Hongera sana Mheshimiwa Mpina. Hii sasa ndiyo caliber ya Wasukuma tunayoijua
@yusuphkichawele10092 ай бұрын
Well presented Mpina anafanya kazi ya wananchi waliomtuma, nipo Chadema ila nampongeza sana Mpina. We need MP like you in this country ✌️✌️✌️✌️
@mussamashaka-sy1vl2 ай бұрын
Maombi ya watanzania juu ya taifa lao,yamefanya upate ujasili wa kuweka wazi mambo hayo,umemaliza kazi yako na Mungu akusimamie pamoja na familia yako na watakaokuunga mkono,Taifa hili ni la Mungu
@nuruleonard9592 ай бұрын
Huyu Ndio kiongozi tunaetaka 👏🏼 Mungu amtunze Mpina
@peterkiswaga24912 ай бұрын
Tunataka viongozi kama Hawa sio wababaishaji mungu akuongezee maisha marefu mpina
@ednambata95032 ай бұрын
Nitasimama kwenye maombi yangu kwa ajili ya mpina Mungu akulinde kaka yetu
@user-qv4jb7mt5q2 ай бұрын
Wewe ni mzalendo wa kweli, hongera sana.
@PauloMalimaАй бұрын
Hongera sana mheshimiwa Mpina, kwa kuwa mzalendo mwema wa nchi yetu, kupitia kutatua uongo unaendelea ndani ya serikali yetu kupitia viongozi mbalimbali.... 👏👏
@Alex_M_Ouma972 ай бұрын
Nmeifatilia hii speech mwanzo mwisho, for sure Mungu ndiye akupiganie Mh. Mpina. You deserve respect for this. Huu ni ubadhirifu kabisa, mianya ya upigaji na utakatishaji fedha kabisa yan. Nlikua namuamini sana Bashe ila kumbe nae ni wa hovyo tu.
@dicksonagapity72312 ай бұрын
Lisu alishaongelea akasema swala la uagizaji sukar n skendo vibali vinatoka ikulu...
@waltergodwin25292 ай бұрын
Bashe alikuaga mtu sana kabla yakua waziri lakini baada ya uwaziri basi tena akajaa kwenye mfumo typically which means sio mzalendo wa kweli.
@japhetlukumay27782 ай бұрын
Jembe! Jembeeee! Shoka! Mungu akubariki sana
@zedekiajumaluwumba34732 ай бұрын
I love how respectful he is while address the issue very detailed, calm and composed. Keep it up Mr Mpina
@FabianCharles-cv2pm4 күн бұрын
Asanteee sanaa mkuu wasukuma asiekuelewa hawezi kukuelewa tena ongera sanaaa 🙏🙏
@elibarikimollel71492 ай бұрын
Looh! Mh.Bashe,Bashe Mungu anakuona kijana weye kuhadaa masikini wenye njaa na dhiki mnazotusababishia kwenye utukufu wenu!
@isaackchambo26422 ай бұрын
Hy ndio Sirikali ya CCM
@billgussy60992 ай бұрын
Hivi wale wabunge wanao mshangilia Bashe bungeni na spika anaye mtetea Bashe kwa nguvu zote wana lengo gani na hii nchi?
@ngambikomsu642 ай бұрын
Huo ushahidi waukubali wasiukubali sis tumekuelewa. Jitahidi kijilonda usimwamini hata rafiki yako,Usinywe chochote Bungeni. Usitembee peke yako. Usitembee usiku. Na sisi wananchi ulinzi wa Mungu tunakuombea🙏🏼🙏🏼
@errydeo88652 ай бұрын
The only PERSON mwenye weledi bungeni! Spika atazima! Kwani bashe kapiga mamilioni mangapi kwenye mbolea kwa kuumiza wananchi! Samia ndo anawalinda vibaka wenzie! Shida ya bashe ni kujifanya anajua! Tanzania tuna shida! Wabunge shida,spika ndo usiseme, SAMIA ndo kabsaaa!
@clemenceparokola2 ай бұрын
Mpina uko vizuri sana,Mungu aendelee kukutuunza kaka
@japhetlukumay27782 ай бұрын
Mungu akubariki sana! Umesaidia Rais na bunge kutafakari juu ya hili
@user-rn9og1rk3l2 ай бұрын
Raisi mwenyewe ni mwizi mbona
@ShijaMayuma2 ай бұрын
Ndg mheshimiwa hongera Sana kwa kuwamlikia wananchi juu ya ukweli mr.mpina
@simonmagembe74162 ай бұрын
Mpina ukweli unahitaji gharama ndogo Sana kuutetea kuliko uongo.wewe umemaliza na wananchi tumekuelewa!!
