Mfanye nini pale mpenzi mmoja anapochepuka?

  Рет қаралды 63,059

Chris Mauki

Chris Mauki

Күн бұрын

Mara nyingi watu wengi wanajiuliza ufanye nini pale mpenzi mmoja anapochepuka? Kuna wengine wanadhani wakipeleka kesi kwa ndugu au marafiki ndio itakuwa ndio jibu la tatizo hilo,kuna wengine wanaweza kulipiza kisasi kwa sehemu ya kuponya maumivu.
Unaweza kunifuatilia katika mitandao yangu ya kijamii
Like my Facebook: / chrismauki
Follow my Instagram: / chrismauki_
Subscribe my KZbin: / @chrismauki1
#ChrisMauki#Mpenzi#Kuchepuka.

Пікірлер: 161
@francisshayo3606
@francisshayo3606 4 жыл бұрын
Asanteee sana Dkt mauki kwa funzo lako bado najiweka vzuri na kuomba msamaha kwa mpenz Wang Ila bado cjaolewa
@roseaccont552
@roseaccont552 4 жыл бұрын
Very powerful advice Asante sana nimejifunza
@raymondkuberwa6015
@raymondkuberwa6015 3 жыл бұрын
Asante Dr uko vzr xna,somo zuri
@deborahmwaitenga1766
@deborahmwaitenga1766 4 жыл бұрын
Asante Sana Dr.
@neemachriss2605
@neemachriss2605 3 жыл бұрын
chris mauki ,yaani hayo uliyofundisha yapo kwenye maisha yangu halisi sijui mwisho wake
@jacklinemushi9517
@jacklinemushi9517 2 жыл бұрын
We ni mimi kabisaa 🙌
@happynessemanuel5173
@happynessemanuel5173 2 жыл бұрын
Nimekuelewa Sana Dr Sasa shida inakuja unamuuliza tatizo Nini hasemi ukimuuliza anasema hakuna tatizo kwa hiyo una kuta mambo Yana kua magumu.
@gaudemakinda7439
@gaudemakinda7439 2 жыл бұрын
Dr.Mauki,, Kwa Mfano mtu anafanya hio kitu mara kwa mara,,,,na ukimuuliza anakataa kabisa hajafanya ila ukishika simu unakuta wanawasiliana mara kwa mara...........😪😪😪😪😪😪Sometimes anakublock ucku kucha Mtu kama huyo Unamfanyeje aiseee
@user-br4tl7jv9j
@user-br4tl7jv9j 4 ай бұрын
Tabu kwakwel
@marymusangi5568
@marymusangi5568 4 жыл бұрын
Asante sana God bless you
@evaristerelias7373
@evaristerelias7373 3 жыл бұрын
My favorite lecturer Guidance and councelling
@marvithmarvith4761
@marvithmarvith4761 3 жыл бұрын
Naomba namba ya whatsap
@marvithmarvith4761
@marvithmarvith4761 3 жыл бұрын
Samani sana lakin
@evaristerelias7373
@evaristerelias7373 3 жыл бұрын
0745089504
@salomemasue5506
@salomemasue5506 Жыл бұрын
Dr. M/Mungu akutunze na aendelee kukupa Kibal Zaid Ile tuendelee kujifunza kutoka kwako!!!
@fatumakale7004
@fatumakale7004 Жыл бұрын
Maashallah shukrn Sana
@aishavogelmann5021
@aishavogelmann5021 4 жыл бұрын
Thanks alot and 🙏be blessed always , naendelea kufunza coz utasaidie umati mkubwa walio taka kusaidika...🙏🙏🙏🙏shukran.
