Kama unaamini Sugu anarudi Bungeni 2025 gonga like hapa.
@ombenianton36112 жыл бұрын
Cjui kikichomuweka Tulia Akson ktk nafasi ya hili jembe
@daressalaampost57852 жыл бұрын
Labda akagombee jimbo lingine, uzoefu unaonekana ni ngumu kumuondoa speaker jimboni. Akigombea jimbo lingine atapata
@michaelmabula74442 жыл бұрын
wapo wengine wengi tu
@michaelmabula74442 жыл бұрын
ndani ya ccm
@katemachanda70352 жыл бұрын
Endeleeni kumdanganya..
@sehemunzuri2 жыл бұрын
Beautiful speech, keep inspiring Kichwa✌️❤️
@abdallahmpwatile32652 жыл бұрын
Sijawahi kushindwa kukuelewa, you're my Hiphop Icon
@kelvinmmary51702 жыл бұрын
Hongera sana Mhe. Sugu Safari ya maisha inaonekana nyepesi mtu akiongea lakini kuishi katika nafasi hio na kubeba jasho na changamoto sio nyepesi Hongera sana My public figure
@johnsonbagambi19082 жыл бұрын
Sana uko vzr🙏🙏🙏🙏🙏
@laulymo20632 жыл бұрын
Umeongea point sana ndugu
@jixxyjussy47212 жыл бұрын
Thank you Sugu....u really delivered a very matured speech.
@pascalnicolaus69862 жыл бұрын
You always have my respect and Salute Mr Joseph! You are so gifted!
@Chrisblaze-beats2 жыл бұрын
Aisee kaongea vizuri sana hasa apa kwenye Finishing 🙏💪💪💪🔥
@josephmateru88922 жыл бұрын
Hongera cna sugu umefanya jambo kubwa hongera cna big up 💪🏻💪🏻💪🏻💪🏻
@shukranitv29712 жыл бұрын
Mama Samia han bifu na wapinzan hongera mama
@MakelemoMaganga-zj8jy Жыл бұрын
Jongwe,Taita, Sugu, Legend you deserve the best bro.
@jacksonmtonyole19292 жыл бұрын
Namwona Samia wa ndoto nyngine Big up Saaanah Mamaaah ......
@jacobd.kasofu22042 жыл бұрын
Great Speech my Best Friend and Soul MP...You delivered it wisely thank you Mr.SUGU JOSEPH MBILINYI.
@saimonelias97742 жыл бұрын
Oyoooo
@dickchambilo91382 жыл бұрын
Sugu has a lot of talents instead of being musician morever he is comedian and manymore his voice and speeches makes me fun indeed 🤣🤣👏👏🇹🇿💪
@issackchalahani12352 жыл бұрын
Legendary of the Hip hop in my the Country Mr. II Sugu Joseph Mbilinyi, appreciate you and congratulations Sir.
@rukikomuingi60262 жыл бұрын
Kwasababu mm ni rapa kama wew ninakupa freestyle kwasababu ulikua unatembea kwa miguu iliuwerapa leo unakula kuku kwa mlija mashavu yametuna kama paka heshima umeipata na pesa unezipata . hongera sana Mr 2 wew ndio chumbuko la hiphop mungu akubalika brother
@alinagwemwaselela90532 жыл бұрын
It's is not hard to get money, but we all trying to be Legends. Respect to this Brother.
@raymondsekabigwa59072 жыл бұрын
Hongera sugu Niko Nairobi Kenya nyimbo zenu hapa Kenya zinapigwa kila mahali Hadi raha
@waltergodwin25292 жыл бұрын
Legend of all the time, Sugu moto chini.