@ezekielmirambo87042 ай бұрын
Wabunge wote wangekuwa kama huyu jamaa tungekuwa mawinguni!
@franciscodabalu19192 ай бұрын
Hawa ndo viongozi tunaowahitaji katika hil Taifa tunaliwa mnoo big up bro Mpinna.
@muhammadalibhaz13902 ай бұрын
Allah bless luhanga mpina ameen
@PartySekemi2 ай бұрын
Hongera sana mhe. mpina usingetoa hadharani wangeenda kumaliza wenyewe kwa kulindana mwishoe aonekane mpina ni muongo
@user-jf1sq7lk4g2 ай бұрын
God bless you mpina upo vzuri bashe achie ngazi
@iddymbogowogo-yu3gv2 ай бұрын
Mpina hakika wewe nikiongozi wa wananchi hongera mungu akutunze
@oscartalljembemgonya35282 ай бұрын
mh Pina umetutoa watanzania to go to go machoni. Hakika we ni mzalendo wa nchi hii. mwenyezi mungu akulinde.
@shanjemanumba63252 ай бұрын
Kila siku huwa nasema pamoja na uchaguzi wa mwaka 2020 kwa hapa Hayati ametuachia mtu muhimu sana na Mungu aendelee kumlinda na azidi kumpa hekima na busara azidi kupambania Taifa hili
@simonrusigwa30242 ай бұрын
Sasa watampa tena nafasi? Shida ipo hapo
@brysonkaale30032 ай бұрын
Watanzania tulipigwa!,Msishangae hata baada ya maelezi yaliyonyooka na yenye vielelezo ya Mh Mpina,waziri asiwajibike Wala asifanywe chochote!,hii Ndiyo Tanzania!
Hivi bado waziri wa kilimo na wasamehe kodi bado hawajajiuzuru? Asante sana mpina Mungu akulinde. Mimi nakukubali sana siku zote.
@eliudbalilemwa4392 ай бұрын
Nimekusikiliza vizuri uko smart kichwani unafaa sana kuendelea kuwatetea wananchi. Mungu aendelee kuwa mlinzi wako.
@bobwhite92522 ай бұрын
Huyu anaandaliwa kuwa mtu mzito sana...ndomana anajiamin..usifanye mchezo na system
@HassanWasiwasi-lq1kh2 ай бұрын
Point
@ombeninnko18002 ай бұрын
Very logical
@sponsor78822 ай бұрын
Huyu jamaa angeungana na Lissu wachukue Inchi ila awe makini asije pigwa chuma
@anastazialushika2 ай бұрын
Muongeze na makonda yaani tunatoboa mapema sana hii nchi
@frankpeter41782 ай бұрын
Hata kama enzi ikiwa na watawala wabaya lakini, kila enzi na nabii wake, hata kama bunge ni moja MUNGU asingeacha kutuma Nabii wa kusema mabaya....😢😢😢
@alikokibona15832 ай бұрын
Nakusubiri Mhe spika.uwe makini na wabunge waliowengi kumzomea mbuge anapochangia jambo bungeni. Wananchi wanafuatilia sana haya mambo.Haki itendeke.
@errydeo88652 ай бұрын
Hakuna lolote ,wanalindana wote! Sukari ipo kwenye maghara yao! Ni game tu wanacheza!
