Dj smaa mwenyezimungu atakulipa kwa kazi unayoifanya.
@hajinachembe43102 күн бұрын
990,000×20=19,800,000/=
@djsma2552 күн бұрын
Damn@@hajinachembe4310
@user-it7ih1it3m2 күн бұрын
Huo uharifu ambao inaonekana wananchi wanafanya ni mdogo ukilinganisha na uharifu wanafanya viongozi maana serikali inafanya ujambazi mkubwa sana wa rasilimali za wananchi
@ChaumaraAli-z5i2 күн бұрын
asante Dj sm unatujuza mengi tusio yajuw congratulations for you
Since Ruto is the president the whole of Kenya is fucked up. Ipo siku Zakayo atashuka tu
@jumakassim87182 күн бұрын
Insha'Allah
@ceasarj67612 күн бұрын
Nonsense
@MS.independent89342 күн бұрын
MUNGU ibariki TANZANIA 🇹🇿♥️
@user-ii6gs2jg4g2 күн бұрын
Hapana Hawa wameamua kumkaanga ruto hawamtaki inaovyoonekana
@ramdanmbara85002 күн бұрын
Dj Smaa hiyo mishahara haina tofauti sana na ya Tanzania. Mishahara ya Wabunge Kenya Ksh. 739,600 ni sawa na Tsh 17,000,000, Tanzania wanapokea kwa mwezi 13,000,000, tofauti si kubwa. Pia ujue uchumi wa Kenya uko juu zaidi yetu.
@nomoboy1522 күн бұрын
Br nikwel hii kitu sema ni kwamba sie wabongo hatufatilii
@trizereve33862 күн бұрын
Huyu apewe kazi kenya sound perfect 💯
@MS.independent89342 күн бұрын
Apewe kazi Kenya aje kuuwawa na izo vita zenu uko.kenya hakuna amani 😂😂😂 mumuache kaka yetu m' TZ wetu #uzalendo kwanza😂😂
@africanmandetraveler28472 күн бұрын
@@MS.independent8934mbona kwenu mnatekwa na kuwawa kama yule jamaa wa juzi alietupwa katavi aliwe na wanyama pori 😂😂😂
@aairraahseif56482 күн бұрын
@@MS.independent8934😄😄😂😂
@MS.independent89342 күн бұрын
@@africanmandetraveler2847 TANZANIA tupo vzr kushinda wa Kenya acha nyenge ww😂😂😂 sisi tunaweka uzalendo kwanza na tuna amini kwenye mazungumzo nasio kumwaga dam ivo kama kwenu Kenya utazani ni paka wakichinjwa namna watu wanavyo uwawaa na police hovyo🌚🌚
@samuelmwatsuma44622 күн бұрын
SRC wamefanya hivo,, alafu hao waheshiwa wakatae ndio wachanganye Gen Z,. wadhani tuko pamoja lkn tumewasoma game plan yao
@mancholotrasco83502 күн бұрын
Smaa jaribu kutuelezea na mishahara ya viongoz wa Tanzania pia plz
@goodluckmsoka3660Күн бұрын
Hata mm nataman ajadili nch yetu jinsi ya kutokana na umasikini wa fikra yy Kila siku Ulaya Urusi marekani china haitusaidi na sio Afya Kwa ubongo
@wambuageorgemutua1930Күн бұрын
Siasa ya Kenya ni ngumu kaka, wachana nayo... Hii ni siasa, betrayal every corner
@greysongisiri47512 күн бұрын
15000k nisawa na 300,000 na kidogo za Tz
@ChaumaraAli-z5i2 күн бұрын
Dj sm nakuomba tu chambulie kwa Nini kenye pesa yao iko juu kuliko Tanzania kwa uchumi gn mbona km Tanzania ni ipo vizur kuliko kenya
@kevicristian27382 күн бұрын
Tupo vizuri kwenye kiswahili na music tu😂
@AminaAbdullah-ws3wy2 күн бұрын
Thank you so much,, your very smart guy ❤
@abdulnation62572 күн бұрын
nawapata sana kutoka Durban south africa
@mtzhalisi22322 күн бұрын
15000ksh equal to tshs 312,000 current exchange ya sasa ni 20.8ths
@musamagulu2023Күн бұрын
Mmmhh hao wanasiasa ndugu sijui km wataenda mbinguni
@jamilaathumani54812 күн бұрын