@jumamakanko51442 жыл бұрын
Sugu moto chini u're a super star the legend 🔥🔥🔥🔥🔥💪
@nyangetv88022 жыл бұрын
Naandika kukumbuka jinsi nilivyoandika kwenye daftari mashairi yako miaka hiyo ya 1996 ulipotoa album yako ya kwanza ya Ndani Ya Bongo. Safari ulianza mbali sana, hukukata tamaa na hatimaye umefanikiwa kufanya tamasha hili la kihistoria. Muziki wa Bongo si uhuni, umevuna ulichokipanda. HONGERA SANA MR II
@humphreybilly74372 жыл бұрын
Mungu akubariki mh Sugu,nakupendaga sana
@KalamuYaGalana2 жыл бұрын
Mimi mmoja wa fans wake wengi huku Malindi, Pwani ya Kenya.
@mosesndahani33152 жыл бұрын
Naiona Tanzania iliyopotea imerudi wenyeviti wa vyama kukaa pamoja Mungu mbariki Rais wetu Samia.
@nurdinngwegwe29432 жыл бұрын
Yo rap bonanza. Long Walk. We live Hip-Hop. Maisha Halisi siyo kuigiza
@mussahaji9052 жыл бұрын
Tanzania hua Ina furaha Raisi akiwa Muislam...inauma lakini ndo ukweli ulivyo..
@mohamedhaji22002 жыл бұрын
@@mussahaji905 umeona ehh
@dogouliza89342 жыл бұрын
Tanzania ya upendo wa kutosha
@aronatv472 жыл бұрын
@@mussahaji905 Huo ndio ukweli sio kuwa tunaleta udini nisieleweke hivyo Mimi ni mkristo na huwa naambiaga hata wengine wore Awamu zote zilizopita Za kikristo zimekuwa za kibabe Ujinga ujinga mwingi kwa kichaka cha kujenga nchi ila Meengi ni wizi wizi tu unafiki nafiki,kujipendekeza pendekeza same na ubabe kwa wenye Madaraka
@geeva992 жыл бұрын
Sasa huyu ndo legend 🙌🏾
@effortmsossy42712 жыл бұрын
Beautiful mind..!
@barikimoshi44742 жыл бұрын
Hongera Mr sana Mr sugu Safi
@joshua.mhando2 жыл бұрын
"My wife, All of my family imekaa kwenye meza next to ya Mh Rais kwasababu ya mimi kupiga mziki wa Hip Hop" 🙌
@altonkanjolonga23802 жыл бұрын
Longlive Sugu wewe ni icon kwenye Bongo fleva.
@fadhilhimid2776 Жыл бұрын
Ahsante Sugu upo vizuri
@josephinevicent10102 жыл бұрын
Mimi nfarijika sana kwa uongozi wa mama.mungu endelea kutembea na mama uyu
@hajisaidy30812 жыл бұрын
Sugu hongera sana you made it up.
@diktator18892 жыл бұрын
Kenyan leaders should emulate this.
@kwelinauzimamedia32152 жыл бұрын
Asiye jua Anaweza fikiri nikawaida , lakini fikiria ni kwa roho ya nani inayo waunganisha watu hawa
@calimahad92742 жыл бұрын
Hats off Sugu !!
@dineshog8575 Жыл бұрын
First rapper on everything
@leolaswai5784 Жыл бұрын
This man is the presidential material,from the womb to the tomb,born to give orders.
@brother_majesty2 жыл бұрын
BIG UP CHIEF
@peterstanslaus24772 жыл бұрын
Dah safi sana hii
@mohamnedsalum21502 жыл бұрын
Safi mama kwa kuwaunganisha wapinzani na kuwa kitu kimoja
@nelsonkileo32472 жыл бұрын
Taita kama ametetemeka hivi mbele ya Mama . 😀😂
@immamwandolela68512 жыл бұрын
Raisi wa mbeya cit oyooooo
@TALLUBOY2 жыл бұрын
#AVATASTAR255 🎼👽
@athanaswilliam69402 жыл бұрын
Daaah Ila Sugu...
