Prof Jay awapagawisha Wanamorogoro mbele ya JPM

  Рет қаралды 305,396

Azam TV

Azam TV

6 жыл бұрын

Mbunge wa Jimbo la Mikumi mkoani Morogoro Joseph Haule (Prof Jay) ambaye pia ni mwanamuziki hip hop Tanzania ametumia sanaa yake ya muziki kumfikia Rais Magufuli baadhi ya kero za wananchi wa jimbo la Mikumi.
Ni katika uzinduzi wa Ujenzi wa Barabara ya Kidatu - Ifakara (04/05/2018)

Пікірлер: 110
@wilonjahatua2067
@wilonjahatua2067 6 жыл бұрын
Kama unamkubali proffesa jay gonga like hapa
@barnabasstanslaus6895
@barnabasstanslaus6895 6 жыл бұрын
wilonja hatua nooooooomaaaaaa sanaaaa sanaaa sanaaaaaa
@wilonjahatua2067
@wilonjahatua2067 6 жыл бұрын
Barnabas Stanslaus 👏👏
@oswardmushi7259
@oswardmushi7259 5 жыл бұрын
nakukubari mbunge
@jaffarmguwa5566
@jaffarmguwa5566 6 жыл бұрын
HIZI NDIZO SIASA TUNAZOTAKA TANZANIA... ELEZA SHIDA ZA WATU WAKO NA SIO KAZI MATUSI KASHIFA NA KEBEHI AU KEJELI... TUWEKE NCHI MBELE NA MATATIZO YA NCHI.... TUACHE SIASA ZA CHUKI NA ZA UKANDA... HONGERA PROFESA JAY
@edwardedward2520
@edwardedward2520 6 жыл бұрын
Wabunge mkienda namna hii wabunge mtapendwa bila kujali chama pigen kazi vijana nchi yetu sote!
@stevenjrmziho8691
@stevenjrmziho8691 6 жыл бұрын
Professor noma sana
@alexlutengano687
@alexlutengano687 6 жыл бұрын
Umetisha mzee baba
@shikaneno8861
@shikaneno8861 6 жыл бұрын
Nakukubali Sana Raisi Hakuna Raisi anayefanya kazi Kama wewe tunakuombea
@raphaelgadau2783
@raphaelgadau2783 6 жыл бұрын
Nikusaidiaje song #professor-J
@manish-fp1fb
@manish-fp1fb 6 жыл бұрын
Rais ukiwa unaenda na mfumo huu.. nitaunga mkono kwa asilimia 100... acha watu waongee kwa uhuru alafu wewe chapa kazi... hakika hata sisi watu wengi tutajituma sana.
@jengainterlocks2647
@jengainterlocks2647 6 жыл бұрын
Ntahamia bongo huku kwetu Kenya ni balaa tupu... 😂
@mugemainyas5241
@mugemainyas5241 6 жыл бұрын
Asanteni wabunge wa chadema kwa kumweshimu rais wetu. Asanteni sana. Magufuri hoye
@jifunzekusamehe4527
@jifunzekusamehe4527 6 жыл бұрын
Nakukubali kamanda
@larickmtui2852
@larickmtui2852 6 жыл бұрын
Vijana ndivyo mnatakiwa usiwe kama lema na sugu hawana points
@wsilver9553
@wsilver9553 6 жыл бұрын
Yupo vizuri sana
@magigeametisha9699
@magigeametisha9699 6 жыл бұрын
umeweza prf jay
@sirajiabdul7223
@sirajiabdul7223 6 жыл бұрын
safi japo umepewa muda mdogo lakini umeongea pointi
@yusuphmasolwa9870
@yusuphmasolwa9870 5 жыл бұрын
Keep up Prof. J.
@murishidymudy8032
@murishidymudy8032 6 жыл бұрын
Professor jay hatar sana big up JPM
@fofomohammed6253
@fofomohammed6253 6 жыл бұрын
Safi Sana broo nakukubali sana
@kaminyogemwachelwa9884
@kaminyogemwachelwa9884 6 жыл бұрын
Kwakweli.rais ungekuwa unafanya ukaribu hivi na wapinzani na kuwachukulia kama ndugu inapendeza sana Nafurahi.kuona
@husseinhkitambi1701
@husseinhkitambi1701 6 жыл бұрын
Kaminyoge Mwachelwa anafanyabsemankuna baadhi ya wabunge hawajitambui mbunge kama wetu kubenea mnyika na lema akili zao za kipumbavu yaani wao chama kwanza maendeleo baadae
@emanuelbelato7335
@emanuelbelato7335 6 жыл бұрын
mpaka raha mwendo wa rap
@johnrogath1066
@johnrogath1066 6 жыл бұрын
Waoooooooh bravo prof jay.....