Yani kinachotokea hapo kaka sky Kwa maelezo hayo nikwamba uyo mtu anajaribu kumwagia petroli kwenye moto...alafu kingine wakenya wasichukulie powa iyo hali yakenya haipo sawa kabisa..mungu tu awasaidie waelewane na wawe na aman mana hali sio sawa kabisa
@RamadhanpMwakilasa-di5hc2 күн бұрын
Usijaribu kuchezea wananchi wa Kenya ni hatari kuliko hata umeme 💪💪💪💪
@benson238232 күн бұрын
Acha mna pasula maduka zawatu munaiba bali zawana inji wenzenu kisha mdayi mpo hatari Acha msinge fungula maduka zawatu manaiba mali zawatu mnaona raha hata mungu hayupo nyuma ya maandamano yenyu 😮😮😮😮
@saidmwasemu-do5tp2 күн бұрын
Kwa kwel tuko katika wakati mgumu sana
@brayanhamaro55147 минут бұрын
hiyo pesa ya kujenga tu nizaidi ya milion mia nane kwa tz
@HumphreyNgere2 күн бұрын
Wako na lengo fulani hi ni binu ya kujaribu kunasa GZ maana hakika imewalemea😮
@robertnkyalu32412 күн бұрын
Sns ni mabigwa wa uchambuzi lkn upande wa pili Mbona ya nchini mmefumbwa midomo Ili niongee ninyi ni wabobevu na watetezi wa mfumo wa maisha halisi mchambue na kero za nchi yetu sio Kenya ,mali,Africa kusimi nk
@Jureyji2 күн бұрын
ni sawa tu kwann ujiweke mdomoni kwa mamba?
@user-ev2xf1tv3w2 күн бұрын
Ee wachambue na kwetu bana mbn kuna uchaf mwing kuzid ata na kenya
@chiragahmbura95232 күн бұрын
Huu ni mchezo wanatuchezea hawa eli Wabunge wakatae hizo nyongeza za mishahara tuone kma wanatujali
@salimbilali51742 күн бұрын
They r not the same.... Telkom iko kando
@djsma2552 күн бұрын
Oh ok
@deekendi1912 күн бұрын
40M kenyan shillings =820,300,090.40 (million 820 tsh.) iyo nyumba tu, bado mishahara na vingine duuuh
@djumadjumbe69072 күн бұрын
Smaa mada ya kenya hau iwezi kabisa bro
@musamagulu2023Күн бұрын
Ruto ndo mkuu hakuna kisichofanyika bila yeye kujua,so hao srs wamepata go ahead toka kwa rais
@davidwalalason76302 күн бұрын
@dj Sma usishtuke kamwe kwani hio ndio serikali kamili ya bwana ruto uliekuwa unamtetea juzi, watu wapo maandamano kupinga matumizi mabaya ya hella za umma na wanao.ba mishahara ipunguzwe but kwa zarau ndio wanapandisha mishahara laajabu huoni madaktari, walimu na Polish wameongezwa mishahara ndio tunqchopigania big bro, #join the race and feel the pain now
@matukutajuma1562 күн бұрын
DJ SMAA UPO VIZURI SSSSSSANA HONGERA SNS!!😮
@user-hx2if3ep2m2 күн бұрын
Kuna wahuduma wa afya saivi wamekamilisha takriban miezi mitatu wako kwenye mgomo hawajalipwa mishahara Yao sababu serikali inalalamika Haina pesa.
@HansChumaКүн бұрын
Jaman em nijuzen naviongozi wakwetu wakitanzania wanapokea kias gan em tafadharin wanaojua niambien....
@marcongeleja94502 күн бұрын
Gen Z waeende mpaka ikulu wakapige picha huko watoe kabisa sasa nchi iongozwe na jeshi kama burkina faso.
@user-hj4bc5uh2x2 күн бұрын
Africa ndio inatakahivyo hizinjia za demoklasia zinatuludishanyuma unakuta mkuu wawilaya anamsafala wa V8 nuw anaendakufunguabwawa angaliabajet yake sasa
@davidwalalason76302 күн бұрын
How do you feel about it @dj Sma..? This is why we outside big bro.
