MCHAMBUZI THABIT AUCHAMBUA MFUMO WA ELIMU/LOWASSA NA KINGUNGE WAHUSISHWA/ZANZIBAR KUFAIDIKA

  Рет қаралды 11,345

Gangana Info Channel

Gangana Info Channel

3 жыл бұрын

Пікірлер: 66
@radhiasalum7156
@radhiasalum7156 3 жыл бұрын
Uyu kila siku tunamuhitaji maana tunafadika na mengi. Hongereni sana
@samchris8216
@samchris8216 3 жыл бұрын
keep the great work Gangana na huyu jamaa ni hatari..
@changarawemichael5556
@changarawemichael5556 3 жыл бұрын
TISS please wekeni mtu huyu kwenye system ya serikali asaidie nchi yetu . Msiachie watu wasio na weredi watuongoze
@sembuakimbosho3319
@sembuakimbosho3319 3 жыл бұрын
a man is highly educated
@kaundasutikaunda7769
@kaundasutikaunda7769 3 жыл бұрын
Asante sana Ndg Gangana kwa kumhoji Ndg Thabit kuhusu hii mada. Ubarikiwe sana.
@milkabelias448
@milkabelias448 2 жыл бұрын
Asante unastahili sifa munguakutie nguvu
@simonmwashambela3233
@simonmwashambela3233 3 жыл бұрын
huyu jamaa anaweza tuache utani
@seliusfasa8249
@seliusfasa8249 3 жыл бұрын
Kweli kama kuna wazazi waliopeleka watoto shule ni wazazi wa huyu kijana
@peaceisrael8158
@peaceisrael8158 3 жыл бұрын
Elimu ni kupata maarifa na ujuzi wa kutatua changamoto kwa level ya mtu husika na wala sio vyeti
@radhiasalum7156
@radhiasalum7156 3 жыл бұрын
Kweli kabisa maana wa darasa la saba ukiangalia wengi wanamaarifa na maisha yao wametajifika wenye yeti wanaangaika tu😃😃
@peaceisrael8158
@peaceisrael8158 3 жыл бұрын
Ninaishi hapa ujerumani katika institution unaeza usikute mwenye masters /phd ila training tu za miaka mi3 Ausbildung ila wako smart sana to be honest
@stanfordshombe1379
@stanfordshombe1379 3 жыл бұрын
Nimemfuatilia kwa mda vipindi vyake sijaona chenga hata kodogo
@yuathmtenzi2114
@yuathmtenzi2114 3 жыл бұрын
Mr.Thabit your my lecture
@bensonjr4879
@bensonjr4879 3 жыл бұрын
Huyu jamaaa he so smart...
@margarethpolepole7438
@margarethpolepole7438 3 жыл бұрын
Gangana thabit anapendwa sana tunataka umuweke mara kwa mara old is gold gangana
@benjaminlijongwa3715
@benjaminlijongwa3715 3 жыл бұрын
THABITI UNAONGEA MAMBO VERY DEEP MBONA MAMLAKA HAZIYAONI HAYA?
@zaidiissa3714
@zaidiissa3714 3 жыл бұрын
Mamlaka zetu zisha haribu mambokibao Kwa hiyo wakimwingiza kwao huyu niadui mkubwa kwao
@benjaminlijongwa3715
@benjaminlijongwa3715 3 жыл бұрын
NYERERE KUMBE ALIKUWA SAHIHI
@afropatriot7769
@afropatriot7769 3 жыл бұрын
Well said brother Mungu akutunze daima
@siwamasokolo4782
@siwamasokolo4782 3 жыл бұрын
Upo sahihi Mkuu Baba, wewe ni kielelezo kuwa kusoma ni kuelewa.
@nindimsaso5694
@nindimsaso5694 3 жыл бұрын
God bless you Thabit Mlangi
@kubakema
@kubakema 3 жыл бұрын
Inauma sana kuona sisi hatuna mbele wala nyuma, sisi ni hohe hahe . Elimu yetu haieleweki, wasomi wetu hawaeleweki, yaani ni mbumbumbu Mzungu wa Reli. Binafsi Wakenya siwapendi kabisa yani, sijui ndiyo hiyo radicalism. Hata hivyo, ukweli ni kuwa isingewezekana kuwatumia wakulima wetu kama kielelezo cha jinsi tunavyowachukia wakenya. Wakulima walikuwa na hali mbaya na soko letu la haraka haraka ni Kenya. Serikali ni muhimu kuangalia masoko mengine ya hiyari, haya makenya haya ni mamtu mabaya sana