@ChrisMauki1
@ChrisMauki1 4 жыл бұрын
Nashkuru sana
@berthadenis1713
@berthadenis1713 2 жыл бұрын
unaaeza kumsamehe lkn hakutakuwa na mapenz kama zaman docta bora akupige utasema ni kwa sababu ya kosa langu kuliko kukucheat akiwa anajielewa alafu alud kuomba msamaha
@joaivenkabigumila902
@joaivenkabigumila902 4 жыл бұрын
Asante Sana dk mauki
@vevo3130
@vevo3130 4 жыл бұрын
Dr nakataa kusema kucheat ni matokeo what if hana sababu….na wengi wanaocheat hawanaga sababu….what if kucheat ndio sababu wala sio matokeo...kucheat is achoice just like any other bullshit na kuanza kusema kuwa kuna sababu na inasababishwa na yule mwenza alieumizwa ni kukataa kosa….tena mi bora useme umekosa ila ukianza kuniambia sijui mimi ndio sababu sijui nini why ulisubiri mpaka uchepuke ndio useme!! ni unafiki na mtu wa hivi ni mnafiki!!!hapo ndio kabisaaaaaaa umeniambia nenda na usigeuke nyuma...mi ushauri wangu Jitu likikucheat achana nalo banaa aaaghhh! povu ruksa
@millingaantonia
@millingaantonia 4 жыл бұрын
Vivian Charlz 😂😂😂😂
@maggymm7302
@maggymm7302 4 жыл бұрын
Well said mama.. no justification kbs.
@nassbnassoro1644
@nassbnassoro1644 4 жыл бұрын
I concur With u @Vivian Charlz Keep a mile distance from the betrayer! Unless u can forgive as u r strongest person in this world to live with cheating ghost memory comfortably (or can able to forget all about worse memory)
@elishangomele9937
@elishangomele9937 4 жыл бұрын
Dah unaongea Kwa hisia Sana pole Kwa matatizo yaliyokupata
@ameenasur656
@ameenasur656 4 жыл бұрын
Kbs jitu likichepuka liache kabla halijakuambukiza ugonjwa 😆😆😆😆😆😆
@neemakyejo3131
@neemakyejo3131 4 жыл бұрын
Asante sana doctor ubarikiwe Sana
@farajamsigwa1304
@farajamsigwa1304 4 жыл бұрын
Ahsante sana Dr.nimepata kitu kipya
@sospetermuruga4955
@sospetermuruga4955 3 жыл бұрын
Asante kwa kunielimisha Dk,
@fatumaluze7724
@fatumaluze7724 3 жыл бұрын
Mungu akubariki Sana kaka somo zuriiiiiii
@stellalucas338
@stellalucas338 4 жыл бұрын
Nashukulu sana kwa mafundisho yako hakka na enjoy mno
@munahashim8898
@munahashim8898 2 жыл бұрын
God bless you brother
@vailethjames1934
@vailethjames1934 9 ай бұрын
Mm nikimwambia twende kwa psychology cancellor anakwambiaa awo ni watu kama sisi na mtumia basi hizi video ananiambia mahusiano yanalindwa na neema ya mungu nataka nijaribu kitabu Cha najiandaa kwa ndoa ikishindikana nakuja mwenyewe na Dr Cris unisaidie ushauri
@rhobysagwe1711
@rhobysagwe1711 2 жыл бұрын
Asante kwa ushauri wako nimejifunza kitu
@dianakaperadianakapera1122
@dianakaperadianakapera1122 3 жыл бұрын
Mungu akubariki kwa ushauri mziri
@felistermaximillian2793
@felistermaximillian2793 4 жыл бұрын
Kaka Chris aksante Sana mafundisho mazuri
@aryanamendes8700
@aryanamendes8700 3 жыл бұрын
Asantee sanaaa
@dorkasmwashambwamwashambwa9906
@dorkasmwashambwamwashambwa9906 3 жыл бұрын
Asante dokta nimejifunza kitu
@beatriceloveness3793
@beatriceloveness3793 4 жыл бұрын
Nashukru Sana doctor Chris
@ChrisMauki1
@ChrisMauki1 4 жыл бұрын
Asante sana
@user-nr2kb4uz7m
@user-nr2kb4uz7m 5 ай бұрын
asantee je inatokea mtu anakili kosa unamsamehe lakin ukichunguza mienendo bado inaendelea ileile
@dapriccy3574
@dapriccy3574 3 жыл бұрын
Nataman mme wangu haya mafunzo ayaone màana Ana Mambo endelevu,,
@abigaelopiyo2066
@abigaelopiyo2066 Жыл бұрын
Tuunde group hata wangu ni kaziiendelee
@niwaelfesto7373
@niwaelfesto7373 4 жыл бұрын
Asante sana Dr
@patientmuhuza7008
