MKURUGENZI AJICHANGANYA KWA AWESO, APIGIWA SIMU "MIMI NIPO KWENYE ZIARA WEWE HAUPO UKO WAPI?"

  Рет қаралды 10,201

Wasafi Media

Wasafi Media

13 күн бұрын

Пікірлер: 23
@verdianabanabi2205
@verdianabanabi2205 7 күн бұрын
Kwa ujumla suala la wanawake kupata vyeo amejisahau sana . Wawe chini ya.
@shabanipanya1033
@shabanipanya1033 7 күн бұрын
Alafu kuna kitu nimegundua karibia watumishi wengi ni wanawake alafu mambo yanakwenda hovyo sana na watu wananyanyasika sana
@mvullamanase
@mvullamanase 11 күн бұрын
Mbona IDARA YA MAJI NI WANAWAKE WATUPU. NDIO MAANA MAMBO MAGUMU
@menelus911mene5
@menelus911mene5 8 күн бұрын
Duh!!!!! Wakisemwa oowanaonewa ila mhe waziri wa maji njjo na Gairo hivyohivyo toka tujaze form toka mwezi wa 9 / 23 mpaka leo ukiuliza vifaa hatuna sasa sijui itakuwaje kama wana ambiana hao tusaidie mhe wetu wa maji wewe nimkombozi wetu waonesana hao warudi majumbani wayaone hayo tunayo yaona sisi mpepole huyo Ubarikiwe ❤❤❤
@osmanhajj3059
@osmanhajj3059 11 күн бұрын
Mh waziri ujee ututembelee wilaya mbarali
@user-ow7pl6tz2c
@user-ow7pl6tz2c 11 күн бұрын
Kweli kabisa ni ujuma kwanza wananchi hatahatuji kama wazir anakuja mbezi watu wangejaa sana Maji ni tatizo sana mm nimelipia Maji tangu mwenzi 11 mwaka Jana mpaka Leo sijaletewa naukiuliza majibu Yao nibaya sana sana kimala
@happymarchiusnjungani1138
@happymarchiusnjungani1138 11 күн бұрын
Yaan hawa wadada wakishapata Vihela na vyeo mmmmmmm utajua hujui
@ilynpayne7491
@ilynpayne7491 11 күн бұрын
Huyo dada hafai asiee bora aondolewe
@inocentlukumay767
@inocentlukumay767 11 күн бұрын
Arusha pia kuna tatizo hilo. Mradi wa bilioni 500 sisi tuliotoa maeneo yetu kuchimbwa maji hatunufaiki kwa lolote. Tupo tayari kulipia maji.
@ibrackibrahim6909
@ibrackibrahim6909 12 күн бұрын
Mademu wao hao😂😂😂
@user-zm4mm4eb5j
@user-zm4mm4eb5j 5 күн бұрын
Hujuma hujuma hujuma wanamfanyia mama ili wananchi wamchukie rais wao
@NoName-pp4lo
@NoName-pp4lo 11 күн бұрын
Aweso fata nyayo za makonda
@yayananajota5838
@yayananajota5838 11 күн бұрын
Tz na watu wake😅😅😅😅😅vichekesho kweli, eee Mola waja wako hawa, 😥😥😥
@sskondopoleani9616
@sskondopoleani9616 Күн бұрын
Jamani DAWASA HEBU TUANGALIENI SISI WATU WA BOKO NATIONAL HOUSING KUELEKEA MAGEREZA. KWETU MAJI NI NYOTA YA JAHA.
@lucymtui8680
@lucymtui8680 9 күн бұрын
Shida kweli kweliiwel
@inocentlukumay767
@inocentlukumay767 11 күн бұрын
Huyo dada hana shida yoyote tatizo ni urasimu na mlolongo wa maelekezo ya sheria. Urasimu
@sultanmsolon8428
@sultanmsolon8428 9 күн бұрын
Mh njoo na chalinze, mdaula na ubena
@saidhamza5318
@saidhamza5318 12 күн бұрын
Afu mbona viongoz wengi ni mademu halafu mambo hayaendi!
@gwamakajohn7122
@gwamakajohn7122 7 күн бұрын
Safi viongoz wote igeni bc
@yayananajota5838
@yayananajota5838 11 күн бұрын
Zuga tu, midemu zao hizo,wakitoka hapo wanaenda kula kulana mshikaki paleeeee😏😏😏
@AbubakarAlly-th6op
@AbubakarAlly-th6op 11 күн бұрын
Yupo na mshikaji wake kazini wanaingi wanavyotaka wenyewe
@exaverysimon1064
@exaverysimon1064 12 күн бұрын
WANAWAKE WANAWEZA 🙆🙆🙆
@inocentlukumay767
@inocentlukumay767 11 күн бұрын
Arusha pia kuna tatizo hilo. Mradi wa bilioni 500 sisi tuliotoa maeneo yetu kuchimbwa maji hatunufaiki kwa lolote. Tupo tayari kulipia maji.
KINDNESS ALWAYS COME BACK
00:59
dednahype
Рет қаралды 144 МЛН
A clash of kindness and indifference #shorts
00:17
Fabiosa Best Lifehacks
Рет қаралды 56 МЛН
когда повзрослела // EVA mash
00:40
EVA mash
Рет қаралды 4,5 МЛН
Поймал редкий кадр🤨
0:22
FERMACHI
Рет қаралды 4,9 МЛН
Эй Рамазан # DamirAgroDizel
0:16
DamirAgroDizel
Рет қаралды 3,2 МЛН
ЧТО НАМ ПОПАЛОСЬ?😜😜😜
0:12
Chapitosiki
Рет қаралды 1,4 МЛН
Ай ай 🤣
0:27
Dragon Нургелды 🐉
Рет қаралды 1,3 МЛН
Despicable Me Fart Blaster
0:51
_vector_
Рет қаралды 15 МЛН