Рет қаралды 348,489
Daud Kusekwa ndio jina la Mume mpya wa Mwimbaji wa nyimbo za Injili Madame Flora (zamani Flora Mbasha) ambapo ndoa yao wameifunga mwishoni mwa April 2017.
Baada ya kuona mitandao inavyosema na watu wanavyokosoa muungano mpya wa wawili hao, Daud amekaa kwenye AyoTV na kuzungumza Exclusive.