@patientmuhuza7008 Жыл бұрын
Asante sana kwa ushauri mkubwa
@happyhaule5865
@happyhaule5865 Жыл бұрын
Asante Sana kwahili mmi silipizi achepuke tuu
@elishangomele9937
@elishangomele9937 4 жыл бұрын
Nakuelewa Sana Dr mauki
@mossomar1674
@mossomar1674 4 жыл бұрын
Mhh!, yaan mm cwez kusamehe kbs, yaan moyo wangu mgumu Sana. Bado nahitaj counsel ya saikoloj
@elishangomele9937
@elishangomele9937 4 жыл бұрын
Unaposamehe unaanza kusahau Tu japo utakuwa unakumbuka ila kinachotakiwa hapo ni kujua sababu
@ashurasolaga9420
@ashurasolaga9420 3 жыл бұрын
Ila kwa alieumizwa kwa kweli kusahau ni tabu Ila pia jaribu kusamehe coz yanaweza wewe yakakukuta zaidi ya kosa lake tena alilokutendea wewe
@lukanavilo7088
@lukanavilo7088 3 жыл бұрын
Ishu Apo ni kusahau ulichotendewa,
@mariammlimbila1755
@mariammlimbila1755 4 жыл бұрын
Kweli kabisa ubarikiwe
@asteriashios1852
@asteriashios1852 4 ай бұрын
Aisee ni kweli huyu Dr anavyosema ni kweli kabisa
@estermwita6157
@estermwita6157 4 жыл бұрын
Nakuelewa sn Dr
@stellalucas338
@stellalucas338 4 жыл бұрын
Dor nimependa sana mafundisho yako
@kitengealmas4085
@kitengealmas4085 Жыл бұрын
Huyu mumewangu amechepuka tena sio na mwanamke mmoja ninamwambia anakata ninaushahidi kabisa lakini yeye hakubali kabisa tena matokeo yake ananitafutia makosa ya uongo je nifanye nini natamani kumuacha lakini namuhurumia kwakua najua ataishi maisha magumu sana nime naona kasahau niliko mtoa. Hata sijui chakufanya nambayako pls unishauri Nina maumivu makali sana
@thomasboso3081
@thomasboso3081 3 жыл бұрын
Kama aliyechepuke hataki kukiri makosa ili mkakaa sawa hii inakuaje Mr Chris?
@kitengealmas4085
@kitengealmas4085 Жыл бұрын
Hata mimi nataka majibu ya hili swali hataki kukiri sasa utazungumzaje
@zainabuliza7504
@zainabuliza7504 4 жыл бұрын
Ni kweli kabisa kabisa
@marymusangi5568
@marymusangi5568 4 жыл бұрын
hogera sana drmauki💯💯💯
@arnoldkimbory485
@arnoldkimbory485 4 жыл бұрын
Hongera Sana Dr mauki
@pendosafari7967
@pendosafari7967 Ай бұрын
Kaka Chris naomba utuwekee namba yako....nahisi tukiongea unaweza kututibu zaid kuliko kusikia maelezo tu.
@user-xt5rn7kw3p
@user-xt5rn7kw3p Ай бұрын
Wengine wanaomba msamaha na kesho anarudia yale yale
@josephinewilliam3481
@josephinewilliam3481 Жыл бұрын
Wala hakubali kabisa
@smartonlinetv5144
@smartonlinetv5144 2 жыл бұрын
Mimi akicheat then nikapata uhakika kabisa kuwa kafanya,aiseeee siwezi samehee kabisa maana huko ni kupotezeana mda alafu mnajiweka ktk risk ya maradhi. Ivo sihitaji counselor Wala chanselor.
@user-br4tl7jv9j
@user-br4tl7jv9j 4 ай бұрын
😂😂😂
@Daudifm5800
@Daudifm5800 Жыл бұрын
HAISEE NIMESAMEHE LKN MTAANI WANASEMA NIMEROGWA😂😂😂
@priscamlay701
@priscamlay701 4 жыл бұрын
It’s all true
@amandusihyeraamandusi452
@amandusihyeraamandusi452 3 ай бұрын
Kaka unayoyasema nikwer mke wangu nimemkuta mja mzito ila nimeamua kumsamehe
@berthadenis1713
@berthadenis1713 2 жыл бұрын
hehehe hapo maisha sidhan kama yatakuwepo lazima mtakumbushiana tu kucheat hakuna msamaha jmn never for me uwiiii nenda tu baba kwahuyo uloona ndo pumziko lako wapo wanaonitaka namm
@smartonlinetv5144
@smartonlinetv5144 2 жыл бұрын
Kabisa, Mimi siwezi msamee mjinga na mpuuzi hata siku Moja. Ukiona amecheat jua upendo hakuna hapo other wise mtaanza kuishi Kwa uvumilivu tu. Nimeshasema kama Mimi sijawahi kumcheat why yeye anicheat? Aiseeee Hilo kosa nimeshasema halinaga msamaha kabisa. Nitampa uhuru wa kuendelea na huyo mjinga mwenzie.
