Innallahi wainna ilaihi rajiuni.. Mungu akujaalie kauli thabiti na akuhifadhi pahala panapostahili. Hakika ulitenda na ulinena, yaliyondani ya Moyo ajuaye ni Mungu pekee.
@petromwalongo34583 жыл бұрын
Hakika tutakukumbuka milele na daima pindi tuwapo hapa duniani ee mwenyezi mungu tunakuomba umpumzishe mahali pepa peponi amina
@theresiandomba35473 жыл бұрын
Tutakukumbuka daima baba,,wengi wenye akili,hufanya mambo makubwa sana kwa muda mfupi,watu wema,,pumzika kamanda,serious pain
@florakweyunga4490Ай бұрын
Omuyango,...omuzila nkende.😭😭😭.KIFO CHAKO ni utata mtupu.Pumzika Kwa Amani Mpendwa wetu.
@humphreykarua52412 жыл бұрын
Rest in peace Magufuli ulifqnya maendeleo mengi kwa miaka 5tu ,aliye na macho aambiwi tazama
@jacksonkadwela33693 жыл бұрын
Mungu akubaliki kwa kazi yako nzuri hapa tanzania R. I. P.
@Worldunite3 жыл бұрын
Daah, JPM kweli ulikuwa mtu wa imani, rip my beloved president
@kessymohamed1322 Жыл бұрын
Mungu akurehemu baba, yale uliyoyatabili leo tunayaona, hali ya mfuko wa bei ni hatari Tanzania
@mirajalawe-xe5ns7 ай бұрын
Allahuma ghufirlahu warahmhu waskinhu fil janna
@funnyprank30984 ай бұрын
🤲🏻🤲🏻
@ashaomari-rb1uu Жыл бұрын
Mwenyezi mungu ailaze roho yake mahali pema peponi mpendwa wetu ameen
@brysonkamoja37423 жыл бұрын
Mungu Akulinde Kwenye Safari Yako Mtetezi Wawanyonge
@ZainaHashimu-bm7tn Жыл бұрын
Punzika kwaamani baba etu tulikupenda sana tutakukumbuka daima
@utumishich4575 Жыл бұрын
Hakika Jembe letu tutakukumbuka Baba ulikuwa NGUZO IMARA Kwa watanzania hakika
@user-od8zb5df6l4 ай бұрын
Baba asante , pumzika.❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@mathiasrumanyika78413 жыл бұрын
Pumzika Kwa Amani Jembe Kutoka Chato
@rehemaaithumani30763 жыл бұрын
Mungu akulaze pema peponi 😭😭😭😭 R. I P 💔💔Raising Jonh pombe magufuri
@cudoplatnumz56183 жыл бұрын
Hutakiwi kusema ivy Rey
@rehemaaithumani30763 жыл бұрын
@@cudoplatnumz5618 Inauma sana tena sana mungu amlaze pema peponi yani huyu baba kaumiza nyoyo za watu tunamuombea kwa mungu amlaze kwa amani alale kwa amani kwenye nyumba yake ya milele
@alialamoudi97292 жыл бұрын
@@rehemaaithumani3076 wanao ingia peponi ni wale walio mafuta mtume mohamed mtume wa mwisho NA dini ya kiislaam tu sasa huo magufuli anamua mini mtume mohamed
@RaymondMahundi7 ай бұрын
Umelala baba..lkn hakika ya moyo wangu umelala mikononi mwa Mungu ulijitoa sana kwa taifa lako.wapigaji wote wa taifa walikimbia.maendeleo ya kweli kwa taifa langu mama Tanzania nilianza kuyaona kwenye kipindi chako.baba na ule wimbo wako ulikua unaimba kua Tanzania ni tajiri.ambao sikuwahi kuusikia katika kipindi cha kiongozi yeyote wa taifa hili.nashangaa sana baada ya wewe kuondoka wanaita Tena Tanzania ni nchi maskini
@kawingamashaka8749 Жыл бұрын
Ulikuwa kipenzi Cha watu.Tutakukumbuka sana
@user-hy8nj3nj6i9 ай бұрын
❤❤❤❤magufuli jembe
@kimarioedifesta41612 жыл бұрын
Tunakukumbuka baba
@user-ps4jt6gi9k10 ай бұрын
Tulikupenda baba yetu kipenzi ila Mungu kakupnda zaidi pumzika kipenzi chetu pumzika kwa amani mungu akupe pziko la mile ameni
@jumannerajabu8259 Жыл бұрын
mtanikumbuka na tunakukumbuka kweri ile nchi ipo mikononi mwa majambazi wanao jali masilah yao utafikili hawata kufa
@qimramaa6683 жыл бұрын
Mungu mkubwa Allah Akbar
@maureenkemei92543 жыл бұрын
Pumzika kwa Amani baba
@hamudshabani7801Ай бұрын
Ulinena thabiti na ukatenda mazuri na ukaipenda Tanzania
@gracewanjiku909710 ай бұрын
Tunakukubuka kwa mengi sana❤baba mungu akubaliki uko🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
@user-mt2jp8ug4n10 ай бұрын
Hakika hatutapa kiongozi shujaa na mkweli kama ww, vita umevipiga, mwendo umeumaliza, hakika mungu akufanye miongoni mwa malaika zake, ila endelea kutuombea.