@peternasarinasari9700
@peternasarinasari9700 6 жыл бұрын
Wabunge makini ndo kama nyie hata mkuu akitekeleza mawili tayari hatua imepigwa very good professor, very good our President JP
@bobramaso825
@bobramaso825 6 жыл бұрын
Haya ndio mambo yanayotakiwa. Kufanywa na mbunge,Rais kaja jimboni toa kero za wananchi sio lawama na matusi,peleka kero kwa manufaa ya wananchi..Safi Mbunge Prof.Jay
@ukweli255
@ukweli255 6 жыл бұрын
Bob Ramaso sasa si mbaka apewe nafasi..kwan mara ngap tunaona raisi anaenda jimbo fulan ila mbunge hapewi nafas ya kunena na raisi.hamna mbunge asiependa kuonana na raisi maana ndio boss wa viongozi wote
@bobramaso825
@bobramaso825 6 жыл бұрын
Aloyce Garani Kwani msigwa hakupewa nafasi?alichoongea hukukisikia?!au unamaanisha nafasi ipi?!wanatakiwa wakipewa nafasi waongee ya maana na haswa kero za jimboni,kama unapewa nafasi unaanza kashfa na matusi na lawama hata kama ni ww ungekuwa kwenye nafasi ya Uraisi ungekubali?!mi naamini kwa mtindo huu nafasi watapewa ili mradi waongee kero za jimbo husika..
@fab_254.
@fab_254. 2 жыл бұрын
Prof. Jay is such a joyous person
@kagwanjamartin8808
@kagwanjamartin8808 6 жыл бұрын
I think rais pombe is one of a kind,,,with him Tanzania will prosper...always taking notes for reference..hongera rais...upendo dhati kutoka kenya
@gidiusdismas5893
@gidiusdismas5893 6 жыл бұрын
mh prof jizle anajua sana
@erechasante3430
@erechasante3430 10 ай бұрын
Prof Jay was featured on KwawKese song somewhere in the late 2000's i really loved his flow and decided to find out wasup with him. I just learnt he is now a politician. I do not understand what he is saying neither can i read what you Tanzania's are typing, my question is, has he been a good leader, politician after all ?
@RamazaniMulongeca
@RamazaniMulongeca 6 жыл бұрын
#NijukumuLETU... Mpaka KIELEWEKE... #HapoVipi? The best #MC of all the time.
@swabry
@swabry 4 жыл бұрын
from kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪 prof jay ❤️❤️👊👊👊👍👍💯💯💯
@justinemathias9871
@justinemathias9871 6 жыл бұрын
safiii
@josephcharles6443
@josephcharles6443 6 жыл бұрын
Noma noma JOSE
@hajiramadhan7006
@hajiramadhan7006 6 жыл бұрын
safi sana pr j
@faridahkipupweone4071
@faridahkipupweone4071 5 жыл бұрын
Kama unamkubl pr j gonga like
@safarijoseph4927
@safarijoseph4927 2 жыл бұрын
Pro uko juu
@jumak.ismail2504
@jumak.ismail2504 4 жыл бұрын
good guy i used to love your work sana
@geofreychirwa2389
@geofreychirwa2389 5 жыл бұрын
Japo kuwa prof j. yupo chadema naamini atafika mbali sana kisiasa hata kimaisha sababu miongoni mwa watu wachache sana sana tena sana wenye nidhamu ya hali ya juu kwa serikali yake tofauti na hao makada wngne wa chama hicho. big up mzee wa mitulinga.
@allysaid2846
@allysaid2846 6 жыл бұрын
professor j uko vizuli
@davianofficial6972
@davianofficial6972 2 жыл бұрын
Mungu akusaidie upone mzee wetu👏👏
@magrethgeorge9253
@magrethgeorge9253 2 жыл бұрын
😭😭😭
@untouchablexvi3622
@untouchablexvi3622 6 жыл бұрын
wapinzani wengine wangekuwa wanafikisha hoja zao kama mwana wa mitulinga prof jay...sizani kama wangekuw wanaend mahabusu.....big up prof...