@Dhulqarnain-qc6gz
@Dhulqarnain-qc6gz Ай бұрын
It rains everywhere😂
@michellegeorge7477
@michellegeorge7477 3 жыл бұрын
Naomba no zako bro nahitaji ushauri mnoo nateseka Sana
@anetherasto4960
@anetherasto4960 3 жыл бұрын
Pole
@mwajumakitano842
@mwajumakitano842 4 жыл бұрын
Love you so so much,wishing one day my love will make a different🤗🤗🤗
@ChrisMauki1
@ChrisMauki1 4 жыл бұрын
Asante saana
@marvithmarvith4761
@marvithmarvith4761 3 жыл бұрын
@@ChrisMauki1 naomba namba ya whatsap doktar pleas nashida sana
@madamboss348
@madamboss348 4 жыл бұрын
Na mwanamke mwenye kucheat akiwa na bwana kwa nyumba . Doctor the fact will remain no cheating n marriage or relationship. Being faithful will cost u nothing
@NaomiSimon-jk4yj
@NaomiSimon-jk4yj 11 ай бұрын
Daah hii hali inasumbua sana ndoa 😭😭😭
@franksospeter5221
@franksospeter5221 4 жыл бұрын
Mara mia bora kuanza upya kuliko kulea kidonda
@babyhamisi5331
@babyhamisi5331 4 жыл бұрын
Ahsante sana,heri kuanza upya haijalishi utaanza mara ngapi
@franksospeter5221
@franksospeter5221 4 жыл бұрын
@@babyhamisi5331 penzi huwa linaisha utamu kabisa hata mkisameheana utabaki unafiki na maigizo tu
@franksospeter5221
@franksospeter5221 4 жыл бұрын
@@babyhamisi5331 penzi huwa linaisha utamu kabisa hata mkisameheana utabaki unafiki na maigizo tu
@vevo3130
@vevo3130 4 жыл бұрын
kweli hata mimi sinaga muda wa kulambalamba matapishi….bora nikapambanae mbele kwa mbele….maana ukijibanabana unaweza kukosa vitamu Zaidi na ukamkosa Zaidi anaekupenda
@emmamombo7149
@emmamombo7149 3 жыл бұрын
@@franksospeter5221 kweli kabisa
@RoswintaLovenus-wp4dv
@RoswintaLovenus-wp4dv 10 ай бұрын
Dt mm mume Wang anancht Kila Mara na ni bingwa kuomba msaha nikimuuliza tatizo nni anasema Hanna tatizo wakat mwingine nikimuuliza anakua mkali kwangsijui nifunyeje doct naomba ushauriwako naomba ushaur wako
@semenichaula371
@semenichaula371 Жыл бұрын
Dr mnazungumza lakini bado anaendelea sasa unafanuaje apo
@ashurasolaga9420
@ashurasolaga9420 3 жыл бұрын
Umenigusa daah
@angelomary5542
@angelomary5542 2 жыл бұрын
Je kama alie cheat mwenyewe haombi samahani walah haongei chochote mimi nifanye nini
@asaaomar5000
@asaaomar5000 2 жыл бұрын
Mtihan vo wanaume wanatutesa sana
@josephinewilliam3481
@josephinewilliam3481 Жыл бұрын
Je kama hauko tayari kusababu
@deborahmwaitenga1766
@deborahmwaitenga1766 4 жыл бұрын
Ikifikiaga hapo ndo natamani nirudi shule nikasome psychology
@diyashitindi6675
@diyashitindi6675 4 жыл бұрын
Its wealth.n its a right time
@babyhamisi5331
@babyhamisi5331 4 жыл бұрын
Tupo wengi
@allymohammedi8832
@allymohammedi8832 4 жыл бұрын
Psychologically tunahitaj somo la emotional intelligence
@yuwenmwashitete2932
@yuwenmwashitete2932 Жыл бұрын
Kwahiyo tusiendembalikufanyakazi kwasababuyayeye, utamkulayeye
@dapriccy3574
@dapriccy3574 3 жыл бұрын
Jamaniiii ili nichukue haya mafunzo yaje kwenye CM yangu kawaida nifanyeje maan nadownlod inagoma
@joycesamson9228
@joycesamson9228 4 жыл бұрын
Asante kwa ushauri ila kama mwenzi wako hataki kukaa ktk mazungumzo unafanyaje kaka
@andrewmwakangata3705
@andrewmwakangata3705 4 жыл бұрын
