Kwa mara ya kwanza toka Mwenyekiti wa CHADEMA Freeman Mbowe kutajwa kwenye sakata la dawa za kulevya kwenye orodha ya watu 65 ya Mkuu wa mkoa wa Dar es salaam Paul Makonda, leo ameongea akiwa Dodoma.
Пікірлер: 567
@azizyben2817 жыл бұрын
mpk naskia raha mbowe anavyoiishi sheria upo vizuri sana mkuu na your there for the people!!
@issackchalahani12354 жыл бұрын
Exactly as are really good leadership.
@dominacosmo81637 жыл бұрын
we need ten more people like you
@odoocool97557 жыл бұрын
Domina Cosmo watu hatujui sheria tunakurupuka, hta kama anhusika hajbisha ila sheria zifuatwe. Me nimemuelewa.
@kapolesyaba31337 жыл бұрын
Tangu mwaka 2003 nilpokufahamu, nilkupendezwa na hoja na msimamo wako nikajikuta ninakufollow, mpaka mwaka 2007 nilpokufanya my role model officially, ndivo nitafanya katika maisha yangu yaliyobaki sababu hata ungebadilika vip bado mengi nilojifunza kutoka kwako yamenifanya kuwa hivi; mwananchi muwajibikaji, shujaa, mpenda haki na nchi yangu kwa ujumla. real appreciate u Mh. Mbowe! Hakika wewe ni hazina kwa taifa hili hususan katika kipindi hichi cha transformation into Industrialized country, wanaokubeza acha wafanye hivo ila haitopunguza trust za wengi kwako. Mungu akupe maisha marefu na ubunifu zaidi.
@danielromario51837 жыл бұрын
asanteh sana bwana mkubwa mbowe wajinga watakupinga wenye akili watakuunga mkono
Duh,ukijua sheria raha xaana,"nmeamin mwanaume htishiwi nyau" maana pamoja na misukosuko yoote bado Rais anatajwa kua...!!!?? Nmekuelewa Mbowe
@leoniladidas33437 жыл бұрын
CASTROL EZEKIEL k
@celitomclassic50857 жыл бұрын
CASTROL EZEKIEL unakumbuka Manji na Gwajima walivyojitamba ???? unadhan kuna mtu anajua sheria ka Tundu Lissu mbona anaenda na kurudi?? hayo ni maneno tu hata wanasheria wa Manji walibak central jana wameshangaa wakti wenzao wanapandishwa gari...
@pascaljulias60087 жыл бұрын
Thomas Malauri haijarishi mbowe sheria hanaijua na ndio ni raha kujua sheria za nchi so taratibu zikifuatwa za kumuita ndio hatakuja lakini sio kinyonge kama wengine walivyo jipeleka....hata kama wakija kumchukua kimabavu teyari kishaonyesha uwanaume....pia kafungua wengi kua serikali tawala haifuati sheria.....na hakuna asiye pinga madawa ya kulevya.