@wadeelegbogun30152 ай бұрын
MKUU WA MAJESHI ALIWAAMBIA, tuna viongozi sio raia wetu, wamepenya mpaka kwenye uwaziri, mmoja wapo ni bashe
@MohamedIbrahim-bn1gz2 ай бұрын
Bashe Mtanzania
@sammykateregga62382 ай бұрын
Mimi nampongeza Ndg Mpina kwa sababu ameweka wazi taarifa yake maana angekabidhi kimya tusingejua. Sawa acha inyeshe tuone panapovuja. Tulipigwa ma kitu kizito Ndg Mpina umetuhirumia. Tunapendekeza tuchuje pumba na Mchele
@HarunaKamwelwe-yt6io2 ай бұрын
Kuna uvumi kwamba wakulima walipewa mbolea feki! Uongozi. Unataka uzalendo na kama hoja ya mh Mpina utadhibit in bora wazir Bashe akajiuzulu
@eliudimwakasenga97542 ай бұрын
Mungu akulinde mpina
@petermwenda64702 ай бұрын
Katika waliomfuata Magufuli kwa moyo wote na wakadumu ni huyu mwamba, yuko peke yake ndani ya bunge hana support
@sarahray49452 ай бұрын
Nakuunga mkono ndg yangi
@BrunoNamanga2 ай бұрын
Kheeè
@JesuinaBabili2 ай бұрын
Hakika, Mungu you pamoja naye
@JesuinaBabili2 ай бұрын
Hakika … Mungu yu pamoja naye
@MohamedIbrahim-bn1gz2 ай бұрын
Hajui sheria kabisa
@shabansaidndeseme69732 ай бұрын
Well noted
@AgnesShiwali2 ай бұрын
Kaka mpina big up sana tunaitaji wazalendo na wenye kutetea taifa Kama Hawa watu wamegeuza Tanzania jalala au shamba la bb, nyie viongozi igen mfano jifunzen kupitia mpina kiongoz shupav kiongoz msema kweli, mungu akubarik
@sebastiansalamba3132 ай бұрын
Kwa kweli Bashe namuona sio mkweli anajona yuko sahihi sana na dharau sio vizuri taifa hili tutalihenga wote na katka umoja wetu tukiwasaidia viongozi wetu lkn Sasa e3eee
@shitarupili20062 ай бұрын
Keep it up
@abdallahnkrumah62372 ай бұрын
Hapo lazima Spika wa Bunge ajute sana kuomba ushahidi kutoka kwa Mh Mpina
@geey78932 ай бұрын
😂😂😂alijua mpina ni kilaza. Ana masters kasomea nje huyo
@brunobalama60462 ай бұрын
😂😂😂@@geey7893
@errydeo88652 ай бұрын
Spika anajua ukweli,ni kulinda wizi tu! Hapo bado utasikia ushahidi uliowazi,ataweka kabatini! Nchi ngumu! Mpina asingeongea bungeni bila ushahidi,alijua ushahidi ungeombwa kulingana na KANUNI ZA BUNGE! BASHE NI KAJIZI BALAA!KWENYE MBOLEA KAFANYA HAYA HAYA!
@soplisjoachim58842 ай бұрын
Kumekucha...... Hiyo ndio freedom of expression
@piusrweyemamu39002 ай бұрын
Huyu ndie zao la JPM aliesalia na anafanana nae kwa vitu vingi, Nawapenda viongozi wa namna hii🎉🎉🎉
@madengejr2 ай бұрын
Mpina ndo mbunge pekee anayehitaji mabadiliko ya uwajibikaji na mfumo
@adenmwakalobo7602 ай бұрын
Ninakubaliana na wewe kwa asilimia zote, huku hasa ndiko kuwawakilisha wananchi! Uongo, ulaghai na ubabaishaji vimekithiri miongoni mwa Waandamizi serikalini na dawa ni kuwaumbua kama alivyofanya mh Mpina
@mndambimrinji2 ай бұрын
CHAMA CHANGU KITAKUWA NA UJASIRI WA KUMRUDISHA ATETEE TENA KITI CHAKE CHA UBUNGE????CCM MNALO JEMBE TAYARI KAZI KWENU WENYEWE
@stellanyamtengera57212 ай бұрын
nakukubaliiiii mpinaaa
@edwardmbonika51022 ай бұрын
Aise wananchi wa kisesa tunawaomba mpina arudi bungenii
@KulwaKaduma2 ай бұрын
Hawa watu wasio na muonekano wa utanzania wao moja kwa moja si wa kuwapa nafasi za uongozi maana hawana uchungu na nchi na pia hawawezi kuwa na huruma na watanzania halisia walio na hali duni. Na kila mtanzania anapaswa kuwa jasiri kutetea maslahi ya nchi,tuachane na mambo ya woga na uchawa una'cost nchi na kizazi cha Tanzania.
@elibarikimollel71492 ай бұрын
Siku zote serikali ndio imehusika na kukosekana sukari kwa wakubwa kuvipangia viwanda kiwango cha kuzalisha ili wapate mwanya wa kuagiza sukari nje kwa kuwatumia wafanyabiashara wa asili ya kiasia. Ngoja tuone je, taarifa hii nzuri sana ya Mh.Luhaga Mpina itapuuzwa na bunge na serikali au laa!
