Natumai hamjambo. Ni kweli kabisa, wengi wasiopenda maendeleo ya wenzao hua na tabia km hizi. Hujifanya wazuri na maneno yao matamu kumbe hutega wenzao. Kuwagundua si jambo rahisi mpaka yakufike. Lkn Mungu hamfichi mnafiki. Asante sana brother kwa somo zuri sana.
@pastorgodsonjohn85623 жыл бұрын
Joeljoeljoeljoeljoeljoeljoeljoeljoeljoel Nakumwagia baraka zote Mungu akubariki
@lendobizzy13793 жыл бұрын
Ahsante Mr Joel maana malanyingi nilikuwa nikipuuzia sauti yangu ya ndani kwa watu wasio sahii katika maisha yangu Ahsante kwa kunikumbusha hili
@mozasaid38693 жыл бұрын
Shukran sana, mengi mawazo au nasaha zako zinatusaidia Ahsante sana
@MUHSINSALUM-cc4tg Жыл бұрын
Mimi Brother nimeshayapitia nabado ninaendelea kuyapitia. Kiukweli saivi nimejifunza mengi zaidi. Na nilichokiamua ni kupunguza saana mahusiano na mtu yeyote. Hata mkewangu pia simuamini tena.
@radhiamussa16293 жыл бұрын
I always get pain from those people now I understand how to live with them
@EK-kp2np3 жыл бұрын
Umenigusa sana kiongozi, 💯 %🙂
@piuspuka50713 жыл бұрын
Thanks you ndugu. Kwa kutuongezea mwanga maishani endeleaa kutupa elimuuu
@shukranjulius952610 ай бұрын
Mungu akubariki sana kaka, mimi nina shida ya kumwamini haraka mtu ,nimejikuta nikitapeliwa,hata kwenye mahusiano nikiumizwa😢
@adelinakibejile4696 Жыл бұрын
Asante kwa kunkumbusha kutowwamin watu kirahis maana,nna shida Sana katka hili,mwishowe naumia
@moviefightscenes33693 жыл бұрын
Nabarikiwa sana nikisikiliza clip zako kaka JOEL NANAUKA bless sana
@mbaruksaid57753 жыл бұрын
Niukweli kabisa mm naamini wote wanao nizunguka hawanipendi ila tu wanajifanya wapo karibu namm
@manenomfaume60323 жыл бұрын
Nimeshawahi Adi Kupoteza au niseme kuharibikiwa na kazi yangu kwahili lakumusmin mtu haraka shukrani sana mkuu
@jumamabruck78463 жыл бұрын
Asante sana
@humphreysteven6023 жыл бұрын
Joeli yamenikuta mara nyingi na yameniumiza sana nashukuru umenifungua masikio sîtosudia tena na mumgu anisaidie
@sophiamponi666610 ай бұрын
Dah nashukuru kaka kuna kitu umeniokoa
@eriantawumenya32573 жыл бұрын
Som Nzuri san
@faudhiasalum7279 Жыл бұрын
Ahsante sana
@tanzaniatourismboard83953 жыл бұрын
Ahsante Joel.
@speciozakaloliАй бұрын
Kweli
@janegeogre32342 жыл бұрын
asante sana
@patrickapolinary29493 жыл бұрын
See you at the top
@laylasuliman58053 жыл бұрын
Tunakushukuru kaka kwa elimu uitowayo mana unaigusa sna jamii yetu asiyefatilia kipindi chako kakosa mengi
@kivuquality2423 жыл бұрын
Vraiment Powa sn
@fridaelly28703 жыл бұрын
Ninabarikiwa Sana na mafundisho yako,Mungu akubariki sana
@sharifarajabu72553 жыл бұрын
Ni kweli kabisa shukurn kheri kwako
@kadrikhalfan38603 жыл бұрын
Dah kaka story ndefu sana umenikumbusha lakini juu ya yote umenisaidia mpaka hapa nilipo nibkwa kufuata muongozo wako nashukuru sana.
