Kwa ujumla suala la wanawake kupata vyeo amejisahau sana . Wawe chini ya.
@shabanipanya10337 күн бұрын
Alafu kuna kitu nimegundua karibia watumishi wengi ni wanawake alafu mambo yanakwenda hovyo sana na watu wananyanyasika sana
@mvullamanase11 күн бұрын
Mbona IDARA YA MAJI NI WANAWAKE WATUPU. NDIO MAANA MAMBO MAGUMU
@menelus911mene58 күн бұрын
Duh!!!!! Wakisemwa oowanaonewa ila mhe waziri wa maji njjo na Gairo hivyohivyo toka tujaze form toka mwezi wa 9 / 23 mpaka leo ukiuliza vifaa hatuna sasa sijui itakuwaje kama wana ambiana hao tusaidie mhe wetu wa maji wewe nimkombozi wetu waonesana hao warudi majumbani wayaone hayo tunayo yaona sisi mpepole huyo Ubarikiwe ❤❤❤
@osmanhajj305911 күн бұрын
Mh waziri ujee ututembelee wilaya mbarali
@user-ow7pl6tz2c11 күн бұрын
Kweli kabisa ni ujuma kwanza wananchi hatahatuji kama wazir anakuja mbezi watu wangejaa sana Maji ni tatizo sana mm nimelipia Maji tangu mwenzi 11 mwaka Jana mpaka Leo sijaletewa naukiuliza majibu Yao nibaya sana sana kimala
@happymarchiusnjungani113811 күн бұрын
Yaan hawa wadada wakishapata Vihela na vyeo mmmmmmm utajua hujui
@ilynpayne749111 күн бұрын
Huyo dada hafai asiee bora aondolewe
@inocentlukumay76711 күн бұрын
Arusha pia kuna tatizo hilo. Mradi wa bilioni 500 sisi tuliotoa maeneo yetu kuchimbwa maji hatunufaiki kwa lolote. Tupo tayari kulipia maji.
@ibrackibrahim690912 күн бұрын
Mademu wao hao😂😂😂
@user-zm4mm4eb5j5 күн бұрын
Hujuma hujuma hujuma wanamfanyia mama ili wananchi wamchukie rais wao
@NoName-pp4lo11 күн бұрын
Aweso fata nyayo za makonda
@yayananajota583811 күн бұрын
Tz na watu wake😅😅😅😅😅vichekesho kweli, eee Mola waja wako hawa, 😥😥😥
@sskondopoleani9616Күн бұрын
Jamani DAWASA HEBU TUANGALIENI SISI WATU WA BOKO NATIONAL HOUSING KUELEKEA MAGEREZA. KWETU MAJI NI NYOTA YA JAHA.
@lucymtui86809 күн бұрын
Shida kweli kweliiwel
@inocentlukumay76711 күн бұрын
Huyo dada hana shida yoyote tatizo ni urasimu na mlolongo wa maelekezo ya sheria. Urasimu
@sultanmsolon84289 күн бұрын
Mh njoo na chalinze, mdaula na ubena
@saidhamza531812 күн бұрын
Afu mbona viongoz wengi ni mademu halafu mambo hayaendi!
@gwamakajohn71227 күн бұрын
Safi viongoz wote igeni bc
@yayananajota583811 күн бұрын
Zuga tu, midemu zao hizo,wakitoka hapo wanaenda kula kulana mshikaki paleeeee😏😏😏
@AbubakarAlly-th6op11 күн бұрын
Yupo na mshikaji wake kazini wanaingi wanavyotaka wenyewe
@exaverysimon106412 күн бұрын
WANAWAKE WANAWEZA 🙆🙆🙆
@inocentlukumay76711 күн бұрын
Arusha pia kuna tatizo hilo. Mradi wa bilioni 500 sisi tuliotoa maeneo yetu kuchimbwa maji hatunufaiki kwa lolote. Tupo tayari kulipia maji.