Alichokiongea Zitto Kabwe Bungeni kuhusu matukio ya utekaji

  Рет қаралды 147,985

Millard Ayo

Millard Ayo

7 жыл бұрын

Mbunge wa Kigoma mjini Zitto Kabwe alisimama Bungeni kuchangia mapitio na mwelekeo wa kazi za Serikali na bajeti ya ofisi ya Waziri mkuu kwa mwaka 2017/2017

Пікірлер: 91
@athonyfrancis8889
@athonyfrancis8889 7 жыл бұрын
uwwiiiiiiiiiiiii Zitto umenifumbua kichwa Mungu ndiwe usalama wa Maisha ya Mtanzania na siyo mwanadamu
@rosehillary8742
@rosehillary8742 7 жыл бұрын
Amen
@alfredycheyo8847
@alfredycheyo8847 5 жыл бұрын
Zitto ni Akili kubwa Bungeni. God bless you My Icon leader !!
@rishadubukeza440
@rishadubukeza440 3 жыл бұрын
Bado tupo 2021 tunafatilia content za mwami
@daudikassimu4574
@daudikassimu4574 7 жыл бұрын
Asanteh ZITTO nafikiri wamekuelewa.
@biwakambagwa6127
@biwakambagwa6127 6 жыл бұрын
Nashukuru binafsi Mh. Zitto kwa namna presentation zako zinavyolenga wananchi wa kawaida.
@zephanialongo3522
@zephanialongo3522 7 жыл бұрын
zitto your so intelligent... GOD be with you
@saleembepo9939
@saleembepo9939 7 жыл бұрын
Nahitaji wachangia mada kama wewe na tuhitaji Waziri mkuu kama Majaliwa ndipo tutaweza piga hatua za kimaendeleo Mungu awabariki sana
@vianeyminja575
@vianeyminja575 7 жыл бұрын
zitto ur a gentleman
@ashahaji4936
@ashahaji4936 7 жыл бұрын
kweli zito tuko vibaya mitaani wao wanapelekewa habar za uongo
@johnmbinda2799
@johnmbinda2799 7 жыл бұрын
kwenye ukweli inawabidi muhongee bila kujali itikadi ya chama , big up viongozi chupavu kwa kuendelea kupambana
@abdallahmbiliko8146
@abdallahmbiliko8146 7 жыл бұрын
Thanks brother zitto God give u long life.
@beatuchillu6813
@beatuchillu6813 7 жыл бұрын
kumbe majaliwa na ripoti yake alitudanganya eeeh😂😂😂😂
@dommyzzeyzoojozeyzoo4021
@dommyzzeyzoojozeyzoo4021 7 жыл бұрын
Appreciation to you our powerful person
@prophetmunuo9317
@prophetmunuo9317 7 жыл бұрын
Asante sana Ayo Tv
@shuwehaharunaomariikwena233
@shuwehaharunaomariikwena233 7 жыл бұрын
wambie hao walopoka tu wao hawajui watu waumia vipi vitu vimepanda being sana
@kingzforeal7967
@kingzforeal7967 7 жыл бұрын
zito nakubari sana ww safi sana
@nkindwashabani2339
@nkindwashabani2339 7 жыл бұрын
Exactly mheshimiwa Zitto
@duuudaud3816
@duuudaud3816 7 жыл бұрын
mungu akupe maisha marefu baba ili uikomboe nch yetu. na wabunge wote wasema kwel. mnaahindwa kusema kwel mnamuogopa mtu? ndo alie wachaguwa muwe wabunge?
@hassankayla4076
@hassankayla4076 7 жыл бұрын
You always speak the truth #ZITTO
@MOJAZAIDI.
@MOJAZAIDI. 7 жыл бұрын
"THEY DON'T CARE ABOUT US"
@thedoctor8301
@thedoctor8301 7 жыл бұрын
Mh! nakaaa kimya ... Asante Mh Zitto Kabwe
@hawaamri8390
@hawaamri8390 7 жыл бұрын
Zitto endelea kutetea /kuwasemea wanyonge maana hatuna jinsi nyie ndo wawakilishi wetu tunaumia lkn!!!!!!
@mpewashiyawi9942
@mpewashiyawi9942 7 жыл бұрын
ivi wtz hatuwaoni viongozi kama akina zito?
@rosehillary8742
@rosehillary8742 7 жыл бұрын
TUMELOGWA
@saleembepo9939
@saleembepo9939 7 жыл бұрын
huyo ndiye wa kupewa hii inchi
@mwasilemwasile7455
@mwasilemwasile7455 7 жыл бұрын
+Rose Hillary umelogwa wewe
@rosehillary8742
@rosehillary8742 7 жыл бұрын
