FAIDA 10 ZA KUSOMA VITABU

  Рет қаралды 16,654

Success Path Network

Success Path Network

5 жыл бұрын

Please watch: "FIKIA MALENGO YAKO KIRAHISI "
• FIKIA MALENGO YAKO KIR... -~-
Ni watu wachache sana ndiyo wanaopenda na wanafahamu umuhimu wa kusoma vitabu. Watu wengi hasa waafrika hawapendi kusoma vitabu ikiwa hakuna kinachowalazimisha kufanya hivyo kama vile mtihani, kazi, n.k.
Kwa hakika kuna maarifa mengi yaliyofichwa kwenye vitabu; hii ndiyo sababu watu wengi waliofanikiwa husoma au hata kuandika vitabu.
Ikiwa unataka kupata maarifa na kuboresha maisha yako kwa njia ya kusoma vitabu, basi fahamu faida hizi 10 za kusoma vitabu.
Kumbukuka Fikiri kabla hujazungumza. Lakini soma kabla hujafikiri.
MAMBO SABA (7) YA KUACHA ILI UFANIKIWE • Mambo 7 Ya Kuacha Ili ...
HAMASA YA LEO : • HAMASA YA LEO
.
Usiache ku SUBSCRIBE na kuniachia mawazo yako kwenye COMMENTS, LIKE na SHARE PIA kwa wengine.
.
NIFUATE MITANDAONI
INSTAGRAM: / ezdenjumanne
TWITTER: / ezdenjumanne
FACEBOOK: / ezdenjumanne
LINKEDIN: / ezdenjumanne
.
For Business please send me an email
ezdenjumanne@gmail.com
Or leave a text/ Whatsapp : (+255)759191076

Пікірлер: 118
@frumensrevelian4857
@frumensrevelian4857 5 жыл бұрын
Habari kaka, samahan kaka mimi napenda sana kusoma vitabu na napenda kkuuliza naomba kupata ushauri ni aina gani ya vitabu nivisome kwa maana mm napenda na vision yangu ni kuwa mwanasiasa na kiongozi mzuri, napenda kushauriwa nisome mambo yapi ama vitabu vipi zaidii, ntashukuru sana sana kaka.Mwaka huu nimeanza zaidi kujitengea muda zaidi kuamka mapema zaidi asubh nakujisomea, mipango yangu ya kisiasa ni miaka kumi mbele niwe mwanasiasa bora. Ntashukuru sana.
@bentzboufurnitures9452
@bentzboufurnitures9452 5 жыл бұрын
More more nice
@rachellebahati7512
@rachellebahati7512 5 жыл бұрын
Ansante sana bro.Mungu akulinde
@maundumwingizi8027
@maundumwingizi8027 5 жыл бұрын
Umesema kweli kabisa EZDEN. Faida zote ulizotaja nimeanza kuziona maishani mwangu tangu nilivyoanza kujibidiisha kusoma vitabu. Sasa naweza kusoma vitabu zaidi ya 50 kwa mwaka.
@successpathnetwork
@successpathnetwork 5 жыл бұрын
Sawasawa... hongera sana kaka.
@zaytoonabdallah1172
@zaytoonabdallah1172 5 жыл бұрын
Duuuuh, MaashaaAllaah hongera sana. naamini ipo siku inshaaAllaah nami nitasema kama hivyo. 50 books in a year! that's wow!
@ferfizymdr7153
@ferfizymdr7153 5 жыл бұрын
Habari kaka mambo vipi? Unanisaidiaje na mimi kupata vitabu?
@mohammedrashid2906
@mohammedrashid2906 2 жыл бұрын
Safi
@alphamenson3784
@alphamenson3784 5 жыл бұрын
Sow a thought, reap a belief. Sow a belief, reap an attitude. Sow an attitude, reap an action. Sow an action, reap a habit. Sow a habit, reap a character. Sow a character n yo gonna reap a DESTINY. We only reap wat we sow...at de end of de day is wat yo put in is wat yo gonna get it out. Start by changin yuh thought n cultivate yuh MIND...God bless y'all.
