Mungu akubariki Kwa hilo. Naona sasa utatusua bro nakutia moyo wa nguvu
@geey78932 күн бұрын
Huyu jamaa ana akili kuliko watu wengi sana nchi hii. Duuh
@daudimaembe33602 күн бұрын
Godfrey Matumaini a.k.a Dudu baya,safi kabisa😂😂😂
@thadeusmarkiminja22823 күн бұрын
Umesema ukweli wanasiasa wa kweli walikuwa ni hao ulowataja.nakukubali kulikoni
@hajihassan54333 күн бұрын
Tanganyika ni ulaji tu hakuna mwenye chama, wenye vyama vapo Zanzibar.
@godwinkasaizi8823 күн бұрын
Dudu nimecheka Sana Hasa hapo pa kudaiwa na Tajiri na Chama kinakutaka
@saidabdalla89963 күн бұрын
Hawa njaa tu kaka umeingea safi wapumbavu hawa
@user-ku4xq4nd9v2 күн бұрын
Oyaaa! Bana kwenye yale madeni 😂😂😂😂😂😂😂
@warakawayohana28963 күн бұрын
😂😂😂hapo kwa Mbowe kumpiga upako umenivunja mbavu
@Meiruzibwe3 күн бұрын
Umeongea vitu vikubwa 🙏
@stevenkuhanwa7819Сағат бұрын
Hakika, most of the politians are oppotunist. Future ya gari alilokuwa amepanda imepotea kabisa, so kaona ni bora aingie kwenye gari ambalo linampa uhakika wa maslahi! Dudu baya anajitahidi kuzungumza vizuri.
@kwisa48992 күн бұрын
Dudu anauwezo mkubwa sana,sijui alisoma wapi maana uwezi wake sio wa kawaida
@frankmushendwas3717 сағат бұрын
Kama unaona dudu anauwezo basi ww zombi la elimu
@zariadunia6328Күн бұрын
Msigwa alikuwa karibu sana na Mbowe aliwasaliti watu wengi sana kwa kupelekea wenzie maneno mabaya sana kwabowe kila alipokuwabowe yeye humkoai ghafla mbowe akambwaga mpaka uchaguzi wa majimbo akambwaga msigwa alochanganyakiwa sana
@AthumanDauda2 күн бұрын
Umeongea point
@aaronswai30922 күн бұрын
Duh! Dudu baya akili kubwa sana. Hongera sana hebu lete hizi akili kwenye INJILI ya BWANA!
@protasmligo4032Күн бұрын
Hapo kwenye kuteuliwa na Mungu sikuungi mkono
@frankmushendwas3717 сағат бұрын
Huyu tahira amshauri mbowe unafikiri mbowe kawa mwenyekiti chadema anavmalu zake wewe lofa nyerere kakaa madarakani miaka 27 umeshindwa muziki utajua siasa
@RobertMelekaКүн бұрын
Dudu baya hongera sana
@shabanipanya10333 күн бұрын
Huyu jamaa kwa mara ya kwanza namkubali na nitakuwa namsikiliza
@justiceshelukindo2 күн бұрын
Kupita bila kupingwa itakuwaje Ni mungu acha kumdhihaki mungu
@msowamhokole77143 күн бұрын
Ebu tafuta radio Moja ikuajili utatonoa Sana dudu baya nenda wasafi ama crown
@neemanziku54039 сағат бұрын
Konk umependeza hongera pia afya yako imerudi
@justardzelphine652612 сағат бұрын
Watu wanatakiwa kujua hakuna aijuae kesho!
@geofreydamas1697Күн бұрын
Huyu ndiyo mwana hip pop siku zote uwa ni wanaharakati wana madini sana
@mkambamaulid4472 күн бұрын
Kweli ww ndio Dudu 💪🏽🤣🤣🙏🏼 👊👍
@joachimkalungwana86543 күн бұрын
Hapo umejichanganya Rudi kwa Nyerere alikuwa TANU kwa muda Gani kabla ya kupata uhuru
@piusmdoe32002 күн бұрын
Hapo na mimi kaniacha hoi.
@eddyedduu691217 сағат бұрын
Zee Dudu mwenyewe. Madini kila mda.
