No video

LUKAMBA ANAISHI KAMA MFALME GHOROFA LAKE KAMA HEKALU/ANALIPA MILIONI 36 KWA MWAKA -

  Рет қаралды 76,149

ZamaradiTV

ZamaradiTV

Күн бұрын

Usisahau ku"SUBSCRIBE" KZbin channel yetu kwa videos nyinginezo
#zamaraditv #mambonimengi #showbizz

Пікірлер: 261
@melanialeonard4031
@melanialeonard4031 Ай бұрын
Unalipa kod hujui nyumba ina nini na nini eti jiko sijui kitchen 😂
@bintqassimidarous1636
@bintqassimidarous1636 Жыл бұрын
Juice zinaletwa mkononi na si kwa trei? Maisha ya mastaar tuyaone tu kwenye mitandao tukimaliza kuangalia turudini kwenye maisha yetu ya furaha na amani
@Noah-zt5zf
@Noah-zt5zf 11 ай бұрын
Kwan tray inaliwa pia?
@tikaeddie7284
@tikaeddie7284 11 ай бұрын
Wakiumwa wanaanza kuomba michango! Wekezeni mali lukamba ni baba!! Anafikiri hazeeki eh shauriyoooo
@lisauroble31
@lisauroble31 6 ай бұрын
Safii sana nyumba hatariii nzuri mnoo
@wahidaabeid5712
@wahidaabeid5712 Жыл бұрын
Lukamba umechemka wewe mtoto mzuri mashallah Kila mke unaemchukuwa wanashinda kwa ubovu chagua kitu watu wakufahamu sada hapo ukizaa mtoto unategemea nini labda akufate sura Yako na rangi mambo engine tizameni msiingie tu mitaroni
@faithfaith-zr6gz
@faithfaith-zr6gz Жыл бұрын
Unaambiwa Lilia bahati,Sio uzuri.
@nassercurtis9579
@nassercurtis9579 8 ай бұрын
Hovyoooo, ametembea na ameshakitana na wengi na amepita nao wengi, sasa wewe unataka aoe slay qn baada ya mwezi ameachwa hauoni haji manara ameachwa na wake zake wote wawili na dula makabila ameoa mwanamke alieachwa ndani ya mwezi mmoja na yeye akamuoa akadumu nae mwezi mmoja ameachwa sasa yupo na manara na jamaa amenogewa ametangaza ndoa, sisi tunachoangalia ni utulivu wa mwanamke baasi uzuri kama mtaji basi mkanunue ndege mfanye biashara.
@salmabasil385
@salmabasil385 8 ай бұрын
Lukamba anapenda wanao weza kumlea
@barakatabdul3212
@barakatabdul3212 Жыл бұрын
Lukamba yuwaokota Mapokosh" wakimlea kumueka kisha akisha kosana nao wakae wakimbonga😂😂😂😂😂
@husnaameen9309
@husnaameen9309 Жыл бұрын
Eti jiko na kitchen 😂😂😂 wabongo tunakazi mungu akuongoze uhenge uwache ufahari kimfacho mtu ni chake
@husnaameen9309
@husnaameen9309 Жыл бұрын
Yani hiyo pesa angeichsnga kwa miaka miwili tu angejenga nyumba yake nzuri zaidi ya hii kuliko kulipa million 36 Kwa mwaka kedho na keshokutwa mnaomba msaada kwa sisi masikin
@sabihaibrahim143
@sabihaibrahim143 Жыл бұрын
milioni 36 mchezoo
@philemonmagesa5548
@philemonmagesa5548 Жыл бұрын
Akili huwa hawana wanakalia ubishoo tu
@modycombo7421
@modycombo7421 Жыл бұрын
labda kapewa alinde😂😂
@binaljabirmshihirzanzibar8369
@binaljabirmshihirzanzibar8369 Жыл бұрын
Upo sahihi maneno yako na una kili sana2
@stevensimon5642
@stevensimon5642 Жыл бұрын
@@sabihaibrahim143umeona eee wanalopokaga tu, angeipata hiyo wala asikuwa hapo
@user-jk3or1xw2d
@user-jk3or1xw2d 8 ай бұрын
Mwana ana mvuto jaman lukamba uwaga ukitongza unavumbga macho au😂😂
@wahidaabeid5712
@wahidaabeid5712 Жыл бұрын
Nyinyi wasaniii ni walimu wa sanaaa kwa uwongo mtu hutambi kama huna chako Sasa nyie mnakaa nyumba za kukodi maisha feki acheni kutia mambo yenu mitandaoni mtajifedhehesha bure
@Ndiminijunior
@Ndiminijunior Жыл бұрын
Wewe unaumia na nini Sasa hapo Kuna hela unampatia ya kuongezea Kodi?