Kichaa kweli wewe
@duuudaud3816
@duuudaud3816 7 жыл бұрын
tukipata wabunge kumi kama ww aki ya nan tutanenepaaaaa maan itakuwa fulu aman,make sa hz tuaish bila raha na nchi ni yetu
@titomwashuya6460
@titomwashuya6460 4 жыл бұрын
Best mp of all time
@goodluckmushi18
@goodluckmushi18 7 жыл бұрын
@millard sijamsikia Bashe wapi unakata clip
@happinessmwaipopo7426
@happinessmwaipopo7426 7 жыл бұрын
Mbona mmekata mwongozo wa Bashe na simbachawene?😳😳😡
@stellamwasenga6205
@stellamwasenga6205 3 жыл бұрын
Safiiiiiiii
@lovelyheaven2027
@lovelyheaven2027 7 жыл бұрын
mkuu wa usalama wa Taifa ni nani!
@lengoyamangoindakeni893
@lengoyamangoindakeni893 7 жыл бұрын
umetisha mkuu
@AmCool_
@AmCool_ 7 жыл бұрын
Millard Ayo umekosea kuandika hapo kwenye maelezo yako ni mwaka 2017/2018 na sio 2017/2017
@thetreasure2230
@thetreasure2230 7 жыл бұрын
ni noma sana.
@husseinmfangavo8502
@husseinmfangavo8502 7 жыл бұрын
kweli kbx zito sema
@Felix72282
@Felix72282 7 жыл бұрын
Hakuna shortcut kwenye maendeleo
@joyinatishaaathanasi1958
@joyinatishaaathanasi1958 7 жыл бұрын
you are very intelligent zitto
@dicksonngika8677
@dicksonngika8677 7 жыл бұрын
good zito
@marcomwaimu3979
@marcomwaimu3979 7 жыл бұрын
Hii video imekuwa filtered si halisi,Ayo hapa umezingua
@modestusndunguru4479
@modestusndunguru4479 6 жыл бұрын
hapo umejichanganya..... maana beni saanane.. niulize mimi.. amepotwezwa na chadema... ili kuichafua Serikalii ushaidi ninao ...acha kudanganya watu
@salehlofy4251
@salehlofy4251 7 жыл бұрын
kapea sana kisiasa
@remijakaduma6437
@remijakaduma6437 7 жыл бұрын
You are a good leader!!!!
@musamwapinga361
@musamwapinga361 7 жыл бұрын
remija kaduma mmmh
@salomemkama6653
@salomemkama6653 7 жыл бұрын
sure ma leader
@kasmirilamiye6991
@kasmirilamiye6991 7 жыл бұрын
katka viongoz ambao wanafaa kuingoza kigoma na Tanzania kwa ujumula ni zitto 2
@rosesalukan4207
@rosesalukan4207 6 жыл бұрын
Zito ur our hero
@gka9147
@gka9147 7 жыл бұрын
Kichwa Huyo Kijana
@joyinatishaaathanasi1958
@joyinatishaaathanasi1958 7 жыл бұрын
zitto unafaa kiwa presidaa, tunahitaji viongozi shupavu na sio wababe.
@gracekalinga5408
@gracekalinga5408 7 жыл бұрын
🙌🙌
@justinenjunwa4459
@justinenjunwa4459 7 жыл бұрын
wewe ndo rais wetu unayekuja
@francefabian4856
@francefabian4856 7 жыл бұрын
mak ufu
@fatumamasudi365
@fatumamasudi365 7 жыл бұрын
Huko vizuri
@rahimmohammed9658
@rahimmohammed9658 7 жыл бұрын
zitto the best
@elishamwaya4074
@elishamwaya4074 5 жыл бұрын
Hali mbaya jamani kweli huku sio kuzuri
@amrannunda6925
@amrannunda6925 7 жыл бұрын
nimekuelewa zito kabwe,ila nasikitika imekua kama Rais hana washauri!
@kivyiroaudronicus5599
@kivyiroaudronicus5599 6 жыл бұрын
Amran Nunda jimgbn. Lmmmkklgggv4nklooolppphjjkootqq4upyfutuio
@kivyiroaudronicus5599
@kivyiroaudronicus5599 6 жыл бұрын
Wien as
@swaburyrwamlaza1479
@swaburyrwamlaza1479 7 жыл бұрын
uko vizur
@duuudaud3816
@duuudaud3816 7 жыл бұрын
tuhurumien tulio waweka hapo nasivingnevyo
@ibrahnationibrahim2817
@ibrahnationibrahim2817 4 жыл бұрын
Ajira ajira umenigusa tunateseka huku mtaan
@teonaswistonteonas8975
@teonaswistonteonas8975 7 жыл бұрын
