Mbunge wa Kigoma mjini Zitto Kabwe alisimama Bungeni kuchangia mapitio na mwelekeo wa kazi za Serikali na bajeti ya ofisi ya Waziri mkuu kwa mwaka 2017/2017
Пікірлер: 91
@athonyfrancis88897 жыл бұрын
uwwiiiiiiiiiiiii Zitto umenifumbua kichwa Mungu ndiwe usalama wa Maisha ya Mtanzania na siyo mwanadamu
@rosehillary87427 жыл бұрын
Amen
@alfredycheyo88475 жыл бұрын
Zitto ni Akili kubwa Bungeni. God bless you My Icon leader !!
@rishadubukeza4403 жыл бұрын
Bado tupo 2021 tunafatilia content za mwami
@daudikassimu45747 жыл бұрын
Asanteh ZITTO nafikiri wamekuelewa.
@biwakambagwa61276 жыл бұрын
Nashukuru binafsi Mh. Zitto kwa namna presentation zako zinavyolenga wananchi wa kawaida.
@zephanialongo35227 жыл бұрын
zitto your so intelligent... GOD be with you
@saleembepo99397 жыл бұрын
Nahitaji wachangia mada kama wewe na tuhitaji Waziri mkuu kama Majaliwa ndipo tutaweza piga hatua za kimaendeleo Mungu awabariki sana
@vianeyminja5757 жыл бұрын
zitto ur a gentleman
@ashahaji49367 жыл бұрын
kweli zito tuko vibaya mitaani wao wanapelekewa habar za uongo
@johnmbinda27997 жыл бұрын
kwenye ukweli inawabidi muhongee bila kujali itikadi ya chama , big up viongozi chupavu kwa kuendelea kupambana
@abdallahmbiliko81467 жыл бұрын
Thanks brother zitto God give u long life.
@beatuchillu68137 жыл бұрын
kumbe majaliwa na ripoti yake alitudanganya eeeh😂😂😂😂
@dommyzzeyzoojozeyzoo40217 жыл бұрын
Appreciation to you our powerful person
@prophetmunuo93177 жыл бұрын
Asante sana Ayo Tv
@shuwehaharunaomariikwena2337 жыл бұрын
wambie hao walopoka tu wao hawajui watu waumia vipi vitu vimepanda being sana
@kingzforeal79677 жыл бұрын
zito nakubari sana ww safi sana
@nkindwashabani23397 жыл бұрын
Exactly mheshimiwa Zitto
@duuudaud38167 жыл бұрын
mungu akupe maisha marefu baba ili uikomboe nch yetu. na wabunge wote wasema kwel. mnaahindwa kusema kwel mnamuogopa mtu? ndo alie wachaguwa muwe wabunge?
@hassankayla40767 жыл бұрын
You always speak the truth #ZITTO
@MOJAZAIDI.7 жыл бұрын
"THEY DON'T CARE ABOUT US"
@thedoctor83017 жыл бұрын
Mh! nakaaa kimya ... Asante Mh Zitto Kabwe
@hawaamri83907 жыл бұрын
Zitto endelea kutetea /kuwasemea wanyonge maana hatuna jinsi nyie ndo wawakilishi wetu tunaumia lkn!!!!!!
@mpewashiyawi99427 жыл бұрын
ivi wtz hatuwaoni viongozi kama akina zito?
@rosehillary87427 жыл бұрын
TUMELOGWA
@saleembepo99397 жыл бұрын
huyo ndiye wa kupewa hii inchi
@mwasilemwasile74557 жыл бұрын
+Rose Hillary umelogwa wewe
@rosehillary87427 жыл бұрын
Kichaa kweli wewe
@duuudaud38167 жыл бұрын
tukipata wabunge kumi kama ww aki ya nan tutanenepaaaaa maan itakuwa fulu aman,make sa hz tuaish bila raha na nchi ni yetu
@titomwashuya64604 жыл бұрын
Best mp of all time
@goodluckmushi187 жыл бұрын
@millard sijamsikia Bashe wapi unakata clip
@happinessmwaipopo74267 жыл бұрын
Mbona mmekata mwongozo wa Bashe na simbachawene?😳😳😡
@stellamwasenga62053 жыл бұрын
Safiiiiiiii
@lovelyheaven20277 жыл бұрын
mkuu wa usalama wa Taifa ni nani!
@lengoyamangoindakeni8937 жыл бұрын
umetisha mkuu
@AmCool_7 жыл бұрын
Millard Ayo umekosea kuandika hapo kwenye maelezo yako ni mwaka 2017/2018 na sio 2017/2017
@thetreasure22307 жыл бұрын
ni noma sana.