@babiddi8620
@babiddi8620 11 ай бұрын
Tatizo wakeshaanza na matatizo wanachangisha
@joycechaz2840
@joycechaz2840 11 ай бұрын
Kumbe nyumba inaweza kua yako afu usijue vyumba viko vingapi mpaka ufikirie🤔
@hasani565
@hasani565 Жыл бұрын
Hongera lukamba ..ingawa kuna Roho za korosho hawazezi Hata kukupa hongera zako .
@faithfaith-zr6gz
@faithfaith-zr6gz 10 ай бұрын
Roho za korosho wapi wewe!! Yaani roho ya korosho Kisa kuolewa ndio watu wamuonee wivu!!! Tchaaaa
@sarahmcharo1548
@sarahmcharo1548 9 ай бұрын
kwasababu pia ni usanii na uongo mtupu
@rosemarykipesha4242
@rosemarykipesha4242 9 ай бұрын
Kweli bwana hongera zake kwakutokua namahesabu
@hamisahamisa5896
@hamisahamisa5896 8 ай бұрын
Mwenye nyumba hapo anaitazama 😂😂😂😂😂😂😂😂 anaogea na moyo
@abdillahrashidnassor7973
@abdillahrashidnassor7973 7 ай бұрын
Anawaambia malizeni kisha mnipe kodi yangu 😂😂😂😂
@user-qb3hx2ku9v
@user-qb3hx2ku9v 8 ай бұрын
Mazingira tu yanaonyesha bado sana maisha naona kagari moja au mengine yameenda shopping ghorofa la kupanga au
@mypsychology185
@mypsychology185 5 ай бұрын
We una magari mangapi?
@hamisahamisa5896
@hamisahamisa5896 8 ай бұрын
Hii ni nyumba ya huyu dada anaijua vizuri
@cdeleo9336
@cdeleo9336 11 ай бұрын
Hapo ukienda kwenye account yake hana hata million. Hawa watu kwa maisha fake eeh Mungu
@khadijasalum2302
@khadijasalum2302 Жыл бұрын
Wanawake mnaendekeza zinaa hivo astaghfirullah kesho muwe tayari kuulizwa maswali na muumba wetu
@Lululemon55
@Lululemon55 Жыл бұрын
Sio wanawake tu!!! Hata wanaume hawatanusurika siku hiyo
@stevensimon5642
@stevensimon5642 Жыл бұрын
@@Lululemon55hapo umenena kwani mwanamke anajifanya mwenyewe, yaani wanaume wanatuonaga sisi ni malaya sana utafikiri tunajifanyaga wenyewe
@NancyBrayan-wi2lr
@NancyBrayan-wi2lr 9 ай бұрын
Kma happy wa sug sema happy sio chiz kma huy
@user-ml9yi5sd6o
@user-ml9yi5sd6o 11 ай бұрын
Jaman Zamarad Tv boresheni Camera zenu maana hazina U Quality sana
@pilimwanza8117
@pilimwanza8117 11 ай бұрын
Nimependa kumuona Harmonize kwa TV na miss Bantu😅😅😅😅 mambo ya kodi ya mil 36 kwa mwaka hayanihusu. Uwezo wao wenyewe 😅
@salmanassor8732
@salmanassor8732 8 ай бұрын
😂😂😂😂😂
@user-ky7mz7qh1o
@user-ky7mz7qh1o 6 ай бұрын
Acha upuuz umepanga floo ya juu tuu hapo kuna walamgani 4 mboma sifs za kijongaa ww.mm mwenyew .naish hapa hapa
@zenachuo2963
@zenachuo2963 Жыл бұрын
Alafu huyu dem sindoameshoot nae ile move ya azam tv jeraha au macho yangu
@FaridaNdege-cc4dm
@FaridaNdege-cc4dm Жыл бұрын
Ndy
@nasraniko-mr2lv
@nasraniko-mr2lv Жыл бұрын
Ndo yeye huyoooo😅😅😅😅😅
@emeranceekondo3865
@emeranceekondo3865 Жыл бұрын
Jesca wa jaraha
@adamkisheta8439
@adamkisheta8439 9 ай бұрын
Beconi wangap mmesikia kama Mimi gonga like😂
@user-vv1te9fu8q
@user-vv1te9fu8q Жыл бұрын
Halafu huyu lukamba wanawake zake anawatoa kimboka nini mmh😮 mbona hawaeleweki
@bakariomari8758