Jamani jamani nchi hii njaaa nilazima iwepo unga sembe 25kg tsh 50000
@mubarakmgunga4223
@mubarakmgunga4223 5 жыл бұрын
Fact!
@saidmatambi1606
@saidmatambi1606 7 жыл бұрын
ngoja nkae kimya
@deusnyongole3549
@deusnyongole3549 7 жыл бұрын
Wacha wamenyane tumechoka kuonewa
@michaeltuingilegewaubaridi8570
@michaeltuingilegewaubaridi8570 7 жыл бұрын
aisee
@lameckmachumu4322
@lameckmachumu4322 7 жыл бұрын
well speech Zitto
@modestusndunguru4479
@modestusndunguru4479 6 жыл бұрын
wale huwa huwa hawjibu watu.. ni kazi tuu
@hassannzinga1798
@hassannzinga1798 7 жыл бұрын
Yondo sister
@michaeljohn690
@michaeljohn690 7 жыл бұрын
tupo gizani
@mustaphyassin5320
@mustaphyassin5320 7 жыл бұрын
mbona hii wamekata baadhi ya hoja
@Baba-JJ
@Baba-JJ 7 жыл бұрын
wamekata wenyewe wenye chaneli ya bunge, si ndo maana hawakutaka bunge liende live ili kama kuna vitu hawataki vionekane, watoe, ndo kama hivyo.
@hassanalmediatz8808
@hassanalmediatz8808 7 жыл бұрын
tumelogwa kabisa
@mpewashiyawi9942
@mpewashiyawi9942 7 жыл бұрын
unamtusi Mani mtz rose Hillary?
@tanunewstz
@tanunewstz 7 жыл бұрын
zitto yuko vizur hongera hm
@josephkahindi7455
@josephkahindi7455 7 жыл бұрын
jembe kweli kweli
@mussamakatani7366
@mussamakatani7366 7 жыл бұрын
uyuu jamaa ni shidah
@papafikiri
@papafikiri 7 жыл бұрын
hivi yuko nyuma hivi
@modestusndunguru4479
@modestusndunguru4479 6 жыл бұрын
huyu ni bwege tuu.. hamna kitu.... hapo.. mnafiki.. wa kigoma
@mandizotzjfour5875
@mandizotzjfour5875 6 жыл бұрын
hakuna mbunge kama wewe
@mussamussamussa8444
@mussamussamussa8444 7 жыл бұрын
Zito bendera Fata upepo hata ueleweki kwa muonekano wako upo hapo bungeni kwa maslahi yako blabla nyingi zisizo na tija
@sizaaloyce9071
@sizaaloyce9071 5 жыл бұрын
Mijitu yenye upeo kama wako inatakiwa iwe inafokonyolewa
@sizaaloyce9071
@sizaaloyce9071 5 жыл бұрын
Mtu anachangia vitu vya msingi unalopoka lopoka tu acha uchama pumbavu wew angalia kiongoz anaongea mambo yana masilahi katika maisha yawananchi
@charlzlyimo1982
@charlzlyimo1982 7 жыл бұрын
zitto na wew ni kigeugeu wakati wa kampeni si ulikuwa ulinamsifia mgombea wa sisiemu, sasa hv vp mbona unamponda!!!!!!?????
@jonathandickson708
@jonathandickson708 7 жыл бұрын
Charlz Lyimo wala hampondi Ila lazma apewe ukweli wake...kampeni ni njia tu yakutupa kiongozi bora Ila haimaanishi maisha bora... Kukosoana kunajenga, kumbusha na kumrudisha mtu kwenye mstari sahihi
@promramson80
@promramson80 6 жыл бұрын
Jonathan Dickson fact
Who has won ?? 😀 #shortvideo #lizzyisaeva
00:24
Lizzy Isaeva
Рет қаралды 65 МЛН
50 YouTubers Fight For $1,000,000
41:27
MrBeast
Рет қаралды 199 МЛН
Sigma girl and soap bubbles by Secret Vlog
00:37
Secret Vlog
Рет қаралды 12 МЛН
BUNGENI: Bashe na Sugu kuhusu ishu za kutekwa
11:41
Millard Ayo
Рет қаралды 663 М.
Hoja za Zitto Kabwe alipochangia bungeni kuhusu reli ya Dar - Kigoma
7:56
“Kiongozi ni kusikiliza watu, Serikali mnaficha nini?” - Bashe
16:39
Godbless Lema VS Waziri Simbachawene bungeni leo
9:52
Millard Ayo
Рет қаралды 1,3 МЛН
ZITTO KABWE Alivyowasha MOTO Bungeni, SAKATA la KOROSHO
17:08
Global TV Online
Рет қаралды 553 М.