@zuhraramzan2828
@zuhraramzan2828 5 жыл бұрын
Shukura mngu akupe weps uendelee kutpa hamasa ya kusoma vtabu kiukweli asante sana kaka angu
@hassanmsuya9057
@hassanmsuya9057 5 жыл бұрын
Yap brother nimekupata ni ukweli usio pingika maana hata tofauti ya fikra za MTU anae jifuza kitu IPO asante sana
@UbunifuTemple
@UbunifuTemple 5 жыл бұрын
I like it
@linahlymo7285
@linahlymo7285 5 жыл бұрын
Nashida nakitabu
@rajabumsumi7578
@rajabumsumi7578 5 жыл бұрын
Bro nakuelewa sana Allah akupe maisha marefu ili uzidi ku2pa madini bro
@matingo-bk1248
@matingo-bk1248 5 жыл бұрын
Thanx
@siwemamelchior1686
@siwemamelchior1686 5 жыл бұрын
May Almighty God bless you. Unagawa knowledge nzuri sana kwa walio tayari kuelewa. Ubarikiwe sana tena.
@michaelstephen7616
@michaelstephen7616 5 жыл бұрын
pamoja sana kaka mabadiliko muhimu
@shammoha5297
@shammoha5297 5 жыл бұрын
Yap! I like that idear ya kusoma kitabu na kuirudia. Ntajaribu in shaa Allah. Shukran kaka Ezden. Mola akubariki 😘
@thelimitlessclass7909
@thelimitlessclass7909 5 жыл бұрын
I appreciate this
@akshots_tz
@akshots_tz 5 жыл бұрын
asante sana, naomba kuuliza utaratibu gani nitumie katika kusoma vitabu maana me nimsomaji lkn kuna baadhi ya vitu nnavisoma katika vitabu lkn nnajikuta kama nnavisahau kuvifanyia kazi japo sio vyote... natanguliza shukrani
@stanslausnyangige5978
@stanslausnyangige5978 5 жыл бұрын
Shukuran kaka najifunza mengi sana na ninashukuru kwa msaada unaoutoa napenda kusoma lakin sijui nisome vitabu gan Nidsidie kwa hilo pia nayabadil maisha yangu kila siku
@ukhtyhalimasubscribedismai6497
@ukhtyhalimasubscribedismai6497 5 жыл бұрын
Very very good I like it ☝☝👏👏 😘😘 kweli kabisa brother yaani hizi faida ulizotaja hakika MTU akizifuatilia tutapiga hatua zaidi 😍😍
@successpathnetwork
@successpathnetwork 5 жыл бұрын
NASHUKURU SANA. WEWE UNASOMA KITABU LEO
@ukhtyhalimasubscribedismai6497
@ukhtyhalimasubscribedismai6497 5 жыл бұрын
Brother@@successpathnetwork nakuahidi nitatafuta vitabu nianze kusoma kwani unatupa ufaham mkubwa Sana🙏
@rehemajuma1933
@rehemajuma1933 5 жыл бұрын
Mungu akubariki kaka kwa elimu unayotupatia
@suphianimtego3028
@suphianimtego3028 5 жыл бұрын
Inshaalah
@mohamedkhateeb5098
@mohamedkhateeb5098 5 жыл бұрын
Shukran sana kaka,nimejifunza kitu hapo...kiukweli mimi ni mmoja wapo wa watu ambao ni wavivu sana wa kusoma vitabu..but from now on nitajitahidi sana kusoma vitabu.Thanks!
@japhetmwamba9579
@japhetmwamba9579 5 жыл бұрын
Napenda sana kusoma vitab nipo mwanza nitavipataje
@najlazezynaji117
@najlazezynaji117 5 жыл бұрын
Like zenu Kwa broo#Ezden
@oman3527
@oman3527 5 жыл бұрын
Hasanteee Nimeelewa kwa somo
@neemamsafiri3129
@neemamsafiri3129 5 жыл бұрын
Naomba kupata kitabu pls.