Smaa amini usiamini kuna viogozi wapo nyuma ya hayo machafuko yote,, Tena chakushangaza si wa upinzani ni viongozi ambao wapo mrengo wa kulia ila wanaogopa kumsaliti zakayo
@nicenice38812 күн бұрын
Ksh 999000= Tz ml 20
@Kudonjoshow2 күн бұрын
50,000 nisawa na 1 million Tanzanian shillings soo piga esabu
@ManiMizengwe-jb3vy2 күн бұрын
Huku Kenya vijana hawafanyi maandamano Kwa mipango kula kundi latokea upande wake inakua shida kupewa ulinzi nimakundi menngi kula kona
@arkei40032 күн бұрын
Hawa wezi wamelipwa na watu walio kwenye serikali bro
@selestinokazumbaКүн бұрын
15𝙠 𝙠𝙬𝙖 𝙗𝙤𝙣𝙜𝙤 𝙣 𝙡𝙖𝙠𝙞 3
@djafro87292 күн бұрын
Clinical officers in Kenya are on strike for 6 months. Government say nothing
@biomedicaleliatosha74852 күн бұрын
Kina kitu kinawaka ndani..moshi unaonekana nje. Kenya predza played with Putin, and now he has started to see
@patrickochieng792 күн бұрын
Lakini it was stopped it won't be passed
@matanohassan96672 күн бұрын
NDIO MAANA WAANDISHI WA HABARI JUZI WALIMKAMUA RUTO KAKA DJ RUTO NI MSHENZI KULIKO UNAVODHANIA
@rashidiselemani32292 күн бұрын
15,000ksh=309,314.94 tsh
@ibba80822 күн бұрын
15k = 116.28 USD😂
@sonnyr18992 күн бұрын
@@ibba8082 Unajichoresha bro life Ya USA huwezi linganisha na life Ya Ken ao Tanz
@aloycekomba12 күн бұрын
Ukitafakari vizuri utagundua tatizo sio RUTO ila wanamchezea mchezo tu
@hamisself682018 сағат бұрын
Apna tatizo ni ruto ndio anafanya ivyo c ata SRC anafanya ivyo indio azidi kuapandisha asira gen z
@hamisself682018 сағат бұрын
Ruto amenunua serekali yake yote
@yakoubfaki20262 күн бұрын
For now from India but I'm from Zanzibar
@user-yp9el7xp8g2 күн бұрын
Wana SNS ,,, SRC washaondoa hiyo mshahara wabunge wamesema hawataki ...Rudi ctzn Sasa utazame
@djsma2552 күн бұрын
At time of recoding ilikuwa bado,
@Skomi-0nedayyes2 күн бұрын
Awaja tuzidi Tanzania watumishi wetu wanalipwa zaidi ya pesa wanazo lipwa watumishi wa Kenya.
