Ndo naelekea ofisini for the first time af nakutana na video hii....thank you brother
@joantestimony47753 жыл бұрын
Young and intelligent, blessings upon ur life sir.
@MajuvaMajuvaАй бұрын
Kweli moja ktk yahaya liliwahi kunitokea nashukuru sana kwakutujuza mungu akibariki uzidi kutuelemisha
@edwardnatharyblessed70673 жыл бұрын
God bless you, You have been so much a blessing to me through all your Advise and inspirations
@gabrielpaschal57683 жыл бұрын
Nakushukuru sana kwa Elimu unayonipa najivunia kua naww Nanauka, Mungu akuzidishie Hekima na Maarifa
@joelnanauka3 жыл бұрын
Ameen🙏🙏
@mariamually95023 жыл бұрын
@@joelnanauka Nakupenda San jamani
@ghostelmendez72063 жыл бұрын
Ahsante sana. *Sir* kwa kuendelea kutujuza watanzaniaaa
@naylahobra2 ай бұрын
Ni kweli mm nafanya kazi za ndani na nambiwa hadi gar nioshe na sio jukum langu lakin nafanya mana ndio jumla ya kazi mana nalipwa
@danielmirasano92133 жыл бұрын
For sure nimeipenda hii Sana'a you do real inspire me brother keep moving for our young and elder brother's be blessed
@dicksonmwanji34083 жыл бұрын
Mungu akubariki sana. Upo kwa wakati sahihi. Naamini ni kusudi kamili la Mungu. Barikiwa nduguyangu.
@agnesmwangama25533 жыл бұрын
Ahsante Joel umenisaidia sana kwa somo hili ni msaada mkubwa kwangu.
@ruthmwakyusa7053 жыл бұрын
Uko vizuri Sana Kaka,Mungu azidi kukupa Welevu na Maarifa zaidi,uendelee kuifundisha jamiii.hakika nimejifunza Sana.
@japhetjohn56972 жыл бұрын
Mungu akubariki kwa Maarifa haya pia nami anisaidie kuweka kwenye MATENDO.
@pascalkasandakasela45413 жыл бұрын
Hongera sana kwa kufikisha 100k
@joelnanauka3 жыл бұрын
Nashukuru Sana Kasanda.Nawe umekuwa unasapoti tangu Day 1
@amosmahona4333 жыл бұрын
MUNGU ni mwema asante kwa Elimu adhimu Sana kama HII katika maisha yangu
@jacklinejoseph40603 жыл бұрын
Nimekuelew kaka ang. God bless you
@eliaslukumayemanuel79293 жыл бұрын
Ndio kwangu Mimi limesha nitokea
@donardmsomi84513 жыл бұрын
Wow..!! Nimekuelewa boss
@fadhilikibanti34023 жыл бұрын
Brother Asante sana... mungu akutendee Mema
@chapmansalva85243 жыл бұрын
uko sawa sana kiongozi! maneno yako sio point, ni kilogram...
@jmonlinetv18033 жыл бұрын
Namimi ninawafanyakazi was Tania hizo, kwa hiyo huwa naanda mfanyakazi mwingine kabla hajaathiri my organization. Uko vizuri umeniongezea nondo zaidi.
@yunusrnb52273 жыл бұрын
Tafadhali naomba unisaidie kazi
@MilajiBaton-cw2vt22 күн бұрын
😂😂😂😂
@dronanordelectronics8491 Жыл бұрын
Io ya kusema ni nje ya majukumu asee ni tatizo sana JN you got contents
@frolanjelekela10063 жыл бұрын
Ahsante sana kaka kwa elimu, samahani kak joel nilikuwa nashida ya kuongea na wew naomb no yako.
@kabinakodaniel63703 жыл бұрын
Ahsante sana joel nimekuelewa Mungu akupe mwanga zaidi
@prettyh75093 жыл бұрын
Nimejifunz kaka shukran, tusaidie zaidi tuliopo nje maana hizi rang tofauti kidg
@saidsirya67163 жыл бұрын
Shukran sanaa bro, yaani hapo mambo takribani yote nimeyafanya. Ila nashkuru kwamba sijajipata pabaya. Ila nitajirekebisha
@expert58983 жыл бұрын
Pole sana kijana... Inabidi usome ethics
@nataliasr30136 ай бұрын
Asante sana kwa mada hii iliyotukuka mno
@kelvinmpinga57033 жыл бұрын
Nimekupata sana kaka, hilo neno "Sijui Lakini." Nilikuwa nalo, ila nimeanza kilikataa, ni baya kumbe, nashukuru sana.
@mohamedsuleiman72153 жыл бұрын
dah!...unanikumbusha boss wangu mzungu muengereza alinielewa basi kila kitu alipenda kuniuliza kutaka mawazo kwangu.
@ayubuabdallah69842 жыл бұрын
Hiyo ni kweli mungu akubariki sana
@najatahmed20663 жыл бұрын
Uko vizuri sana mungu akupe maisha marefu
@neemamcharo37973 жыл бұрын
Well said brother big up!
@DinuZeno3 жыл бұрын
90% ya uliyozungumza yamenikuta dhidi ya Mch. Wangu.
