujawahi kueleweka mukiambiwa ukweli Inakua uongo mukiongopewa ndo ukweli so nyie bado hatuja jua munatakaje Hadi sasa
@MatungwaZacharia-pl3ro11 ай бұрын
Nakukubali sana baga miaka kibao dah afu haunaga makuu home boy afu muhuni ile kinoma an ukitoa kitale kuigiza muhuni na katili hua ntakuweka wewe
@JemimaKijiu-xx7lg8 ай бұрын
Ila hakunji kabisaa nguo duh!!!
@faidhacute8 ай бұрын
😂😂et shoga angu halaf baga bhna but all in all i like it huyu anaishi uhalisia kabsa ni maisha ya kawaida maana kuna wengne wanafek kabsa ila huyu anaish mulemule haina haja ya kujikweza yaan saf kabsa
@khadjamhozya8 ай бұрын
Msera noma sana🔥🔥🔥
@JAYLABELS27 күн бұрын
NIPENI LIKE ZA KUTOSHA KAMA MMEONA BAGA ANAFANANA NA HARMONIZE😂😂
@arya-star5311 ай бұрын
Nimempenda ghafla baga jmn hajasita kuonyesha uhalisia wa maisha anayoishi na tabia zake
@bintqassimidarous163610 ай бұрын
Sauti ya mziki upo juu zaidi kuliko show
@StanMremaАй бұрын
Real life 🔥 🔥
@ZaynabMshihir-zp9hv11 ай бұрын
Baga umekuwa mkubwa sana Maashaallah
@agriparose394211 ай бұрын
Sijui nawaza nini ila Kuna kitu nawaza afu akielezeki ila mmmmh nawaza aina ya maisha haya
@Prudentmusic9910 ай бұрын
I appreciate it bro ❤❤✊🏻💎
@annamwakibinga52711 ай бұрын
Hongera sana
@JacobEckland-ug2dq10 ай бұрын
Nampenda huy kaka yup vizur
@renildevenerand94738 ай бұрын
Mimi sipendi anavowakagua.Maisha ya mtu hayahusiani na umaarufu anaokuwanao. Minaona kama mtangazaji mshamba tu. From 🇨🇦
@Blackmar2298 ай бұрын
Me kwangu sipendi watu wa hivo acha mwenye geto akuoneshe sio wapekenyua kila Kona kaa mwako kenge weeee😅😅😅
@OthmanJuma-zm3fq11 ай бұрын
Ww kwel eagle 🦅🦅 unawazoom washamba wengine
@fatmahrashidi15337 ай бұрын
❤nampenda sana huyu bro😊
@iwambimpya19249 ай бұрын
mpunguze hyo background sound mbwa nyie
@sudyally688611 ай бұрын
Daaa sema bagg umetisha sn mwanangu 😂
@zakypaul72411 ай бұрын
Saleh vitonge kama wakike😂😂😂
@fatmamangallah82637 ай бұрын
Home kwetu Maa Sha Allah
@onekisstv841211 ай бұрын
Oya sounds zenu jalibuni kuweka sawa
@OthmanJuma-zm3fq11 ай бұрын
Kitambo kwenye game Baga nakubal I huoo ndio uhalisia sio wengine wanaect dadekiii😮😮😮😮
@user-du8of3fb5o10 ай бұрын
Salute brother
@mpendwamwendela10259 ай бұрын
Yan nmempenda sana huyo kaka jic alipo ajivungi
@khadjamhozya8 ай бұрын
Huyu kaka noma anajuwa kuigiza kama mhuni na anakpaji pia
@joycemuhoja47299 ай бұрын
Mtangazaji unatamaa Sanaa
@naibusanga941611 ай бұрын
Safi sana maisha mazur Sana hy
@rayahamisi11811 ай бұрын
Ivi mtoto wakiume ukivaa Helen nani kawaambi mnapendeza😢😢😢
Mm nimependa san hyu boy yaan anaishi tuuh maisha yake walai nimependa san
@user-vf9dh9jp7s7 ай бұрын
Kaoneshe na geto lako kaka
@aysheraden77188 ай бұрын
Mngeupunguza huo mziki kwenye kipindi maongezi mingine hatusikii vizuri
@godlistenorio595010 ай бұрын
Mbona kodi kubwa alafu jumba la ajabu wakati mbezi ya kimara anapata mjengo mzuri
@MadenaIphone8 ай бұрын
Magomeni kinondoni sehemu xamjini Palipochangamka kodi huwa nikubwa na vyumba vyao vyakawaida saana
@TujuzeTv7 ай бұрын
Sound iko Poa ila kwenye lighting Yaani mataa yangekuwepo hiki kipindi kingependeza zaidi aiseiii hongereni sana ila ushauri wangu kwenu wekezeni kwenye lighting ili video iwe na quality nzuri
@JumaJuma-fu7ji8 ай бұрын
Wanawake watz wanafki sana eti nampenda anioe tamaa tu zilizowajaa apo kwanini haujaolewa adi leo inamana barehe yenu hamujawai pata nwanaume wakukuta kukuoa tabia zenu mbaya mukiwekwa ndani mwezi 1 mushabadilika amuliziki mwanamke akikuambia usimwamini niwaongo tamaa mioyo yao aliziki pia aikawii kusahau