@alexalexander92373 жыл бұрын
Joel katika mada zako zote ii mada imenugusa sana bro mung akubariki bro sina mengi najua maisha ni safari bor tuta fika
@aliyukagambo Жыл бұрын
Kweli
@joycelaizer46003 жыл бұрын
Mungu akubariki
@suzanagerald93773 жыл бұрын
Mungu akubariki sana.
@josephatsimon67262 жыл бұрын
Kweli kabisa..... watu hao wapo ni kuwa makini zaidi
@mosesfrancis8495 Жыл бұрын
Mkn
@ahmuhally44303 жыл бұрын
Nimepata Somo kubwa ambalo sikuwahi kulijua maana yamenikuta Sana Joel mpaka nimeamua kuishi kivyanguvyangu
@shukuranirebecca4877 Жыл бұрын
🙏🙏🙏
@SKYVISUALS073 жыл бұрын
Ahsante sana kaka dah mungu akubariki sana
@modrinmaufi2333 жыл бұрын
Kweli kabisa
@manaseelias23513 жыл бұрын
Asante
@janethpallangyo26333 жыл бұрын
Thanks bro
@veronicawoisso53323 жыл бұрын
Asante sana kaka
@benfrancis82883 жыл бұрын
Kweli nakubali maana nilimwamini mtu sana lakn leo alichonifanya siri yangu lakn kati ya maneno anayoyaswma wote anaowaeleza wanalinganosja matukio hayaendani na alichosema wanabaki kumdhalau tu
@juliethfrank66263 жыл бұрын
Asante kaka Joel ila natamani ungeendelea
@ahmuhally44303 жыл бұрын
Bro nakuelewa sana sijawahi kujuta kutumia muda wangu tangu nianze kukufuatilia
@alisele52993 жыл бұрын
Big up
@alimatambwe34022 жыл бұрын
You are the best Nanauka
@mohammedrashid29063 жыл бұрын
Somo Muhimu Sana
@kivuquality2423 жыл бұрын
Nice sn
@judithmwambe47673 жыл бұрын
Sawa kaka Joel
@emmanuelmtumbuka92133 жыл бұрын
Hii ya leo Imenigusa san kaka joel
@innocentmajololo62703 жыл бұрын
Nakubal xn bro
@josephsimpamba85283 жыл бұрын
thanks for the good lesson
@user-bq2zh8go7t7 ай бұрын
Ata mimi kimenitokea kitu kibaya sana adi leo sina rafiki rafiki wakweli niwanangu tu na mimi mwenyewe
@zachariahexegesists78923 жыл бұрын
wengi sana ila wakija nawazingatia kisha najua niseme nini na niwajibu nini
@muznahmuznah86013 жыл бұрын
Ukiwa rohoni mwako huna ubaya na mtu na ukawa unafanya ibada sauti ya ndani hua inaishi na ww na kukutahadharisha na kila litakaloleta hatar kwako
@Iragibarune1.3 жыл бұрын
Yahani 😥😥😥 ili limeningusa sana
@naamohamed99643 жыл бұрын
Nimejifunza kitu
@rehemambaga12853 жыл бұрын
Kuna vidéo ulituma,,,, Naomba nijue ni Kivipi "kujitanua kwa haraka Katika biashara kunaweza kuuwa biashara biashara "?
@levocatusgatu42953 жыл бұрын
Nipo kigoma nahitaji vitabuu vyako""""?
@godlistenesau60193 жыл бұрын
ii Ni sindano yangu kabisa imeniingia kabisaa
@JosephMiwa3 жыл бұрын
Habari mkuu, kuna ujumbe unaendelea kutoa taarifa kwenye chanel yako ya ofa ya ebook kwamba unatuma 9,999 kwa namba 0756094875, jina Ipyana Mwangoka, kwamba ukituma unapata ebook 3 ndani ya saa 24 ofa hii ni hadi tar. 09/10/2020, hii huduma ni ya kweli au tuipuuze maana nimetuma tangia jana na 24hrs yamepita still ni kimya tu.
@ahz69073 жыл бұрын
Ni ya kweli.piga simu hiyo
@JosephMiwa3 жыл бұрын
Ilikuwa matatizo ya mtandao kwa upande wake, ila alishanitumia, Appreciate sana, tunasubiri offer nyingine .. !! Ubarikiwe sana