@geniousjustin34243 жыл бұрын
Tunamshukru mungu subscriber wamefuka 1k elimu yako ni mhimu mno inatakiwa ungekuwa na 10m
@joelnanauka3 жыл бұрын
Ameen 🙏 ahsante pia kwa sapoti yako.Tuendelee kuwaalika wengine wajifunze pia.
@MasijaBahati3 ай бұрын
Shukran sana kaka mungu akujalie zaid❤😂😂🎉😮😅
@japhetjohn56972 жыл бұрын
Hiii imenifungua kabisa,nilikuwa Sijui kabisa asante Sana.
@furahasarakikya56763 жыл бұрын
Thank so much brother.... Be blessed
@fredgomes86393 жыл бұрын
Mawaidha mazuri sana kaka pongera maranyingi tunapo kasirishwa kazini tunatupa maneno mwisho tunajuta badaye.
@ErickAMinja3 жыл бұрын
Aisee asante sana kaka Joel. Hio ni elimu kubwa sana inasaidia hata kuepusha kutokuelewana na mabosi wetu na pia kusaidia katika kusecure our jobs but also helps to enforce discipline. Thank you very much.
@alicekatsutsu6345 Жыл бұрын
7667
@alicekatsutsu6345 Жыл бұрын
T7
@alicekatsutsu6345 Жыл бұрын
Y
@alicekatsutsu6345 Жыл бұрын
Y⅞7
@barakacharo59672 жыл бұрын
Talented, thank you so much bro
@awadhlema58593 жыл бұрын
Super........big up my young brother
@seifzongo3203 жыл бұрын
See you at the top....🏋️🏋️
@merykabogo76363 жыл бұрын
Ni kweli kaka Joel wenge kutokana na kauli za midomo yao wamejikuta wanapoteza kazi pasipo kjua na kujtia maixhia yao !!!
@joelnanauka3 жыл бұрын
Ni kweli Mery,inabidi kuwa makini
@nurdin.mndeme34473 жыл бұрын
thnx kaka Nanauka tunajifunza sana
@blaisenkanira53003 жыл бұрын
Nafikiri ya kuwa bwana Joel uko sahihi kabisa kwa huyo muelezo piya na huyo ushauri wote umekao towa, ningependa tuu, watakoa kusikiliza waufanyiye kazi ili waweze kuwa vizuri na ma boss wao half wa weze kupiga hatuwa mbele
@farajagabriel49533 жыл бұрын
Very well kept Sir 👌
@jmonlinetv18033 жыл бұрын
Nimewahi kuwa na mfanyakazi nikampa kazi ya kufanya usafi akiwa na wenzake, yy alikuwa mlinzi akaniambi mm sijaja kufagia nimekuja kulinda. Nikamtoa kwa kukosa la kutojihusisha kwenye team work. Leo anaikumbuka Kaz ile.
@doreenmsangi74413 жыл бұрын
Splendid Work Joel
@renfridaflorence43803 жыл бұрын
Thank Mimi Nilishawahi kutana nayo... Barikiwa
@davidkazoya86293 жыл бұрын
Aseeee bro ahsante
@achiamwenda8788 Жыл бұрын
ASANTE sana kaka joel
@josephinemuyona76703 жыл бұрын
Nimewahi kutana nayo mimi. Mwalimu asante kwa mafunzo yako. Masuri
@benjaminesekon8074 Жыл бұрын
Thanks for your powerful information.
@brownpatrickkaduma71063 жыл бұрын
Asante kwa darasa JN
@gilbertgodfrey.offical78073 жыл бұрын
Mungu akuzidishe kaka
@perpetuagodfrey70503 жыл бұрын
Asante kaka Joel
@samwelchemu15233 жыл бұрын
Be blessed broo
@farajisureman99253 жыл бұрын
Nimekupata sana
@mohdfoum2183 жыл бұрын
Umepatia hongera.
@nurudaud39933 жыл бұрын
Asante sana 😢 da yaani mi ndio nafanyaga hivo kabisa thanks nimejifunza
@joelnanauka3 жыл бұрын
Tuko pamoja sana
@kambiyusufu77093 жыл бұрын
Nakupenda sana kaka upo vizuly sana
@ricoteyzricoteyz4943 жыл бұрын
Nilitaqa kuona Video kama hiyo kiongozi...Ongera SaNa Bro
@joelnanauka3 жыл бұрын
Safii tuendelee kujifunza
@jmonlinetv18033 жыл бұрын
Nimeipenda sana
@nicksonimsamba18593 жыл бұрын
Daaa kaka wanena vema tunakosa kazi kwa njia hizi
@samuelngogo55723 жыл бұрын
Thanks bro your light
@yusuphmwaigomole3104 Жыл бұрын
Sijui lakini . Naona kama ni mimi vile imekuwa ikinitawala hata nikiwa najua wakati mwingine siwezi kusema moja kwa moja ,lakini naendelea kujifunza asante kwa elimu hii muhimu
@jumankoba61913 жыл бұрын
Yes mm nimesha wahi kuona kuna rafiki angu alikuwa vile kazini
@iteboahadi157 ай бұрын
Apo ni kweli kabisa mukubwa ishawayi kunitokeya mukazi namb 2
@hoseapeter88033 жыл бұрын
Nimeipenda Sana hii
@thomvision19143 жыл бұрын
What u talked is quit ...true ...true and Trueeee!!!
