Рет қаралды 28,112
“Siasa za kubembeleza mlizokuwa mmezizoea sitazisema mimi mpaka namaliza muda wangu, na mimi sitaki nipendwe sana, hata sura yangu ni mbaya,”.
Ni kauli ya Rais Magufuli akiwa kwenye mkutano wa hadhara, kwenye Uwanja wa Ukuta Mmoja, Mjini Nansio, wilayani Ukerewe, Septemba 4, 2018