Рет қаралды 4,368
Baada ya Israel kuendelea kuishambulia Palestina tayari mtafaruku mpya unaohusiana na mgogoro huo umezuka kati ya Yemen na mataifa ya Ulaya na Marekani.
Je, mgogoro wa Palestina unaweza kusababisha machafuko kwenye baadhi ya maeneo mengine duniani?