ARUSHA NI NGOMBE KUU YA WASAGAJI TANZANIA /WACHUNGAJI MASHOGA WATAJWA LIVE BILA WOGA "PASRT ONE"

  Рет қаралды 153,818

KUSAGA TV

KUSAGA TV

4 ай бұрын

Endelea kufuatilia taarifa mbalimbali za kina na zenye ukweli na kuaminika
Tufuatilie kupitia mitandao yangu kila siku kama ifuatavyo:-
Facebook: / kusagamedia
Instagram: / kusaganews
KZbin : www.youtube.com/@kusagatv6320...
Tiktok. www.tiktok.com/@kusaganews?la...

Пікірлер: 665
@WilfredRweyemamu-rp5re
@WilfredRweyemamu-rp5re
Kati ya wazee wa kitanzania wanaozeeka vizuri Mwakyembe ni namba one.
@christianlutego1288
@christianlutego1288
Mwakyembe, umejitoa zaidi ya Watumishi wa Kiroho,Mungu akulinde
@nabiiwaisharaonlinetv9863
@nabiiwaisharaonlinetv9863
Mwakyembe na Cathelin Mungu awape tuzo za utumishi mkuu pia
@user-fm4le4nz6v
@user-fm4le4nz6v
Kupinga ushoga hakuna udini waislamu tunaungana na nyinyi kupinga ushoga Tanzania mungu awape nguvu ktk hilo.
@user-tf4er2iq7k
@user-tf4er2iq7k
Mzee Mwakyembe Mungu akulinde akupe baraka zote kwa kuiamsha jamii yetu dhidi ya ushoga na usagaji tembeeni mpaka mashuleni na vyuoni mpaka misikiti muungane imani zote muiokoe nchi yetu.AMIN
@zitashio7920
@zitashio7920
Baba Mwakiembe tunakupenda ,tutakuombea,Mungu atakulinda,hujaogopa kuisema kweli na kukosoa upotofu uliofichwa na viongozi wa nchi, You're clean God is with you everytime.!
@musaamini401
@musaamini401
Muheshimiwa mungu awalinde Na team yako kwa kazi ngumu ingekua utume unaendelea wewe ingekua ni mtume Mimi ni muislam Lkn nakuombea sana Kwa mungu akufanyie wepesi wakila hatua.
@estermathias8354
@estermathias8354
YESU watie nguvu wasichoke hawa watumishi wako.Amina.YESU imalisha ulinzi juu ya watu wako hawa adui asiwazuru shetani azulike mwenyewe in Jesus name.shikamoo mwankyembe.jmn ndugu zangu naombeni tuendelee kuwaombea hawa watumishi wa Mungu.maana Mungu anatumia vinywa vyao kupinga dhambi kubwa ya ushoga .
@user-dz9vo9fg2f
@user-dz9vo9fg2f
Mwenyeenzi Mungu awalinde.Litaisha tu Mungu ni mkuu hapendi kutukanwa. viongozi wakisimama hili litaisha kwa jina la Yesu🙏
@mossesezekiel7862
@mossesezekiel7862
Mungu akulinde Babu yangu na kundi lako katika jina la YESU KRISTO BWANA WETU
@PeterjaksonLujani
@PeterjaksonLujani
Mzee mwakyembe na Dada yangu catherine mungu awatie nguvu kwa kazi kubwa mnayo fanya kuokoa taifa letu na kizazi chetu hichi
@LovenessDaud
@LovenessDaud
Ewe Mwenyezi Mungu tulinde na hili janga sisi waja wako tuepushe tuepushe tuepushe 🤲🏾🤲🏾
@jesusfirstchurch4162
@jesusfirstchurch4162
SULUHISHO JINGINE NI KUACHA KUPOKEA MISAADA YA VYAKULA NA DAWA ZA MENO NK KWA SHULE ZETU ..SISI SIYO MASIKINI TUNAJIMALIZA WENYEWE.
@hezronsanga5197
@hezronsanga5197
Mungu akubariki sana Mzee wangu mwenye hekima busara na msema ukweli
@sponsorboyofficialtz1191
@sponsorboyofficialtz1191
Mwakiyembe anafaa kuwa Rais wetu tunataka watu wanajiamini na wazalendo wa kweli ktk Taifa bila kujari wala uoga kwa mataifa yalioendelea
@annaamadeo-ge2dd
@annaamadeo-ge2dd
Mungu awakumbuke kwa kazi nzuri mnayoifanya. Inaumiza sana; Yesu ingilia kati
@willymosses1612
@willymosses1612
Duh hii ni zaidi ya laana....Mungu tusaidie
@isaya43.12
@isaya43.12
Nimemuona baba yetu kabese anahuzunika tu Mungu aliponye taifa letu hakika tunamuhitaji Mungu mno
@fatmaahmed8637
@fatmaahmed8637
Mungu ni wa Pekee wala hana msaidizi..MASHA ALLAH KWENU...LAANA IWE JUU YAO WANAHARIBU NCHI SANAA..NA WATU WAKE 😮
@AnyeelwisyeMwaisela
@AnyeelwisyeMwaisela
Mimi nashauri mikutano hii isifanyike kwenye kumbi ombeni kibari mfanye mikutano ya hadhara ili kuliponya Taifa hili kwa haraka
Женская драка в Кызылорде
00:53
AIRAN
Рет қаралды 475 М.
Опасность фирменной зарядки Apple
00:57
SuperCrastan
Рет қаралды 9 МЛН
Mom's Unique Approach to Teaching Kids Hygiene #shorts
00:16
Fabiosa Stories
Рет қаралды 31 МЛН
ВОДА В СОЛО
00:20
⚡️КАН АНДРЕЙ⚡️
Рет қаралды 29 МЛН
VIJANA WAFUMWA NDANI WAKIFANYA MAPENZI YA JINSIA MOJA LINDI
9:05
Mashujaa TV
Рет қаралды 286 М.
Женская драка в Кызылорде
00:53
AIRAN
Рет қаралды 475 М.