@pascaljulias60087 жыл бұрын
Absolutely
@selemanilisecamp33497 жыл бұрын
yani inauma sana kubebeshwa mzigo usiyo kuhusu makonda kabeba zigo la misumali kichwani
@brysonvicent82307 жыл бұрын
mh mbowe Mara nyingi huwa simuelew lakin kwa hili nimemwelewa sana. simama imara baba mbowe ✌✌✌✌✌✌✌👏👏👏👏
@mahelamnazaletimahela93174 жыл бұрын
Mbowe uwaga umuelewi kapimwe akili
@samwelmasoya33474 жыл бұрын
P1
@salmasalim60557 жыл бұрын
mbowe maashaallah nimeipenda spich wako wewe kiboko sulut mkuu
@fundikiller78847 жыл бұрын
MBOWE YOUR GREAT MAN
@athanasmasmami53898 ай бұрын
ukijua sheria bwana raha sana yani Big up Mbowe
@Ishengoma17 жыл бұрын
Yaani Muziki ndo unaanza. Acha maneno weka muziki
@mamatuishi-mamatuondoke88227 жыл бұрын
Mwaka huu!!!sijui
@christsflowe.r7 жыл бұрын
Safi sana Tanzania watu wanapelekwa pelekwa tu atleast u can stand for the rest
@atheistblood85687 жыл бұрын
mbowe oyeeeeee oyeeeeee
@heriethb.chanafi56447 жыл бұрын
Safi sana! At last sheria zinaanza kutumika huko ziliko andikwa! Ndugu waheshimiwa naomba kujua sheria inayolinda "REPUTATION" ya watoto wetu na vijana wetu ambao wamekuwa mateja! au mashoja au wana VVU kwa kutumia madawa ya kulevya aka mihadarati! na sisi wazazi wao ambao majina yetu yameharibiwa na heshima zetu kushuka katika jamii kwa kigezo cha kushindwa kulea watoto wetu hadi wamekuwa mateja! au mashoga au wana virusi vya ukimwi kwa kuchangia mabomba ya kujidunga madawa! Wakati sasa umefika nataka kufungua mashtaka ya "DEFORMATION" kwa wauza unga lakini sijui "PROCEDURE" nisije kosea katika kuitafuta haki!
@kebo21557 жыл бұрын
safi sana ...nchi hii imekosa adabu... muulize mjumbe wako wa shina ataweza kukusaidia kidogo kuhusu procedure...
@lulumariethk73857 жыл бұрын
Herieth B. Chanafi great point about kufungua mashitaka! I would advise uende kumuona mwanasheria binafsi au hata ustawi wa jamii kama una evidence kua kijana wako ni mwathirika. Kwanini nimesema ustawi wa jamii? It's because wanatakiwa kushughulikia social welfare (hili neno sijui ni nini kwa Kiswahili) ya wananchi!
@AnkoJJ7 жыл бұрын
Social welfare kwa kiswahili ni Ustawi wa jamii
@officialmologa7 жыл бұрын
Herieth B. Chanafi nguvu tutapata wapi na sisi ni vijana ambao status zetu ni poor unafikr tutafka mahali kudai haki au tutazimwa kama mshumaa
@jacquelinemabula25197 жыл бұрын
Herieth B. Chanafi 👏👏👏nice sister
@robathzingu16504 жыл бұрын
Umenikumbusha mbali sana Mh. Mbowe. You are really a leader...
@adenwarsame73577 жыл бұрын
Mbowe Umetisha Mkuu😂😂😂😂😂😂
@janenatales83507 жыл бұрын
. Safiiiiii kamanda.... Huyo kajipalia makaa ya moto na atajuta Sanaa
@kamaluhajj34467 жыл бұрын
Millard please ongea na TCRA mtu wetu wa nguvu wasikufungie huku ndo tunapata mambo mazuri
@khalidkassim97827 жыл бұрын
Mbowe your the man mfunguliye mashtaka huyo makonda no one has to be above the law
@meddyyassin47417 жыл бұрын
thank u mbowe,, that's why I love law,, cz it makes me aware of my rights
@lulugama15477 жыл бұрын
wazo la makonda ni zuri lakini approaching yake sio nzuri. unapoongelea madawa ya kulevya inaleta picha mmbaya kwenye fikra za mwanadamu ndani ya jamii, Kuna watu walikuwa na mapenzi na nchi yao lakini kuharibu jina la mtu anaeaminika na watu mia nyuma makonda lazima aelewe anakosea. mtu anayauza mkamate na kete zake mpeleke mahakamani sio kusikia maneno watu wanamtajia tuu majina anaandika hata spelling zenyewe anakosea. well said Mr mbowe I myself support you completely
@andrewmlamba7 жыл бұрын