@fredrickmwegole78412 жыл бұрын
Asiv tukikaa ni mambo ya sugu iv hatujui vitu vinapanda being na wananchi hatuna hera
@jamessanga71202 жыл бұрын
suguuuuuuuuu🤝⚒️❤️🇹🇿
@hamisihalfani63742 жыл бұрын
💥
@johnmawazotz2 жыл бұрын
Sugu Mungu akulinde akutunze Sawa Sawa na Mapenzi yake yalio Mema kila wakati
@lowkeybongo2 жыл бұрын
Sugu my idol
@benedictmrisho59472 жыл бұрын
"Lakini kwa upendo mkubwa umekubali kutenga mda wako Kama Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania" hiyo ndio Tanzania tunayoitaka ya wote sio ya watu fulani fulani tu tena wachache. Hongera Mh Rais wasikize makundi yote kama ulivyojipangia.
@bonabonaza5066 Жыл бұрын
Mimi chadema kweli ira Samia ataturetea katiba mpya jinsi anavyo shirikia na wapinzani
@magorymara55152 жыл бұрын
Asante mama kwa kuitikia wito wa washa za waha ndugu zetu za wa juu lakin pia usikatae kuitikia wito wa wale wananch wa chini ili nao wakwambie shida zao hicho ndo kilio chao
@christopherhilary94532 жыл бұрын
Heshima kwako mama
@ibradx30292 жыл бұрын
Hip hop for life
@allawyarro29702 жыл бұрын
Hakika wewe ni SUGU Kweli. Miaka 30 ni kitu kikubwa Sana . HONGERA Sana JONGWE
@rehemaisaack17282 жыл бұрын
Millard idea debater wametutapeli maelfu ya watanzania publish hiyo hbr
@shukranitv29712 жыл бұрын
Suguuuu alirudi ccm ni uwaziri Moja Kwa mojaaa
@gabrielmoses68602 жыл бұрын
Hawezi kurudu huyu!!! ana kiburi
@habibukilango77382 жыл бұрын
Wanakuita SUGU
@jamesmahatane27232 жыл бұрын
Tuna rais mpya tanzania anaitwa samia tuna fulaha sana ata sugu ana fulai ni uhuru wa kujieleza asante samia huna ubaguzi mama
@perucebuhomaosward85122 жыл бұрын
🚶♂️🚶♂️
@kinarakinara20742 жыл бұрын
Huyu mama Safi sana
@shukurkatembo28072 жыл бұрын
Jongwe aminia sana brother
@vincentmboya2 жыл бұрын
😂😂😂😂😂
@alimuhamed18302 жыл бұрын
Kiongozi kama kiongozi skuzote habwabwaji anaongea yamana wewe sugu nikiongozi na nusu big up brother
@hawkeye98452 жыл бұрын
Naionea wivu TANZANIA nikiwa mombasa, nakumbuka hadithi aliotowa mwalimu kuhusu kijana aliepanda mlimani, na magufuli alifika juu ya mlima na akampata mrembo Mama Samia wakaifanya Tanzania ya kuonewa wivu mzuri
@merickymangula51562 жыл бұрын
Sugu ni mkinga sio mngoni,ukisikia mbilinyi,sanga,kyando n.k iyo ni Kinga wazee wa mshiko
@malopemaliyamungu52432 жыл бұрын
Ndio maana nashawishika kufutilia mbali matumizi ya majina ya ubini/ukoo.. Hasara Ni Nyingi kuliko faida
@chrisjacob40572 жыл бұрын
Napee mhuuu
@majaliwakinyonyi10062 жыл бұрын
Utasikiya mond kajipendekeza hapo
@dineshog8575 Жыл бұрын
Hiphop ni kazii
@whitelove_og3692 жыл бұрын
#UNAAMBIWA SUGU HAPA ALIZGUA TAZAMA kzbin.info/www/bejne/jnW0nZSDesqhY8k
@zeddybass66722 жыл бұрын
Ww uliekua unawagawa watu huko uliko uwekwe pale unapostahiri
@mymbaralitv29682 жыл бұрын
Sasha kawa bint now
@mwigakatumpula68522 жыл бұрын
Kwani hii tafrija ina lenga Nini haswa maana naona kama mapicha picha TU 😃😃😃😃🙌