Hiyo inaumizaga sana na unakuta wako deep sana. Untmni ardhi ipasuke uingie tu
@bitunisebarua3884
@bitunisebarua3884 3 жыл бұрын
Dah apo penye kulipza kisasi nahisi
@wardamwarabu9942
@wardamwarabu9942 4 жыл бұрын
Mengine nimagumu Dr unaumia kila siku
@marryjames444
@marryjames444 3 жыл бұрын
Kweli aiseee mwingne kila siku yale yale hii ni wazi hakupendi msanii tu
@jacquelinewilliam755
@jacquelinewilliam755 3 жыл бұрын
Hapooo kwenyeeee makosaaaa jamaniii mm nikamaa yoteeee jamaniii janiii
@pwelechristopher3843
@pwelechristopher3843 3 жыл бұрын
Dr naomba namba yako me nimuhanga wa ili swala mwenzangu hataki mazungumzo kabisa mpaka ananiblock
@lydiahchepkemoi1519
@lydiahchepkemoi1519 Жыл бұрын
Na mwanaume akichipuka kila wakati ukimwuliza anakuwa mkali tena anakuambia ukitaka kuniacha nenda zako huyo unaeza msamehe kweli?
@esterbarnaba2488
@esterbarnaba2488 4 жыл бұрын
Duuuuu yaani nahitaji somo ili zaidi
@samwelsigonda1830
@samwelsigonda1830 4 жыл бұрын
Doct mi nashida napataje namba zako
@farihiamass8739
@farihiamass8739 4 жыл бұрын
Kitabu cha malezi napataje arusha
@ibrahimmchaulo2716
@ibrahimmchaulo2716 2 жыл бұрын
Kaka mee ni m1 walotendwaa nakuelewa cnaa
@restipaul4286
@restipaul4286 3 жыл бұрын
Y
@ibrahimmchaulo2716
@ibrahimmchaulo2716 2 жыл бұрын
Duuh
@christineayuma4030
@christineayuma4030 4 жыл бұрын
Naomba namba yako daktari
@pamelasomola5714
@pamelasomola5714 4 жыл бұрын
Japo swala la kumuomba mtu aombe msamaha kwa kosa lake mwenyewe tena kosa kama usaliti inauma mno na haisahauliki
@vevo3130
@vevo3130 4 жыл бұрын
kuchepuka ni tiketi ya kuachana mi sijawahi kuweza na ninavojipenda and very selfish siwezi kuishi kwenye uhusiano wa hvo wai!!
@asaaomar5000
@asaaomar5000 2 жыл бұрын
Kweli inauma sana
@antonytheodory2005
@antonytheodory2005 2 жыл бұрын
Suluhisho nikumwacha
@julianamgoha2357
@julianamgoha2357 3 жыл бұрын
Dr na kama amechepuka ukamsamehe lakini moyoni halijatoka. nini kifanyike kusahau
@madeelimadeeba9628
@madeelimadeeba9628 3 жыл бұрын
Utakuwa hujamsamehe Sasa na wewe khaa
@bellconrad3657
@bellconrad3657 3 жыл бұрын
Nyie acheni tu haya mambo unajikuta mwehu hivhvi
@dianamalingumu4516
@dianamalingumu4516 4 жыл бұрын
👀👀👀👀
@kalingapaintingdecorationd3911
@kalingapaintingdecorationd3911 4 жыл бұрын
Hi
@kalingapaintingdecorationd3911
@kalingapaintingdecorationd3911 4 жыл бұрын
Hello
@madamboss348
@madamboss348 4 жыл бұрын
My ex n malaya utashinda kumsamehe noooo
@emmamombo7149
@emmamombo7149 3 жыл бұрын
Kweli unasamehe hadi mwisho anakuonesha life
@dementriammbaga921
@dementriammbaga921 4 жыл бұрын
Pana kaugumu hapo
@marryjames444
@marryjames444 3 жыл бұрын
Kwel hasa kwa mtu anaerudia yale2
@ericron6115
@ericron6115 4 жыл бұрын
This video should take only one minute. Cheating is a choice and you should ditch a cheater as quickly as possible. This guy is always talking nonsense. And to add up, a cheating woman is a bizarre in your life. Its not even complicated, You should go if you are planning to consider yourself a man, No negotiations no exceptions
@irenewilbard2513
@irenewilbard2513 3 жыл бұрын
Basi utabadilisha dunia nzima ndugu😂😂. Mwombe mungu atakusaidia.