@frankonesmo280
@frankonesmo280 5 жыл бұрын
Thanks kaka for good story
@obachristopher4389
@obachristopher4389 5 жыл бұрын
Big ishu sana safi broo
@godfreyeliabu2582
@godfreyeliabu2582 5 жыл бұрын
Habari mwalimu ezden jumanne, somohili litanijenga kwani kuna tabia mbaya zimekuwa chronic kwangu /na wengine maombiyangu ni ujalibu kutoa aina ya vitabu ikiwezekana na majina yeke na vinapo patikana ingawa umewahikusema wewe pia unavyo
@christophercravery102
@christophercravery102 5 жыл бұрын
"Do the do before the do does you"
@yasinikateula6605
@yasinikateula6605 5 жыл бұрын
kwel kabsa
@LazaroSamwel
@LazaroSamwel 5 жыл бұрын
kazi nzuri kk
@successpathnetwork
@successpathnetwork 5 жыл бұрын
Asante kaka
@emotionalvoice972
@emotionalvoice972 5 жыл бұрын
Allah azidi kukuongoza kk, tuendelee kupata madini kutoka kwako, Najifunza vingi sana out of formal education,
@successpathnetwork
@successpathnetwork 5 жыл бұрын
NNashukuru sana kaka. Help me spreading the word. Just share this link na wengine pia. Im uploading a new video right now...soon utaiona. Pita
@manenolugendo6396
@manenolugendo6396 5 жыл бұрын
Ujumbe mzuri sana..
@vitendotv8732
@vitendotv8732 5 жыл бұрын
Asante sana kaka Ezden naomba unitumie majina ya hvyo vitabu vzri vya kusoma
@centvcentv1252
@centvcentv1252 5 жыл бұрын
kweli kaka ezden hasa iyo faida ya 7..yaan kama unanisema mm aise.
@zaytoonabdallah1172
@zaytoonabdallah1172 5 жыл бұрын
Nakubaliana nawe kuwa "Kitabu kimoja tu kinaweza kukubadilisha" mimi mpaka sasa sijasoma vitabu vingi ila napenda kusoma vitabu na nimegundua kuwa ninachokosea ni kuwa nasoma kitabu kinaponifikia na huwa sifanyi jitihada ya kuvitafuta vilipo. nitaanza kujirekebisha katika hilo. Ahsante kwa kunihamasisha. but, Ezden, would you like to recommend a book for me, i will appreciate that. Ahsante.
@maryammaram2612
@maryammaram2612 5 жыл бұрын
Shukran kaka Ezden naahidi kufatilia vitabu tofaut📚📚 na vingi zaidi naamin mabadiliko mazurii nitayaona.. 🙏🙏🙏
@shabanmkenga3154
@shabanmkenga3154 5 жыл бұрын
Maryam Maram
@maryammaram2612
@maryammaram2612 5 жыл бұрын
@@shabanmkenga3154 yes
@successpathnetwork
@successpathnetwork 5 жыл бұрын
jambo zuri sana Maryam... all the best
@maryammaram2612
@maryammaram2612 5 жыл бұрын
@@successpathnetwork shukran kaka Ezden👏👏👏
@mohammedrashid2906
@mohammedrashid2906 2 жыл бұрын
Safi
@bihuriashaabani689
@bihuriashaabani689 4 жыл бұрын
Shukrani bro.
@bintimushi3148
@bintimushi3148 5 жыл бұрын
Kaka nakufatilia Sana, nataka nianze kusoma vitabu, naomba niongoze nafanyaje.
@khadijajuma7142
@khadijajuma7142 5 жыл бұрын
Ahsante sana,pamoja kaka
@demarcusideka1506
@demarcusideka1506 5 жыл бұрын
Bravo brother.
@mohammedrashid2906
@mohammedrashid2906 2 жыл бұрын
Ahsante Mkuu
@gibsonmukulas3644
@gibsonmukulas3644 5 жыл бұрын
kaka Mungu akubariki sana unatoa elimu sana nadhani kwakuwa siyo mchoyo wa elimu basi nawe utafanikiwa zaid maana unapenda kujua meng ili usaidie weng
@misskwileka1956
@misskwileka1956 5 жыл бұрын
Hii ni kweli kabisa.. Hasa hiyo no 6, VITABU VINAPELEKEA MTU KUJUA MAMBO MENGI, KUZUNGUMZA POINT... Wooow 😍😍😍
@upendoeliud6053
@upendoeliud6053 4 жыл бұрын
Asante sana kaka kweli nimepata vitu vipya, naanza kulifanyia kazi hili.🙏
@Maulidfundi
@Maulidfundi 5 жыл бұрын
Nataka nianze kusoma vitabu,,,nianze na kitabu cha aina gan! Nisaidie.