@bakariomari8758 Жыл бұрын
😂😂😂
@MariamSalim-wd3nz
@MariamSalim-wd3nz Жыл бұрын
Hehehee kwakweli
@scholamodestus9386
@scholamodestus9386 Жыл бұрын
Hahahah jamni
@upendommbaga7070
@upendommbaga7070 7 ай бұрын
Nani kasikia becon😂😂😂 badala ya balcony😂😂😂
@msolekaonlinemedia
@msolekaonlinemedia 6 ай бұрын
cha ajabu mama yake anaishi kwenye pagala pale uvinza😂😂😂😂😂😂😂
@givenessdavid3743
@givenessdavid3743 9 ай бұрын
Ni vile tu mambo ya mjini ila dada ana ka u wife Material flani hivi......... amelelewa kiasi
@zenachuo2963
@zenachuo2963 Жыл бұрын
Najiulizaga lukamba ni mzuri kuliko wanaake zake kwakweli anapendaga kuchukua namba A
@user-vv1te9fu8q
@user-vv1te9fu8q Жыл бұрын
Duuh na A ndio nini 😂😂😂
@Yunis-hn9hn
@Yunis-hn9hn Жыл бұрын
Hahaaa😂😂😂
@Yunis-hn9hn
@Yunis-hn9hn Жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂Wooyii
@user-fz8cq4ff6i
@user-fz8cq4ff6i Жыл бұрын
Kumbe yale mapenz ya jeraha yamekuwa kweli
@m.mmarckus6298
@m.mmarckus6298 Жыл бұрын
​@@user-fz8cq4ff6itulijua wanadanganya kumbe kweli
@aishamossile6336
@aishamossile6336 Жыл бұрын
Demu ana kiherehere
@NaseebMgono-wl3bu
@NaseebMgono-wl3bu Жыл бұрын
Mbona kma sio kwake yn the way anavyomuonyesha kma sehem hazijui vzr
@barakatabdul3212
@barakatabdul3212 Жыл бұрын
😂😂😂😂😂 kweli
@matridamwalyoyo1735
@matridamwalyoyo1735 5 ай бұрын
Wigi la kijani khaaa😂😂😂
@bimkubwaali1605
@bimkubwaali1605 Жыл бұрын
ushambaaaaa😢😢hardd 😅😅
@user-bj8gi2hn4l
@user-bj8gi2hn4l Жыл бұрын
Watangazaji wanachekaga tuh😅😅😅😅
@kerryestomic8099
@kerryestomic8099 9 ай бұрын
Mwanamke ndo Ana hela hapo
@user-jy8hi7lf4m
@user-jy8hi7lf4m 6 ай бұрын
Xaxa mbona kama anajibebisha sana kwa salehe jaman
@christinatemba
@christinatemba Жыл бұрын
Good life❤
@rayahamisi118
@rayahamisi118 8 ай бұрын
Kwaiyo ujaona pakuaa au😊😊😊
@FestinaMlelwa
@FestinaMlelwa Жыл бұрын
Wakiumwa wanataka mchango saizi wanaonekana mastaa chamana mwisho wakiumwa mchango wanataka..
@Maryam-kl6gj
@Maryam-kl6gj 11 ай бұрын
watanzania acheni wivuwamaendeleo kukomenti vibaya nidhambi.
@khamisbk8569
@khamisbk8569 11 ай бұрын
Ingekua yake tungecoment vizur na sio pango Baba mwenye nyumba Leo na kesho anakuja kukugongea Kwa kulipa Koddi yaan badala ya kupambania future yako unapambania kulipa Kodi mambo gn ayo
@everlyne8595
@everlyne8595 10 ай бұрын
Nyumb kubwa haina furniture bora ungepangisha nyumba ya kawaida
@SelinaMdoe-jv1pu
@SelinaMdoe-jv1pu 9 ай бұрын
Mbona wasanii wa b ongo wanaigiza ma isha sana yani
@matridamwalyoyo1735
@matridamwalyoyo1735 5 ай бұрын
Dada amekauka km mimi😂😂
@agriparose3942
@agriparose3942 Жыл бұрын
Mwajuma ndala ndefu
@sumecute2513
@sumecute2513 Жыл бұрын
Samahi huyo dada mbn anamuegemea mtangazaji hivyo?kwa mumewe huyo mbn unakua huru kiasi hicho
@aminaomary5567
@aminaomary5567 7 ай бұрын
Kwanini usinjenge gholofa lako,hizo pesa unazolipa nyingi sana mbona unapata nyumba hata 3.Duh.