@withongelenge99710 ай бұрын
True leader,,,,,true driver,,,,,dady of africans----->R.I.P
@elizabethismile6827 Жыл бұрын
Ni miaka miwili Sasa ,endelea kupumzika kwa amani. Huwa nawaza huwa uliuguaje aje Ivo ukawa serious Hadi hatua ya kufa😭😭😭
@BethaniaChaula8 ай бұрын
Tunakuku mbuka baba jpm kwayoteulio2tendeababa munguakurehemu sikwahila niukwelikutokamoyonimwangu munguakupokeebab yangu
@user-nh1nn2xo2b6 ай бұрын
Nikweli baba mungu akupe kita Huko mbinguni we uko peke yako Africa inzima
@amoniTv11483 ай бұрын
Nenda jembe umemaliza mwedo mimi nitakuja huko uliko AMENI
@JumaMusa-qr9gd2 ай бұрын
Dan pumzika kwa amany
@MATWETWEOGORO10 ай бұрын
We will still engrave you in our hearts.Because He is the Hero.we loved you papa Mgufuli
@stivininjingo5044 ай бұрын
To God be the glory
@reubenraphaelndelema6232 Жыл бұрын
Lala salama mzee wetu ulifanya kazi kubwa mno
@mariamjackson92563 жыл бұрын
💔💔💔💔💔💔💔😭😭😭😭😭😭😭sawa baba umeenda zako💔💔💔💔😭😭
@livinusmugisha5469 Жыл бұрын
Dha tulikua tumepata kiongozi kwakweli
@boscomakela22288 ай бұрын
There is no leader like a John Magufuli
@user-ld9sr3ws7p5 ай бұрын
Ameen
@user-zu9jg8hx5l4 ай бұрын
R.I.P BABA YETU MUNGU AKUPE KHERI YA MAISHA YA MILELE MBINGUNI .
@mariamjackson92563 жыл бұрын
Najua uko peponi💔💔😭😭😭😭😭🙏
@alialamoudi97292 жыл бұрын
Baada ya kuja mtume mohamed hamna dini etakubaliwa usipo muamini mohamed utaingia motoni hamna cha peponi kwa makafiri
@natupe123 Жыл бұрын
Eti Mudi😃😃😃😃😃
@moshintagata100 Жыл бұрын
Mungu akupunguzie azapu tulishajuta
@boniphacezephrine34962 жыл бұрын
Daaaah hiii saut itokayoooo nyikan n ya wachache love sanaaa always in my mind
@HappinessAko-gu5dz4 ай бұрын
Mungu akuweke pema peponi baba
@geoffreyibrahim74383 жыл бұрын
No one like you uncle magu Rip
@timboxlee9193 жыл бұрын
Ni kweli aliuwawa rais wetu jpm, mbona hakutangaza wakati anaumwa
@MACHOYATAI-jk6fu Жыл бұрын
Walimuuwa
@kisiwaumwitakt13342 жыл бұрын
yaa god be award u
@gemadominic39763 жыл бұрын
Tayari tushakukumbuka Baba
@emmanuelbonifas28042 жыл бұрын
Leo atuko na sauti hii tena ktk dunia hii ni swali la kujiuliza kwa mzalendo yeyote tulimkosea mungu wapi mpk tukapoteza aman kama hii kwa kizazi hiki cha sasa rip jpm
@jongosalehe1036 Жыл бұрын
Hivyoo hizi pesa viongozi wa Temeke wamezirudisha au bado maana hata Rc Makalla naye kapigia sana kelele..
@user-gy1jk1dq3x10 ай бұрын
Hotuba za magufuli
@victorodinga77225 ай бұрын
Endelea kupumzika kwa amani
@NasimaSaidi-zm4mi Жыл бұрын
Daaah alikua shujaaa sana mungu ampe kauli thabithi uko alipo
@JumanneMahenda-bk1js4 ай бұрын
Baba jaman
@eliudjamess4231 Жыл бұрын
RIP papaa umetuacha tunaungua
@amosimsanjiramvaila90452 жыл бұрын
baba nikweli hatuta pata rais wakweli kama wewe daima sasahivi tunako elekea nipabaya zaidi mtwara teyali kimesha nuka
@jamilajuma4458 Жыл бұрын
Nampenda sana raisi wetu
@mustafahassan18372 жыл бұрын
Ulikua mfariji na RAISI wakweli mungu akuweke mahali pema amin
@alialamoudi97292 жыл бұрын
Lazima kuamini mtume mohamed bila ya hio hakuna cha kulaza mahali pema dini kwa mungu ni uslaam bas
@jemedarikalimasi57542 жыл бұрын
Amina amina baba.