@brothermams28
@brothermams28 5 жыл бұрын
Aisee somo zuri imeeleweka vzr
@gibsonmukulas3644
@gibsonmukulas3644 5 жыл бұрын
good sana
@simonsumaye6324
@simonsumaye6324 5 жыл бұрын
Each one teach one safi
@samsonezekiel9232
@samsonezekiel9232 3 жыл бұрын
Good ldea
@edwardalfred1172
@edwardalfred1172 5 жыл бұрын
Nashukuru ila naomba unishauri nianze kusoma kitabu gani.
@worshipertv9968
@worshipertv9968 5 жыл бұрын
Kaka napenda sana kusoma vitabu ila nashindwa nianzie wapi kila nikisema naanza ikifika kesho unakuta nipo tu naviona na ninapenda kununua sana vitabu
@japharimandalafamily6868
@japharimandalafamily6868 5 жыл бұрын
Je nivitabu vyaaina gani ambavyo vinatakiwa kusomwa?
@babalois7240
@babalois7240 5 жыл бұрын
Online... VITABU AFYA YA UBONGO
@hamisadodo453
@hamisadodo453 5 жыл бұрын
Kaka sijawahi soma vitabu nimeanza kuvutiwa nimependa xana mada zako ila nimvivu wakusoma xana sijui kwanini
@addya.bernard9580
@addya.bernard9580 2 жыл бұрын
Usiache, kila cku ipo cku utazoea ni ngumusana mwanzo so tafta kwanza zle str unazopenda
@yasinikateula6605
@yasinikateula6605 5 жыл бұрын
Uko sahihi binafsi nimeanza kubadilika mwaka huu 2018 Baada ya kuanza kusoma kitabu nimegundua makosa meng Sana niliyoyafanya
@stanslausnyangige5978
@stanslausnyangige5978 5 жыл бұрын
Naitaji kaka pls
@rizikimoshi4798
@rizikimoshi4798 5 жыл бұрын
brother nashida na vitabu vyako nitapa
@abubakariswai
@abubakariswai 2 жыл бұрын
Point ya Saba sijaielewa bro.
@joseefaidabutu6467
@joseefaidabutu6467 5 жыл бұрын
Asante kaka, n'itajitahidi kusoma vitabu
@moarusha4093
@moarusha4093 5 жыл бұрын
Naomba unisaidie majinavya vtabu ambazo naeza soma ili kuongezaa maarfaaa please kaka Ziwe za siasa maisha kwa ujumla
@gwantwamwaipaja1177
@gwantwamwaipaja1177 5 жыл бұрын
BRo..mm naomba..unipe muongozo...wa vitabu vya kusomaaa...pia nitasomaje ktbu kmoja for 3dyz..nmtingwa na mambo ya chuooo lkn ntmn..sana nisomeee
@biubwaahmadi40
@biubwaahmadi40 5 жыл бұрын
Ahsante sana kaka Edzen. Na mim nataka kuanza kusoma vitabu. Je nianze kusoma kitabu gani?? Naomba unijulishe na nitakifatilia. Ahsante sana.
@jabsonwillifred6641
@jabsonwillifred6641 4 жыл бұрын
naendelea kusoma vitabu. saf
@kibandamodern
@kibandamodern 2 жыл бұрын
Nichagulie
@mariamoses1098
@mariamoses1098 5 жыл бұрын
Nahitaji kitabu
@victormanyama109
@victormanyama109 5 жыл бұрын
ezden naomba unichagulie vitabu vitatu nikanunua samahan
@Maulidfundi
@Maulidfundi 5 жыл бұрын
Na sina mazoea ya kusoma kitabuuu.