@Zapata882 күн бұрын
Pamoja sana kutoka 🇷🇼
@sonnyr18992 күн бұрын
Nchi Nzuri na safi takuja kutembeya uko mwanangu
@jamilaathumani54812 күн бұрын
Kaka smaa iyo chat itazidi kufanya hali iwe mbaya Zaid..Yan wanazidi kuchochea izo chati
@djafro87292 күн бұрын
Ruto Yale anasema na mdomo ni tofauti na matendo yake. Mbunge ndio ilipitisha hio misahara. Tume ya misahara they only implement
@Kudonjoshow2 күн бұрын
Speaker wabunge 27 million Tanzania shilling
@hamadihamisiambale89432 күн бұрын
Hii noma wakenya tumeisha watu wanakula hela za bure.bila kazi yakueleweka
@michaeljuma77642 күн бұрын
Kenya is going to a downfall😢
@niffonlinetz72142 күн бұрын
SPIKA ANAKULA MILIONI 24 ZA BONGO
@yakoubfaki20262 күн бұрын
Mm naomba kuuliza ila sorry nipo nje ya mada kdg but inahusi haya mambo ya maslahi je kwa mfano Tz wambe salary wanaz9 pata je zina katwa kodi, pili je salary wanayo pesa wana changia kwenye mifuko ya hifadhi km NSSF, naomba km kuna uwezekano km pata makala ya hii issue pls
@menmkinga21092 күн бұрын
Kenya needs to restructure their national debt,wapunguze govt spending iyo mishahala wanayo ongeza will cause more protest na soon ata wafnyakaz wa daraja la chini na kati nao wataandama koz hatoweza lipwa on time,
@yusufmohamed72352 күн бұрын
Hapo wanapopokea hela hizo, baadhi ya hospitali hazina dawa, wananchi mashinani wanaishi katika hali mbaya ya uchochole, duh yasikitisha jamani kwani ukorofi wa ubadhirifu wa mali ya umma pamoja na ufisadi ndio mtindo wa kila siku.😢😢😢😢
@zenajustus57312 күн бұрын
Mm ndio nilikua shocked jana hii habari ikitoka,nilishtuka
@rajdaboy2 күн бұрын
Mm siku zote niko tu hapa Nairobi Kenya
@alisalimkenya39722 күн бұрын
Ruto aliwaahidi baada ya kupitishwa finanace bill atawaingeza, sahii anawapa donge nono awasaidie wakati huu mgumu
@achibelatotolakijaka46872 күн бұрын
Nafikiria maandamano ya kesho yatakua mabaya Sana tuombeeni watz
@mohdmohd84282 күн бұрын
Wadau wametumia fursa
@swahilibrotherhood2 күн бұрын
Politicians are not serious, hao jamaa wanatakiwa wapewe pressure enough
@MwatumAhmed2 күн бұрын
Waaah😢😢
@abubakarimsere2 күн бұрын
Hivi kwanini tusimpe nchi Dj smaa 😢 ni mawazo yangu tu
@djsma2552 күн бұрын
😂😂😂
@hassansela13932 күн бұрын
😂😂
@shd12m552 күн бұрын
😂😂😂dah alafu masubi wazili wa ulinzi
@japhetkyarukambaaristides86982 күн бұрын
Kwamba Djsmaa awe ndo kama "mama samia" sindio 😂😅
@mrshazychannel33592 күн бұрын
😂😂😂😂
@mussahussein46192 күн бұрын
15. Tz 300000
@user-bl3rp5tk5f2 күн бұрын
elf 15 ya kenya ni zaid ya laki 3 ya tz😂 hatar sana babaa
@paulntalima69982 күн бұрын
Pesa yao izidishe mara 21 ndio unapata ya kenya
@salimmadafa4840Күн бұрын
Behind haya maandamano kuna western.... Hawa ni wakenya kama wale wanaoandamana lakini hawana huruma, hii sio akili ya wananchi wanaoipenda inchi yao. Hawa walitakiwa kufanya kazi na Rais kumshauri nini cha kufanya.Hawa wanachochea ghasia kwa makusudi
@manmcog17412 күн бұрын
Elfu 15 ya Kenya ni 308,700/=
@niffonlinetz72142 күн бұрын
UYO PRIME CABINET NA CABINET SECRETARIES WANAKULA 990K NI KAMA MILION 20.5M ZA KIBONGO
@trendz_25482 күн бұрын
😂😂😂😂hawa watu wanatuzuga ile wajifanye wamekata tuone wanatujali ila tunajua mchezo wanaoucheza. Hii serikali inatunyonya zaidi
@yakoubfaki20262 күн бұрын
15,000ksh = 307,500Tsh
@yasminmustafa22822 күн бұрын
THAT NONSENSE HAS BEEN DROPPED ALL HOUSES OF REPRESENTATIVE UNANIMOUSLY REFUSED
@zingahassan58512 күн бұрын
I think it's a cover up they don't want GEN Z not to focus on finance bill but wanataka tuongee abt SRC.....coz mswada kupitishwa BUNGENI hata rais asipoweka sign after 21 days ...Sheria inapitisha
@user-dg7wf6fg2jКүн бұрын
Gen Z wamekiwasha kiyajua you haya
@user-hj4bc5uh2x2 күн бұрын
Hakunataifagum kulitawala dunian kama kenya
@user-fl1xz3ln3c2 күн бұрын
Huyo kigogo atachomewa nyumba labda kama haishi kenya sawa
@mtzhalisi22322 күн бұрын
Indirect ruto must go!!