Mkuu wa mkoa atamuulizaje maswali mbunge!?!Nakatiba yenyewe haimuruhusu.Ngoja jumatatu kibao kimgeukiye yeye atakapo funguliwa mastaka yakumchafuliya sifa Mbowe
@jacquelinemabula25197 жыл бұрын
Mullermba Chusa who is mbunge asiulizwe yeye nani basi nikweli wancho k8fanya na ndiyo shuhuri zao mbowe si yupo dar bado yupo chini ya makonda tu ubunge wake bungeni kila mtu anasehem yake ya kazi rc ndiye anae paswa kujuwa hali ya u salama ndani ya mkoa wake na mienendo ya watu wake ndani ya mkoa aende zake uko huyo mbowe aende police
@ummyissa46227 жыл бұрын
Mullermba Chusa patam haap0
@juliusbivannah98077 жыл бұрын
not
@queenmalikia41727 жыл бұрын
Mlash Chusa makonda Kanyea chupi ya Mtoto wazazi Waja just. ....kimeiva kwako makonda utajibeba kama sio kukimbia nchi
@tikaeddie72847 жыл бұрын
Mlash Chusa juzi manji alifoka jana akaja kulala Aya endeleeni kumsema Makonda ila huyo mbowe hizo sifa zake hazina faida 💃💃
unajisumbua tu cha msingi fika kituoni katoe maelezo, acha maneno mengi kiongozi itikia wito, ufanyiwe uchunguzi basi.
@hassanovajunior30067 жыл бұрын
Dvjtwentyfive December afike tu kujieleza ni kwa sirro sio hapa
@lyimoaikamber21597 жыл бұрын
Hassanova junior ww umefanyiwa uchuzi
@joycemichaellovelove22217 жыл бұрын
#Dvjtwentyfive December 😂😂😂😂😂
@shuwehaomar66587 жыл бұрын
Dvjtwentyfive December hunaakili
@emariusrush77047 жыл бұрын
Dvjtwentyfive December kuma nyoko,aende police bili samasi????
@maxzitatu16177 жыл бұрын
Najivunia Kuwa Mwana Chadema, Tuna Viongozi Wana Akili Sana
@allangodbless15667 жыл бұрын
limekua jambo la busara mh Mbowe kutoa maelezo hayo maana nilisikitishwa na kauli ya bwana yule akituzalilisha wananchi wa jimbo la HAI kuwa kiongoz wetu ni muuza unga;Uongoz ni hekima siyo masifa na unafik
@user-de7nf8pp3w7 жыл бұрын
wallah laadhm nakuwa very interested ninapopata updates za nchi yangu niko mbal lkn millad unanifany kam niko tz hongera sana kak mwenyezmung azid kukulinda uzid kutuhabarisha kuhus nchi yetu shukran
@fatumafundi44107 жыл бұрын
Jaman mbn maneno meng
@hassanihussein44797 жыл бұрын
uxjl na mim itakuwa nakupa habar
@noxlosingida23697 жыл бұрын
+Hassani Hussein Ha ha ha acha ni cheke mie
@neemahussein49577 жыл бұрын
افلح السريرس umeonaee
@jumakhjuma53197 жыл бұрын
Hatutoi Kiki Kiboya boya tyu....Congrats Uncle #mbowe #freeman na jina lako lenyewe ni Freeman....alafu no Buddy is above the law...umeongea jambo
@danfordmujaki25527 жыл бұрын
DAH IMENIUMA SANAA....!!!!!!!!!! POLE SANA MH MBOWE NAKUELEWA SANAAA
@officialmbeyaone35727 жыл бұрын
mh mbowe umeongea hizulisaana
@noxlosingida23697 жыл бұрын
Asante kwa kufunguka vizuri sana mm nimekuekewa big up
@juliusuronu88127 жыл бұрын
Mbowe leo umeongea kibaba.....Yan Makonda akiona haka kavideo lazima moyo umdunde kwanza maana hata aliyoongea Manji sio makali hivi...Shikamoo baba mbowe
@renaldakamugishazeramulake9407 жыл бұрын
Julius URONU hahaha haha mm ngoja nicheke
@gustaphmlyandi70457 жыл бұрын
@godmanbuchocho26085 жыл бұрын
Ww ni baba sisi wanao tuonyeshe njia salama ili hali tuwe na uhuru katika nchi yetu
@ramadhanikazimoto30527 жыл бұрын
safi mbowe ndio maana huwa nakukubali sana unajielewa sana we mzee
@kitonekantasha16877 жыл бұрын
vimba baba nimekuelewa kiundan sana.... MAKONDA kafanya kosa kubwa BINAF... hatakama tunataka liishe hili JANGA ila kiukweli kafanya makosa twendeni nyuma twende.mbele... kama utakuwa umemuelewa MBOWE kwenye mada za mwisho mwisho kabisa.... utakuwa wee sio waanchi hii yakibongo utakuwa umetembea tembea nje.