@fredmankaingu4172
@fredmankaingu4172 6 жыл бұрын
J point kama zote kipaji sio kubana pua
@jamilmwinge3695
@jamilmwinge3695 5 жыл бұрын
Safi sana Rais ungekua ktk mfumo huu usingezungumziwa mabaya kisiasa na ungekua mfano bora wa kuigwa Duniani, Mungu akubariki akuondoe chuki na hasira kwa wapinzani.
@epainethowanjara6546
@epainethowanjara6546 6 жыл бұрын
kweli ww ndye professa big up mkuu
@mulokoziwange8017
@mulokoziwange8017 6 жыл бұрын
Professor uko vizuri
@josephmateru8892
@josephmateru8892 6 жыл бұрын
Binafsi Namwelewa Cna Magufuli rais Wangu Hongera Cna Hongera Prof Jzee
@samgaya
@samgaya 5 жыл бұрын
Safi sana professor Jay
@munakatonga6525
@munakatonga6525 6 жыл бұрын
🙌🙌🙌
@a.a.a.s8322
@a.a.a.s8322 6 жыл бұрын
👍👍👍👍
@magrethgeorge9253
@magrethgeorge9253 2 жыл бұрын
😭😭😭😭Kila nikuangalia rais wangu magufuli moyo unaumaaaaa,
@hansbasil3448
@hansbasil3448 6 жыл бұрын
Mimi namkubaligi sana Mh prof J,ni jembe bhana.
@astridawilison8125
@astridawilison8125 6 жыл бұрын
wabunge ndo kama hawa wanaonyosha maelezo
@mcpaulmkopa4798
@mcpaulmkopa4798 2 жыл бұрын
Mungu akuponye processor j
@mcjabbyevents4938
@mcjabbyevents4938 6 жыл бұрын
good sanaaaaa kk
@stevenremi190
@stevenremi190 6 жыл бұрын
Nimkari sana
@yaceenmohamed8708
@yaceenmohamed8708 6 жыл бұрын
genius
@kigazithaddee3790
@kigazithaddee3790 5 жыл бұрын
mimi ni Mrundi, ila nayipenda Tanzania, il est le pays d'Afrique qui m'impressione et que j la consider coe la Suisse d'Afrik
@khamiskhamis5323
@khamiskhamis5323 6 жыл бұрын
Huyu ndo mbunge makini yupo sirias na kaz huyu kweli mtafatj
@titusosano3946
@titusosano3946 6 жыл бұрын
Safi sana
@patrickmogella5737
@patrickmogella5737 6 жыл бұрын
Professor safi havai hereni wala miwani.
@pendojohn1509
@pendojohn1509 6 жыл бұрын
Safi Sana
@philemonpaulo1226
@philemonpaulo1226 6 жыл бұрын
Hongera unaeongoza binadamu na wanyama
@hometube8069
@hometube8069 2 жыл бұрын
noma
@laizersikoyan4157
@laizersikoyan4157 6 жыл бұрын
Safi professor J
@wadokozitv2319
@wadokozitv2319 6 жыл бұрын
Laizer Sikoyan @wadokozi tv
@ungonelamapunda4908
@ungonelamapunda4908 6 жыл бұрын
prof. j amempiku msigwa kwa ubunifu. amewatendea haki wananchi wake. sio kuishia kusifu tu....
@RashidMuhunzi-pr5xj
@RashidMuhunzi-pr5xj 19 сағат бұрын
Mkongwe katk fani
@josephathikiharatu4695
@josephathikiharatu4695 6 жыл бұрын
kumi Kama process jay tz tunauuga umasikini
@fredrickfilbert3922
@fredrickfilbert3922 2 жыл бұрын
Daaaah, upone haraka Joseph Haule
@selemanishukuru6919
@selemanishukuru6919 2 жыл бұрын
Joson duro say
@georgedinda7400
@georgedinda7400 6 жыл бұрын
Dah! kaka huyu ajua kuchana maneno kweli kweli, huku kenya twamkubali kwa sana. Kenya pia kuna vijanaa wasanii walioingia bunge lakini huku wamezii, profesa Jay ni mfano wa kuigwa na vijana waingiao kwenye oungozi wa nchi.
@knowthyself3422
@knowthyself3422 3 жыл бұрын
Jay ni Jay.