@user-qb3hx2ku9v
@user-qb3hx2ku9v 8 ай бұрын
Mke wa mtu ameshika paja la mtangazaji kweli 😅😅😅 alafu million hizo zote bora upange Kanyuma tu pesa ujengee😅😅
@user-rh2ei5wg8x
@user-rh2ei5wg8x 11 ай бұрын
Haa wasanii asa hawana akili ee asa izo pesa c angejenga yak😅😂
@mrsawadh5716
@mrsawadh5716 Жыл бұрын
Wigi la manyasi sijapenda kwa kweli
@sarahedwin9841
@sarahedwin9841 Жыл бұрын
Jmn khaa 🤣🤣🤣
@malak-lz6kx
@malak-lz6kx Жыл бұрын
😂😂😂
@sarapy3163
@sarapy3163 10 ай бұрын
😂😂
@user-vv1te9fu8q
@user-vv1te9fu8q Жыл бұрын
Huo muwigi kama jini kash kash fyuuu hovyoooo
@faithfaith-zr6gz
@faithfaith-zr6gz Жыл бұрын
Weee acha kujishaua eti nani anavaa nywele ya millon moja,, weee zipo sana tena OG. zinavaliwa vzr tu.
@chany9950
@chany9950 Жыл бұрын
Ona kafriji jmn😂
@hashymharun9337
@hashymharun9337 9 ай бұрын
Muongo mamaee🤣🤣
@zahra5267
@zahra5267 10 ай бұрын
Decoration sifuri kabisa!!
@sarahmcharo1548
@sarahmcharo1548 9 ай бұрын
kama akili zao tu ahhaha
@zainabumartin9520
@zainabumartin9520 4 ай бұрын
Limwanamke libaya
@hamisahamisa5896
@hamisahamisa5896 8 ай бұрын
Kweli huyu dada mja mzito
@AishaFerous-jp8oq
@AishaFerous-jp8oq 8 ай бұрын
Ila uyu dada kachemcha katuvalia nguo ya club home .
@mariammpamka
@mariammpamka 8 ай бұрын
😂yaani nilitaka niseme ivyo ata ajapendeza angevaa dira tu kwani angeonekanaje jamani
@user-bd2hl6yo5j
@user-bd2hl6yo5j 8 ай бұрын
Mbona kama imesimama😂😊
@Yunis-hn9hn
@Yunis-hn9hn Жыл бұрын
Huo mkao waliokaliana jamani😂😂😂
@zenadaudzena2849
@zenadaudzena2849 8 ай бұрын
😂😂😂
@WlkmkeissBriana
@WlkmkeissBriana 7 ай бұрын
Nimechek na uyo dada
@jamilajamila4572
@jamilajamila4572 8 ай бұрын
Iyo hela analipa kws mwaka angejenga nyumba yake
@akiraaudreille6043
@akiraaudreille6043 10 ай бұрын
naona Aibu apo mwisho ulivo mshika huyo mkaka duuu😮
@rukiaiddyyahaya9506
@rukiaiddyyahaya9506 Жыл бұрын
😢😢😢😢😢 Hyanihusu lakin yananiuma
@rehemakimambo5363
@rehemakimambo5363 Жыл бұрын
Sifa nyingine bwana. Unapanga halafu unajisifu una akili. Hiyo hela sitayari angekua Na nyumba yake
@modestajamada3496
@modestajamada3496 11 ай бұрын
​@@rehemakimambo5363mm nika juwakwake 😂
@khamisbk8569
@khamisbk8569 11 ай бұрын
Yaan Wabongo izo ndio pigo zenu kutaka Maisha ya juu yaan unajiumiza ili tyu jamii ikuone Una Maisha flan achen kufake Maisha izo ela unazolipa apo ungejenga kwako au kwenu ingekuaje?? All in all Kila mtu na Maisha yake
@wemaMichael-fr4th
@wemaMichael-fr4th 7 ай бұрын
hahaha wigi la huyo dada kama spika wa bunge la zamani
@abdillahrashidnassor7973
@abdillahrashidnassor7973 7 ай бұрын
😂😂😂😂😂 wewe ni fala
@angelmaige-yc5gb
@angelmaige-yc5gb 10 ай бұрын
Kwa kifupi jumba wamepanga kubwa lakini halina maajabu kabsa halina vitu hata furniture za ma'an liko tupu
@ShekhaAzizi-yb1ow
@ShekhaAzizi-yb1ow 6 ай бұрын
Umasikini huwa tunautaka yani iyo hela angejenga au kununua nyumba maana uwezo anao dah ujiga mwig
@ashminaabdulla8946
@ashminaabdulla8946 10 ай бұрын
Maana hamuna hata vitu alafu mnakaa kwenye horofa 🙄😜
@ummukulthummohd5403
@ummukulthummohd5403 Жыл бұрын
Lukamba anapenda kuokota okota nae kah
@bakariomari8758
@bakariomari8758 Жыл бұрын
Banae dah huyu vimbi labda hanaueezo wakutongoza warembo
@bakariomari8758
@bakariomari8758 Жыл бұрын
😂😂😂
@amriyalibent5900
@amriyalibent5900 Жыл бұрын
Uozo
@sophsoph4740
@sophsoph4740 Жыл бұрын
Kwakwer kbaya kdada 😂😂
@taturajabukhalfani7953
@taturajabukhalfani7953 10 ай бұрын
Kunajiko na kitchen!!!!kazi ipo mwaka huu!!!!