@Justin_Dickson7 жыл бұрын
Thanx for good logic
@tikaeddie72847 жыл бұрын
kwani kasema unadeal na madawa ya kulevya??? hebu nenda central, hapo sio central 💃💃💃
@petersanga41677 жыл бұрын
Tika Nyalusi unaakili wewe
@mathewmselle73317 жыл бұрын
Tika Nyalusi sikiliza anachokiongea acha kushabikia ujinga
@tikaeddie72847 жыл бұрын
Nimesikia,nimeelewa ndo maana nime comment alafu reflect alichosema Makonda upo....
@joycemichaellovelove22217 жыл бұрын
#Tika Nyalusi 😀😀😀😀
@anodnjenje90847 жыл бұрын
Tika ndo wale wale wasiolewaga mwalimu wako alipata shida kukufundisha
@isayamerickiorywille68814 жыл бұрын
Mh mbowe hongera sana mungu akulinde
@masaithedon48187 жыл бұрын
Asante Kamanda Mbowe thx Kaka tena
@grandpa50717 жыл бұрын
Can't wait for next episode... need to get some popcorn too
@OmarAli-wr1ti7 жыл бұрын
Yani uyu Mbowe pekeake ndio amefanya maamuzi Bora kuliko wote
@issackchalahani12354 жыл бұрын
Yeah.
@sifacycy_bby88277 жыл бұрын
Mh! shukran san #Ayo tv kwa tarifa. ......👏👏👏
@allymapinda88047 жыл бұрын
Makonda alipokua mkuu wa wilaya nilikua namkubali sana hata baada ya kupewa ukuu wa mkoa siku zile za mwanzo mwanzo. Ila kwa hii ishu ya madawa ya kulevya hapo amechemsha sana, kama mkuu wa mkoa hana madaraka ya kuwaita watu kwa style hiyo kwa kuhisi tu au kusikia kwamba fulani anawezekana anatumia au anauza. hilo pekee ni kosa. Mbowe anaifahamu sana sheria na hata kwa wale vichwa maji watakua ameelewa ni jinsi gani Makonda amechemsha!
@bernadisabas29427 жыл бұрын
kwakuongea point unatisha mzeee big up tusikubali kukaliwa kizembe 😁😁😁
@malkoashaali54307 жыл бұрын
LOVE IS MAN SO TRUE
@mwasitiomtima28187 жыл бұрын
tunapoangalia muvii kuona vitu flan huhu Leo yanatokea Tz yaan maisha yamekua kama muvi yaan, things are getting interesting wallah , hya let wait & see
@shakourmwinyimvua72097 жыл бұрын
ukijua sheria hautaendeshwa big up mbowe
@odoocool97557 жыл бұрын
jah bless Ayo, nakukubali kinomaaaa anii now najua movie inavyoenda
@khalfanhamisi82157 жыл бұрын
Big up sana mp mwenye akili zakuona mbali
@sifacycy_bby88277 жыл бұрын
Mh! shukran san #Ayo tv kwa tarifa. ......