@zenamshamu88343 жыл бұрын
Hili ni jembe letu mungu alazee mahal pema
@alialamoudi97292 жыл бұрын
Mungu anamlaza pema ule aliyo muamini mtu mohamed
@elipidhugotesha1909 Жыл бұрын
Magufulinmwinginenatapatikana baada ya mama kutokaa
@nelsonantonio58342 жыл бұрын
ameen
@saynabmohammed62632 жыл бұрын
Samia upo wp uharibifu unao endelea wiz rushwa panda Road mauwaji nini hii mama simama imara ihimiza kumtegemea mungu sana sana
@godfreyshirima1480 Жыл бұрын
Usia wa baba kweli tunakukumbuka kwa mazur wala si mabaya
@denisipaulo7785 Жыл бұрын
Leo Bandali akuna Baba .Mama wamemujumu Ludi Baba wakina nape ndo miungu sasa
@simbawateranga70209 ай бұрын
Daah!!!😭😭😭
@johnsonmeduwa6634 Жыл бұрын
The only one in the twenty first century
@elizabethjacob9656 Жыл бұрын
It's break my heart into pieces 💔💔
@sharifasaidy639910 ай бұрын
😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭
@johnsonmeduwa6634 Жыл бұрын
How I wish your a Kenyan to lead us for just five years
@ivankakooza1765 Жыл бұрын
U av Ruto but u have started to insult him like some Tanzanians did for JPM. He is passing through his footstep but u r putting him down through that cursed raila every time people dies through his mandamano
@user-dw3vs4ff1b10 ай бұрын
Great loss to the Africans unity,Vita vya kiuchumi ni mbaya sana and that is what led to his death
@AnastaziaKundi-mv8mr10 ай бұрын
Dhaaa!!
@fetychina32733 жыл бұрын
Tena walipe sio sababu raisi ameondoka walipe
@vumilialeonardi1092 жыл бұрын
Namu namu watanzania masikini jamani
@kombozimbwilo42893 жыл бұрын
DA COMMANDO WETU WAMEKUALAKISHA ILO TUNAJUA KWA AJILI YA WANAICHI WAKO SABABU YA MAENDELEO YA KASI
@johnsmollel Жыл бұрын
Hakika tunakukumbuka sana
@frankpius30282 жыл бұрын
Good bless lema
@alfonsimwalongo9164 Жыл бұрын
Najiona rahisi wa baadae mimi😢
@safinamdingi23383 жыл бұрын
Pumzika baba wetu najua uko mbinguni tayari
@alialamoudi97292 жыл бұрын
Wewe ni muslm mbona unawaombea makafiri asiemuani mohamed haingi peponi
@innocentcleophace858310 ай бұрын
😢😢😢😢😢😢😢😢
@BornnyyMwankejela-sp9rq10 ай бұрын
Tume miss
@KiditaSostenes-mt7fp11 ай бұрын
Magnet milango
@jongosalehe10363 жыл бұрын
Sawa baba Jpm
@user-gy1jk1dq3x10 ай бұрын
Mungu alitupa wewe Kama zawdi na ameichukua yeye ndo muweza wa yote pimzika kwa amani .achozi yetu
@AllanOmery Жыл бұрын
Nice 😢🎉
@happysanga684610 ай бұрын
Daima tutakukumbuka mile yote
@sandalathobias50152 жыл бұрын
Hiviiiiii jaman ni kwel mm ad waleo c elew
@cristianagero Жыл бұрын
Upumuzike kwa amani
@user-ix2bh6be4k Жыл бұрын
❤hm😢
@ntegrity2772 жыл бұрын
Mziki huo Ni mkubwa mno! Hauna maana
@floramwanja7860 Жыл бұрын
Kikundi cha msoga hatukitaki ,majambazi wote wamerudishwa n hili limama,mikataba inasainiwa nje ya nchi,masafari kila siku nje ya nchi😫😫😫
@ramadhanikidoga3599 Жыл бұрын
Huna adabu
@kimarioedifesta41612 жыл бұрын
Jamani baba
@jacksonchiwalanga48172 жыл бұрын
Rest In Peace our hero 😭
@jumamusa4252 Жыл бұрын
Dua nene
@zakariampompo9532 жыл бұрын
Tunakukumbuka sass
@user-nh6gg7zj4q7 ай бұрын
Tutakukumbuka
@musitemusite43163 жыл бұрын
Inaumasana
@timboxlee9193 жыл бұрын
Wana ha ha ha ha tu uchumi umeshuka sana
@Annual_classic_offecial Жыл бұрын
Mwamba huyu hapa uyu
@twariburashidi49073 жыл бұрын
Pumzika Salam baba yetu
@alialamoudi97292 жыл бұрын
Dini kwa mungu ni uslaam NA asiemuani mtume mohamed amapotea