"Kwa yanayoendelea hakuna mwenye uhakika wa maisha" - Hussein Bashe

  Рет қаралды 32,832

Millard Ayo

Millard Ayo

Күн бұрын

Mbunge wa Nzega Mjini Hussein Bashe leo September 8, 2017 alisimama Bungeni Dodoma kuomba muongozo kwa Spika kumuomba kuunda Kamati ya Ulinzi na Usalama kuchunguza matukio ya uhalifu yaliyowahi kufanyika kwa baadhi ya wananchi akiwemo Mbunge wa Singida Mashariki Tundu Lissu ili kubaini chanzo cha matukio hayo.

Пікірлер: 28
@jacgululinemoshii3101
@jacgululinemoshii3101 6 жыл бұрын
Bashe Mungu akulinde uitetee Tanzania bila kujal tofauti za chama
@mbarakaathuman1336
@mbarakaathuman1336 7 жыл бұрын
Hebu gombea uraisi Mheshimiwa Husein Bashe ....nahisi kama utatupeleka kule tunapotaka...
@venancebasil4656
@venancebasil4656 7 жыл бұрын
Mbaraka Athuman bashe ndo mwana ccm pekee anaetumia akili
@samhendawallaa2144
@samhendawallaa2144 7 жыл бұрын
asante husen bashe upo sahihi kabisa
@suedykibwana5955
@suedykibwana5955 7 жыл бұрын
Mhhhhhhhh mungu aijalie tanzania yetu
@britonngale365
@britonngale365 7 жыл бұрын
nakukubaligi sana bashe Si mnafki
@msafirisinkamba8971
@msafirisinkamba8971 5 жыл бұрын
Wengine wanadhan unapokuwa CCM hasa Wabunge eti unatakiwa kukubali kila udhalimu huo ni USHAMBA muigeni Bushe hapo Mtaijenga Nchi yenu ya Tanzania bila ubaguzi wa kishamba.Ahsanteni
@simonfundi5472
@simonfundi5472 7 жыл бұрын
Asante sana mh Bashe
@lydiathadeous6644
@lydiathadeous6644 7 жыл бұрын
Hakuna kitu kibaya Duniani km kua Na roho ya kimaskini Na visasi , aiseee Mungu amuongoze lissu Apone aje kusimamia ukweli Na achukue kesi kimataifa hatutaki mahakama za Tanzania lissu pona peleka kesi ICJ tunakuamini lissu ukipona tu najua una full details za uhakika Na unaweza kuwashtaki Au kuishtaki .
@rashidseif6103
@rashidseif6103 7 жыл бұрын
Umaskini na ufukara wa Tanzania unatokana na CCM kulazimisha kutawala.
@longishoabediningori4618
@longishoabediningori4618 7 жыл бұрын
Hao waliyo kaa ni wabunge wa wapi na wao wanamanisha mambo haya kwao ni ya kawaida hata aibu haina 😵😵
@yasirhamad9808
@yasirhamad9808 7 жыл бұрын
Tatizo mmelea wenyewe hao wanaosumbua nchi
@hezronsanga5197
@hezronsanga5197 2 жыл бұрын
Ndio viongoz hawa haijalishi uchama Bashe Rais wa baadae upo vzr ndio uongoz
@mbwilotv7816
@mbwilotv7816 7 жыл бұрын
CCM WOTE WANGEKUWA KAMA HUSEIN BASHE, NA MIMI NINGEKUWA CCM
@nednation5601
@nednation5601 7 жыл бұрын
Hao vilaza waliokaa sijaelewa..wanaunga mkono mauaji yaendelee...
@samsonlucas3934
@samsonlucas3934 7 жыл бұрын
Yaaani inatatia huruma
@othumankaduma6935
@othumankaduma6935 7 жыл бұрын
Samson Lucas bashe nakupenda sana unajua kuongea ukweli hupendi unafiki mungu akupe maisha malefu
@hansom32
@hansom32 7 жыл бұрын
Mi ni Mtanzania, naishi Korea ya Kusini, Hivi sasa Tanzania ndipo inaelekea katika ukomavu wa kisiasa, demokrasia unayoiyona marekani ilipatikana baada ya viongozi kadhaa kuwa assassinated , people should sacrifice their blood kwa ajili ya ukomavu wa siasa na democracy, nothing comes that easy, ndio kwanza tuna raisi wa tano toka uhuru, for the better and best of Tanzania we should be able to take the bitter that contains the sweetness of freedom. Tusome historia ya hizo nchi tunazoziona zina siasa huru na democracy. H.Mufuruki.
@officialgeraldjackson7723
@officialgeraldjackson7723 7 жыл бұрын
Raymaan Company Limited we need God kaka
@hansom32
@hansom32 7 жыл бұрын
Papaa Gerald God needs people to sacrifice themselves for others.
@hansom32
@hansom32 7 жыл бұрын
Papaa Gerald The aim of war is peace. Sacrifice is needed, the decrease of racism in America was grounded by the assassination of Dr Martin Luther King, MalcomX and others, the real democracy was grounded by Abraham Lincoln and his assassination, and you pretty know he was a president of the United States of America by then.. Let's take time to think men.
@arapharamadhani1165
@arapharamadhani1165 5 жыл бұрын
Chukua fomu,2020
@quanthug9517
@quanthug9517 2 жыл бұрын
Habari ndugu,unawafahamu BTS
@Tiffany340
@Tiffany340 7 жыл бұрын
natafakari tu ivi waliokufa kibiti walipiganiwa hivi
@linnoinno6895
@linnoinno6895 7 жыл бұрын
Fetry John ajabu sana inawezekana tukio limeanzia kwa Lisu tu
“Kiongozi ni kusikiliza watu, Serikali mnaficha nini?” - Bashe
16:39
HUSSEIN BASHE AIGEUKIA SERIKALI BUNGENI “HII SIO SAWA”
12:30
Millard Ayo
Рет қаралды 11 М.
Incredible: Teacher builds airplane to teach kids behavior! #shorts
00:32
Fabiosa Stories
Рет қаралды 11 МЛН
Help Me Celebrate! 😍🙏
00:35
Alan Chikin Chow
Рет қаралды 60 МЛН
А ВЫ ЛЮБИТЕ ШКОЛУ?? #shorts
00:20
Паша Осадчий
Рет қаралды 9 МЛН
Dakika 12 za Hussein Bashe bungeni kuhusu wizara ya fedha
12:48
Millard Ayo
Рет қаралды 256 М.
BASHE ALIPUKA TENA BUNGENI, ASEMA CCM KWANZA UBUNGE BAADAE
10:48
Mwananchi Digital
Рет қаралды 458 М.
Povu la Hussein Bashe Bungeni Kuhusu Sakata la Madini, Msikie Hapa
5:13
Global TV Online
Рет қаралды 40 М.
Incredible: Teacher builds airplane to teach kids behavior! #shorts
00:32
Fabiosa Stories
Рет қаралды 11 МЛН