@xaixaiobrigado48463 күн бұрын
P msigwa alisema:akihama cdm,nyumba na magari yake yachomwe moto. Mfuateni,mmbananishe kuhusu kauli yake!
@hajihassan54333 күн бұрын
Kauli inafutika.
@issaramadhaniathuman9 сағат бұрын
Me nigekuwa nazijua nigezichoma maana kutimiza kauli yke
@johnmalembo64643 күн бұрын
Huwa napenda kukusikiliza....akili iko...... Fact facts
@praygodmawalla78843 күн бұрын
Lini huyu amekuwa mchambuzi wa habari? Okay every one can be mchambuzi right? This is Tanganyika bana.
@Fesary2 күн бұрын
Hili jamaa lifala halijui vitu vingi
@user-lm3lt7xx6l3 күн бұрын
Wachen choyo kwa mbowe hata kwa maalim seif ukisema sana .Mungu humteuwa kiongozi wa kupigania hak
@festokemibala58322 күн бұрын
Hii imeandikwa pia katika Biblia lakini Mungu aliwaahidi Israel kwamba wao hawatakopa, watakopesha, watatawala na watabarikiwa
@dynamicmwakibinga4371Күн бұрын
International pure points
@robertadolf5622 күн бұрын
Dah...mnawajua vizur hawa wanasiasa. kwa kifup wanasiasa ni maslah yao kwanza..sisi ndo tunahangaika na kurubuniwa tu. watanzania tuzinduke
@januarysila15693 күн бұрын
mamba ukombari sana kwa uerewa aikiu yako iko juu
@kashiririrkaasongwisye94872 күн бұрын
Sio kwamba wengine hawaelewi ila wamejizima data mpaka siku likiwafika wakapata pa kusemea ndo watasema sasa ila kwa sasa!
@neemanziku54039 сағат бұрын
Msigwa we ulikuwa mnafiki kumbuka pia maneno yako msigwa
@user-zn5vu5yi1dКүн бұрын
Uko vizuri
@user-yc3hb9wl6b3 күн бұрын
Nimekubali sana ongeza bidii
@eliaskemiti77852 күн бұрын
Jamaa anachekelea kama mzee Lwaitama 😂😂😂😂
@user-iq4rv8dq5r2 күн бұрын
Huyu jamaa anajiamini sana Yupo huru kuwakilisha mawazo yake tena kwa mambo magumu ambayo wengine wanaogopa napendaga sana watu huru na ajilinde asiyekuwa chawa maana kuna baadhi ya viongozi wanaweza mfuata ili awasifie kwa malipo fulani uchaguzi unakuja.
@user-my5yp6xx5s3 күн бұрын
Yes dudu.baya
@janiafaomaa51203 күн бұрын
YIYI WANDISHI HAKUNA MTU WA KUMULIZA KUHUSI SIYASA MNAMULIZA HUYO DUDU YEYE MWEYEWE MAISHA YAKE HAYAELEWI ATAELEWA SIYASA KWAZA UKIMCHUNGUZA KAMAMTU ALIE PUGUKIWA
@zeelamipango3 күн бұрын
NENDA SHULE KASOME NDIO URUDI KUKOMENTI MJINGA WEWE
@elibarikilukasimakala55343 күн бұрын
😅😅😅@@zeelamipango
@kwisa48992 күн бұрын
Huyu jamaa shule ipo kichwani
@fredrickipembe81882 күн бұрын
Wewe na mama ndio hameleweki
@rucaserasto8154Күн бұрын
utos mpaka unyao😅😅😅😅 dudu umetisha baba
@AnyegileMwamaluka-ud9xf2 сағат бұрын
Kwa nn mboye acwapshe wenzake je yy ni mtawala wa milele km ilivyokuwa kwa kamzu banda?
@majidimussa86783 күн бұрын
ujuhi kama hana Akili nzuri 🤣🤣🤣🤣
@user-lt1bi5nr1x2 сағат бұрын
Nani sasa msigwa au
@ibinmgeta24063 күн бұрын
Upinzani wa bongo nikinyesi tu.