@Mina.15
@Mina.15 7 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂
@roqayaro9439
@roqayaro9439 8 ай бұрын
Watu wanapenda kupanga nyumba za galama hawajengi zao wasanii hawana hakiri si ungepanga nyumba ndogo ili mjenge yenu
@MwanaishaShattry
@MwanaishaShattry 8 ай бұрын
Nguo uliovaa sio ya nyumbani. Mshambarera sana. Wigi mmmh halijakuvaa umelivaa tu wewe
@priscajohn6090
@priscajohn6090 Жыл бұрын
Muache ujinga Kodi M3 kwani ukipanga Cha 50 Hadi laki' unapungukiwa nini hizo Hela simkusanye mjengo yenu' kwahiyo kwa Mwaka mnatoa M36*Miaka 3 Jml M78 hutapata nyumba
@ummukulthummohd5403
@ummukulthummohd5403 Жыл бұрын
Uyu dada sjui kavaa nn 😢
@salmanassor8732
@salmanassor8732 8 ай бұрын
Kituko 😂😂
@zenawahindi2425
@zenawahindi2425 Жыл бұрын
pazuri hongera zenu jamani chumba kama nyumba zima huku kwetu
@NancyBrayan-wi2lr
@NancyBrayan-wi2lr 9 ай бұрын
Mtafut mtu w decoration dad nyumb imepoa san
@5Multpurpose
@5Multpurpose 11 ай бұрын
Hana akiri uyo😅😅😅😂
@dottomsuya6597
@dottomsuya6597 8 ай бұрын
Hizi wanapewa bure wakae hana pesa hiyo
@neemasabarabridalissa8336
@neemasabarabridalissa8336 8 ай бұрын
Hiyo pesa ni bora ajenge
@SUZANSUZAN-fb9bh
@SUZANSUZAN-fb9bh Жыл бұрын
Yani daaa wanatakaga kutupa Dhabi tu
@fawzalbusayid7232
@fawzalbusayid7232 10 ай бұрын
Bongo kwa kujie ekti izo nywele 😂😂
@Manswabu
@Manswabu Жыл бұрын
Ila uyu jamaa hajawahi kua na mwanamke mzuri hyuu😅
@maryrich
@maryrich Жыл бұрын
Kwn nyie amjui kuwa wanawake wabaya ndo watamu jmniii lukamba anataka utamu kuenjoy so kuoneshaa mwanamke mzurii😂😂😂
@tausimohammed4286
@tausimohammed4286 9 ай бұрын
Wakaka wazuri wanakuwaga nashida gan sjui😂😂😂
@user-lq3bg6lj3h
@user-lq3bg6lj3h 7 ай бұрын
Nyumba ina furniture 10 sijui
@ikramalmas7039
@ikramalmas7039 Жыл бұрын
Hizo nywele sasa
@husnazahorohusna3905
@husnazahorohusna3905 10 ай бұрын
Huyu mdada si yule jesca aliigizwa bwana wake lukamba danga lake single mtambalike au?