@husseinmfangavo85027 жыл бұрын
kweli kbx zito sema
@Felix722827 жыл бұрын
Hakuna shortcut kwenye maendeleo
@joyinatishaaathanasi19587 жыл бұрын
you are very intelligent zitto
@dicksonngika86777 жыл бұрын
good zito
@marcomwaimu39797 жыл бұрын
Hii video imekuwa filtered si halisi,Ayo hapa umezingua
@modestusndunguru44796 жыл бұрын
hapo umejichanganya..... maana beni saanane.. niulize mimi.. amepotwezwa na chadema... ili kuichafua Serikalii ushaidi ninao ...acha kudanganya watu
@salehlofy42517 жыл бұрын
kapea sana kisiasa
@remijakaduma64377 жыл бұрын
You are a good leader!!!!
@musamwapinga3617 жыл бұрын
remija kaduma mmmh
@salomemkama66537 жыл бұрын
sure ma leader
@kasmirilamiye69917 жыл бұрын
katka viongoz ambao wanafaa kuingoza kigoma na Tanzania kwa ujumula ni zitto 2
@rosesalukan42076 жыл бұрын
Zito ur our hero
@gka91477 жыл бұрын
Kichwa Huyo Kijana
@joyinatishaaathanasi19587 жыл бұрын
zitto unafaa kiwa presidaa, tunahitaji viongozi shupavu na sio wababe.
@gracekalinga54087 жыл бұрын
🙌🙌
@justinenjunwa44597 жыл бұрын
wewe ndo rais wetu unayekuja
@francefabian48567 жыл бұрын
mak ufu
@fatumamasudi3657 жыл бұрын
Huko vizuri
@rahimmohammed96587 жыл бұрын
zitto the best
@elishamwaya40745 жыл бұрын
Hali mbaya jamani kweli huku sio kuzuri
@amrannunda69257 жыл бұрын
nimekuelewa zito kabwe,ila nasikitika imekua kama Rais hana washauri!
Jamani jamani nchi hii njaaa nilazima iwepo unga sembe 25kg tsh 50000
@mubarakmgunga42235 жыл бұрын
Fact!
@saidmatambi16067 жыл бұрын
ngoja nkae kimya
@deusnyongole35497 жыл бұрын
Wacha wamenyane tumechoka kuonewa
@michaeltuingilegewaubaridi85707 жыл бұрын
aisee
@lameckmachumu43227 жыл бұрын
well speech Zitto
@modestusndunguru44796 жыл бұрын
wale huwa huwa hawjibu watu.. ni kazi tuu
@hassannzinga17987 жыл бұрын
Yondo sister
@michaeljohn6907 жыл бұрын
tupo gizani
@mustaphyassin53207 жыл бұрын
mbona hii wamekata baadhi ya hoja
@Baba-JJ7 жыл бұрын
wamekata wenyewe wenye chaneli ya bunge, si ndo maana hawakutaka bunge liende live ili kama kuna vitu hawataki vionekane, watoe, ndo kama hivyo.
@hassanalmediatz88087 жыл бұрын
tumelogwa kabisa
@mpewashiyawi99427 жыл бұрын
unamtusi Mani mtz rose Hillary?
@tanunewstz7 жыл бұрын
zitto yuko vizur hongera hm
@josephkahindi74557 жыл бұрын
jembe kweli kweli
@mussamakatani73667 жыл бұрын
uyuu jamaa ni shidah
@papafikiri7 жыл бұрын
hivi yuko nyuma hivi
@modestusndunguru44796 жыл бұрын
huyu ni bwege tuu.. hamna kitu.... hapo.. mnafiki.. wa kigoma
@mandizotzjfour58756 жыл бұрын
hakuna mbunge kama wewe
@mussamussamussa84447 жыл бұрын
Zito bendera Fata upepo hata ueleweki kwa muonekano wako upo hapo bungeni kwa maslahi yako blabla nyingi zisizo na tija
@sizaaloyce90715 жыл бұрын
Mijitu yenye upeo kama wako inatakiwa iwe inafokonyolewa
@sizaaloyce90715 жыл бұрын
Mtu anachangia vitu vya msingi unalopoka lopoka tu acha uchama pumbavu wew angalia kiongoz anaongea mambo yana masilahi katika maisha yawananchi
@charlzlyimo19827 жыл бұрын
zitto na wew ni kigeugeu wakati wa kampeni si ulikuwa ulinamsifia mgombea wa sisiemu, sasa hv vp mbona unamponda!!!!!!?????
@jonathandickson7087 жыл бұрын
Charlz Lyimo wala hampondi Ila lazma apewe ukweli wake...kampeni ni njia tu yakutupa kiongozi bora Ila haimaanishi maisha bora... Kukosoana kunajenga, kumbusha na kumrudisha mtu kwenye mstari sahihi