@zubedamagambo96002 жыл бұрын
Hata mm sielewi aisee😁😁😁😁😁
@mohamedhaji22002 жыл бұрын
Hutaelewa
@deogratiasmlacha90472 жыл бұрын
Umri wako bado subiri ukue ndio utaelewa
@mwigakatumpula68522 жыл бұрын
@@deogratiasmlacha9047 🙆😀😃😃🙏
@MasterChief-Ortiz2 жыл бұрын
hamna msanii amewahi kukodi private jet kwenda sehemu yoyote
@ChoroTesla2 жыл бұрын
acha ufara
@bigtv42042 жыл бұрын
diamond ndo mfano wa hayo kijana au umesahau mwakajana mond amekod pj kwenda south africa yeye na s2kizz tu
@shunimbarak20182 жыл бұрын
Acheni ujinga tanzania amkeniiiiiiii
@albertjames6845 Жыл бұрын
Unakung’utwa
@zakayokivuyo18232 жыл бұрын
C see
@ericamwkyokile46812 жыл бұрын
MAMA, RAIS WETU KIPENZI UNAUPIGA MWINGI.MAMA NI HAKIMU,MAMA NI MPATANISHI,MAMA KIONGOZI SHUPAVU,MAMA DAKTARI .MAMA HUKUSANYA FAMILIA. YAJAYO YANAFURAHISHA HUU NI MWANZO TU.
@josephatmakuka48602 жыл бұрын
Jongwe
@samsonjames40472 жыл бұрын
Megatune tv
@samsonjames40472 жыл бұрын
MEGATUNE TV
@emmanuelmkamba1964 Жыл бұрын
Taita 👊
@amanlenatus90672 жыл бұрын
We bwana sio rapa ni marapa tu sasa rapa gan wa hivo
@alexalen67992 жыл бұрын
Watu kama nyie wasenge sasa umekereka na nini hapo au kakuhusisha fara wewe acha wivu wa mafanikio ya mwenzio.
@narrissajackson38692 жыл бұрын
Leta wengine basi
@ChoroTesla2 жыл бұрын
Wewe utakua mpumbavu sana sugu ni moja waasis wa hip hop Tanzania mjinga ww kua na respect nae
@narrissajackson38692 жыл бұрын
@@ChoroTesla huyu mtu hajielewi, hawa ni wale wanaopenda sana kuongea ila wanajua machache sana
@mtotowaray17262 жыл бұрын
Taita kama taita , Taita mfupi lakin Pesa Matata..!!
@kwelinauzimamedia32152 жыл бұрын
Mnakubaliana ili mzidi kuizamisha inchi
@smfkingdom99442 жыл бұрын
Kamti🌴 pombe kzbin.info/www/bejne/e6C4f61-j9SqfLs Isikupite hii kal sana
@broka_genius36152 жыл бұрын
Saa ndio usome
@narrissajackson38692 жыл бұрын
Kwa sababu yupo smart
@King_Of_Everything2 жыл бұрын
🇹🇿🇹🇿🇹🇿✌✌.
@G.r.e.a.t.I.Q Жыл бұрын
Lakini vijana hao kuna walio pata vijipesa wanakuoneni nyie mlio waanzishia mwendo ni wajinga! Huongea upuuzi mwingi huku (wakishihirisha ni washamba kiasi gani) eti, wakionesha vijipesa hivyo mitandaoni!
@khubeybjandal74352 жыл бұрын
Huna issues miaka 30 unaimba tu, mambo ya kipuuz
@jimsonshipela9802 жыл бұрын
DUDU BAYA VANESSA MDEE KAJITOA KWENYE USHETANI kzbin.info/www/bejne/n4ecinZ4pbGhm6s
@mzeesuliman31582 жыл бұрын
Nandio Mahana Raisi wa marekani awezikukutana name kutokana uwezo wako ndogo wewe unatakiwa ukae na Maraya wenzako
@salumumakombo91362 жыл бұрын
unajipaisha tu mnafiki sana ewe nakukumbuka matendo yako sitaki niyaseme hapa
@eliamkonda51622 жыл бұрын
Na wewe jipaishe
@deogratiasmlacha90472 жыл бұрын
Tafuta hela usiwe na visirani
@hellendaniel38092 жыл бұрын
Acha makasiriko wewe
@salumumakombo91362 жыл бұрын
@@eliamkonda5162 putuka
@shabanijuma20852 жыл бұрын
Kwani wewe bado mwanamuziki?
