MKURUGENZI AJICHANGANYA KWA AWESO, APIGIWA SIMU "MIMI NIPO KWENYE ZIARA WEWE HAUPO UKO WAPI?"

  Рет қаралды 10,951

Wasafi Media

Wasafi Media

27 күн бұрын

Пікірлер: 23
@verdianabanabi2205
@verdianabanabi2205 21 күн бұрын
Kwa ujumla suala la wanawake kupata vyeo amejisahau sana . Wawe chini ya.
@shabanipanya1033
@shabanipanya1033 21 күн бұрын
Alafu kuna kitu nimegundua karibia watumishi wengi ni wanawake alafu mambo yanakwenda hovyo sana na watu wananyanyasika sana
@osmanhajj3059
@osmanhajj3059 25 күн бұрын
Mh waziri ujee ututembelee wilaya mbarali
@mvullamanase
@mvullamanase 25 күн бұрын
Mbona IDARA YA MAJI NI WANAWAKE WATUPU. NDIO MAANA MAMBO MAGUMU
@menelus911mene5
@menelus911mene5 22 күн бұрын
Duh!!!!! Wakisemwa oowanaonewa ila mhe waziri wa maji njjo na Gairo hivyohivyo toka tujaze form toka mwezi wa 9 / 23 mpaka leo ukiuliza vifaa hatuna sasa sijui itakuwaje kama wana ambiana hao tusaidie mhe wetu wa maji wewe nimkombozi wetu waonesana hao warudi majumbani wayaone hayo tunayo yaona sisi mpepole huyo Ubarikiwe ❤❤❤
@user-ow7pl6tz2c
@user-ow7pl6tz2c 25 күн бұрын
Kweli kabisa ni ujuma kwanza wananchi hatahatuji kama wazir anakuja mbezi watu wangejaa sana Maji ni tatizo sana mm nimelipia Maji tangu mwenzi 11 mwaka Jana mpaka Leo sijaletewa naukiuliza majibu Yao nibaya sana sana kimala
@user-zm4mm4eb5j
@user-zm4mm4eb5j 19 күн бұрын
Hujuma hujuma hujuma wanamfanyia mama ili wananchi wamchukie rais wao
@ilynpayne7491
@ilynpayne7491 25 күн бұрын
Huyo dada hafai asiee bora aondolewe
@happymarchiusnjungani1138
@happymarchiusnjungani1138 25 күн бұрын
Yaan hawa wadada wakishapata Vihela na vyeo mmmmmmm utajua hujui
@inocentlukumay767
@inocentlukumay767 25 күн бұрын
Arusha pia kuna tatizo hilo. Mradi wa bilioni 500 sisi tuliotoa maeneo yetu kuchimbwa maji hatunufaiki kwa lolote. Tupo tayari kulipia maji.
@ibrackibrahim6909
@ibrackibrahim6909 26 күн бұрын
Mademu wao hao😂😂😂
@sskondopoleani9616
@sskondopoleani9616 15 күн бұрын
Jamani DAWASA HEBU TUANGALIENI SISI WATU WA BOKO NATIONAL HOUSING KUELEKEA MAGEREZA. KWETU MAJI NI NYOTA YA JAHA.
@yayananajota5838
@yayananajota5838 25 күн бұрын
Tz na watu wake😅😅😅😅😅vichekesho kweli, eee Mola waja wako hawa, 😥😥😥
@NoName-pp4lo
@NoName-pp4lo 25 күн бұрын
Aweso fata nyayo za makonda
@lucymtui8680
@lucymtui8680 23 күн бұрын
Shida kweli kweliiwel
@sultanmsolon8428
@sultanmsolon8428 23 күн бұрын
Mh njoo na chalinze, mdaula na ubena
@saidhamza5318
@saidhamza5318 25 күн бұрын
Afu mbona viongoz wengi ni mademu halafu mambo hayaendi!
@inocentlukumay767
@inocentlukumay767 25 күн бұрын
Huyo dada hana shida yoyote tatizo ni urasimu na mlolongo wa maelekezo ya sheria. Urasimu
@gwamakajohn7122
@gwamakajohn7122 21 күн бұрын
Safi viongoz wote igeni bc
@yayananajota5838
@yayananajota5838 25 күн бұрын
Zuga tu, midemu zao hizo,wakitoka hapo wanaenda kula kulana mshikaki paleeeee😏😏😏
@AbubakarAlly-th6op
@AbubakarAlly-th6op 25 күн бұрын
Yupo na mshikaji wake kazini wanaingi wanavyotaka wenyewe
@exaverysimon1064
@exaverysimon1064 25 күн бұрын
WANAWAKE WANAWEZA 🙆🙆🙆
@inocentlukumay767
@inocentlukumay767 25 күн бұрын
Arusha pia kuna tatizo hilo. Mradi wa bilioni 500 sisi tuliotoa maeneo yetu kuchimbwa maji hatunufaiki kwa lolote. Tupo tayari kulipia maji.
Задержи дыхание дольше всех!
00:42
Аришнев
Рет қаралды 3,3 МЛН
Stay on your way 🛤️✨
00:34
A4
Рет қаралды 13 МЛН
КАРОЧЕ НЕУДОБНАЯ СИТУАЦИЯ😱🔥 #shorts
0:45
ПОПОВИЧИ
Рет қаралды 4,1 МЛН
Spot The Fake Animal For $10,000
0:40
MrBeast
Рет қаралды 164 МЛН
EVOLUTION OF ICE CREAM 😱 #shorts
0:11
Savage Vlogs
Рет қаралды 4,2 МЛН
Вся страна в очередях, а ты без очереди...
0:52
МиRRные Чувства
Рет қаралды 1,6 МЛН