@ndetiwaiwc53517 жыл бұрын
Asante Mzee
@jescajoseph21297 жыл бұрын
mbowe big up mkuu umeongea vizur sana
@babah55987 жыл бұрын
Ndo maana tukakupa jimbo la hai mh mbowe,busara zako ndo zimekufikisha hapa!!wewe ni jasiri sana na unasimamia unachokiamn daima!!sheria zifatwe!!siyo ukurupukaji tu #nodrugs
@nellxoxoxo99667 жыл бұрын
wacha sheria iongee R.I.P makonda you messed up big time 😎 madawa ya kulevya na sifa wap na wap?
@anodnjenje90847 жыл бұрын
Nellxo xoxo hahahaaa
@lorrainegalado5167 жыл бұрын
I love him... yan uyu baba mungu akueke
@sasha-ri7tf3 жыл бұрын
Safi sana kwa pamoja mpaka ikulu wenye kuuza madawa ya kulevya anajulikana ni yule aliyemsema kwamba yeye sio makonda ni (Bashite) yeye ndio anayefanya biashara ya madawa ya kulevya cocain hata taarifa hiyo aliwahi kupewa na kuisema Rais mstafu (kikwete).
@odoocool97557 жыл бұрын
Nimekuelewa Sasa. siasa sio za kukurupukia. hahahahahhaah Mbowe kaza babaa we sio mtu waspotspot
@f.a60432 жыл бұрын
Mh Mbowe your really genuine
@hassankayla40767 жыл бұрын
Well said #MBOWE
@qwara78537 жыл бұрын
we need more leaders like you mbowe
@ibrahimsaid11287 жыл бұрын
Ahsante kwa busara zao Freeman mbowe
@idreamfoto7 жыл бұрын
For The First Time, Nimekuelewa Sana Mheshimiwa, Umeongea FACTS ✌🏽
@user-de7nf8pp3w7 жыл бұрын
jmn nilikuwa nina ham ya kukuckia mbowe kuhus hii inshu nimehuzunika kuckia umetajwa ktk orodha hiyo coz ww ni kiongoz wangu ninaependa kukufuatilia sana hasa ukiwa bungen
@leoniladidas33437 жыл бұрын
umesikitika kutajwa Mbowe...basi hata baba yako kama anahusika atatajwa tu... movie ndio kwanza mbichi....tetetetete!
@tikaeddie72847 жыл бұрын
unapenda vijana waangamie eh 💃💃💃
@zachariadidas93877 жыл бұрын
msenge leonila
@noxlosingida23697 жыл бұрын
+Leonila didas ha ha ha umemsahau mke wake atajwe tu
@judithlaizero3567 жыл бұрын
افلح السريرس mmm
@kigambontv97487 жыл бұрын
Eti mjinga mmoja tu Mbowe bhana eti hivi Leo Makonda anaweza kunilipa leo hahahaaaa acha ISIDINGO iendelee
@deonisamedeus96957 жыл бұрын
Mheshimiwa upo sahihi kabisa jamaa anaharibu ushahidi.
@bahatidan47517 жыл бұрын
True said sir... MP Mbowe..The Rc needs leadership training...and to be impeached now n sue him for defamation standard...Magufuli needs another mkuu WA mkoa na Makonda awe ana deal na madawa ya kulevya with the police tu....Period.. And while at it ...he can go get a law degree ...CAPISH
@kalingarichard88257 жыл бұрын
Nakukubali sana mbowe 100%
@graceopudo1397 жыл бұрын
safi sana, sheria ifuate mkondo wake.
