Рет қаралды 305,396
Mbunge wa Jimbo la Mikumi mkoani Morogoro Joseph Haule (Prof Jay) ambaye pia ni mwanamuziki hip hop Tanzania ametumia sanaa yake ya muziki kumfikia Rais Magufuli baadhi ya kero za wananchi wa jimbo la Mikumi.
Ni katika uzinduzi wa Ujenzi wa Barabara ya Kidatu - Ifakara (04/05/2018)