@MathewNathan-yb2bz3 күн бұрын
Ww akili zako ndio zimejaa kinyesi tu
@ellsonmkonyi13192 күн бұрын
Bro upinzani sio kinyesi walitutawala since 1961 wanatakiwa watueleza until when? Mambo yatakaa sawa
@kaundasutikaunda77692 күн бұрын
Konk Master chukua huu ushauri wangu ...ww una kipaji Mungu amekupa cha kuchambua mambo ...sio kila mtu hata awe amesoma vp anaweza fanya kama wewe unavyo fanya. Huu ni muda sasa wa kubadili icho kipawa alichokupa Mungu kikuingizie pesa. Please take this and act immediately.
@juliusmix2 күн бұрын
Mkimtoa Mbowe atakaa nani? Ndiyo Hawa kina Msigwa na kina Sumaye?
@josephatikirutu97392 күн бұрын
Una uelewa mdogo mno. Ukipata nafasi ya kuongea azimisha smiling
@juliusnyerere53932 күн бұрын
Wanafiki tu. Hakuna lolote lile ni unafikiii tuuu. Hakuna lolote hao matumbo yaoooo tu wanafikiriaaa.
@user-lt1bi5nr1x2 сағат бұрын
Nyama choma unatoa kura😂😅
@babazungu318017 сағат бұрын
Nenda south Africa uone kama Mandela ni kuongoz jins alivyowauza watu weusi
@user-cj2iq1qv6n3 күн бұрын
Kwer Kaka Wapinzani Wa Kwer Kwenye Nchi Hii Bado Tuko Njee Hila. Kunawakati Muda Utaamua
@reginaldmapunda67023 күн бұрын
Lakini Lisu anatofautiana na wewe kuhusu Nyerere. Lisu anamwona Nyerere kama ndio chanzo cha matatizo hapa Tanzania. Ninakubaliana na wewe siasa za nchi hii ni kinyesi na kila anayetaka uongozi yuko tayari hata kuua. Mfumo wa kuwapata viongozi una milango ya rushwa kuanzia kwenye vyama vya siasa mpaka kwenye uchaguzi wa kitaifa. Mtu mwenye akili hawexi kuutafuta uongozi kwa gharama zaidi ya uwezo na weledi wake. Lakini hili nalo ni neno " Mbowe kile ni kiwanda chake hawezi kuondoka mpaka afe."
@juliusnyerere53932 күн бұрын
Wako Wapi wake wanafiki kina lema lissu na wengine Mbona mko waongo chadema maslahi yenu mbele.
@jumashimba96203 күн бұрын
Dudu unajua siasa sana
@mtakamatv3 күн бұрын
Ccm imeongoza muda mrefu mbona husemi?mbowe hawezi kutoka sababu yeye ndie hahongeki na ccm,wengine wanakuita chama mapema tu,kama vyama vingine vya uponzani vilivyo dhaifu sana,ccm wanambinu chafu,wanataka mtu imara kwelikweli
@henrymmbando59302 күн бұрын
Si kweli viongozi uliowataja(Magu, Majaliwa, Samia na Mizengo eti ni wa wa Mungu!!!! si kweli. Ila hapo na wewe umetia uchawa angalau wakukumbuke. Ungemtaja pia Warioba, Mbowe, Lissu etc ningekusikiliza.
@corporatethugsent73802 күн бұрын
Ila kweli hata mimi dudu kanishangaza asee kuna aman na upendo na mungu wa aina gani kwaviongoz hao hapo?
@geofreychitamu3662 күн бұрын
Mzee salimu ahamed,mzee butiku,mzee Edwin mtei,mzee warioba,BABA TAIFA,mzee kawawa,mzee karume,mzee sir George kahama,mtikila,kambona,nk ni wazalendo halisi.siyo wazalendo mafisi.
@majidimussa86783 күн бұрын
point
@tatizojoseph8702Күн бұрын
Big up mkubwa duh!!! Dudu wewe ni Darasa tosha kabisa!!
@MageAwe-hl5zb3 күн бұрын
Bibilia inaseama mkopaji ni mtumwa wamkopeshaji kweli madeni yanatesa
@divaimafuru68442 күн бұрын
Kwa asilimia 70,umezungumza ukweli,lakini asalimia 30 umeingiza uchawa