@ramamabinda50632 күн бұрын
Hiyo hesabu yote fanya mara 20.58 kwa pesa ya Tanzania
@muzafarsharif94652 күн бұрын
mshahara wa mbunge wa kenya ndio mshahara wa mama samia Tanzania wakenya tunapitia wakati mgumu😢😢
@KassimAlly-xp4dz2 күн бұрын
Na bd mtashika adabu yenu mpaka mlee udongo
@mohamedngoshani20672 күн бұрын
sababu ya kumjibu hvo nn @@KassimAlly-xp4dz
@modrizii2 күн бұрын
Mshahara wa rahisi haujawai kuwa hadhara tanzania na bado ana malupulu kibao
@user-ki7hd3lg2q2 күн бұрын
Ushakula au bado uko na njaa
@sonnyr18992 күн бұрын
@@modrizii Ni mil 9 magufuli aliwekaga hadharani
@fatumamwalimu57652 күн бұрын
Ruto ndie wakulaumiwa kabla ya wabunge, wataka kusema yeye haoni haya? Je,yeye hana uwezo wakuliongelea hili? Na yeye mwenyewe alipoingia uongozini akabuni office ya fast lady na second lady ,hiyo mishahara yao sasa!! Amezidi spiiker wa bunge mara 10,hii haijawahi tokea, alikua amekuja na mbinu kua mtoto wake mkubwa w kike na wakiume wawe na office zao na walipwe hao watakua washauri wa vijana,wakenya tukakataa,huyu ruto ni abari nyengine wala sio mtu mzuri
@prospermbwambo22652 күн бұрын
Wakenya ni zamu yenu wafanyabiashara wenu wameumiza sana wakulima watanzania na stl mnaendelea kutuumiza kila wakat and what mfano zao la kitunguu linatumia gharama kubwa but mnakuja kuchukua kwa low price mkijua mkulima wa kitanzania anateseka but na nyiny teseken kidogo mjifunze
@alisalimkenya39722 күн бұрын
Hawa watu wamewekwa na ruto kuharibu maandamano yaonekane ni ya majangili
@majaliwamabalakifutumo87652 күн бұрын
Hii ishu huenda ruto kaamua kuyatoa haya yajulikane hakua njia ya kuya sema
@officialcandleboy69232 күн бұрын
Dj smaa my brother sasa nazani Hume helewa kwanini wale watangazaji hawa kuwa nataka kumsikiliza ruto uongo wake, Maana kila siku huwa hana hongea uongo mtupu
@fatumamwalimu57652 күн бұрын
Mambo ya maandamano hayana chakuyapangia ila watu wameshajua wenye sio waandamanaji ni wakora
@AmaniSangawe-fc1dy2 күн бұрын
Hizo hela za Kenya Fanya 22.1 mara huo mishahara utapata hela ya tanzania
@obongobongo772 күн бұрын
Just sit back n relax
@achibelatotolakijaka46872 күн бұрын
Tunaumia Sana wakenya
@isabellarkageha77072 күн бұрын
Yaani 25k Airtime ni ya nini...kenya tumenyanyaswa na hii serikali
@edwinaura-yk1ei2 күн бұрын
Mimi niko kenya nyumbani kwetu
@fatumamwalimu57652 күн бұрын
Nyinyi achaneni na Kenya maana mambo yake hamtayaweza, juzi mlitetea ruto mkasema waandishi wa habari walikua hawampi heshima kama raisi, ukweli nikwamba, ruto usipomuwahi wewe anakukalisha, hakuna maojiano hata mamoja ruto aliyoruhusu mwana habari amuhoji mambo ya ndani, nae ukatiza watu kama hivyo, Kenya ruto hajawahi kuacha sekta ifanye kazi yake bila kutoa vitisho na kupanga vile atakavyo yeye,hiyo ilitoka jana na hii ni baada ya kupata vibaraka wengine wakimsuport, hiyo ni njia yakuridhisha vibaraka wake ili waendelee kuwa upande wake, huyu ruto mtuachie tu sisi