@margarethsolomon98232 ай бұрын
Watakuwa kimyaaaaa maana limegusa wengi sio huyo Bashe tu.
@KisigeraKisigera2 ай бұрын
Wewe nimsema kweli wanyonge tunakwamini sana tunakunga mkono
@JosiaMakali2 ай бұрын
Baada ya Samia kumalza awamu zake zakuwa Rais nakuomba uchukue form ya kugombea uraisi chap chap na utapita kaama jembe letu lililo tangulia mbele yahaki. Amen
@STEVENRingo-vf7ox2 ай бұрын
Tupate wapi kama Hawa kumi wangesaidia nchi
@HasinaIbrahim-bu5kq2 ай бұрын
Sukuma gang oyeeeeeeeee
@japhetlukumay27782 ай бұрын
Pesa za Rushwa wanazokula za wanyonge! Mungu atajibu soon
@AgnesShiwali2 ай бұрын
Hongera sana kwa Kaz nzur mauwa tumpatie mzalendo na kiongoz mahir
@KulwaKaduma2 ай бұрын
Hawa watu wasio na muonekano wa utanzania wao moja kwa moja si wa kuwapa nafasi za uongozi maana hawana uchungu na nchi na pia hawawezi kuwa na huruma na watanzania halisia walio na hali duni. Na kila mtanzania anapaswa kuwa jasiri kutetea maslahi ya nchi,tuachane na mambo ya woga na uchawa una'cost nchi na kizazi cha Tanzania.😮
@ktk-ke7mh2 ай бұрын
ngj wakuite mbaguzi
@antoniadavid12332 ай бұрын
Yaani mimi alipo sema Bei ya sukari imepanda hadi elfu kumi(10,000) Kwa kilo hapo naiona huo ni uongo mkubwa . Jamaa ni muongo balaa
@ntezealoyce70432 ай бұрын
Kumbe ndo najua Sasa wanasiasa wahongo sana,mwansiasa akisenma Sasa Moja natoka kupima jua,mungu anakuona Bashe unaongea kwa kujiamini sana kumbe muongo sana,mpima wapige spana
@PatrickMaturo2 ай бұрын
Hivi kweli kama Mpina anasema kweli mh Bashe alimaanisha nini
@errydeo88652 ай бұрын
Wizi ,kuna kingine! Mabilioni yeshapigwa! Jua pia,sukari sio kusema wanaoagiza! Ipo kwenye ma godowns yao! Hivi unawaonake!? Ndo maana bashe alisema haijetwa! Ipo
@user-td1mk2tk6h2 ай бұрын
Safi sana
@peterkuzenza50072 ай бұрын
Mbunge makini sana nilibahatika kuwepo kwenye hii press conference na waandishi wa habari ilikua ni nzuri sana coz mpina anapambania masirahi mapana ya taifa
@naweramadhan38282 ай бұрын
Mwamba yuko vizuri, natamani manyara tungekuwa na mbunge kam huyu, mungu awe nawe jilinde tu wasikudhuru madudu ni mengi sana
@greysonmatogo46622 ай бұрын
Bashe kwa heshima na taadhima achia ngazi brother, usimjibu huyu mtu wala usiende kujieleza kwa spika, nzega tutaendelea kukuamini na kukutuma utuwakilishe, huhitaji kuwa waziri wala naibu, unahitaji kuwa Bashe tu inatosha.
@nyembobea72852 ай бұрын
Hakuna kujiuzuru kwasababu ya huyu chawa wa matajiri huyu tuseme hakuona mateso ya bei ya sukari kwa wananchi ccm chungeni huyu mbunge
@geey78932 ай бұрын
@@nyembobea7285Research hupingwa Kwa Research. Njoo na taarifa sahihi umshinde sio kuongea Michambo bila ushahidi. Approach ya huyu inahitaji usomi, ukikurupuka anakupigia za uso
@anastaziamathias88612 ай бұрын
@@nyembobea7285Bashe mpumbavu Tu aachie ngazi ushahidi huo hapo hadharani apinge tuone
@MagidingaBahat2 ай бұрын
God bless you my rol model
@anatholypole28892 ай бұрын
Mh.Mpina,tunaomba pia ulifanyie utafiti na uchunguzi Kwa nini wizara ya Afya inatuelekeza tuendelee kuwa na watoa dawa katka maduka ya Dawa muhimu wakati hawatoi mafunzo yao,towatoe wapi huku hawazalishwi?