@mzeesuliman31582 жыл бұрын
Raisi uko mpaka kwenye mapati unauchungu kweli na watanzania wewe Bibi mpuuzi Sana wewe
@josephatthadeo37452 жыл бұрын
kaz huna au
@tadeikapinga29052 жыл бұрын
Wee si kichwa ni m'babaishaji tu ungekuwa kichwa usingeandikiwa maelezo' hayo yangetoka kichwani tu' na wewe si mmoja wa waanzilishi wa rap' ni kukop na kupesti nyimbo za black Amerika' huna jipya, waongopeeni wasiowajua
@nesto35872 жыл бұрын
Raise wa mchongo😂😂😂
@mohamedhaji22002 жыл бұрын
Weee
@mrtrama89362 жыл бұрын
Upumbaf 2
@kifanyaliwengi22812 жыл бұрын
Mr trama umezaliwa juzi wewe huwez mfahamu sugu kabisa mpambafu mwenyew
@kabwelasutiviraka47652 жыл бұрын
Sikiliza muziki wa Sugu haki na Justin Kalikawe halafu bwana mdogo njoo tuongee tena
@amandusmark30602 жыл бұрын
Umaskini utakuua
@edwinfredrickzakaria47822 жыл бұрын
Inatia aibuu Rais mzima kabsa kuuhuzulia upumbavu tuu huku wananchi wanateseka wanalia haraf nyie mnakua Bata et mziki mda mwingine mtu anaweza kujizaralisha mwenyewe paspo nazalau
@idanysedrc12002 жыл бұрын
Hujielew
@ericcbulamile6122 жыл бұрын
Ndugu, vp???
@bockernyarusahi36552 жыл бұрын
@@ericcbulamile612 kavurugwa ndugu
@amaninyoni56452 жыл бұрын
Kweli wewe hewa
@suleimankhamis73782 жыл бұрын
Aibu gani inayotiwa apo?
@TeamKRX2 жыл бұрын
Hata habari hana bibie ya wananchi wake wakipigana risasi wakitwangana mawe yeye anacheka buheri hamsa wa ishrin raha raha tuu akitoka apo ndege inamsubir haya tutafika rabda
@abdulwahababdulkadir99652 жыл бұрын
Sasa ww ulitaka afanyeje,ikiwa kama waliopigana walikua ni watu waliobeba dhamana ya kuishi pamoja ktk maisha yao yote,usifanye uzembe kutegemea kumlaumu mtu
@mohamedhaji22002 жыл бұрын
Kwani yy ndio aliewapa risasi
@simaimohd35572 жыл бұрын
Jitafakari.
@zedennjate5482 жыл бұрын
Huna akili
@salimusalim36102 жыл бұрын
Kuongoza mijitu kama hii inataka subra
@mzeesuliman31582 жыл бұрын
Raisi wa Ajabu Kazi yake kujirusha TU anakazi ya kufanya ushakura Mzee unajifanya kijana
@amanlenatus90672 жыл бұрын
Yaan raisi kakosa kazi ya kufanya imembidi akasherehekee ujinga wa mjinga
@mcgeemwamba93032 жыл бұрын
Unajua nini fara wewe
@officiallnobystar2 жыл бұрын
Mjinga Ni ww Umekuja kuangaria Video Alafu Unakuwa Na makaziliko yako ya Maisha
@ilynpayne74912 жыл бұрын
Wwwe ndio mwehu haswa rais siyo mbaguzi kama ulivyo wewe na magufuli wenu huyo