@rosmenykikoti1372
@rosmenykikoti1372 3 жыл бұрын
Mimi nashauri serikali tupeleke baadhi ya vijana isirael wakachukue technolojia tofauti hii alifanya hata kenyata ndiyo maana wenzetu wana maarifa kutuzidi.
@kudrachristopher4640
@kudrachristopher4640 3 жыл бұрын
Mtalaamu 😎
@sleifikhajjir262
@sleifikhajjir262 3 жыл бұрын
yani kila siku najifunza kitu kusoma kwa huyu kaka
@lukullikiwamba6494
@lukullikiwamba6494 3 жыл бұрын
Watu wanashinda vijiweni tu na kusema maneno ya uwongo tu ndo maana fikra zao zimepunguwa, watanzania watu wavivu kujifunza na kufanya kazi , wanapenda vitu vizuri lkn awataki kuvifanyia kazi, uwezi kwenda peponi bila ya kufa
@milkabelias448
@milkabelias448 2 жыл бұрын
Huko Vizuri acha atufumbuea macho
@mbuyutv8271
@mbuyutv8271 3 жыл бұрын
Yaani huyu jamaa amenifnua macho, nimemuelewa sana. Shukran
@mohamedsaid2882
@mohamedsaid2882 3 жыл бұрын
Hamna nchi iliyoendelea bila ya stem tunabobea sana kwenye arts na miziki ndio maana vitu hivi vinatuoiga chenga
@nazirshivji769
@nazirshivji769 3 жыл бұрын
Well Said Bwana Thabit.
@swahilimoves3348
@swahilimoves3348 3 жыл бұрын
Iko poa
@margarethpolepole7438
@margarethpolepole7438 3 жыл бұрын
Sisi shuleni tulikuwa na mchepuo wa kilimo na tulikuwa tunalima sana tulikuwa tunajilisha wenyewe shule za bweni korogwe girls na mwalimu mkuu wetu alikuwa mama siwale
@jemsedikabonge5786
@jemsedikabonge5786 3 жыл бұрын
Naomba namba yake
@benjaminlijongwa3715
@benjaminlijongwa3715 3 жыл бұрын
KWA AKILI ZA KIBONGO SIJUI KAMA WANAELEWA HII
@peterdeus6093
@peterdeus6093 3 жыл бұрын
Wachache saana hasa vijana hawaelewi
@Mpakauseme
@Mpakauseme 3 жыл бұрын
@@peterdeus6093 Sana sikuizi vijana wengi si wahelewa
@amzamrid3571
@amzamrid3571 3 жыл бұрын
Kwa kweli unachambua vizuri San mpaka mtu anaelewa
@sleifikhajjir262
@sleifikhajjir262 3 жыл бұрын
yani broo ukija zanzibar tunakupa nchi
@hadijamandanje6189
@hadijamandanje6189 3 жыл бұрын
Iwe yake au awe rais naomba ufafanuzi zaidi
@mshangimasanja540
@mshangimasanja540 3 жыл бұрын
Mjomba una madini,mi nadhani wakupe vipindi vyakutufudisha
@dorothmungure9393
@dorothmungure9393 3 жыл бұрын
Huyu afundishe vyuo vya ualimu wa shule za msingi ili wao wakafundishe watoto wa shule ya awali na shule za msingi
@mbarakalikati5228
@mbarakalikati5228 3 жыл бұрын
Inabidi tuludi kwenye mzimu yetu kama ustaalabu wa dili umetushinda wakati tunawaapisha kuwe na uganga mtu akizingua lipite nalo
@yassinyusuph9643
@yassinyusuph9643 2 жыл бұрын
Ndugu mtangazaji, mnapatikana kwa namba ipi? Kwa mawasiliano zaidi
@ganganainfochannel
@ganganainfochannel 2 жыл бұрын
Thabit 0652079640
@gerkombo6512
@gerkombo6512 2 жыл бұрын
Wabongo tumebobea kwenye kukamata nyoka.
@peterdeus6093
@peterdeus6093 3 жыл бұрын
Hiv nivitabu vip vya uchumi huwa unasoma wew tusaidie nas maana kusoma ni vizur zaid maana madini hayo ni adimu
@Masterplan696
@Masterplan696 3 жыл бұрын
acha kudanganya maka ndio katikati ya dunia
@queenmwasanguti2370
@queenmwasanguti2370 3 жыл бұрын
Kweli wazazi walikusomesha.
@loner_wolf
@loner_wolf 3 жыл бұрын
Mr Thabit nataka kujua kwann mathematics ni mitihani yake imekuwa multiple choice siku hizi na hawa watawala wamekaa kimya tu.
