Рет қаралды 7,893
Mbunge wa Kigoma Mjini, Zitto Kabwe akilieleza Bunge kuhusu tukio la kutoweka kwa Mwenyekiti wa Baraza la Madiwani Kibondo, Simon Kanguye alipokuwa akichangia mjadala wa kupitisha makadirio ya mapato na matumizi ya Ofisi ya Rais (Tamisemi) na Ofisi ya Rais (Utumishi na Utawala Bora) kwa mwaka wa fedha 2018/2019, mjini Dodoma leo.