@KAZILONYANGISA2 ай бұрын
Amina
@user-cz7bd9tc5k2 ай бұрын
EEE MWENYEZI MUNGU UMlinde Mpina na Mabaya yasimpate Yawapate Wote wenye nia mbaya na Nchi yetu
@OscarChonya2 ай бұрын
Yani Mpina Mungu akutunze nakukulinda, Rais mpya wabadaye unauchungu napesa zinazopotea
@mosesg.pendael83812 ай бұрын
Haya mavazi ya Mpina ni ya chama gani? Sio Jeshi la wokovu hawa?
@elgibborpro2 ай бұрын
😅😅😅😅hahahaa
@KulwaKaduma2 ай бұрын
Watanzania kama hawa wenye uzalendo wa dhati kabisa yapaswa kuungwa mkono pale wanapo watetea wananchi na kulinda maslahi ya taifa.
@anatholypole28892 ай бұрын
Mh,Mungu akusomamie udumu na uendelee kututete
@lapelyepota55722 ай бұрын
sukari imetengenezwa brazil february 2024 na kusafirishwa na kufika tanzania ndani ya mwezi
@JumaaSpareparts2 ай бұрын
*Safi mkuu mungu akutie nguvu
@user-cj2iq1qv6n2 ай бұрын
KWANZA BASHE KAUPATAJE UWAZILI NA UBUNGE WAKATI NI MSOMALI. TIPICO? CCM CCM HATALI SANA WAMESHAWAH KUTULETEA WABUNGE HADI WAHINDI CCM NI JANGA LA TAIFA
@KulwaKaduma2 ай бұрын
Hawa watu wasio na muonekano wa utanzania wao moja kwa moja si wa kuwapa nafasi za uongozi maana hawana uchungu na nchi na pia hawawezi kuwa na huruma na watanzania halisia walio na hali duni.
@deusdeditishengoma43352 ай бұрын
Mpina ni mwamba na kiongozi bora.
@justusngonyani1652 ай бұрын
Maelezo ya bashe,yalivutia sana sababu ilikuwa siasa tu.Always whoever tells the best story wins.
@kianda9732 ай бұрын
Bashe....dah!! Aibu sana. Yaani mimi huwa namkubali sana Bashe kumbe....dah!! Sasa ni mara ngapi tunapigwa?
@dicksonagapity72312 ай бұрын
Ogopa sana watu waerevu ambao wanaweza kujenga hoja...n atari n sawa na chui waliovaa ngoz ya kondoo
@errydeo88652 ай бұрын
Ni kwasababu wabongo huwa hamfatilii! Mimi BASHE sijawahi kumkubali! Ni mwizi balaa! KAUMIZA WAKULIMA NA MBOLEA balaa! Ananidhi sana kujifanya mcha Mungu! Ogopa watu waojifanya wanamtaguliza Mungu kama bashe! Madili
@samwelnevele77962 ай бұрын
Uko vizuri kaka tunapaswa kukuombea na kukuunga mkono tuache uchama tuseme ukweli ili tuwe huru
@charlessolomon59282 ай бұрын
Ok
@gwamakamoses64572 ай бұрын
Ukimsikiliza Bashe utaamini kuwa tumepata mtu mwenye uchungu na wanyonge wa Tanzania, lakini maelezo ya Mhe. Mpina utajua kuwa Bashe alikuwa anafanya sanaa hatari sana kwa watanzania. Maelezo ya Mpina yanajitosheleza na yameshiba takwimu
@errydeo88652 ай бұрын
Bashe HAJAWAHI KUWA NA UCHUNGU WOWOTE ! KAUMIZA WAKULIMA NA MBOLEA! KANA JEURI KA ZOTE! NI KAJIZI BALAA! SAMIA NDO ANAWALINDA! NA HII HAKUNA HATUA ZOZOTE ZITACHUKULIWA! HApo ilikua inabidi SAMIA amuweke pembeni, spika amuwajibishe! Lkn utasikia UCHUNGUZI UNAFANYIKA! KWANI REPORTS ZA CAG ZIKO WAPI!? mpina kamuanika!