@loner_wolf
@loner_wolf 3 жыл бұрын
Mr Gangana amekuwa na wasiwasi sana kwenye inshu ya dini hapo anajitahid kufafanua sana tusielewane tofauti maana wananzengo hawachelewagi kuunga habari 😂😂😂😂
@ganganainfochannel
@ganganainfochannel 3 жыл бұрын
😀
@japheteliatosha4710
@japheteliatosha4710 3 жыл бұрын
Haya unayoyasema viongozi wetu ambao in washauri wa serikali waone mawazo ya ndugu huyu
@peterdeus6093
@peterdeus6093 Жыл бұрын
Watayaona sasa mawazo yako kwa V80
@alfaninyambo3749
@alfaninyambo3749 3 жыл бұрын
Chaneli yako inatufundisha menge sana ila wasitumie luga ya kigeni sana wanatufundisha sana
@sarllemmtunze405
@sarllemmtunze405 3 жыл бұрын
Kukosa Bei na soko kwa mahindi ya Tanzania ni mkakati maalumu wa wakenya na wamefanikiwa na sasa wanatucheka. Na kwanini tuuze Mahindi wakati kiwanda Cha unga sio big deal. Mahindi ni mali ghafi ya vitu tele Kama vyakula vya wanyama nakadhaika. Kwanini tukubali kulanguliwa Mahindi yetu na Kenya kila siku. Mahindi haya haya ya Tanzania, Kenya wanayachakata kwenye bidhaa mbali mbali kwa jina la mahindi ya Kenya. Watanzania alieturoga nani?
@siwamasokolo4782
@siwamasokolo4782 3 жыл бұрын
Ndugu Serllem, ulitaka wakulima wetu waendelee kupata hasara?. Soko la haraka kwa jiografia yetu ni Kenya, ni kweli wakenya ni jirani wabaya lakini wewe unavyoona ingekuwa ni sahihi kuwatumia wakulima wetu kuridhisha nafsi zetu au kuonesha msimamo wetu dhidi ya kenya?. Nakubaliana na wewe kuwa sasa Serikali iangalie namna ya kuzuia hii kitu isitokee tena. Kutafuta masoko ni jukumu la Serikali, Kuwezesha usindikaji wa mazao ni jukumu la Serikali. Niiombe Serikali itambue umuhimu wa hali bora ya maisha kwa watanzania
@omanabcd9249
@omanabcd9249 3 жыл бұрын
asante
@kalutalumenge1459
@kalutalumenge1459 3 жыл бұрын
V
@loner_wolf
@loner_wolf 3 жыл бұрын
Liverpool player Benayoun was israel 🙄🙄🙄
@Mpakauseme
@Mpakauseme 3 жыл бұрын
Waisrael kiboko
@josephlugala3182
@josephlugala3182 3 жыл бұрын
Thabit wewe
@risktaker4111
@risktaker4111 3 жыл бұрын
Huyu kaathiriwa na propaganda ya Wayahudi.. japo nakiri kwamba mfumo wetu wa elimu ni mbovu
@shubackmashinga3535
@shubackmashinga3535 3 жыл бұрын
Gangana unatumia jina gan Instagram?
@ganganainfochannel
@ganganainfochannel 3 жыл бұрын
@khalidaligangana brotherrr
@shubackmashinga3535
@shubackmashinga3535 3 жыл бұрын
@@ganganainfochannel thanks bro
DUKANI KWA MEKU
11:05
Joti TV
Рет қаралды 266 М.
MCHAMBUZI THABIT AFAFANUA UONGOZI WA KIDIKTETA / AFRIKA INAUMIA SANA
30:55
Gangana Info Channel
Рет қаралды 21 М.
ОСКАР ИСПОРТИЛ ДЖОНИ ЖИЗНЬ 😢 @lenta_com
01:01
Alat Seru Penolong untuk Mimpi Indah Bayi!
00:31
Let's GLOW! Indonesian
Рет қаралды 15 МЛН
Always be more smart #shorts
00:32
Jin and Hattie
Рет қаралды 48 МЛН
MCHAMBUZI THABIT AFAFANUA KUHUSU UZALENDO,MKATABA WA BANDARI
39:02
Gangana Info Channel
Рет қаралды 3,4 М.
MCHAMBUZI THABIT :UONGOZI WA KIPEKEE /GREAT STRATEGIC THINKERS
38:23
Gangana Info Channel
Рет қаралды 9 М.
Analyse regeerakkoord PVV, VVD, NSC en BBB
1:09:27
Maarten van Rossem - De Podcast
Рет қаралды 52 М.
ОСКАР ИСПОРТИЛ ДЖОНИ ЖИЗНЬ 😢 @lenta_com
01:01