@zahra5267
@zahra5267 10 ай бұрын
Mzee wa kulelewa
@upendojames5378
@upendojames5378 Жыл бұрын
😂😂😂Alie ona kafrijii kadogo dogo Nani jamn
@sitiabubakar2892
@sitiabubakar2892 Жыл бұрын
Kma vya motels 😂
@consomahanga9269
@consomahanga9269 Жыл бұрын
Ghorofa kubwa vitu hawanaaa
@lailalaila8206
@lailalaila8206 11 ай бұрын
Sio yake wamepanga kwaiyo msitufoke ok si ajenge pesa mnatumia nyingi kwa nyumba za watu mngeweka si kwa mwaka unapata yako
@happynelson1136
@happynelson1136 8 ай бұрын
Muongo huyo mwanamke ndiyo kapanga hapo na amesema mwenyewe anataka wanawake wenye pesa tu
@deborahsamwel-ss2wb
@deborahsamwel-ss2wb 11 ай бұрын
Yani nunueni furniture jmn mnatia aibu
@baimarrajahbuayan6237
@baimarrajahbuayan6237 11 ай бұрын
Milion 36 tunajenga nyumba kubwa tu tatzo napenda Kiki na misifa, mkiumwa ananza. Kutaka mchango, 😢nyooooooo kufen tu akuna mchango mpumbavu
@babiddi8620
@babiddi8620 11 ай бұрын
Hahaha
@RacherBakari-qh2gx
@RacherBakari-qh2gx 11 ай бұрын
Kwetu lugoba unapata eneo milioni 4
@baimarrajahbuayan6237
@baimarrajahbuayan6237 11 ай бұрын
@@RacherBakari-qh2gx haswaaa
@IreneMwenda-nl2hu
@IreneMwenda-nl2hu Жыл бұрын
Yan mjinga huy ela yot hiiii ameshindwa kujenga hiyoela sianapat kiwanja hata mbez bech
@stevensimon5642
@stevensimon5642 Жыл бұрын
Wapate wapi hiyo hela ya kulipia tokea lini wasanii wakawa na pesa hizo ni show of tu, anataka kushindana na mondi hawezi ,ukute analinda nyumba ya mtu
@deboramartin8111
@deboramartin8111 Жыл бұрын
Wigi mweeee 😂
@hidayadaymiss4386
@hidayadaymiss4386 11 ай бұрын
Mm nilijua jumbo Lao!!!
@3Dshoez
@3Dshoez Жыл бұрын
Lukamba sijui anawatoa wap hawa wanawake 😅
@consomahanga9269
@consomahanga9269 Жыл бұрын
Aaaaaaniiiii
@zenawahindi2425
@zenawahindi2425 Жыл бұрын
Mhhhhhhhh x hata kama one fling then mkaatemana huyu ni x maana mlikuwa na bond ila not strong bond
@anoldamkumba3208
@anoldamkumba3208 Жыл бұрын
umpongeze kwa nyumba ya kupanga!?? haiwezekani ajenge ya kwake .hivi!!? anajitambua kweli? wazazi wake nao kawapangishia? hebu acha ujinga huo jenga yako wanao wajivunie, faraja kwenye nyumba ya kupanga !!.
@Kharua-pw8fw
@Kharua-pw8fw 7 ай бұрын
Wasenge hao
@ruu6592
@ruu6592 9 ай бұрын
Kakodisha kwa mda gani😮
@user-ug3pu7on3j
@user-ug3pu7on3j Жыл бұрын
Bora ceccy 😅
@mwajumamwajuma55
@mwajumamwajuma55 Жыл бұрын
Muongo
@minaeli5989
@minaeli5989 Жыл бұрын
Kabayaa
@sophsoph4740
@sophsoph4740 Жыл бұрын
Bora cecy
@user-py4xj9cw8r
@user-py4xj9cw8r 6 ай бұрын
Amna kitu
@adamkisheta8439
@adamkisheta8439 9 ай бұрын
Daaah imbomboo ngafuuu
Just Give me my Money!
00:18
GL Show Russian
Рет қаралды 958 М.
طردت النملة من المنزل😡 ماذا فعل؟🥲
00:25
Cool Tool SHORTS Arabic
Рет қаралды 32 МЛН
This Dumbbell Is Impossible To Lift!
01:00
Stokes Twins
Рет қаралды 42 МЛН
JUX APONGEZWA NA MASHABIKI  MPENZI WAKE KUZUNGUMZA KISWAHILI
4:32
SNURA NA MUMEWE USO KWA USO NA SHEIKH KISHK AL-HIKMA FOUDATION
18:56
Kishki Online TV
Рет қаралды 32 М.
Just Give me my Money!
00:18
GL Show Russian
Рет қаралды 958 М.