@topazmjackison7294
@topazmjackison7294 3 жыл бұрын
Kaka Habari ya sumbuwi umenipa hamasa Sana mimi natamani Sana kusoma vitambu
@valenceremmy515
@valenceremmy515 5 жыл бұрын
Nakupata xana brother ezden bt naomba contact ako ili tuwaxiliane unielekeze mamb fulan
@issabakari694
@issabakari694 5 жыл бұрын
Uko vzr sana bro big up Allah akeweke coz kwa ayo maarifa unayo tupa unatapa msukumo vijana wa kujitambua coz watu wanalalamika oooh maisha magumu wakati kwa kufuatilia vitu kama ivi unaweza ukapata kitu so ungetutajia baadhi ya vitabu ili tuanze navyo,Asante sana
@asiajuma5784
@asiajuma5784 5 жыл бұрын
Mi natamani sn kusoma vitabu ila jinsi ya kuvipata ss mi nipo shinyanga 🙇‍♀️
@advocatekarama4917
@advocatekarama4917 5 жыл бұрын
Asia Juma jaribu ata kwenye mitandao mfano google store kna vitabu vinapatikana bure
@abdul-rahmankhatib6036
@abdul-rahmankhatib6036 4 жыл бұрын
ukweli ni kwamba nnahamu sana ya kuanza kusoma vitabu.. shida ni wapi napata?
@swalehesheha5391
@swalehesheha5391 5 жыл бұрын
A.sante sana nilichelewa kuona vedio zako ila Shukran sana. Kwa jina naitwa swaleh sheha mkaazi wa zanzibar ninachoomba kupata majina ya hivyo vitabu mana nami kujisomea. Na swali langu je naweza kupata kwenye mtandao hivyo Vitabu?
@advocatekarama4917
@advocatekarama4917 5 жыл бұрын
swalehe sheha Ndio
@godwinmsomba6909
@godwinmsomba6909 5 жыл бұрын
Asante bro. Nataka nianze kusoma ni kitabu gani nianze?
@zuhraramzan2828
@zuhraramzan2828 5 жыл бұрын
Asnte nimejifunza faida ya kusoma maana nilikuwa sjui maana ya kusoma kitabu
@AbdulHalim-su7kl
@AbdulHalim-su7kl 5 жыл бұрын
Broo ntk kitabu cha kuaza nach....
@rajabkibugula9122
@rajabkibugula9122 5 жыл бұрын
Nimekuelewa ndugu, sasa nilikuwa naomba unielekeze kuhusu kitabu chakuanza nacho kusoma
@baloziubalozini5074
@baloziubalozini5074 5 жыл бұрын
Hii hija kwamba kitabu kimoja ukikisoma kwa umakini na inavyopaswa kinatosha kukubadilisha,.NAIAFIKI,maana nilisoma kitabu kimoja na nikajikuta nikianza kuchukua hatua
@Faraobeatz
@Faraobeatz 2 жыл бұрын
Natamani Sana kusoma vitabu vya kiswahili vyenye mtazamo chanya lakin bado sijajua namna ya kuvi download
@Lutumbabrand
@Lutumbabrand 5 жыл бұрын
Sikiliza simulizi nzuri na za kusisimua kzbin.info/www/bejne/jGKummSLbr6ohsk Ujio mpya wa muziki wa taarabu kzbin.info/www/bejne/qoq3q52wqb6ie6s
@victormanyama109
@victormanyama109 5 жыл бұрын
maana nimehamasika sana sitaki tena kurudi nyuma
@simonsumaye6324
@simonsumaye6324 5 жыл бұрын
Safe Sana type reference Za awali
@fadhilimohammedi9004
@fadhilimohammedi9004 5 жыл бұрын
Mimi.nikisoma mstari mmoja tu nnapiga sana myayo na machozi na taya zinauma je? Kitabu gani na unasomaje nielezee
@ahnafabdallah9433
@ahnafabdallah9433 4 жыл бұрын
Ipo app ya kudownload vitabu?
@johnvicenthmuna5151
@johnvicenthmuna5151 5 жыл бұрын
Broo VP kwa wasiyo elewa lugha Fulani ya kitabu kitawasaidiaje
@salimnjowoka4357
@salimnjowoka4357 5 жыл бұрын
Sasa kiongozi,muda mwingine unasoma kitabu onaona maneno magumu mengi.inapelekea kuchoka kukisoma.hapa unasharauri vp.Mkuu.