@rosevictorlive61843 жыл бұрын
Hongera kwa 100k subscribers #seeyouatthetop....
@joelnanauka3 жыл бұрын
Nashukuru Sana.Hongera kwetu sote na ahsante sana kuwa sapoti yako
@yusuphmwaigomole3104 Жыл бұрын
Hapo kwenye haiwezekani brother ni mtihani sometimes you speak automatically but thank you a lot for this knowledge ,too educative
@hilgathjoshua88043 жыл бұрын
Asante sana..
@zaisule95333 жыл бұрын
Nimekuelewa kaka
@gospelgarden18463 жыл бұрын
Kaka… thank you so much.
@ahmedmachano79712 жыл бұрын
Asante sana kaka mimi binafsi imenitkezea
@georgeoberlin46673 жыл бұрын
Very very interesting
@heko-dclinic52063 жыл бұрын
Safi
@barakadavidhaule36113 жыл бұрын
Nakuelewa san kiongozi wang
@radigideon97983 жыл бұрын
Ahsanteeee
@expert58983 жыл бұрын
Ni kweli unachosema.. Watu ambao huwa wanafanya hivyo huwa wana mambo ya kitoto.
@ibrahimrojala84213 жыл бұрын
Always nimekuwa nikifuatilia mafunzo yako lakini hili limenifanya nijione namna nilivyojichelesha kufikia malengo yangu kutokana na baadhi ya tabia na misimsmo yangu binafsi katika baadhi ya ofisi nilizopitia.
@joelnanauka3 жыл бұрын
Haujachelewa Ibra,tuendelee kujifunza na kufanyia kazi
Nashukuru sana kaka,na Vipi kwa maboss wanaotunyonya pale tunaporeact kwa kuonyesha tunahitaji kutendewa haki
@joelnanauka3 жыл бұрын
Tumia hekima zaidi kuliko hasira
@joelnanauka3 жыл бұрын
Tafuta pia video niliyoelezea Mabosi 6 wakorofi na Jinsi ya Kuhusiana nao
@georgemahunda38183 жыл бұрын
@@joelnanauka ahsante
@judithmwambe47673 жыл бұрын
Ahsante kaka Joel.
@user-pb8rk8yw7u9 ай бұрын
Umepita mle mle,watu wengi hawajui hiki lakini tulionao katika sekta zetu hasa za serikali,
@kicheleibasso53823 жыл бұрын
Mr uko vizuri Sana kwa elimu yatosha
@mariamually95023 жыл бұрын
Masha Allah sante
@cheupemwanga33263 жыл бұрын
Well said
@khalifanoti69743 жыл бұрын
Hayo ni kweli yanatokea sana
@user-dm6gu5jr6s11 ай бұрын
Kuna Boss wangu ambaye aliniamini sana nilikuwa na jituma sana ktk kazi sasa kuna siku nilifanya kazi ambayo ilikuwa ime chelewa kisha nika pata asara sim yangu ika aribika alipo niuliza sim iko wapi mbona nakupigia aipiti nika mwabia iliaribika wakati nilikuwa kazini jibu yake ilikuwa ulikuwa umelewa nilijisikia vibaya sana
@augustinekuyela21863 жыл бұрын
Kweli nimejifunza kitu kikubwa sana kutoka kwako asante
@hamisilumona71633 жыл бұрын
Yea kweli mimi imewai kutokea kwangu mimi mwenyewe kazini. Ila sasa nimepata mawazo mpya na njia mpya yakufanya kazi. Mungu akubariki naanibariki na mimi pia.
@judithsalvatory28923 жыл бұрын
Asante sana kaka
@kidemimsuya41983 жыл бұрын
Habar kaka nauka mm ni campany nimeajiri watu hayo mambo nimekutana nayo .... Tena ilo jibu la mm sio jukumu langu ndio sanaaaa .... Nimeshampikiria kuachana na uyo staff kwenye kazi.. na kazi mda ukiisha anaondoka hata kama kuna wateja... Anasema mda imekwisha. .. na pia sitolipwa pesa yA mda unsongezeka..... Wakati kuja kazini kachelewa nusu saa nzimaa
@joelnanauka3 жыл бұрын
Sawa sawa, inawezekana hayuko sehemu sahihi usiendelee kumngangania
@agnesgervas80703 жыл бұрын
Ntumie no yk plz
@rogersabisai99703 жыл бұрын
Asante saaana
@piuswilson25023 жыл бұрын
🔥🔥🔥🔥
@rafaelmwanyila61343 жыл бұрын
Haya unayofundishaa ni muhimu sanaa,
@joelnanauka3 жыл бұрын
Ahsante Rafael,tuyafanyie kazi
@arboghastkayanda5613 жыл бұрын
Absolutely your lesson it's enchanting for me and be blessed in Jesus name