@dominashirima873
@dominashirima873 6 жыл бұрын
Safi J
@jupeshajehas1964
@jupeshajehas1964 6 жыл бұрын
umetumia vizuri muda point tupu
@marybalongo221
@marybalongo221 6 жыл бұрын
nampenda bure
@mtanzaniamzalendo7001
@mtanzaniamzalendo7001 6 жыл бұрын
Watz ni hapo tuu ninapopendaga,sisi ni wamoja sanaaa,
@sallumnassily4375
@sallumnassily4375 6 жыл бұрын
Endelea hivyo prof j
@evalinisamwelisamweli8810
@evalinisamwelisamweli8810 2 жыл бұрын
Daimond
@wazirikhamisi4828
@wazirikhamisi4828 4 жыл бұрын
Hii ni fahari kwa wana morogoro
@emmanuelgabagendi3169
@emmanuelgabagendi3169 6 жыл бұрын
Hangera Sana tena Sana
@jumannejoseph5415
@jumannejoseph5415 6 жыл бұрын
Emmanuel Gabagendi arusha ndio tunapata shida mana raisi akija hatumuoni mmbunge mabarabara mabovu mambo mbaya kila kona maji shida yeye hatoi kero malumbano tuuuu
@tembeletadei7136
@tembeletadei7136 6 жыл бұрын
prof bonge la mbunge anajielewa sana
@wazirisaid3486
@wazirisaid3486 6 жыл бұрын
jamani wabunge wote muigeni profesa j angalieni shida za majimbo yenu na si kulaumu kila ki2 mpk mda wenu unaisha hakuna mnachokifanya duuuuuu.
@BarakaWaya
@BarakaWaya 6 жыл бұрын
J Wa mitulinga mchawi wa rap mti mkavu
@theprovitionofnature9188
@theprovitionofnature9188 2 жыл бұрын
Huyu jamaaaa ako ana akili sana Profesa Haule J
@getaromagaiwa7918
@getaromagaiwa7918 5 жыл бұрын
una dalili za kujiunga na inzi wa KIJANI!!!!!
@justinrugambwa9524
@justinrugambwa9524 2 жыл бұрын
Prf jy oy
@victoradelard9228
@victoradelard9228 6 жыл бұрын
hahahaha
@mwambirekwamboka9525
@mwambirekwamboka9525 6 жыл бұрын
a.K.a Heavyweight that's what we call politics may u leave long
@emmanuelnjelekela6299
@emmanuelnjelekela6299 4 жыл бұрын
hahahaa big up😀😀
@nyerere1259
@nyerere1259 6 жыл бұрын
Dah Jay we ni jembe
@kelvinjackson9699
@kelvinjackson9699 6 жыл бұрын
Proff jize aka the heavy wight mc
@kijanamtanzania3825
@kijanamtanzania3825 6 жыл бұрын
Kweli m bunge wa binadam na wanyama uko poa san imeenda sawa na magu
@ramadhansalum9981
@ramadhansalum9981 6 жыл бұрын
'
@ayoubmkeya8709
@ayoubmkeya8709 5 жыл бұрын
hawa ndo wabunge wanao jielewa
@mako331
@mako331 6 жыл бұрын
Kumbe unamkubali Jpm ni Rais wa wanyonge, mnapiga kelele tu kule bungeni ili mufurahishe Mbowe. Jpm hoyeee
@noeltz9736
@noeltz9736 6 жыл бұрын
paka wana ccm wamepiga makofi
@johnmasoud2246
@johnmasoud2246 6 жыл бұрын
Hakika safi saana mbunge huo ndio uzalendo katika nchi
@happnecyvagas6930
@happnecyvagas6930 6 жыл бұрын
Joseph haule leo umeonesha kweli wewe ni professor natamani wabunge wote wa upinzani wangekua kama wewe
@binzuadaudi7772
@binzuadaudi7772 6 жыл бұрын
Keep it broo
@peteraswile4594
@peteraswile4594 6 жыл бұрын
Mc pilipili
@jolitejolite1497
@jolitejolite1497 5 жыл бұрын
Mzee wa mitulinga umempagawisha mheshimiwa JPM ongea xna kuwa bega kwa bega nawapenda wote
@starnewstvtv1126
@starnewstvtv1126 6 жыл бұрын
Wamitulinga mchawi wa rapu mti mkavu
@julianamasunga4147
@julianamasunga4147 6 жыл бұрын
hayo ndiyo mambo safi mh mbunge
Final muy increíble 😱
00:46
Juan De Dios Pantoja 2
Рет қаралды 53 МЛН
Neema Gospel Choir - Sitalia (Live Music Video)
7:28
Neema Gospel Choir
Рет қаралды 33 М.
Professor Jay alivyoingia na Style ya Kurap Bungeni
4:10
Millard Ayo
Рет қаралды 30 М.