@ericron6115
@ericron6115 3 жыл бұрын
@@irenewilbard2513 hapana wapo watu wengi wenye maadili Wanaojua maaana ya uhusiano wanaume kwa wanawake. Tafuta hao na usirudi nyuma. Kama kuomba Mungu omba upate watu hao wenye upendo wa dhati . Ushauri wa watu kama Mauki unarudisha nyuma maadili kwa kulegeza principles zilizo wazi.
@stellalucas338
@stellalucas338 4 жыл бұрын
Nahitaji no yako ili unipe ushauli zaid
@mariammakotah4888
@mariammakotah4888 Жыл бұрын
🙌
@waridrasul1892
@waridrasul1892 2 жыл бұрын
Kmaumemsamehe Ila anakwambia hawezi kumuachaaa huyo mtu aliyechotinaye
@jameslyatuu95
@jameslyatuu95 2 жыл бұрын
Duuuh
@asaaomar5000
@asaaomar5000 2 жыл бұрын
Naachana nae kwan shingap
@asaaomar5000
@asaaomar5000 2 жыл бұрын
Kumbe kusalitiwa ndo kunauma ivi pole wote waliosalitiwa
@worldstartz
@worldstartz 4 жыл бұрын
Kama ni mke akichepuka ukiakikisha kabisa ni kumuacha tu na vitabu vya dini haviruhusu msamaha katika hilo anayesamehewa ni mwanaume tu
@mariammtoro1341
@mariammtoro1341 4 жыл бұрын
vipi unasamehe halafu anarudia tena lilelile
@elizabetjmillel3351
@elizabetjmillel3351 4 жыл бұрын
Hakuna kumsamehe awee mwanamme au mwanamkee tupaa kulee
@emmamombo7149
@emmamombo7149 3 жыл бұрын
@@elizabetjmillel3351 ja
@berthadenis1713
@berthadenis1713 2 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣
@mashaurimpogollo3550
@mashaurimpogollo3550 2 жыл бұрын
Dk kwenye kuchepuka Kuna mambo mengi kama akichepuka mkaamua kupima mara ukimwi umo tayari msamaha wake ni nini?
Dr. Chris Mauki: Dalili 5 mpenzi wako ana machungu na wewe
7:12
Chris Mauki
Рет қаралды 35 М.
Gli occhiali da sole non mi hanno coperto! 😎
00:13
Senza Limiti
Рет қаралды 18 МЛН
wow so cute 🥰
00:20
dednahype
Рет қаралды 27 МЛН
Can This Bubble Save My Life? 😱
00:55
Topper Guild
Рет қаралды 81 МЛН
❌Разве такое возможно? #story
01:00
Кэри Найс
Рет қаралды 2,8 МЛН
Dr Chris Mauki - Utajuaje penzi la mpenzi wako limeisha?
12:39
Chris Mauki
Рет қаралды 348 М.
DALILI NA TIBA ZA MTU MWENYE MSONGO WA MAWAZO (STRESS)
9:26
MASOMO YA KARNE
Рет қаралды 13 М.
KAMA USHAAWAHI SALITIWA NA MUME AU MKE DAWA YAKE SIKILIZA HII
31:50
OTHMAN MICHAEL ONLINE
Рет қаралды 569 М.
Gli occhiali da sole non mi hanno coperto! 😎
00:13
Senza Limiti
Рет қаралды 18 МЛН