Kwa ujumla suala la wanawake kupata vyeo amejisahau sana . Wawe chini ya.
@shabanipanya103321 күн бұрын
Alafu kuna kitu nimegundua karibia watumishi wengi ni wanawake alafu mambo yanakwenda hovyo sana na watu wananyanyasika sana
@osmanhajj305925 күн бұрын
Mh waziri ujee ututembelee wilaya mbarali
@mvullamanase25 күн бұрын
Mbona IDARA YA MAJI NI WANAWAKE WATUPU. NDIO MAANA MAMBO MAGUMU
@menelus911mene522 күн бұрын
Duh!!!!! Wakisemwa oowanaonewa ila mhe waziri wa maji njjo na Gairo hivyohivyo toka tujaze form toka mwezi wa 9 / 23 mpaka leo ukiuliza vifaa hatuna sasa sijui itakuwaje kama wana ambiana hao tusaidie mhe wetu wa maji wewe nimkombozi wetu waonesana hao warudi majumbani wayaone hayo tunayo yaona sisi mpepole huyo Ubarikiwe ❤❤❤
@user-ow7pl6tz2c25 күн бұрын
Kweli kabisa ni ujuma kwanza wananchi hatahatuji kama wazir anakuja mbezi watu wangejaa sana Maji ni tatizo sana mm nimelipia Maji tangu mwenzi 11 mwaka Jana mpaka Leo sijaletewa naukiuliza majibu Yao nibaya sana sana kimala
@user-zm4mm4eb5j19 күн бұрын
Hujuma hujuma hujuma wanamfanyia mama ili wananchi wamchukie rais wao
@ilynpayne749125 күн бұрын
Huyo dada hafai asiee bora aondolewe
@happymarchiusnjungani113825 күн бұрын
Yaan hawa wadada wakishapata Vihela na vyeo mmmmmmm utajua hujui
@inocentlukumay76725 күн бұрын
Arusha pia kuna tatizo hilo. Mradi wa bilioni 500 sisi tuliotoa maeneo yetu kuchimbwa maji hatunufaiki kwa lolote. Tupo tayari kulipia maji.
@ibrackibrahim690926 күн бұрын
Mademu wao hao😂😂😂
@sskondopoleani961615 күн бұрын
Jamani DAWASA HEBU TUANGALIENI SISI WATU WA BOKO NATIONAL HOUSING KUELEKEA MAGEREZA. KWETU MAJI NI NYOTA YA JAHA.
@yayananajota583825 күн бұрын
Tz na watu wake😅😅😅😅😅vichekesho kweli, eee Mola waja wako hawa, 😥😥😥
@NoName-pp4lo25 күн бұрын
Aweso fata nyayo za makonda
@lucymtui868023 күн бұрын
Shida kweli kweliiwel
@sultanmsolon842823 күн бұрын
Mh njoo na chalinze, mdaula na ubena
@saidhamza531825 күн бұрын
Afu mbona viongoz wengi ni mademu halafu mambo hayaendi!
@inocentlukumay76725 күн бұрын
Huyo dada hana shida yoyote tatizo ni urasimu na mlolongo wa maelekezo ya sheria. Urasimu
@gwamakajohn712221 күн бұрын
Safi viongoz wote igeni bc
@yayananajota583825 күн бұрын
Zuga tu, midemu zao hizo,wakitoka hapo wanaenda kula kulana mshikaki paleeeee😏😏😏
@AbubakarAlly-th6op25 күн бұрын
Yupo na mshikaji wake kazini wanaingi wanavyotaka wenyewe
@exaverysimon106425 күн бұрын
WANAWAKE WANAWEZA 🙆🙆🙆
@inocentlukumay76725 күн бұрын
Arusha pia kuna tatizo hilo. Mradi wa bilioni 500 sisi tuliotoa maeneo yetu kuchimbwa maji hatunufaiki kwa lolote. Tupo tayari kulipia maji.