@BernardMukasa2 ай бұрын
Aroooooo
@saulmwalubunju10762 ай бұрын
Point nzuri umesema kuwa ilani ya CCM ni nzuri ila Bashe haendani nayo hapohapo ndo Kuna viongozi weengi sana Hawafuati ilani
Mwenyewe nilimuunga mkono bashe kwa hotuba yake lakini nikasema ngoja nisikilize upande wa pili, ndo naona madudu ya bashe nimechoks
@stanmashamba70552 ай бұрын
Ishara kamili ya poromoko la dola ya CCM.
@KUYALAI2 ай бұрын
Asee hii nchi inapigwa bilion mia tano 😢
@user-bp7nb7yp2o2 ай бұрын
Kaka mpina nakuelewa sana Tena sana Kwa kutekelezA wajibu wako wa kuwatetea wananchi wa Tanzania ila upande uliopo hawapendi kuongea ukweli ndo maana wanakuona kama msaliti hasa Mwigulu hakujibu na analeta blablaa.
@ghazalghareeb451726 күн бұрын
MPINAAAA
@nixonjohnson49082 ай бұрын
Huyo waziri ahojiwe na kukamatwa
@desiderihugo57042 ай бұрын
Take care Mpina wasije wakakupoteza
@hashimjumahassani52682 ай бұрын
uyu mwenyewe ni WA uko uko tu....sema wamemtenga sana..alikua anafanya Kaz kwenye ofisi ya makamu wa Rais kabla ya kua mbunge..ambae anaelekea kutimizamiaka kumi mwakani
@sponsor78822 ай бұрын
True
@anastaziamathias88612 ай бұрын
@@hashimjumahassani5268huyu Yuko streit hapindishi kitu wanamjua Sana kina mwiguru yaani huwa haogopi huyu huko bungeni anawalipua Tu
@HeriDunia-i7m29 күн бұрын
bashe tumekuelewa sana tetea nchi kuna kuna jeshi linalosimamia katiba adi sasa iv serikali imevunja katiba karibu mara zote pita kwenye mifeleji ya mabadiliko siasa itakuua pita kwenye njia ya kwel ya mabadiliko inayoweza kufanya mabadiliko pita kwa wazalendo walioko kwenye mfumo tayar awo ndio watakao fanya mabadiliko ya kwel ila pekeyako uwezi wako wengi sana upo peke yako
@justusngonyani1652 ай бұрын
Kutafuta muda kuiombea nchi ni kumkasirisha Mungu.Maombi ya wenye dhambi ni kelele kwa mungu.Shetani anakubali maombi hayo.
@AgnesShiwali2 ай бұрын
Haya mama umeruhusu watu wale hadharan haya watakudhalilisha kemea mama usikubali posho na mishara wanayopata ni kubwa bado wanakuja kutulisha matango poriii na kutukandamiza wananchi wa Hali ya chin hakika mungu anawaona nyie wapigaji akiongozwa na Bashe mungu anakuona hakika kwa hili huponi,
@dilludillu27472 ай бұрын
Huyu ni mwanzo tu!!!
@kisenhawanguzu11442 ай бұрын
Iendelee kunyesha, tuone panapovuja! Hii ni Richmond nyingine iliyochangamka!
@user-ki3xm2ph1o2 ай бұрын
😂😂😂😂
@iddymbogowogo-yu3gv2 ай бұрын
Haya maneno ya mheshimiwa mpina ukiyachambua kiundani yanaukweli ndaniyake hakika yanaingia kwenye ubongo
@RubenMtuwaMungu-bz8ee2 ай бұрын
Pikipiki alizosambaza Samia nchi nzima za kumpromoti pesa ametoa wapi zaidi ya madili kama hayo!? Maana si za CCM ni za Samia herself. Rais hawezi kuchukua hatua yeyote wala spika sababu tunajua alichomfanya Ndugai. Wanasiasa karibu wote wanapambania matumbo yao.
@ngambikomsu642 ай бұрын
Wanaziita ati Pikipiki za Samiaa wakati zimepatikana kutokana na rasilimali zetu na kodi yetu na sio kwenye Mshahara wake.
@anatholypole28892 ай бұрын
Mh,mpina tunaomba alindwe Ili atusaidie Taifa.
@jedidahbintidaudi82412 ай бұрын
huyu mbunge wetu anaongea mambo yanaumiza sana moyo kwa kweli...sasa viwanda vyetu itakuaje? walau tunamtu ambae wanamuita "REMNANT" kkt nchi yetu anatetea maslai ya wananchi...dunia haipendi wema bali ni Mungu pekee