@amansaid7601
@amansaid7601 5 жыл бұрын
kaka m naomba unisaidie ushaur mimi nasoma lakini sielewi napenda sana kusoma vtabu
@bakarkingwaba5505
@bakarkingwaba5505 5 жыл бұрын
Nipatie kitabu kizuri lkn kiwe kwa kiswahili
@benjaminndaki8212
@benjaminndaki8212 5 жыл бұрын
Brother hii kitu unatufunza unaweza tupatia no yako
@emmanuelludovick8749
@emmanuelludovick8749 5 жыл бұрын
Naomba msaada naitaji kuanza kusoma vitabu kila siku naomba msaada wa ezden simu ni +255743348856 daresalam
@shammoha5297
@shammoha5297 5 жыл бұрын
Can you recommend one book for me? Thanks👍
@mezani782
@mezani782 5 жыл бұрын
The Millionaire Next Door by J. Stanley
@suleimandadu4859
@suleimandadu4859 2 жыл бұрын
Katika kusoma vitabu ni vitabu vya aina fulani au ni vyovyote?
@fanpmaarifa3697
@fanpmaarifa3697 3 жыл бұрын
Ni vitabu vya aina gani unapaswa usome
@barakachongera9705
@barakachongera9705 3 жыл бұрын
Kaka samahani naomba kujua ni kitabu gani ambacho natakiwa kuanza nacho?"
@francissamwel6628
@francissamwel6628 5 жыл бұрын
Broo minapenda kwel kuanza kusoma vitabu ilasijui nisome vitabu vp au vya ainagan
@stonyshipindi2152
@stonyshipindi2152 3 жыл бұрын
Sasa hivyo vitaabu vilivyo andikwa kwa rugha ya kiswahili vipo au??????
@beatricejames4403
@beatricejames4403 4 жыл бұрын
Ezden nataman kuanza kusoma vitabu ila nasemaga ntaanza ntaanza mwisho mda unaenda nashindwa pliz assist me on how to do it please namba zangu whatsap 0683381889
@msambachacha8523
@msambachacha8523 5 жыл бұрын
Broo naomba unitumie majina ya Vitabu 20 unavyo vikubali (msambacha@gmail.com) ntakushukuru sana mkuu
@andrewmawole7154
@andrewmawole7154 5 жыл бұрын
Safi Sana Kaka Yetu Ezden J.
FANYA HAYA UKIWA KWENYE AJIRA UFANIKIWE ZAIDI
12:18
Success Path Network
Рет қаралды 34 М.
YOUR FINANCIAL SUCCESS DEPENDS ON THIS...
15:58
Success Path Network
Рет қаралды 25 М.
Я нашел кто меня пранкует!
00:51
Аришнев
Рет қаралды 4,7 МЛН
🤔Какой Орган самый длинный ? #shorts
00:42
КАРМАНЧИК 2 СЕЗОН 7 СЕРИЯ ФИНАЛ
21:37
Inter Production
Рет қаралды 547 М.
Mambo Sita (6) Ya Kuepuka Unapokua Katika Eneo Lako La Kazi
10:54
Joel Nanauka
Рет қаралды 69 М.
NAMNA YA KUTAMBUA FURSA - MABALA
11:54
Success Path Network
Рет қаралды 16 М.
NDOTO ZAKO MAFANIKIO YAKO
9:54
Success Path Network
Рет қаралды 50 М.
7 LESSONS People Learn Too Late In Life
21:22
Success Path Network
Рет қаралды 37 М.
JINSI YA KUCHUNGA MUDA KWA MAFANIKIO
6:34
Success Path Network
Рет қаралды 22 М.
Njia Nne (4) Za Kukuza Biashara Yako - Joel Nanauka
9:07
Joel Nanauka
Рет қаралды 145 М.
UJASIRIAMALI NI NINI? - Richard Mabala
16:12
Success Path Network
Рет қаралды 18 М.
Mambo 3 Ya Kufanya Leo Ili Uondoe Stress Maishani Mwako
5:07
Joel Nanauka
Рет қаралды 632 М.
Tatua Matatizo Ili Ufanikiwe Zaidi
7:01
Success Path Network
Рет қаралды 14 М.
Я нашел кто меня пранкует!
00:51
Аришнев
Рет қаралды 4,7 МЛН