@priscaabraham38337 жыл бұрын
kiukweli mbowe umeongea sahihi kabisa huyu konda amewakosea sana
@amadsabimbona25537 жыл бұрын
amewakosea sanaaaa manda uwe hatabu utasama tanzania imekuwa yake
@adismas6657 жыл бұрын
WELL SAID ..I'VE EVER HEAR ✔✔
@esterdaniel15744 жыл бұрын
mnampamba mbowe ataweza?au anataka Kes zake ziongezeke maana wakimpa mamlaka mbowe wamekaribisha matusi nchini dhidi ya viongozi wetu
@marryhancy59877 жыл бұрын
uko vizuri napenda kaz zako
@phyniacerungu53687 жыл бұрын
duuuuuu......picha limenoga
@ellymaduhu86687 жыл бұрын
huyu jamaa anajua kujieleza balaa ukifanya yako hujajipanga anakuumbua. and he is smart na mwerevu
@isaacgwams80807 жыл бұрын
saafi sana mbowe huyo jamaa anyoshwee kinidhamu maana bado mchanga sana na anajikuta yupo juu ya sheria ili aonekane mwema
@wilsonkitaa10547 жыл бұрын
am waiting for next episode
@nambuacassandra32857 жыл бұрын
love you mbowe.
@marymayeye79477 жыл бұрын
athanas elisha !! usijukuwe hilijambo lamadawa yakulevi ni jambo lamcheo, hata makonde anahatarisha maisha yake, utaratibu uko wakufanyiko kwa siri .from kenya
@coachtemba60027 жыл бұрын
Bravo Chairman
@mariamisuja62567 жыл бұрын
Hapo bado sijakubaliana na huyu Kiumbe.Makonda bado yuko sahihi. sisi binadamu hatuoni kama Mungu huko ni kutafuta kujiona mwema mbele yetu. Awadanganye hao hao waliosimama nyuma yake.Makonda yasikutishe haya mawatu yenye maumbo na maneno mengi. Nakuombea sana na nakupenda kwa kila ufanyalo. Fanya kazi kaka yangu.
@wilfredmmbando689 Жыл бұрын
Mmmmh akili za kimalaya malaya
@shakilamasoud89797 жыл бұрын
kumbe ushirikiano utatoa......safi sana. punguza hasira baba
@phinamasaka47957 жыл бұрын
asante kwa kujielewa mbowe
@sebastianmgina81497 жыл бұрын
thanks kamanda wangu
@franklawrence95127 жыл бұрын
kwa kuwa ni mtuhumiwa haimaanishi waweza kumdharilisha, take imagine mtuhumiwa akakosa hatia how will you apology to him? aisee namuunga mkono Makonda kwa vita hii ila c kwa style hii, inajulikana waTZ tunapenda kuckia zaidi kuliko vitendo we are failing
@williammashimbi84687 жыл бұрын
good speech
@jacksonmodaha15907 жыл бұрын
mboye noma mungu atutoe kwenye uungu huo wa ccm
@esterkinyaiya15627 жыл бұрын
safiiiiii sanaaa!!!!!! factt
@theafricanrenaissance777 жыл бұрын
MASWALI; 1)Mbowe ameTUHUMIWA, au ndiyo Mbowe ameITWA kwa mahojiano mbalimbali Polisi-central ktk hilo tangazo linalojadiliwa?? 2)Makonda amem'SUMMON' (/KUITA) au ndiyo Polisi imemuita, na Makonda ndiye ametangaza ktk press conference?? 3)Unapomuita mkuu wa mkoa wowote ktk taifa letu MJINGA, umetumia kweli busara (hata usipokubaliana naye na matendo yake), na km hivyo siumemkashifu na umejiingiza ktk kesi ya kudhalilisha mtumishi wa dola au?? 4)Inawezekana waTZ ktk matabaka yote wapo wanayotumia madawa hayo na kushughulikia biashara hii haramu na ndipo ktk kila mkoa, jiji, mji na wilaya? na km ndivyo inawezekana wamo ktk KILA CHAMA au?? ....hmm mimi napita tu😌